Kwa Damu ya Yesu Kristo ndoto za kijijin azina mamulaka na Yesu Mungu mkuu atusaidie 🙏 🙏 mtumishi
@MgayaJoyna25 күн бұрын
Amina baba nimebarikiwa na neno sirudi kijijini Kwa jina la yesu- imeandikw mauti na uzima huwa ktk uwezo waulimii nakataaa
@makimbiliochannel24 күн бұрын
Amina amina ubarikiwe sana.
@GahimbalMarieCantalАй бұрын
Asante mtumishi wa Mungu mimi naota sana nikiwa kijijini upanda wa babaangu nikiwa naongea nawazazi wangu walie kufa handi ndugu walie kufa najikuta naongea nao mara naota nikiweko huko nikikimbizwa na babaangu mudogo ananikibiza tukiporomoka mirima yauko naoyijuwa nanikiziota nahamuka tayali shida zimeniandama
@javerymsangi28568 күн бұрын
Nashukuru sana mtumishi mungu azid kukubarki
@DorisMwanyula3 күн бұрын
Asante baba
@lizmary-ss2kz6 ай бұрын
Amen pastor hizo ndoto ziishe katika jina la yesu
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Amina amina na iwe kwako. Jambo la kuzingatia ni kwamba ukiri wako uambatane na matendo dhahiri ili ukombozi uwe sehemu ya maisha yako. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe sana.
@anithamsoke23297 ай бұрын
Baba umenibariki na ujumbe huu asubuh ya leo. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri. Umenifungua kwakweli 🙏🙏
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@user-zc2be1bj8nАй бұрын
Mungu anisaidie kwa Jina la yesu kwa roho za kuota nipo nyumbani.niweze kufanya vizuri kwenye masomo yangu
@AliceMakori-bs1ikАй бұрын
ka Mimi naota Kila siku aki Niko home na Niko uarabuni but I know God will fight for me ooh pastor unlock that chain for me coz napata niliota mom ananiambia enda mwanangu Rudi had ananipa pesa hata dad aliaga two wks ago ananisukuma ktk home aliniambia enda usirudi hapa pigania familia
@shinemichael-oj7wc8 ай бұрын
Amina baba nimebalikiwa kwa neno
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@user-lw8hp1zb8r6 ай бұрын
Nimefunguliw kwa jina la yesu sitarud kijijn kwa kufilisik zaid nitaend kusalimia na kurud mjin amina
@makimbiliochannel6 ай бұрын
Amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu.
@janechaula28705 ай бұрын
Mchungaji uko vizuri sana yaani umeongea ukweli kabisa unayajua maandiko kupita maelezo nimekukubali sana barikiwa na Bwana
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Amina amina ubarikiwe nawe pia. Thanks for your appreciation.
@GahimbalMarieCantalАй бұрын
Naomba mungu anishindie vita hivi nimeshinda kwajina la Yesu kristo Amen 🙏 kama kuna mutu ananifunga kwenye familia yangu upande wa babaangu hatofanikiwa kwajina ra Yesu kristo kama kuna mutu ananitowa kafala hatofanikiwa akufe yeye mwenyewe kwajinala Yesu kristo kama kuna lani zakifamilia kwenye maisha yangu nimezikataa zifutike ziniondokee ziniepuke ziwaludie wawo wauzika kwajina la Yesu kristo aliye hayi Amen 🙏🙏🙏
@makimbiliochannelАй бұрын
Pole sana kwa changamoto hizo. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240.
@aimeebusime58494 күн бұрын
Barikiwa sana Mtumishi najifunza mengi nikumbuka kwa maombi plz nateseka sana nahi zo ndoto
@kilalahamis1484Ай бұрын
Amen amen Kwa jina la yesu nimeshida silud kijijin kuwa nimekosa kazi
@makimbiliochannelАй бұрын
Ubarikiwe sana. Endelea kuwa na msimamo huo katika maneno na matendo yako ya kila siku.
@ImeldaMyinga5 күн бұрын
Ndoto hii inanisumbua sana mm
@agnesneema23983 ай бұрын
Niombee pastor 🙏🙏
@JamesOdhiambo-wu2pj7 ай бұрын
Amen Mtumishi wa Mungu
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@BarakaRichard-pg3qz22 күн бұрын
Mungu akubariki maana leo nimepata Malibu juu yandoto ambayo imenitesa myaka mingi
@genevievesunday7 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Mungu azidi kukuimarisha.
@evak81227 ай бұрын
Amen
@makimbiliochannel6 ай бұрын
Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Usisahau kufatiloa mfululizo mwingine wa. Mafundisho mengine mazuri kama haya.
@asanianselm67598 ай бұрын
Amen amen mungu akubariki mutumishi wa mungu ni mepitiya izo do to sana na sasa ni funguliwa Kwa damu ya yesu
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina . Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@HamidaOmary-wh2ueАй бұрын
Amen amen nmeshinda njozi na ndoto mbaya
@makimbiliochannelАй бұрын
Amina amina Mungu akujalie sawasawa na haja yako.
@bbhv35688 ай бұрын
Amina
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@martinehussein72618 ай бұрын
Amiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiina🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@user-cx7xy5cq1d7 ай бұрын
Amina kwa neno
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@theresiathiaka28667 ай бұрын
Amen .Mafundisho mazuri sana hii shida nimekuwa nayo kila mara mm uota kila siku niko kijijini. Nafanya kazi sioni fahida kila mara vifo ,magonjwa,ajali ..
