TAARIFA MPYA KUTOKA YANGA YA AZIZ ALLY KAMWE AFUNGUKA SAKATA LA AZIKI KI KISAINI MKATABA MPYA YANGA

  Рет қаралды 47,865

SPOGA ONLINE

SPOGA ONLINE

Ай бұрын

Пікірлер: 44
@christosilerkalata9607
@christosilerkalata9607 Ай бұрын
Wanachama zaidi ya million 30 tuwekewe mpango kila mmoja atoe kiasi gani?
@NelsonMatambo-ob5zm
@NelsonMatambo-ob5zm Ай бұрын
yanga tim kubwa
@abdulismail79
@abdulismail79 Ай бұрын
Ukiwa nje ya Nchi (England) vipi unaweza kujisajili kuwa mwanachama?
@khajihamisi5054
@khajihamisi5054 Ай бұрын
Wanachama tutamfanya Azizi Ki tutamziwia asiondoke tataongeza malipo kwenye kadi za uwanachama!!
@stafordchamgeni8430
@stafordchamgeni8430 Ай бұрын
Nitumie control namba nilipie uanachama na nije kula supu tarehe 25/5/2024
@saidmpunga-en6pf
@saidmpunga-en6pf Ай бұрын
azizi ki abaki hao makolo watoe udenda tu hawampa hao nikama fisi wamwambie deuji akatafute nae nje haoni wanaume wanavyojituma kama injinia naitwa said mpunga nipo wazo dar contena
@albertvalentino130
@albertvalentino130 Ай бұрын
Mmeandaa mazingira gani au mmetengeneza utaratibu gani ili wanachama na mashabiki mwananchi waweze kutekeleza hilo jukumu la kujisajii ili kuwa wanacha na mashabiki rasmi wa club.
@Kanyawela
@Kanyawela Ай бұрын
Weka kujisajili day nami nijisajili
@RahmaAbdulrahman-er2yg
@RahmaAbdulrahman-er2yg Ай бұрын
Tunaomba abakie yanga azizi k diara abakie pacome abakie yanga
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f Ай бұрын
Kilajambo na wakati wake
@isacknicodem3262
@isacknicodem3262 Ай бұрын
Ally mngemshawishi mkampatia mkataba ili mpige pesa
@TwalibuHassan
@TwalibuHassan Ай бұрын
Naitwa twalibu Hassan kadi shilingi ngap kujisajili
@mariamMilha-st3qu
@mariamMilha-st3qu Ай бұрын
Kiongosi kijana nikweli umuli wako uko tofauti naungozi wako yani maneno yakoyakimbwa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@NassibAbdallahMariki
@NassibAbdallahMariki Ай бұрын
Kadi inalipiwa Shs ngapi
@NassibAbdallahMariki
@NassibAbdallahMariki Ай бұрын
Kadi shs ngapi
@prospermbena4692
@prospermbena4692 Ай бұрын
Nalipa adda ya uanachamaa sasa hivi, Yanga baba lao daima mbele nyuma mwiko
@albertvalentino130
@albertvalentino130 Ай бұрын
Kama ambavyo kumekuwa na siku ya Pacome day --- Aziz ki day --- Maxday --- Baka day etc --- Tengenezeni mazingira ya kuwa na siku maalumu,itakayoitwa labda JISAJILI DAY ,kwa Nchi nzima,then kabla ya siku hiyo kufanyike uhamssishaji mkubwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari na hata mitandao ya kijamii " Nadhani kuna kitu kikubwa chenye tija kwa club kitafanyika " Na ifanyike hivyo,hata mara mbili kwa mwaka "
@michaelmabula7444
@michaelmabula7444 Ай бұрын
Sahihi kabisa
@neemaisrael688
@neemaisrael688 Ай бұрын
SAHIHI KABISA.
@stafordchamgeni8430
@stafordchamgeni8430 Ай бұрын
Sawa Ally kamwe ameipata hiyo kuwe na usajili day utafaa sana
@Kanyawela
@Kanyawela Ай бұрын
Kujisajili day hii nimeukubali tena nchi nzima
@JackSanga-fw9xt
@JackSanga-fw9xt 27 күн бұрын
Mimi naomba niwe mwanachama jmn niwe na kadi
@mussamtupa
@mussamtupa Ай бұрын
Sisi tunao ishi nje ya nchi tunafanyaje ktk usajiri na kulipia? Majibu tafsdhar
@HappyEel-wg4qx
@HappyEel-wg4qx Ай бұрын
Makoro mnaumia sana
