DUUH!! SHEIKH PONDA AJILIPUA AMKOSOA VIKALI RAIS SAMIA/ASEMA HALI NI MBAYA HAKUNA NAFUU YA MAISHA

  Рет қаралды 79,115

ICON TV TZ

ICON TV TZ

13 күн бұрын

Пікірлер: 982
@pascalsafari3476
@pascalsafari3476 11 күн бұрын
Shehe ponda mwenyezi mungu muumba wa mbingu ardhi akupe maisha marefu kwenye uso wa ardhi
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 10 күн бұрын
Samahani ndugu Jitahidi sana Unapoandika MUNGU ANDIKA kwa herufi kubwa hususani Herufi ya kuanzia.
@fabby1181
@fabby1181 10 күн бұрын
Huyu Shekhe siyo kiongozi wa kidini tuu lakini ni katika jamii kiujumla, Hongera sana mzee wangu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 10 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@josephmbeya5973
@josephmbeya5973 10 күн бұрын
Daima nimeendelea KUKUPENDA SHEKHE Ponda Issa Ponda hakika Mungu aendelee kukupa afya njema kwa kuendelea kuwa mkweli kama mjumbe wa Mwenyezi Mungu❤
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 10 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@fadhilyassin5772
@fadhilyassin5772 11 күн бұрын
Angalau shekhe wetu umetusemea Allah akuhifadhi inshaallah
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 10 күн бұрын
Unashindwa kuitikia Dua kazi asante kwa kutufatilia tu au unaogopa ​@@ICONTVTZ
@user-dw6uy7tv9o
@user-dw6uy7tv9o 9 күн бұрын
Huyu ndo mufti wa dunia
@rosehaule6765
@rosehaule6765 3 күн бұрын
Mungu skutunze mufti tunakuombea hali mbaya mnoo mlo mmoja watu kwa ss kila mmoja magojwa ni madonda ya tumbo aside kutema mlo usio na vitamins magojwa tu kutokana na kukola mlo lishee 😢
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 11 күн бұрын
SIJAWAHI KUKUCHOKA WEWE MZEE ...NAKUPENDA SANA JAPO NI DINI TOFAUTI LAKINI I ALWAYS SALUTE YOU..NAPENDA JINSI ULIVYO MKWELI NAPENDA MAONO YAKO NAPENDA MISIMAMO ULIYONAYO...HUPENDI UNAFIKI WALA KUJIPENDEKEZA .WEWE NI ZAO LA WAISLAMU WA KWELI WASIOYUMBISHWA...
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@akramissa3393
@akramissa3393 11 күн бұрын
Alhamdulilaah! Huwezi kuja ni jinsi gani your statement touched me. Hakika nawe si mbaguzi wa dini bali msimamia kweli na haki
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 11 күн бұрын
Viongozi wetu wa Dini wengekua na misimamo ya kweli na haki Nchi yetu ingekuwa na maisha bora kwa raia wake
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 10 күн бұрын
@@bennymochiwa4800🤝Tanzania ni Nchi ya kupigiwa mfano kwenye Dunia lakini uongozi na siasa mbaya bila ya kujali Wananchi wao. Watalii ni Bora kuliko Wananchi.
@mrishotufu6859
@mrishotufu6859 10 күн бұрын
Kuhusu chakula niduniya nzima chakula kimepanda apanilipo unga wasembe 10kg dola5$
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv 11 күн бұрын
Huyu ndiye kiongoz sasa unaangalia ndan na inje she mimi ni mkirsto hua nakufatilia sana na nakukubali sana hakika mungu akupe maisha marefu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@IbrahimuAmiry
@IbrahimuAmiry 11 күн бұрын
Nilibahati kukaa na Sheikh PONDA zaidi ya mara moja,Kuna vitu niliviona kwake ambavyo vilinifanya nione kuwa Sheikh ana uwezo mkubwa na ktk SERIKALI YETU anweza kufit nafasi yyte ile,hongera sana baraza la Maimam kutuwakilisha vyema ktk walaka uu, MUNGU ajaalie niwe km Sheikh PONDA,ALLAH akuweke zaidi Sheikh wetu akuzidishie ulinzi zaidi 🤲
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 11 күн бұрын
Sheikh ponda Mungu akubariki sana umeongea ukweli mtupu.Tatizo linaloisumbua serikali hii ni ufisadi,rushwa na ubadhirifu.ufisadi,rushwa na ubadhirifu ni kama umehalalishwa na ni sifa.Mafisadi wanaimaliza sana nchi hii na wanaiba waziwazi bila kuchukuliwa hatua kana kwamba hakuna serikali na vyombo vya usalama vinavyohusika.
