Ukiwa nje ya Nchi (England) vipi unaweza kujisajili kuwa mwanachama?
@christosilerkalata960726 күн бұрын
Wanachama zaidi ya million 30 tuwekewe mpango kila mmoja atoe kiasi gani?
@saidmpunga-en6pf26 күн бұрын
azizi ki abaki hao makolo watoe udenda tu hawampa hao nikama fisi wamwambie deuji akatafute nae nje haoni wanaume wanavyojituma kama injinia naitwa said mpunga nipo wazo dar contena
@stafordchamgeni843028 күн бұрын
Nitumie control namba nilipie uanachama na nije kula supu tarehe 25/5/2024
@khajihamisi505428 күн бұрын
Wanachama tutamfanya Azizi Ki tutamziwia asiondoke tataongeza malipo kwenye kadi za uwanachama!!
@albertvalentino13028 күн бұрын
Mmeandaa mazingira gani au mmetengeneza utaratibu gani ili wanachama na mashabiki mwananchi waweze kutekeleza hilo jukumu la kujisajii ili kuwa wanacha na mashabiki rasmi wa club.
@RahmaAbdulrahman-er2yg28 күн бұрын
Tunaomba abakie yanga azizi k diara abakie pacome abakie yanga
@Kanyawela28 күн бұрын
Weka kujisajili day nami nijisajili
@isacknicodem326227 күн бұрын
Ally mngemshawishi mkampatia mkataba ili mpige pesa
Kiongosi kijana nikweli umuli wako uko tofauti naungozi wako yani maneno yakoyakimbwa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@NassibAbdallahMariki25 күн бұрын
Kadi inalipiwa Shs ngapi
@NassibAbdallahMariki25 күн бұрын
Kadi shs ngapi
@prospermbena469226 күн бұрын
Nalipa adda ya uanachamaa sasa hivi, Yanga baba lao daima mbele nyuma mwiko
@JackSanga-fw9xt20 күн бұрын
Mimi naomba niwe mwanachama jmn niwe na kadi
@mussamtupa25 күн бұрын
Sisi tunao ishi nje ya nchi tunafanyaje ktk usajiri na kulipia? Majibu tafsdhar
@albertvalentino13028 күн бұрын
Kama ambavyo kumekuwa na siku ya Pacome day --- Aziz ki day --- Maxday --- Baka day etc --- Tengenezeni mazingira ya kuwa na siku maalumu,itakayoitwa labda JISAJILI DAY ,kwa Nchi nzima,then kabla ya siku hiyo kufanyike uhamssishaji mkubwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari na hata mitandao ya kijamii " Nadhani kuna kitu kikubwa chenye tija kwa club kitafanyika " Na ifanyike hivyo,hata mara mbili kwa mwaka "
@michaelmabula744428 күн бұрын
Sahihi kabisa
@neemaisrael68828 күн бұрын
SAHIHI KABISA.
@stafordchamgeni843028 күн бұрын
Sawa Ally kamwe ameipata hiyo kuwe na usajili day utafaa sana
@Kanyawela28 күн бұрын
Kujisajili day hii nimeukubali tena nchi nzima
@PauloAlfayo-qi1gn27 күн бұрын
Naomba namna ya kulipia kadi ya uawanachama simba sitaki Tena kuanzia leo
@mussamtupa25 күн бұрын
😅karibu
@saidmpunga-en6pf26 күн бұрын
kuamtu inamkela azizi kubaki yanga sasa yeye ndie alimsajili mbona anawashwa mambo ya yanga waachie yanga viongozi wetu wameenda shule sio hao wanapiga kelele tu aende tandale vilabuni akasajili watuache na yanga yetu wenyewe kazi kumtia hasara mo
@mariamMilha-st3qu27 күн бұрын
Tupe maerezo ukiwanje na Tanzania kadi yacama utayipataje???niko Bujumbura
@HappyEel-wg4qx26 күн бұрын
Makoro mnaumia sana
@user-xz8rm2jr2x27 күн бұрын
Ally kamwe,WW NI msema kweli sio Kama Yule mchumba wa upande wa pily
@benarddickson132626 күн бұрын
Uongozi Yanga um-retain Aziz we highly need this player.
@rehemakimbesa729628 күн бұрын
Na sisi ambao hatupo huko tunajisajiri vp
@hassanabdala738328 күн бұрын
Njia ya muongo ni fupi mara Aziiz mkataba imeisha mara tumepata offer kakojoe ulale mchezeji mkataba ukishaa Club haipati Chochote wadanganye Uto mafalaaaaa
@FirdausAlly-ls8fw27 күн бұрын
Kwani unaumia nin NGULUWE FC.. aziz ki. Ni mchezaji wa yanga we tuliaa pambania jina la pili cyo TATU JUMA MGUNDA
@JastinAlphonce27 күн бұрын
Acha kiki my brother Kwan hujui uwezo wa vilabu vya kariakoo mara kaja sawadogo wa million 700 alipofeli kibao kikasema alikuja free 😂😂😂
@KizingiliRamadhani-gh5gq25 күн бұрын
Ww ni mjinga
@mariamMilha-st3qu27 күн бұрын
Kwni mayele nkitugani tunafika apaju yamayele???
@hassanmatete712127 күн бұрын
Unasema mayele kaingiza pesa yanga alipoondoka wakati rais alisema kaondoka bure naomba waka sawa kwa ili
@mussammanga779127 күн бұрын
Wewe ndunduka.
@zeddymourice424926 күн бұрын
Je unafuatiliaga haya mambo?mtafute wakala wamayele nadhani utapata jibu kamili kama mayele aliuzwa au aliondoka free
@user-nm2jq7xo5f27 күн бұрын
Lolote litawezeka
@user-hu4el2rx2u28 күн бұрын
Hamna pesa za kushindana na matimu mkubwa mumbakishe azizi ki
@user-hu4el2rx2u28 күн бұрын
Huyo wenu lakini azizi ki sio wenu Tena free boti
@user-hu4el2rx2u28 күн бұрын
Acha uongo mayele alikuwa wa mkopo
@user-bi8hr3nu6g27 күн бұрын
Kama wewe ni mwanasimba unataka kuja yanga nenda kwenye tawi lolote lililo kalibu na wewewatatakupokea bei ya kadi ni 31