Kumbuka kusubscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. @straightpath9909 tunafikisha ujumbe wa Uislamu hadi mashinani.
Пікірлер: 172
@user-ng1po1dh4z4 ай бұрын
Namna hiyo👍➡️👆Penye ukweli, uongo hujitenga. TOBOA "KIJANA" TOBOA (Jamani Waislamu kila siku mshukuruni sana Allah, kutujalia kuwa Waislamu. Alhamdulillah)
@@nestarnestar4520kwa bahati mbaya masikini maneno hayo umedanganywa na mchungaji ila hujachelewa bado
@omarsirleem71054 ай бұрын
InshaAllah sheikh Ramadhan nikirudi Kenya naeka nia nikupeleke Kitui,Kibwezi na Mutomo huko unahitajika sana kuwafunguka macho wenzetu hao
@shafiiabdallah10884 ай бұрын
Asalam aleykum….sh.ramadhan endelea kuwafundisha hao Jamaa zetu pole pole
@ukweliwauislamu95904 ай бұрын
Masha Allah TabarakAllah JazakAllahu kheyran ustadh Ramadhan ❤
@husseindzombo64924 ай бұрын
Inshallah mola atawaongoza wawe waislamu
@Nim681824 ай бұрын
Acha hizo ,kwa ambao hawamjui YESU
@husseindzombo64924 ай бұрын
@@Nim68182 ikiwa unamjuwa yesu chenye alifunza yesu inapaswa ww pia ufanye ivo, Yesu alikuwa akisujudu na alikuwa akienda msikitini wewe huko kwenye unaenda unamfuata nani
@naimamohammad88704 ай бұрын
Masha Allah Masha Allah Mwisho wataingia ktk Dini ya HAKI Amin Amin
@zanzibar-hf7vh4 ай бұрын
mashaallah Allah awalipe malipo kamili sheikh yussuf na sheikh ramadhan aamin, ramadhan Kareem
@user-fh7wu8vx1y4 ай бұрын
Ma shaallah endelea Kuwapa. Darsa
@aumuelly29094 ай бұрын
Allwah akufanyie wepesi sh Ramadhan kurya
@mwanaidiissa104 ай бұрын
Ni Allah
@rizikiali3284 ай бұрын
Mashallah mashekh wetu hii ni njia moja ya daawa Allah awawezeshe musichoke maana hawa wakiona haki watafata
@YusufWachiuri4 ай бұрын
Mashallah nafurahia kuwaona ndugu zangu kutoka kiserian Allah awazidishie.
@user-vt4pm3ph9p4 ай бұрын
ALLAH AKUFANYIE UPESI I.A
@HamadaShala4 ай бұрын
Allah akulinde❤❤❤❤
@mwajumalubuva4 ай бұрын
Shukurani sana Hawa viumbe wafundeshe mungu akulipe kheri inshallah
@lailahumaid20114 ай бұрын
Nakupata vizuri .mashaallah
@naimamohammad88704 ай бұрын
Asalam Alaykum warahama tulilah wabarakatuh 🌹🌹
@habibasalim30924 ай бұрын
Wa alaikum assalam wa rahmatullahi wa barakatuh
@jamilaomari24444 ай бұрын
MashaAllah vijana wasomi.
