Wanachama zaidi ya million 30 tuwekewe mpango kila mmoja atoe kiasi gani?
@NelsonMatambo-ob5zmАй бұрын
yanga tim kubwa
@abdulismail79Ай бұрын
Ukiwa nje ya Nchi (England) vipi unaweza kujisajili kuwa mwanachama?
@khajihamisi5054Ай бұрын
Wanachama tutamfanya Azizi Ki tutamziwia asiondoke tataongeza malipo kwenye kadi za uwanachama!!
@stafordchamgeni8430Ай бұрын
Nitumie control namba nilipie uanachama na nije kula supu tarehe 25/5/2024
@saidmpunga-en6pfАй бұрын
azizi ki abaki hao makolo watoe udenda tu hawampa hao nikama fisi wamwambie deuji akatafute nae nje haoni wanaume wanavyojituma kama injinia naitwa said mpunga nipo wazo dar contena
@albertvalentino130Ай бұрын
Mmeandaa mazingira gani au mmetengeneza utaratibu gani ili wanachama na mashabiki mwananchi waweze kutekeleza hilo jukumu la kujisajii ili kuwa wanacha na mashabiki rasmi wa club.
@KanyawelaАй бұрын
Weka kujisajili day nami nijisajili
@RahmaAbdulrahman-er2ygАй бұрын
Tunaomba abakie yanga azizi k diara abakie pacome abakie yanga
@user-nm2jq7xo5fАй бұрын
Kilajambo na wakati wake
@isacknicodem3262Ай бұрын
Ally mngemshawishi mkampatia mkataba ili mpige pesa
Kiongosi kijana nikweli umuli wako uko tofauti naungozi wako yani maneno yakoyakimbwa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@NassibAbdallahMarikiАй бұрын
Kadi inalipiwa Shs ngapi
@NassibAbdallahMarikiАй бұрын
Kadi shs ngapi
@prospermbena4692Ай бұрын
Nalipa adda ya uanachamaa sasa hivi, Yanga baba lao daima mbele nyuma mwiko
@albertvalentino130Ай бұрын
Kama ambavyo kumekuwa na siku ya Pacome day --- Aziz ki day --- Maxday --- Baka day etc --- Tengenezeni mazingira ya kuwa na siku maalumu,itakayoitwa labda JISAJILI DAY ,kwa Nchi nzima,then kabla ya siku hiyo kufanyike uhamssishaji mkubwa kupitia vyombo mbalimbali vya habari na hata mitandao ya kijamii " Nadhani kuna kitu kikubwa chenye tija kwa club kitafanyika " Na ifanyike hivyo,hata mara mbili kwa mwaka "
@michaelmabula7444Ай бұрын
Sahihi kabisa
@neemaisrael688Ай бұрын
SAHIHI KABISA.
@stafordchamgeni8430Ай бұрын
Sawa Ally kamwe ameipata hiyo kuwe na usajili day utafaa sana
@KanyawelaАй бұрын
Kujisajili day hii nimeukubali tena nchi nzima
@JackSanga-fw9xt27 күн бұрын
Mimi naomba niwe mwanachama jmn niwe na kadi
@mussamtupaАй бұрын
Sisi tunao ishi nje ya nchi tunafanyaje ktk usajiri na kulipia? Majibu tafsdhar
@HappyEel-wg4qxАй бұрын
Makoro mnaumia sana
@PauloAlfayo-qi1gnАй бұрын
Naomba namna ya kulipia kadi ya uawanachama simba sitaki Tena kuanzia leo
@mussamtupaАй бұрын
😅karibu
@hassanabdala7383Ай бұрын
Njia ya muongo ni fupi mara Aziiz mkataba imeisha mara tumepata offer kakojoe ulale mchezeji mkataba ukishaa Club haipati Chochote wadanganye Uto mafalaaaaa
@FirdausAlly-ls8fwАй бұрын
Kwani unaumia nin NGULUWE FC.. aziz ki. Ni mchezaji wa yanga we tuliaa pambania jina la pili cyo TATU JUMA MGUNDA
@JastinAlphonceАй бұрын
Acha kiki my brother Kwan hujui uwezo wa vilabu vya kariakoo mara kaja sawadogo wa million 700 alipofeli kibao kikasema alikuja free 😂😂😂
@KizingiliRamadhani-gh5gqАй бұрын
Ww ni mjinga
@saidmpunga-en6pfАй бұрын
kuamtu inamkela azizi kubaki yanga sasa yeye ndie alimsajili mbona anawashwa mambo ya yanga waachie yanga viongozi wetu wameenda shule sio hao wanapiga kelele tu aende tandale vilabuni akasajili watuache na yanga yetu wenyewe kazi kumtia hasara mo
@benarddickson1326Ай бұрын
Uongozi Yanga um-retain Aziz we highly need this player.
@user-xz8rm2jr2xАй бұрын
Ally kamwe,WW NI msema kweli sio Kama Yule mchumba wa upande wa pily
@mariamMilha-st3quАй бұрын
Tupe maerezo ukiwanje na Tanzania kadi yacama utayipataje???niko Bujumbura
@rehemakimbesa7296Ай бұрын
Na sisi ambao hatupo huko tunajisajiri vp
@mariamMilha-st3quАй бұрын
Kwni mayele nkitugani tunafika apaju yamayele???
@user-nm2jq7xo5fАй бұрын
Lolote litawezeka
@hassanmatete7121Ай бұрын
Unasema mayele kaingiza pesa yanga alipoondoka wakati rais alisema kaondoka bure naomba waka sawa kwa ili
@mussammanga7791Ай бұрын
Wewe ndunduka.
@zeddymourice4249Ай бұрын
Je unafuatiliaga haya mambo?mtafute wakala wamayele nadhani utapata jibu kamili kama mayele aliuzwa au aliondoka free
@user-hu4el2rx2uАй бұрын
Hamna pesa za kushindana na matimu mkubwa mumbakishe azizi ki
@user-hu4el2rx2uАй бұрын
Huyo wenu lakini azizi ki sio wenu Tena free boti
@user-hu4el2rx2uАй бұрын
Acha uongo mayele alikuwa wa mkopo
@user-bi8hr3nu6gАй бұрын
Kama wewe ni mwanasimba unataka kuja yanga nenda kwenye tawi lolote lililo kalibu na wewewatatakupokea bei ya kadi ni 31