@allymganga3223
@allymganga3223 11 күн бұрын
Apo msumali ni katiba ikiluusiwa laisi kushtakiwa mawazili kushtakiwa Kwa makosa ya makusudi na ata uzembe kutakuwa na uwoga lkn hii kuchekeana chekea kulindana U ccm umaskini Tanzania itakuwa ndoto
@respiciousbishubo1158
@respiciousbishubo1158 11 күн бұрын
Upo sawa
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 11 күн бұрын
Asante sanaaa Shekhe, Mungu akubariki.
@dassustephen731
@dassustephen731 11 күн бұрын
Serikali inayopenda kusifiwa Tu hata Kwa mambo yanayokwenda hovyo kabisa
@user-nz8bv6xn9r
@user-nz8bv6xn9r 10 күн бұрын
Shehe ponda mm ni mkristo nakukubali sana huna unafiki kabsa kama walivyowengi viongozi wa dini ufanyiwe heri na mnyezi Mungu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 10 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@thomastemu3332
@thomastemu3332 11 күн бұрын
I like sheekh ponda. You allways talk the truth
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@SarahShao-jw1up
@SarahShao-jw1up 9 күн бұрын
Ni kweli kabisa
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 11 күн бұрын
Shukran sana sheikh wetu ponda M.mungu akubariki
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@YusuphRajabu-hz3pv
@YusuphRajabu-hz3pv 11 күн бұрын
Mzee unahitaji Mauwa yako nimekupa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mzee leo kulasiku der eva anatungiwa shelia hali yakuwa wao hawajawai kumpambania masilai yake mzee sema tu japo watakusumbua ila kwasababu unalisemea taifa mungu atakulipa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@kajanksimon7432
@kajanksimon7432 11 күн бұрын
shekhe ponda gombea mzee wetu unauwezo mkubwa sana na nimsema kweli huangalii anaeongoza ni mkristu au ni muislam hata kipindi cha magufuli ulikuwa unaongea ukweli mzee wangu Mungu akulinde sana
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@serengetishipping2196
@serengetishipping2196 11 күн бұрын
Great speech ! Tuondoeni VAT kwenye bidhaa za chakula cha mchele na dona ..!!
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 11 күн бұрын
Mimi ni mkrisoto lakini Mh shekhe Mungu akutunze sana sana , kwani nikiongozi unaongea kwaniaba ya wote bila kujali dini yeyote, kiukweli watanzania hawajawahi kuwa na nafuu ,nakuongea wanaogopa, huku tukiambiwa tumeingia uchumi wa kati huo uchumi wa kati kwaajili ya kuwa nufaisha vingozi wa serikali, watu wana teseka sana hakuna wakuwasemea , hongera sana shekhe, nahapo unatoa elimu ya kutosha juu yao, lakini sio wasikivu kabisa,
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@joejohn8115
@joejohn8115 10 күн бұрын
Wewe usiwe mjinga, Hawa Waislam wote ni wanafiki. Tatizo lenu Wakiristo huwa mnanaswa kijinga na Taqqya yao. Hapo unachofanya ni kwa maslahi ya wao Waislam tu. Usifikiri atakuweka wewe mkristo kwenye interest zao
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 9 күн бұрын
Mkristo gani wewe ujinga unakusumbua tu soma biblia uamke kifikra
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 9 күн бұрын
@@charlesboniphace2249 hongera wewe usie na akili kwa wizi ulio nao sasa unaumia mbona utakoma mwakahuu
@ShaabanAbubakar-nx4vk
@ShaabanAbubakar-nx4vk 9 күн бұрын
Hiidunia tu. Napita tu
@YangaNews
@YangaNews 11 күн бұрын
Mimi ni mkristo but leo nimeamini wapo watu duniani nje ya dini yaani100 shekh asante
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@elimborandewario8922
@elimborandewario8922 10 күн бұрын
Msemakweli ni mpenzi wa Mungu, ubarikiwe sana baba
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 10 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@AndulHida-hs5py
@AndulHida-hs5py 10 күн бұрын
Shukrani sana shekhe umetusaidia wanyonge, na mola atasimama na wewe mpaka tupate ufumbuzi inshaallah, Tabarak Allah ashan halyqeen, Jazzak Allah kheri shekhe.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 10 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@gaagwasaugustino2584
@gaagwasaugustino2584 10 күн бұрын
Asante sana shehe unaejitambua,usiye na unafiki wala ubaguzi, Umeongea ukweli na maneno yako ya hekima ,Mungu akulinde daima,akupe maisha marefu, Amen
