TAARIFA MPYA KUTOKA YANGA YA AZIZ ALLY KAMWE AFUNGUKA SAKATA LA AZIKI KI KISAINI MKATABA MPYA YANGA

  Рет қаралды 46,805

SPOGA ONLINE

SPOGA ONLINE

29 күн бұрын

Пікірлер: 44
@NelsonMatambo-ob5zm
@NelsonMatambo-ob5zm 26 күн бұрын
yanga tim kubwa
@abdulismail79
@abdulismail79 28 күн бұрын
Ukiwa nje ya Nchi (England) vipi unaweza kujisajili kuwa mwanachama?
@christosilerkalata9607
@christosilerkalata9607 26 күн бұрын
Wanachama zaidi ya million 30 tuwekewe mpango kila mmoja atoe kiasi gani?
@saidmpunga-en6pf
@saidmpunga-en6pf 26 күн бұрын
azizi ki abaki hao makolo watoe udenda tu hawampa hao nikama fisi wamwambie deuji akatafute nae nje haoni wanaume wanavyojituma kama injinia naitwa said mpunga nipo wazo dar contena
@stafordchamgeni8430
@stafordchamgeni8430 28 күн бұрын
Nitumie control namba nilipie uanachama na nije kula supu tarehe 25/5/2024
@khajihamisi5054
@khajihamisi5054 28 күн бұрын
Wanachama tutamfanya Azizi Ki tutamziwia asiondoke tataongeza malipo kwenye kadi za uwanachama!!
@albertvalentino130
@albertvalentino130 28 күн бұрын
Mmeandaa mazingira gani au mmetengeneza utaratibu gani ili wanachama na mashabiki mwananchi waweze kutekeleza hilo jukumu la kujisajii ili kuwa wanacha na mashabiki rasmi wa club.
@RahmaAbdulrahman-er2yg
@RahmaAbdulrahman-er2yg 28 күн бұрын
Tunaomba abakie yanga azizi k diara abakie pacome abakie yanga
@Kanyawela
@Kanyawela 28 күн бұрын
Weka kujisajili day nami nijisajili
@isacknicodem3262
@isacknicodem3262 27 күн бұрын
Ally mngemshawishi mkampatia mkataba ili mpige pesa
@TwalibuHassan
@TwalibuHassan 28 күн бұрын
Naitwa twalibu Hassan kadi shilingi ngap kujisajili
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 27 күн бұрын
Kilajambo na wakati wake
@mariamMilha-st3qu
@mariamMilha-st3qu 27 күн бұрын
Kiongosi kijana nikweli umuli wako uko tofauti naungozi wako yani maneno yakoyakimbwa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@NassibAbdallahMariki
@NassibAbdallahMariki 25 күн бұрын
Kadi inalipiwa Shs ngapi
@NassibAbdallahMariki
@NassibAbdallahMariki 25 күн бұрын
Kadi shs ngapi
@prospermbena4692
@prospermbena4692 26 күн бұрын
Nalipa adda ya uanachamaa sasa hivi, Yanga baba lao daima mbele nyuma mwiko
@JackSanga-fw9xt
@JackSanga-fw9xt 20 күн бұрын
Mimi naomba niwe mwanachama jmn niwe na kadi
@mussamtupa
@mussamtupa 25 күн бұрын
Sisi tunao ishi nje ya nchi tunafanyaje ktk usajiri na kulipia? Majibu tafsdhar
@albertvalentino130
@albertvalentino130 28 күн бұрын
Kama ambavyo kumekuwa na siku ya Pacome day --- Aziz ki day --- Maxday --- Baka day etc --- Tengenezeni mazingira ya kuwa na siku maalumu,itakayoitwa labda JISAJILI DAY ,kwa Nchi nzima,then kabla ya siku hiyo kufanyike uhamssishaji mkubwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari na hata mitandao ya kijamii " Nadhani kuna kitu kikubwa chenye tija kwa club kitafanyika " Na ifanyike hivyo,hata mara mbili kwa mwaka "
@michaelmabula7444
@michaelmabula7444 28 күн бұрын
Sahihi kabisa
@neemaisrael688
@neemaisrael688 28 күн бұрын
SAHIHI KABISA.
@stafordchamgeni8430
@stafordchamgeni8430 28 күн бұрын
Sawa Ally kamwe ameipata hiyo kuwe na usajili day utafaa sana
@Kanyawela
@Kanyawela 28 күн бұрын
Kujisajili day hii nimeukubali tena nchi nzima
