Lakini all in all hongera sana mtumishi Upo vizuri Mungu wa Mbinguni akupiganie akujaze Roho mtakatifu wa kweli ktk Jina La Yesu Kristo.
@user-nj6cu8oj8e
Nikweli mtumishi
@HDCHANNEL-fu6jl
Asa weweeeeeee 😢.....
@thobiasbukali9008
Mchungaji, hapa ongeza nondo kwenye hili somo. Ili kuweka mambo sawa. Hata madhehebu mengine wanaamini hivyo Mungu baba, Mungu mwana na Roho mtakatifu. Ni Mungu mmoja ktk nafsi tatu. Sioni tofauti. Labda neno Utatu mtakatifu hapo ndo kunatofauti.
@mohamedmpendu9250
😂😂😂
@frominimushi8926
Amina mtumishi kweli Yesu ni Mungu
@samsonepanga800 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@user-dn9np8sp8g
Mtumishi umeenda chaka huyo ni yesu co mungu ns hata akiwa mungu co nafsi amerithi jina ndio inasema ni chapa ya mungu inabidi urud chuo
@KlaumodestLunyungu-vs4ue Жыл бұрын
Amen mtumishi wa BWANA
@estamwakitalima6191 Жыл бұрын
AMEN mtumishi
@jolemerci2155 Жыл бұрын
Barikiwa sana sababu umenikamilishia neno roho aliweza ndani yangu sikuzote naomba hivyo kabisa ao n'a amini kuwa ni MUNGU mwenyewe alikuja duniani🙏🙏🙏🙏
Amen pastor Asante kwa kutubariki na neno la Roho Mtakatifu.
@rowenalilie993 Жыл бұрын
Nimependa sana hii. Nimeelewa. Aneth kutoka Ujerumani
@ernesttomas85 Жыл бұрын
Safi ,unagusa sehemu ambazo wanaosema wameamini wameongezewa maandiko na wanawaamni wachungaji japo hayapo kabisa
@samsonepanga800 Жыл бұрын
zamani za ujinga tuliabudu miungu mitatu tofauti, Mungu Baba, Mungu mwana,na Mungu roho, lkn sasa tumejua Mungu ni mmoja na kiti cha enzi ni kimoja tu.