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 10 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-mn2et2pf6z
@user-mn2et2pf6z 12 күн бұрын
Mzee hongera sana .viongozi wa dini mkiungana mkaamua kusema ukweri hawa mafisadi kinaereweka mapema tu.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 11 күн бұрын
Asante shekher wetu kwa kusema ukweli
@SarahShao-jw1up
@SarahShao-jw1up 9 күн бұрын
Asante sana Shekh Ponda MUNGU akubariki sana.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 9 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 11 күн бұрын
The only one 😇 shekhe ponda Allah akuweke miaka mingi ww sio mnafki...tujitahid kuwezavyo kuwaondoa ccm
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@PaskaliCharles-pz8ds
@PaskaliCharles-pz8ds 11 күн бұрын
Mungu akubariki sana mzee wetu shehe ponda Hakika umeongea ukweli tunaomba viongozi wa dini kama wewe
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 11 күн бұрын
Kumbe Shekhe uko vizuri Hata Mkaguzi mmoja alipoteza nafasi kutoa maono yake
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@albertvalentino130
@albertvalentino130 11 күн бұрын
Hongereni Shura ya Maimamu kwa kusimamia kweli ---- Hivi hawa mafisadi " Tunawafuga au Wanafugana ? "
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@YussufPandu-es7ou
@YussufPandu-es7ou 11 күн бұрын
Sijapata kuona sheikh madhubuti na ambaye si mnafiki kama sheikh ponda ,,hongera sheikh ponda wewe ni msema kweli na ni kipenzi cha watanzania wote na ni kipenzi cha mwenyezi mungu,mashehe wengi wa Tanzania ni wanafiki
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ibrahimhodabaksh3939
@ibrahimhodabaksh3939 11 күн бұрын
KWELI MAISHA NI MAGUMU VITU BEI JUU SANA
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 10 күн бұрын
Hakuna kitu kizuri kama Wananchi kuwa kitu kimoja msimamo mmoja. Siyo kusimama kwenye majukwaa na kuwadanganya Wananchi maskini.
@dignakanje4508
@dignakanje4508 9 күн бұрын
Sheikh Asante kwakutusrmea watanzania wahali yachini.Kwasasa tunakula mlo mmoja kwasiku ,Kiukweli viongozi wetu hawaangalii kbisa maisha yamtanzania wahali yachini.Hla imekuwa ngumu sana,lakini wapo machawa wanaoshiba kupitia uchawa wao wanapinga hya nakutuletea siasa kwenye jmbo lauhai.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 9 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@amadally5837
@amadally5837 11 күн бұрын
Nakuomba ALLAH umhifadhi sheikh ponda
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 11 күн бұрын
Matatizo ya nchi yetu yanasababishwa na wezi waliochukua madaraka,kodi wanakusanya kila sehemu lakini wanashindwa kuisimamia kuboresha maisha ya watu.CCM ni tatizo kwa maisha yetu maana wameshindwa kututoa kwenye umasikini,
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-hk2oz2eg4j
@user-hk2oz2eg4j 11 күн бұрын
Kweli CCM ndio kikwazo kikuu cha maendeleo ya Tanzania.
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 11 күн бұрын
Swadakta
@akramissa3393
@akramissa3393 11 күн бұрын
Katika. Mashekhe naoamini kabisa kutoka moyoni kwamba Mwenyezi Mungu kawatuma kusimamia ukweli na HAKI basi huyu kwangu ni namba moja. Nasema Alhamdulilahi, Inshalaah upewe baraka na Nguvu nyingi kusimamia yaliyoyakweli Inshalaah🙏
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@omargargaar5611
@omargargaar5611 10 күн бұрын
MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Allah awahifadhi wte mlio jumuika
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 9 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@asiaasia2908
@asiaasia2908 11 күн бұрын
Shekh ponda issa ponda Mungu akujalie maisha marefu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@shabanimbenu2163
@shabanimbenu2163 11 күн бұрын
ALLAH AKUPE UMRI MREFU SHEKH WETU UZIDI KUSIMAMIA HAKI.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 10 күн бұрын
Amin.
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 10 күн бұрын
Kusimamiya haki na kufundisha vijana Elimu alokuwa nayo.
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 11 күн бұрын
Wezi na mafisadi ni viongozi wa juu wa selikari nani atakae washughulikia .