@bahsansheikh60424 ай бұрын
Allah Akbar
@faridaally-jp1gx4 ай бұрын
Ma shaa Allaah Allaah Awahifadhi na kazi nzuri
@raniahmamu25864 ай бұрын
Masha'Allah❤❤
@saidali29814 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@fardoshnassor78474 ай бұрын
Mashaallah Allahu 💖💖💖
@kijakaparare20744 ай бұрын
Maashaallah mashallah taakbiriiiiii 📢📢
@alhadajjmohammedsmith90424 ай бұрын
ALLAHU AKBAR
@Aminedanisman767994 ай бұрын
MashaAllah tabarakallah
@user-tr5wb8pt2y4 ай бұрын
MASHA ALLAH
@salimdaawah1234 ай бұрын
Masha Allah
@user-ti4ce2pr8r4 ай бұрын
Innallaha Alimun bidhaati sudoor was innallaha waasiun Aliim.Al-Elmul Bahar. God bless you Sheikh Ramadhan and your colleagues of STRAIGHT PATH DA'AWWAH!.Barakah-llahu fiykum wakheyr Biidhinillahi Ta-Allah bye❤❤❤
@alhadajjmohammedsmith90424 ай бұрын
Allahumma Aaamin
@user-ex4rk2yx4s4 ай бұрын
Ma sha Allah
@Saidi-cops2023.4 ай бұрын
Masha Allah 🎉
@hamidudigogo58634 ай бұрын
Wata elewa tu Kwamba UISLAM ndio DINI ya haki
@zakayolazoro484 ай бұрын
Acha ujiga haki anayo mungu tu wisiramu kwanza raiti kama igekuwa dini ya haki agerudi muhamadi kwanini arudi Yesu acha ujiga
@zakayolazoro484 ай бұрын
Siku zote mtu wenye matuda ndo unapigwa mawe munajitaidi kuharubu ukilisito rakini bibiria inasema watashidana ira hwata weza vita yetu sisi si ya damu na nyama bari ni katika kiroho waisiramu mujifariji tu basi ira yoyote yure jina rake harikuwndikwa katika kitabu Cha uzima wa milele amepotea
@hamidudigogo58634 ай бұрын
@@zakayolazoro48 ndio shida ya kuwa kafiri mojawapo hiyo
@hamidudigogo58634 ай бұрын
@@zakayolazoro48 kinana shida unapotea sababu hujui mandiko
@DancanOsongo4 ай бұрын
wongo
@josemu8704 ай бұрын
Barikiweni
@bwanaahmedabdallah59324 ай бұрын
Allah awabariki kwa kazi nzuri ya Kutangaza dini ya haki 🙏
@amina2044amin-zv2gh4 ай бұрын
Amine Amon Amine
@MohamedMeja3 ай бұрын
Mashalah ramadhani
@faudhiasaidi36694 ай бұрын
😂😂❤🇹🇿
@hamzafishten95603 ай бұрын
Allah akulipe kabisa kazi unayo fanya
@user-is7hj1ol9l4 ай бұрын
ALLAH AKIBAR
@saidhando4 ай бұрын
Allah awaongoze waijue haki insallah
@user-sp6gb6mf5y4 ай бұрын
Mashaallah
@user-hj4sy9fy4g4 ай бұрын
Siooni maantiki, ya yanayojadiliwa, hakuna asiyejua kuwa mungu ni mmoja tu! Hao machalii ni ushabiki tu!
@mwajumalubuva4 ай бұрын
Mashallah ♥️
@HamadaShala4 ай бұрын
🇲🇿🤲🤲🤲
@salumally-jz5lj3 ай бұрын
Ukitafuta mjadala huwezi pata majibu kwa wasioelewa ila dini sio kibali kwa mungu ila waislam wana udini mwingi kuliko kuelewa kuusu iman,kifupi wote tunamtegemea mungu ivyo sheria zake hazibadiliki wote tunapaswa kuzifuata bila kujali dini,ieleweke kusujudu ata shetani anasujudu sio waislam tu
@user-qx1jc7qd1o3 ай бұрын
Naomba muelewe kusujudu na kupiga magoti yote nikujinyenyekeza Mbele za Mwnye henzi,Mimi mkirsto sioni kama kusujudu ni hishala ya Mwislam hpana MUNGU Anainami🎉wa, Anapigiwa magoti, Au Anasjudiwa.
@richardnganya23114 ай бұрын
Mkikubali kuchunguza ya ndani ya upande mmoja basi muwe tayari kuchunguzwa.
@qassimislam52914 ай бұрын
Sisi ukichunguza tu unasilim
@richardnganya23114 ай бұрын
Huko ni kujidanganya. Kinachosemwa ni kuridhia kuchunguzwa.
@Alkaburu3 ай бұрын
@@richardnganya2311anza leo chunguza ndugu yangu nenda kwa walimu na mashekhe fanya tafiti juu uislamu.
@ngugimundia63064 ай бұрын
Angalizo....kwa kanisa la kweli...msikubali kuamini kundi hili nimpango hatari washetani....
@sabihaibrahim1434 ай бұрын
ivii kanisa la kweli ni lipi mana yote yanashindana kwa balaa
@mjombawallace49664 ай бұрын
Umeangukia mshamba
@salumjumaruhaga25134 ай бұрын
Muongo uyo baana
@AlkadoNkundwe-wb3of4 ай бұрын
Kama kweli basi upadri kaukosa
@peteremanuel80224 ай бұрын
Kama kuisoma quruan wanaisoma vzr tu
@user-kg2bg8kp5u4 ай бұрын
Kusujudu ni kitendo kinacho fungamana na madhabau ishu madhabau unayo isujudia nihipi
@didimeandrewngowi4 ай бұрын
Sio kazi yako, hubiri yanayokuhusu mwezi huu wa toba sio kujiingiza kwenye imani za ukatoliki na kuwaleta mashuhuda wa uwongo, hubiri imani yako tu, tu kuchambua imani za watu, kanisa katoliki linakuhusu nini??