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn 27 күн бұрын
Naomba namna ya kulipia kadi ya uawanachama simba sitaki Tena kuanzia leo
@mussamtupa
@mussamtupa 25 күн бұрын
😅karibu
@saidmpunga-en6pf
@saidmpunga-en6pf 26 күн бұрын
kuamtu inamkela azizi kubaki yanga sasa yeye ndie alimsajili mbona anawashwa mambo ya yanga waachie yanga viongozi wetu wameenda shule sio hao wanapiga kelele tu aende tandale vilabuni akasajili watuache na yanga yetu wenyewe kazi kumtia hasara mo
@mariamMilha-st3qu
@mariamMilha-st3qu 27 күн бұрын
Tupe maerezo ukiwanje na Tanzania kadi yacama utayipataje???niko Bujumbura
@HappyEel-wg4qx
@HappyEel-wg4qx 26 күн бұрын
Makoro mnaumia sana
@user-xz8rm2jr2x
@user-xz8rm2jr2x 27 күн бұрын
Ally kamwe,WW NI msema kweli sio Kama Yule mchumba wa upande wa pily
@benarddickson1326
@benarddickson1326 26 күн бұрын
Uongozi Yanga um-retain Aziz we highly need this player.
@rehemakimbesa7296
@rehemakimbesa7296 28 күн бұрын
Na sisi ambao hatupo huko tunajisajiri vp
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 28 күн бұрын
Njia ya muongo ni fupi mara Aziiz mkataba imeisha mara tumepata offer kakojoe ulale mchezeji mkataba ukishaa Club haipati Chochote wadanganye Uto mafalaaaaa
@FirdausAlly-ls8fw
@FirdausAlly-ls8fw 27 күн бұрын
Kwani unaumia nin NGULUWE FC.. aziz ki. Ni mchezaji wa yanga we tuliaa pambania jina la pili cyo TATU JUMA MGUNDA
@JastinAlphonce
@JastinAlphonce 27 күн бұрын
Acha kiki my brother Kwan hujui uwezo wa vilabu vya kariakoo mara kaja sawadogo wa million 700 alipofeli kibao kikasema alikuja free 😂😂😂
@KizingiliRamadhani-gh5gq
@KizingiliRamadhani-gh5gq 25 күн бұрын
Ww ni mjinga
@mariamMilha-st3qu
@mariamMilha-st3qu 27 күн бұрын
Kwni mayele nkitugani tunafika apaju yamayele???
@hassanmatete7121
@hassanmatete7121 27 күн бұрын
Unasema mayele kaingiza pesa yanga alipoondoka wakati rais alisema kaondoka bure naomba waka sawa kwa ili
@mussammanga7791
@mussammanga7791 27 күн бұрын
Wewe ndunduka.
@zeddymourice4249
@zeddymourice4249 26 күн бұрын
Je unafuatiliaga haya mambo?mtafute wakala wamayele nadhani utapata jibu kamili kama mayele aliuzwa au aliondoka free
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 27 күн бұрын
Lolote litawezeka
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u 28 күн бұрын
Hamna pesa za kushindana na matimu mkubwa mumbakishe azizi ki
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u 28 күн бұрын
Huyo wenu lakini azizi ki sio wenu Tena free boti
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u 28 күн бұрын
Acha uongo mayele alikuwa wa mkopo
@user-bi8hr3nu6g
@user-bi8hr3nu6g 27 күн бұрын
Kama wewe ni mwanasimba unataka kuja yanga nenda kwenye tawi lolote lililo kalibu na wewewatatakupokea bei ya kadi ni 31
Backstage 🤫 tutorial #elsarca #tiktok
00:13
Elsa Arca
Рет қаралды 43 МЛН
Why You Should Always Help Others ❤️
00:40
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 120 МЛН
Taarifa ya LEMA Yasambaa DUNIA NZIMA, Nchi YATIKISIKAA!!!!
19:42
SUPER TAMUTAMU
Рет қаралды 86 М.
UFC Vegas 93 : Алмабаев VS Джонсон
2:01
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 200 М.
How many kids does it take to stop a pro footballer?
0:36
Бедный полузащитник.23 километра.
0:33
mister:islam
Рет қаралды 395 М.