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-ni4zc7hp3i
@user-ni4zc7hp3i 6 күн бұрын
Mwenyezi Mungu awe pamoja nawe katika maisha Yako nimeipenda hii sanaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 5 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ismailhassan5209
@ismailhassan5209 11 күн бұрын
Shukran sheikh Ponda ni wakati muafaka kuwaombea kuachiwa walioko mahabusu kwa mda mrefu kwa tuhuma za ugaid
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@salimabdul4424
@salimabdul4424 11 күн бұрын
Vizuri kwa taarifa nzuri..
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@RehemaSalum-vp6rf
@RehemaSalum-vp6rf 11 күн бұрын
Asalaam Alekyum warahmatullah wabarakatuh... Asante sana kiongozi kwa kutetea maskini na wanyonge ... Kikubwa tujipange kwa uchaguzi wa mwakani
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@IdrisFelician
@IdrisFelician 6 күн бұрын
Tunashku kwa kutusemea shekh allah akubariki akuhifadhi akulinde na madhara ya aina yeyote na akujaalie mwisho mwema. Nehema na rehem zimshukie mtume wetu Muhammad swallallah alayh wasallam
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 6 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 11 күн бұрын
Sheikh Mponda umekuwa mtetezi wa HAKI mara zote. Kuhusu ufisadi kutamalaki nchi, SIO tatizo la Serikali (kama ulivyosema). Ufisadi umehalalishwa Kikatiba. Rais wa Nchi hafunguliwi mashtaka hata akifanya ufisadi wa aina yoyote. Rais akiwa FISADI (Kama ilivyoisha/ inavyoendelea kutokea), ripoti ya CAG haina nguvu ya kuwashtaki Viongozi mafisadi. Ktk mazingira haya nchi itaendelea kuingia kwenye Umasikini wa kutupwa..
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@kwisa4899
@kwisa4899 11 күн бұрын
Huyu mzee ninampenda sana japo mimi ni mkristo ,lakini huyu Baba kichwa
@lwagamwakalinga8038
@lwagamwakalinga8038 11 күн бұрын
Saana
@abuukarata9653
@abuukarata9653 11 күн бұрын
Nadhani anachoongelea hakinaga dini. Hukuwa na haja ya kuweka mkristo. Anaongea maisha kwa jumla
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@DumishaTanzania
@DumishaTanzania 11 күн бұрын
Kwanini umeona kuna umuhimu wa kusema "japo mimi ni mkristo"? Si unaweza kumpenda kwa matendo yake tu
@shadrackwilfred2606
@shadrackwilfred2606 11 күн бұрын
Wachache sana wako hivyo. Huyu ndugu kajitahidi
@lwakainaza
@lwakainaza 11 күн бұрын
Umekumbusha jambo muhimu shehe.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@irambadc5167
@irambadc5167 10 күн бұрын
Huyu sheikh hana lolote,hakuna mta nzania aliyeshindwa kununua sembe,unatudhalilisha,watania wanafanya kazi,we mnafik
@lasttrumpettv1784
@lasttrumpettv1784 11 күн бұрын
Barikiwa mtumishi kwa maneno ya hekima kwa jinsi ulivyowasilisha. Tumepokea
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@josephudoba5563
@josephudoba5563 11 күн бұрын
Asante shekhe huo ndio ukweli watanzania tutafakari viongozi wetu ni waaina hani
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@hamzamajenja4891
@hamzamajenja4891 11 күн бұрын
Hongera Sana shekhe Wangu Hakika wewe msema ukweli na umeletwa na mwenyezimungu akulinde na maadui Zako wote
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@shabanizayumba5432
@shabanizayumba5432 11 күн бұрын
Asante sana mzee,shekh Ponda,mungu akupe nguvu na akulinde n'a yote mabayo wanayokusudia mafisadi,umesema ukweli n'a. Mungu atakulinda,nchi yetu inamahali panapwaya katika suala zima la uongozi,kuna kulindana kwa viongozi wa juu.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@MirajiOmary-jm7wc
@MirajiOmary-jm7wc 11 күн бұрын
shekhe ahsante sana kwa kuliona hili na siyo kumpamba mtu halafu hakuna chochote kinacho fanyika
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@kingngojea
@kingngojea 9 күн бұрын
Mimi ni mkristo lakini wewe ni shehee wangu nakupenda buree mungu akupe miaka mingi sanaaaaa
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 9 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@chezariboy
@chezariboy 6 күн бұрын
Hazungumziii mtu wa itikadi gani hampendi au anampenda,, ufahamu wako 0' kweli elimu haipo kichwani, SHEKHE ANAZUNGUZA UKWELI NA EVIDENCE KUPITIA REPORT ZA CAG, SHERIA ZILIVVYO, SHEKHE ANAZUNGUMZIA MALI ZA TAIFA ZINAVYOPOTEA bila huruma na ushahidi upo lakini hakuna hatua inayochukuliwa na wenye mamlaka,, japo mali za umma SIO ZA WAISLAM AU WAKRISTO zinaibwa huku mifumo nayo ikiwa ni mibovu tangu miaka yote.
