No video

T.B.T...IJUE HISTORIA YA JABALI LA MUZIKI MARIJANI RAJABU.

  Рет қаралды 18,550

CHAKULA CHA UBONGO

CHAKULA CHA UBONGO

Жыл бұрын

Пікірлер: 14
@absalomaloo3022
@absalomaloo3022 9 күн бұрын
I respect this man..usia wake utadumu milele
@maikonyakundi4209
@maikonyakundi4209 2 ай бұрын
Mimi ni mmoja wa wale wanamuenzi kwa nyimbo zake za mafunzo mengi. Nitahishi kumukumbuka mwalimu wa maisha yangu❤❤❤❤.
@jeromechembe2206
@jeromechembe2206 2 ай бұрын
Aiseee! Nakushukuru sana kwa KUMKUMBUKA mtu huyu. Huyu ndiye alikuwa Mwanamuziki wangu NILIYEMPENDA SANA na bado NAMUENZI sana na Super Bomboka ndiyo ilikuwa bendi yangu. Nilimtarajia sana Mzee Joh Jambele kutimiza ahadi yake kuwa atatengeneza album yake ya MOBVIE. Nakusalimia sana Mzee Jambele.
@zanukazididi3699
@zanukazididi3699 3 ай бұрын
Ni historia nzuri saana Asante
@user-hf2pk9gc7y
@user-hf2pk9gc7y 10 ай бұрын
Nazipenda nyimbo zake hadi zinatupa raha sanaaa
@b.3940
@b.3940 11 ай бұрын
Marijani Rajabu alijulikana pia kwa jina la kitani kama Jabali la Muziki.
@DASTAN_FRED_KAMALA
@DASTAN_FRED_KAMALA 10 ай бұрын
Naam ni kweli kabisa.
@abdulpagali7476
@abdulpagali7476 6 ай бұрын
Mtangazaji umeweka picha ya bendi ya wanafunzi wa shule ya Mkwawa ya mwaka 1972. Mwaka huo Marijani alikuwa kidato cha pili Tambaza. Les Orchestra Mkwawa ilikuwa inaundwa na wanafunzi wa kidato cha sita wa Mkwawa. Je, kulikuwa na uhusiano gani kati ya Marijani Rajabu na bendi hii iliyokuwa inaongozwa na Mhina Simon Sewando?😮😮😮
@DASTAN_FRED_KAMALA
@DASTAN_FRED_KAMALA 6 ай бұрын
Hakika sikuwa na maana yoyote nimeweka picha hizo ni kwasababu na yeye yupo katika picha hiyo. Asante.
@juliusmagembe6089
@juliusmagembe6089 6 ай бұрын
Na pia alikuwa mwanafunzi,
@aud548
@aud548 10 ай бұрын
Nikushauri tu ...simulizi ni nzuri ila asee background music ni mbovu na haiendani na story
@DASTAN_FRED_KAMALA
@DASTAN_FRED_KAMALA 10 ай бұрын
Asante Mkuu nimepokea ushauri wako next time nitajirekebisha.
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 6 ай бұрын
@@DASTAN_FRED_KAMALA kwa nini unatoa historia ya mtu ambae anafahamika vizuri bila kufanya utafiti wa kutosha!!! Unasikitisha!!! Hao ndo waandishi wa Tz ingekua nchi nyingine ungekiona na mtema kuni😔😔
@DASTAN_FRED_KAMALA
@DASTAN_FRED_KAMALA 6 ай бұрын
@@mamboshepea8888 Mheshimiwa nashukuru kwa kunikosoa hakika wakati mwingine nitakuwa Makini zaidi ila ningefurahi zaidi kama ungeeleza Makosa yalipo ili tujirekebishe, maana hata hao wa nje unaowasujudia pia nao ukosea mara dufu kwakuwa nao ni binadamu kama Mimi na Wewe.
Zuwena - Marijani Rajabu
10:06
Zilipendwa TZ
Рет қаралды 77 М.
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 33 МЛН
Бутылка Air Up обмани мозг вкусом
01:00
Костя Павлов
Рет қаралды 2 МЛН
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 3,6 МЛН
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 42 МЛН
MASOUD MASOUD : NGURUMO HAKUWA VILE / WATANGAZAJI HAWASOMI
23:15
Gangana Info Channel
Рет қаралды 83 М.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57
Wasafi Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
Uchambuzi wa Zilipendwa: Marijani Rajabu - Ubaya wa Jirani
5:02
Abdallah Magana
Рет қаралды 11 М.
NDOA YA MATESO (cover) Lejendari MARIJANI RAJABU
6:39
babloom kisauji
Рет қаралды 107 М.
Marijani Rajabu & Dar International - Sikitiko
6:35
Power Nguzo
Рет қаралды 170 М.
Mwanamuziki wa wiki - Marijani Rajabu
18:31
KWA JOHN KITIME
Рет қаралды 3,5 М.
Dunia Imani Imekwisha Marijan Rajabu
7:11
Balantanda
Рет қаралды 713 М.
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 33 МЛН