@nakundwamkubwe78234 ай бұрын
Kaka zangu ktk Adamu tokeni ktk utumwa wa fikra kuweni Waislamu ili muwe huru na maisha yenu. Vipi mwanamme rijali ukae bila kuowa ? 😢😢😢. Wapi Mwenyezi Mungu amesema msiowe ? Achaneni na mila za kidhungu.
@NancyPatrick-il8zj4 ай бұрын
Ila wamechagua kuishi hivyo, ni chaguo lao la kumtumikia Mungu. Cha muhimu ni kuheshimu chaguo la mtu, akishindwa ataondoka mwenyewe
@charlesmgonja86894 ай бұрын
Wanahubiri amani lakini hawapendi amani.Hivi hamuoni hao Alshabab hapo Somalia. Hivi Kuna amani hapo?
@StraightPathDawah4 ай бұрын
Wewe umejazwa chuki lakini ukisoma na kukaa na watu utajua mengi
@kabwere3 ай бұрын
Hivi nani kakwambia Al-shabab waisilamu?
@user-kg2bg8kp5u4 ай бұрын
Wasram msiwe wabaguzi kusujudi dini zote lazima wasujudu kitendo kinacho mueshimu mungu
@mwanashaali11094 ай бұрын
Wala Hatujabagua,IlanWanaosujuduu Asilimia Kubwa Ni Waislm,sisi tunalingania Tunataka Tuwe kitu kimoja Ila Wakristo Asilimia Kubwa Huwaga hawasikilizii Kuelewa wanapinga Tuh,na Kukataa Hakiii na Kuzidisha Mjadala Pasipokiwa na Mjadala
@sabihaibrahim1434 ай бұрын
mbona hamusujudu ni kuruka ruka tu
@peteremanuel80224 ай бұрын
Uongo padri hawezi kusudia quruan
@DancanOsongo4 ай бұрын
qoran ni uchawi
@kabwere3 ай бұрын
@@DancanOsongo Yalisemwa hayo na makafiri wa Makkah wakati wa Mtume. Si wa kwanza wewe kusema hayo.
Tofautiii Ipooo,ya Waislm Sio Rozali NinTasbihi na ya Waislm Haina Msalaba,Alafuuu Sie Tunaitumia Kama Unataka kufanya Hesabuu,ujue Dua yako wataka Io labda mara mia Inakuwa Urahisi,ila sio Lazima Kutumia Tasbihii,hata vidole vyako vya mikono Waeza Tumia Bora usijichanganye tuh
@mwanashaali11094 ай бұрын
Wakatholiki labda Usemee Mavazii Kwanii Wakatholikii Wanawake wao Wanavaaa Marinda Mrefuuu Yanayoficha Uchii,na Kufunika Nywele, masisters SI wanavaa hivyo,sie Waislm Hatumpingiii Issa , tofautiii yetu sie Tunajua Issa Ni Mtume,ila Hatumtukuziii Wala Kumpa Shifaa za Mungu kama Wanavyofanyaaa Wakristo,na Wala Hatusemi Mungu Katuumba Kwa Mfano wake,sie Kwetu Munguu Ni Mmoja, hakuzaa Wala Hakuzaliwa,Hana Mshirika Wala Hakuna Kilichofanana Na Yeye,Io ndio Imani uetu
@marymwapiya12744 ай бұрын
Ipo kabisa ambayo ipo kama rozali wakatoliki wamewewka msalaba na wao wanaisoma ili wajibiwe maombi yao na hiyo wenu ina kali kaalama kama mwezi hapo hakuna utofauti wowote nini nimeiona vizuri sana boss wangu anatumia wakatoliki na waisilamu ni walewale
@kabwere3 ай бұрын
@@marymwapiya1274 waisilamu na wakatoliki tofauti kabisa. Usijidanganye.