@HawangaMohamed
@HawangaMohamed 11 күн бұрын
Asante sana shekhe endelea kutusemea kwa kweli hali ni mbaya sana nchi hii usichoke tunakuombea
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@titus_maridhia
@titus_maridhia 11 күн бұрын
Barikiwa Sana Sheikh Ponda
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@shakaurembo477
@shakaurembo477 6 күн бұрын
Asante sana mzee umetisha 🎉
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 5 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 11 күн бұрын
WELL SAID OUR LEADER SHEIK PONDA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 11 күн бұрын
Sasa hivi maji yaneanza kukatika hovyo sijui kwanini wakati mito ilikuwa imejaa mpaka mvua inauwa watu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@valenakomba7686
@valenakomba7686 11 күн бұрын
Tusemage tuu ukweli .Tuache unafïki wa kupigapiga makofi hata pasipofaa.
@piusrweyemamu3900
@piusrweyemamu3900 10 күн бұрын
Kweli😢
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 10 күн бұрын
Jiulize makosa mnayo yafanya kwenye Nchi yenu. Mengi anokataza Mungu nyiye ndio mnayo yafanya.
@mtigandibori7244
@mtigandibori7244 11 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu na sauti yako isitoke masikioni kwao pengine wanaweza kuwa na hofu mioyoni mwao
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 11 күн бұрын
Mashehe wetu tafuteni vyanzo vya pesa ili mjikwamue kimaisha iwapohuna vyanzo vya pesa utaona hali ya maisha ngumu shehe ponda
@daudykasherente8667
@daudykasherente8667 10 күн бұрын
ACHA unafi​@@adamlubawa1281
@daudykasherente8667
@daudykasherente8667 10 күн бұрын
​@@adamlubawa1281ACHA unafiki
@user-kq7in8gd9o
@user-kq7in8gd9o 11 күн бұрын
Thank you very much Shekh wetu Mungu akubariki Sana.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@SheheUdambu
@SheheUdambu 11 күн бұрын
Asante sana she mungu akulinde
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-kn5bv3qj8p
@user-kn5bv3qj8p 11 күн бұрын
Maumar Gaddafi tu ndie alikuwa akijali wananchi wake. Hongera kwa statistic nzuri sheikh,,hata kwetu Kenya ni zaidi saana.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 10 күн бұрын
Mungu amraham Gaddafi. Ndio ukaona wa Libya hawatoki sana kutafuta maisha njee ya Nchi yao.
@DamasKihungu
@DamasKihungu 11 күн бұрын
Damasi mdudumbe nashukuru sana nikweli tunamaumivu makubwa sisi watu watchin. Tunaumizwa sana
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@poolkingservices6928
@poolkingservices6928 8 күн бұрын
Hongera sana kiongozi Shekh Ponda. Mungu akubariki sana kwa kutufunulia yote hayo. kwa kuwa wanao fanya ufisadi na ukiukaji wa haki za watanzania wanakijua vizuri kitabu cha Qumran Tukufu na wengine Biblia Takatifu na huapa kwavyo, Hukumu ya Mungu itawajia ghafla. Vyakula wanavyokula vilivyo patiala kwa fedha haramu wanavyolisha familia zao, elimu na majengo ya kifahari
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 8 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@Donyo-rh8do
@Donyo-rh8do 6 күн бұрын
Hongera Sana shrhe.. unaongea point tupu kisha kwa utulivu mkubwa. Una utulivu kwa kweli 👏👏👏
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 6 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@mataypanga5262
@mataypanga5262 11 күн бұрын
Sheikh Ponda,gombea nafasi za ya uongozi siasa,nimekusikia sana na nimechoka.una uwezo.watu wanataka kukuona kuwa mbunge au Waziri 😂
@abunajreenELSESANY
@abunajreenELSESANY 11 күн бұрын
Sio sehem yake hiyo, nafasi aliyonayo ni kubwa mnoo.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 11 күн бұрын
TUKO PAMOJA SANA SHEIKHE WANGU...SHEHE MSEMA KWELI...WEWE NI KIONGOZI ❤
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@zaydamos874
@zaydamos874 11 күн бұрын