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn Ай бұрын
Naomba namna ya kulipia kadi ya uawanachama simba sitaki Tena kuanzia leo
@mussamtupa
@mussamtupa Ай бұрын
😅karibu
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 Ай бұрын
Njia ya muongo ni fupi mara Aziiz mkataba imeisha mara tumepata offer kakojoe ulale mchezeji mkataba ukishaa Club haipati Chochote wadanganye Uto mafalaaaaa
@FirdausAlly-ls8fw
@FirdausAlly-ls8fw Ай бұрын
Kwani unaumia nin NGULUWE FC.. aziz ki. Ni mchezaji wa yanga we tuliaa pambania jina la pili cyo TATU JUMA MGUNDA
@JastinAlphonce
@JastinAlphonce Ай бұрын
Acha kiki my brother Kwan hujui uwezo wa vilabu vya kariakoo mara kaja sawadogo wa million 700 alipofeli kibao kikasema alikuja free 😂😂😂
@KizingiliRamadhani-gh5gq
@KizingiliRamadhani-gh5gq Ай бұрын
Ww ni mjinga
@saidmpunga-en6pf
@saidmpunga-en6pf Ай бұрын
kuamtu inamkela azizi kubaki yanga sasa yeye ndie alimsajili mbona anawashwa mambo ya yanga waachie yanga viongozi wetu wameenda shule sio hao wanapiga kelele tu aende tandale vilabuni akasajili watuache na yanga yetu wenyewe kazi kumtia hasara mo
@benarddickson1326
@benarddickson1326 Ай бұрын
Uongozi Yanga um-retain Aziz we highly need this player.
@user-xz8rm2jr2x
@user-xz8rm2jr2x Ай бұрын
Ally kamwe,WW NI msema kweli sio Kama Yule mchumba wa upande wa pily
@mariamMilha-st3qu
@mariamMilha-st3qu Ай бұрын
Tupe maerezo ukiwanje na Tanzania kadi yacama utayipataje???niko Bujumbura
@rehemakimbesa7296
@rehemakimbesa7296 Ай бұрын
Na sisi ambao hatupo huko tunajisajiri vp
@mariamMilha-st3qu
@mariamMilha-st3qu Ай бұрын
Kwni mayele nkitugani tunafika apaju yamayele???
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f Ай бұрын
Lolote litawezeka
@hassanmatete7121
@hassanmatete7121 Ай бұрын
Unasema mayele kaingiza pesa yanga alipoondoka wakati rais alisema kaondoka bure naomba waka sawa kwa ili
@mussammanga7791
@mussammanga7791 Ай бұрын
Wewe ndunduka.
@zeddymourice4249
@zeddymourice4249 Ай бұрын
Je unafuatiliaga haya mambo?mtafute wakala wamayele nadhani utapata jibu kamili kama mayele aliuzwa au aliondoka free
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u Ай бұрын
Hamna pesa za kushindana na matimu mkubwa mumbakishe azizi ki
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u Ай бұрын
Huyo wenu lakini azizi ki sio wenu Tena free boti
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u Ай бұрын
Acha uongo mayele alikuwa wa mkopo
@user-bi8hr3nu6g
@user-bi8hr3nu6g Ай бұрын
Kama wewe ni mwanasimba unataka kuja yanga nenda kwenye tawi lolote lililo kalibu na wewewatatakupokea bei ya kadi ni 31
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 5 МЛН
Why You Should Always Help Others ❤️
00:40
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 136 МЛН
Meet the Press NOW - June 19
50:11
NBC News
Рет қаралды 456 М.
RASIMI MANARA AFUNGULIWA NA TFF
1:01
DISMAS TV
Рет қаралды 6 М.
MANSOUR AWAITA CCM UWANJANI 2025
17:00
ACT Wazalendo Digital
Рет қаралды 2,5 М.
🔴#MPAKA_HOME: Maisha halisi ya Baba mzazi wa ALLY KAMWE.
21:51
Лёгкая ПОБЕДА!😃 inst: psawkin
1:00
Petr Savkin
Рет қаралды 188 М.
😂😂😂
0:38
MUXASTIC FOOTBALL
Рет қаралды 1,3 МЛН
Ronaldo vs. Messi Workout Challenge🏋️
0:29
Free Kick
Рет қаралды 929 М.