@hassanjuma27723 ай бұрын
@@marymwapiya1274hebu tuwekee hata picha ya hiyo tasbihi yenye pcha ya mwezi alau na sisi tuone
@marymwapiya12744 ай бұрын
Watu hawajui kinachoendelea kwa saizi katika dunia hii tuliyopo mpango ni huu waislamu na wakatoriki wanaenda kuwa kitu kimoja watakuwa na dini na wanaenda kuanzisha biblia yao na hizi biblia zilizopo zitapotea na wataketa biblia ya kwao inayo mpinga Kristo, kana huna nambba 666hakuna kuuza wala kunnunua bila hiyo chapa .kuna watu wanazani wako salama kumbe wapo hatarini bila wao kujua nawasii wakristo wa kweli nunueni biblia mapema.
@user-py9ht4oe3d4 ай бұрын
Hata we hujui kitu hio bibilia unayo unayo isoma Sasa niagano jipya aliandika papa vatkan Apo ulipounamuabudu papa na ndo maana mnaoana jinsia moja nandoa zinafungwa kanisani
@Alkaburu3 ай бұрын
Umeshacherewa 😂 hakuna biblia ya kweli hata sasa maana Kuna vision nyingi
@ngugimundia63064 ай бұрын
New world order chrislam starting slowly...kuunganika kwa dini moja..wamesema wanaendelea kuungana...upagani...catholicism and Islam is one.
@nestarnestar45204 ай бұрын
Iv nyie watu mpk mlishwe nn ndo mjue kua uislam ni dini ya Majini, na ndoo maana mnasali mchana wa jua Kali saa Saba na ndo muda wa Majini, Majini wanapenda dam wakiona damu imetoka ni kivumbia hamruhusu mwanamke mwenye siku zake aende mskitini ikitokea damu imevuja gafla nikivumbi, mbn hamuawambii ayo watu
@sabihaibrahim1434 ай бұрын
wewe mgonjwa bibilia inasema kiti cha enzi cha shetani kipo mazabahuni kanisani ndo mana makanisani ni ngoma zinaa uchafu kwenda uchi yaani ni ushetani tuu
@kabwere3 ай бұрын
🤣🤣🤣jua unachosema kwanza 🤣
@Alkaburu3 ай бұрын
Soma biblia yako vizuri Kwanza ndio uje uongee tena hicho ulichoongea
@DancanOsongo4 ай бұрын
wewe ni mwongo wako nisakumata wewe
@SamuelOllonde-qg8px4 ай бұрын
Why aren't you people visiting areas with SDA churches mpate dawa zenu
@mamertarweyemamu34384 ай бұрын
Tumbafu wewe shehe
@ngugimundia63064 ай бұрын
Sasa kuria unasema ukristo umeletwa na wazungu...wewe...mkikuyu unafuata mwarabu....tena wapi Muhammad kasilimu..propaganda zake za kiarabu
@DennisWaweru-ml4lf4 ай бұрын
Hatushangai kwani vitabu vyenu vinasema mapadri walihusika kuanzisha uisilamu."wakati waraka alikufa sindio wahai uliisha??"asanteni Sana kutuondolea Shaka katika Jambo hili
@DancanOsongo4 ай бұрын
amen
@alanngabonziza4 ай бұрын
Kwanini musiseme imani ya islam inasimama wapi,kila siku wakristo,imani haina msingi,munaimba muhamed na lile jiwe nyeusi la macca ndio maana munaangalia east mukiomba,mungu wenu anasikia kiarabu peke yake,quran yenu imeandikwa na story zenye ni oongo,hamjui nani aliendika quran,mujiulize kuhusu imani yenu kwanza
@user-fc6uf6be5u4 ай бұрын
inshaaAllah Mungu akuonyeshe haki
@kassimngao22824 ай бұрын
Mungu akuongoze kuona hakki
@fatumamwalimu57654 ай бұрын
Allah akufungue macho na akili uondoke kwenye izo fikira zako potovu,
@Aminedanisman767994 ай бұрын
Karibu kwenye dini ya hakii.naona pia ww unafatilia daawa mtaani
@Adm94644 ай бұрын
You must be such a confused individual who has no clue about Islam. Hakuna kuimba katika Uislamu period . All we have is to worship the most high . Even in your Bible if you even believe in it Mungu alikataa nyimbo. Bibilia inasema ni ondeliyeni nyimbo zenu za upusis.
@fatumahamisi16044 ай бұрын
Mashallah mashekh wetu mungu awajaze kheri zake fil Dunia fil akhera
@bwanaahmedabdallah59324 ай бұрын
Allah awabariki kwa kazi nzuri ya Kutangaza dini ya haki 🙏
@AaIi-qw3ec4 ай бұрын
Hongereni sana mana naona waislam na wakatoliki Mashaallah ❤❤❤❤tunasujudu wote na Mungu mmoja ❤❤❤