Safi sana sheikh ponda we n msema kweli miaka yote ujawah kuongopa Wala kusingizia jambo na ndio maana mungu anakusimamia
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ThobiasAlexander
@ThobiasAlexander 11 күн бұрын
Wakristo mnajidhihirisha kuwa mmepewa ufahamu mkubwa,kwani hamuangalii ni nani anaongea,bali mnaangalia ni kipi kinaongelewa.Komenti nyingi sana nimeona hapo.Nitofauti kabisa kama angekuwa anaongea mkristo,tusingeona shukrani zikitoka upande mwingine namna hii.Mzee wangu nakupongeza sana kwa ukumbusho juu ya viongozi wetu.Ni kweli tuna wakati mgumu.Mungu akubariki.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 10 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-ui4oh8gf8n
@user-ui4oh8gf8n 10 күн бұрын
🙏
@JumaGwae-qw2qk
@JumaGwae-qw2qk 4 күн бұрын
Kaka magufuli alipendwa sana na waislam sana soma koment za klip za magufuli tuone kama hamna koment nyingi za waislam sasa nikuulize magufuli alikua muislam acha udini kaka sote ni wahanga wa maisha magumu
@DamasKihungu
@DamasKihungu 11 күн бұрын
Hii inatokana na kuwa na bunge dhaifu lisilo na naono
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@dassustephen731
@dassustephen731 11 күн бұрын
Kazi yao NI kusifiasifia serikali Tu.Nonsensw
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 11 күн бұрын
Shekhe Ponda umeongea ukweli mtupu. Mungu aendelee kukutunza.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@BashiruRashid-pk4ge
@BashiruRashid-pk4ge 11 күн бұрын
Allah akulinde Sheikh
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-ox4fv4cf5l
@user-ox4fv4cf5l 11 күн бұрын
Jazaaka llaahu kheir shekh,Allah akubarik sana,kiukweli hali huku mtaani ni ngumu sana
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-bx3kl4hn6j
@user-bx3kl4hn6j 11 күн бұрын
Bakwata wataambiwa na serikal wakujibu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 11 күн бұрын
paka hawezi kumkamata paka mwenzie wakati wa magufuli mlisema yy katili hana ubinadam ngoja tuone hii movie
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@gidongailo7174
@gidongailo7174 11 күн бұрын
Wewe ulikuwa ukisema nini
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 11 күн бұрын
ni mpumbav usiyejua utendalo
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 10 күн бұрын
umeona ee ndugu hawa hawa walikua wanasema magu katili kwa akiwawajibisha mafisad
@muzzoonlinetv7446
@muzzoonlinetv7446 9 күн бұрын
Kila mmoja atasemwa kwa maovu yake
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 10 күн бұрын
BRAVO SHEKH PONDA NA SHURA YA MAIMAMU....MMEWAWAKILISHA MAMILIONI YA WATANZANIA BILA KUJALI DINI ZAO....MMEKUWA WAKWELI....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 9 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 5 күн бұрын
Asante sana sheikh. Tanzania tumekuwa ombaomba kwaajiri ya uongozi mbaya. Tanzania ni tajiri, lakini fedha zinazoibiwa, ni nyingi sana na serikali haichuiuwi hatuwa. Tusidanganywe mambo hayaendi sawa. Basi hii ombaomba ya mikopo itapunguwa. Viongozi wa dini, musikae kijmya. Mukikaa kimya wananchi wa kawaida kwa kacha yetu ndiyo hawatasema kitu. Asante sana Sheikh kwa statement yako.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 5 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 11 күн бұрын
Sheikh ponda tuko pamoja sema kweli. Msaidie mama samia. Hao viongozi wengi wanamuangusha mama samia. Wana kula.pesa tu.
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 11 күн бұрын
Salim, ndugu yangu usimtete mtu mwovu hats kama ni WA Dini yako wala ndugu yako ni dhambi mbaya!!! Rais Kwa mujibu wa katiba yetu ana mamlaka yote, sasa unaposema anaangushwa asaidiwe anaangushwaje na watu walio Chini yake na ndiye mwenye mamlaka nao!!! Salim ogopa Sana kuwa MDINI penda sana kuwa MWANADI!!!
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@enockgogy5458
@enockgogy5458 11 күн бұрын
Asant mzee wang kpitia ayo mauzui itanibidi nisilimu kabisa napenda ukweli sana asa mtu anasimama kuongea ukweli inapendeza sana .. awa wengine wamebaki kuzikomba nakjikosa ili waonekane nawakat mnaviki wakbwa sana .. inchi awezi kpata unafuu uku mafuta yakiwa zuuu wee ptroli paka iko juu paka tunajiuliza tnaenda wap naviongozi wapo wamenyamaza au ndio nchi imeizwa kama inavyo daiwa
@mansourkhamis457
@mansourkhamis457 11 күн бұрын
Karibu kwenye Uislamu
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@bakarimmbaga2344
@bakarimmbaga2344 9 күн бұрын
Shekh mwenyezi mungu akupe kheri katika dunia insha allah. Ni kweli ufisadi unaofanywa na waliopewa dhamana ni muda sasa unakuwa ni suala la kawaida, ila wapo waliokamatwa na kilo 4 za nyama ya swala walisha hukumiwa vifungo na kama khisan za baadhi ya mawakili wangeozea magerezani😢😢
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 9 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@StevenMeck-pm8pq
@StevenMeck-pm8pq 11 күн бұрын
Mzee upo vizuri sana hukubali kupiga makofi wakati unateketea
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 11 күн бұрын
Leo shekh PONDA nipo na wewe hapo kwenye ufisadi.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@nicholauskilosa5336
@nicholauskilosa5336 11 күн бұрын
Mama anakopa kila siku alafu fedha zinaibiwa na wachache
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@charlesmtangi9046
@charlesmtangi9046 4 күн бұрын
Tuko pamoja shekhe wangu Allah azidi kujuongoza amina
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 4 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@BeatriceJoas-vs4ld
@BeatriceJoas-vs4ld 6 күн бұрын
Safi sana vionggozi wa namna hii, napongeza sana Kwa uongozi wako, mungu akulinde, nawapongeza na waumini wote, kuchanguwa jembe,safiiii wewe ni jembe
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 6 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@KiagoBakari
@KiagoBakari 11 күн бұрын
Huyu aache usheikh aende tu kwenye siasa hamna sheikh hapa huyu ni sheikh siasa au sheikh ubwabwa
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@robertphilip385
@robertphilip385 11 күн бұрын
Mbona wafalme wa Sadia Arabia ni wanasiasa ponda hanakasa ktk hili Wacha asemeukweli
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 11 күн бұрын
Huyo ni mwananchi na Ana haki,kikatiba, kuongea mambo ya dini na siasa.Kama humuungi mkono kwa hayo basi ni hiyari yako,nawe una uhuru
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 11 күн бұрын
Hana ukweli Tatizo la mashehe wetj baadhi yao hawana vyanzo vya pesa wanategemea pesa za ibada ziwaendeshe kimaisha
@bakarifakih4228
@bakarifakih4228 11 күн бұрын
hayo ni maoni yako, tena inaonesha ulivokuwa mbinafsi kwa shekh wetu
@MasoudSnani
@MasoudSnani 11 күн бұрын
hio title na anachoongea sheikh mbona haviendani? neno kukosoa au kukemea na hio sound ya Sheikh no tofauti sana. yeye kama kiongozi wa dini katoa maoni yake na sio hio tittle yenu.
@allymusira2153
@allymusira2153 11 күн бұрын
Yaani hawa jamaa walishatuona wajinga ni vichwa vyao vya habari
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@MudathirJamal
@MudathirJamal 11 күн бұрын
Sheick Mungu akujalie mashAllah nikweli Africa umekua na viongozi wa hovyo sana Kamavile ni bara la wehu lakini siokweli ni lazima wanainchi kusimama imara na kumchagua kiongozi anaefaa siowakuletewa wengi pia hata Shule zao ukichunguza walikua ni wazee wa nondo so kila siku nasema kusoma sio kuelimikaaaaaaaa wengi walienda Shule lakini kichwani hamna kitu just wanadhani pia wanainchi hawana akili so tuombe Mungu atujalie kua Imara
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@DdAs-ti5bo
@DdAs-ti5bo 4 күн бұрын
Mungu akuweke shekhr❤🎉
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 4 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@paulremigiuspaul3293
@paulremigiuspaul3293 11 күн бұрын
Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@kingmichael1234
@kingmichael1234 11 күн бұрын
Mungu akulinde sana. Sheikh ponda. Huu ndio ukweli serikali yetu imekuwa ndio fisadi mkubwa wa kuhiujumu nchi
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@CharlesAlly-jp1ms
@CharlesAlly-jp1ms 11 күн бұрын
Kwa hili uko vizuri sana shida watanzania tunakazi yakushangilia simba na yanga hongera sana😂😢
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@andrewkalubi3524
@andrewkalubi3524 11 күн бұрын
Akiri kubwa shehe,,ww ni kiongozi unayejari ...mtaa wetu Toka mwezi WA name mwaka Jana hatujapata maji hata tone la maji..kwakweli nchi hii inapuuza haki zetu za mwingi.aksante shehe.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@abdallahmtula9467
@abdallahmtula9467 11 күн бұрын
Allah akuhifadhi. N kwel hali n mbaya mtaani,yaani uku hatuelewi kabisaaa
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@panadomadola3064
@panadomadola3064 4 күн бұрын
Shekh Ponda kwa kweli hali ya maisha ya watu huku mtaani ni mbaya sana na ufisadi na rushwa ndivyo vilivyo shamiri kwa sasa
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 4 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@ShabaShaab
@ShabaShaab 9 күн бұрын
Allah akulinde sheikh wetu...wananchi wa hali ya chini tunateseka na hakuna anaetuona
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 9 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@DdAs-ti5bo
@DdAs-ti5bo 4 күн бұрын
Mungu akuweke shekhr
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 4 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-ds6cj4md6m
@user-ds6cj4md6m 7 күн бұрын
Shekhe Mw.mungu akuweke sana
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 7 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn 10 күн бұрын
Aksante sana bro. Ponda. Shekhe, kwa muda mrefu nimekuwa nimekukubali kutokana na msimamo wako. Leo kwa clipp hii umejiongezea sifa. Umetekeleza wajibu wako kwa umma. Umenigusa sana hasa pale ulipomvaa braza Isidori Mpango kuhusu ufisadi. Na katika yote haya nazidi kukuhakukishia utaendelea kuwa katika orodha yangu maarufu ya wanamapinduzi duniani kanda ya Tanzania. Usijebadilika endelea hivo hivo. Naam na salaam zako hizi kupitia clipp hii, naomba sana zimfikie rais, mzee Steave Wasira, sheikh Mwaipopo, rafiki yangu ustaadhi Gershon Msigwa na wote kwa ujumla si rahisi kuwataja hapa, itifaki imezingatiwa.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 10 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@johnboscomasumbuko1073
@johnboscomasumbuko1073 11 күн бұрын
Asante na hongera kwa kusimama kwenye nafasiyako
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@thomaslima3989
@thomaslima3989 11 күн бұрын
Mpo sawa kabisa hapo kwa CAG Katie is hapo wizi wizi
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 9 күн бұрын
She Ponda Kwa hakika Bila unafiki moyoni mwnangu Mwenyenzi MUNGU akujalie baraka,Ww ni mzalendo halizi nakweli ni nani WA Mnyanzi MUNGU.Ahla akujalie Rehema kubwakubwa nandogondogo Baba yeti.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 9 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@LazaroMwakasege-bh5en
@LazaroMwakasege-bh5en 11 күн бұрын
Ongera Sana sheikh mungu akupe Maisha marefu kwakusema ukweli
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-bp7nb7yp2o
@user-bp7nb7yp2o 10 күн бұрын
Mzee Mungu akupe nguvu zaidi Kwa kuwatetea wananchi wa Tanzania kuhusu Hali ngumu ya maisha na wewe huegemei upande wa dini kama wengine.
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 10 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
@user-sz8ic2tm7n
@user-sz8ic2tm7n 11 күн бұрын
Hakun kinchoshindikan ila n ufisadi kwa viongozi n uongo wao, hawan hurum utasem wao walitoka maisha y kitajir, njaa wanaijua vizuri ila wanjihumuza
@ICONTVTZ
@ICONTVTZ 11 күн бұрын
Asante Kwa Kutufuatilia
Just try to use a cool gadget 😍
00:33
123 GO! SHORTS
Рет қаралды 85 МЛН
Must-have gadget for every toilet! 🤩 #gadget
00:27
GiGaZoom
Рет қаралды 11 МЛН
The day of the sea 🌊 🤣❤️ #demariki
00:22
Demariki
Рет қаралды 87 МЛН
WAKRISTO HAWANA UZALENDO WA NCHI YETU | UST. ILUNGA H. KAPUNGU
26:08
#KISHINDO CHA Dkt MWINYI NILIAHIDI KUTIMIZA
26:09
IsleBlogTv
Рет қаралды 2,5 М.
KIMETOKEA NINI BAADA YA KUFA HAMZA- SIMBA WAMUNGU - DR SULE
30:12
HAJI ONLINE TV
Рет қаралды 39 М.