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@rizikivincent52557 ай бұрын
Hakika kweli mwenyezi Mungu atusaidie
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina amina. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Mungu akubariki sana.
@user-rm5hp3lc6d8 ай бұрын
Amen mafundisho mazuri hakika
@makimbiliochannel8 ай бұрын
Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
@ombeninnko93323 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi hii ni kweli mimi pia huota hizi ndoto sana ninafanya kazi mjini miaka mingi sasa
@makimbiliochannel3 ай бұрын
Pole kwa hiyo changamoto. Jitahidi kutafuta msaada wa kiroho juu ya changamoto hiyo. Isaya 28:1,22[22]Basi sasa msiwe watu wenye kudharau, vifungo vyenu msije vikakazwa; maana nimesikia kwa Bwana, BWANA wa majeshi, habari ya hukumu itakayotimizwa, nayo imekusudiwa, itakayoipata dunia yote pia.
@user-zc2be1bj8nАй бұрын
Mungu aniongoze katika kila hatua yangu ninayopita kwenye maisha
@makimbiliochannelАй бұрын
Amina amina. May God bless you.
@rastonmwakifuna85838 ай бұрын
Ameen,nimeelewa vizuri mno.
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@hellinahombuya51748 ай бұрын
Powerful
@makimbiliochannel8 ай бұрын
Pongezi sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
@VinaelKerry6 ай бұрын
Amen parikiwa sana pastor
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.
@VeronicaJane-em4rg5 ай бұрын
Amina, bwanagu huwa anaota akiwa nyumbani Kila wakati, mtumishi wa MUNGU muscadine
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Yohana 10:10 [10]Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. Yesu yeye ndiye suluhisho la hayo yote. Kwa kumtii yeye tunakuwa na nguvu ya kumpinga shetani naye akakimbia kutoka kwenye maisha yetu. I'm just a servant of Jesus, kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240. Be blessed.
@elizabethmkasiwa4 ай бұрын
Nafunguliwa na mwanangu na ndugu zangu kwa dam ya yesu
@makimbiliochannel4 ай бұрын
Amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu Kristo. Zingatia taratibu zote zitakazokupeleka kwenye ukombozi kamili. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.
@deoskimaro79057 ай бұрын
Nifunguliwe kwa Jina la Yesu
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina, na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe.
@user-tx5sx1wu6l5 ай бұрын
Amina mungu nimwema kilawakati
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Amina. Mafundisho haya kama utaweza kuwashirikisha na watu wengine litakua ni jambo la baraka sana na adili hata mbele za Mungu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe.
@ashuranzagamba63287 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe mtumush, mim nimepigwa uchumi , ila uwa naota mara kwa mara ninauza duka kubwa
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255(0)755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255(0)768385240.
@lydiamakenge56133 ай бұрын
Niombee pastor
@user-lw8hp1zb8r6 ай бұрын
Mungu akulinde cn meng
@makimbiliochannel6 ай бұрын
Amina amina asante.
@HOPESIMONY-kp7ug7 ай бұрын
Ahsante YESU Sasa nimekombolewa kwa DAMU YA YESU,ndoto mbaya Haina nafasi tena kwenye MAISHA YANGU
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@gudanemma14595 ай бұрын
Ubarikiwe kwa mafundisho mm mme wangu anaota kila siku yupo kijijini kwako na marafiki zake ananiambia kaenjoy ndoto kila akisema anataka kwenda kwao anasema ana nauli miaka kumi sasa ajawai kwenda kwao kila anachofanya afanikiwi yani akipata ela anaishia kula tu mpka ishe yote ndo anakumbuka kwenda kazni tena ivo ivo tu
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Pole sana kwa hiyo changamoto aliyonayo mme wako. Ulimwengu wa roho ndio huuamilia ulimwengu wa mwili. Pia changamoto ambayo huwa inajurudia rudia kwenye maisha ya mwandamu huwa ni kifungo. Kwahiyo mtu unapoona mtu anaota ndoto upo nyumbani kwenu, halafu kuna tatizo linakukuta punde tu baada ya kuota hiyo ndoto inamaana kwamba, ipo nguvu ya asili ya kijijini kwenu ambayo inamrudisha nyuma mara tu anapojaribu kuvuka mpaka fulani wa kimaisha. Kwahiyo wanaweza wasimzuie harakati zake ila watamzuia maendeleo yake. Mfano mtu anatembea, haendi mbele ila anaenda upande. Ni kweli anafanya bidii katika harakati zake lakini ni kama mtu azungukae. Tayari kuna mifumo ya nguvu za giza inayohusiana na eneo alilozaliwa au alilokulia ( yaani kijijini kwao ) linamzuia asiweze kupiga hatua mbele katika nyanja fulani katika maisha yake.
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya ya Muhimu. Be blessed.
@user-iu1fx2bo4r5 ай бұрын
Zishindwe Kwa jina la yesu
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Hatua stahiki zinapaswa kuchukuliwa kama umewahi kukutana na ndoto za namna hiyo. Ili neno hili ulilolipokea liwe na faida kwako. Be blessed. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio.
@user-ny1ev1bi8u4 ай бұрын
Aminaa
@makimbiliochannel4 ай бұрын
Hongera sana na ubarikiwe na Mungu. Mungu huzungumza nasi kupitia mafundisho ya Neno lake pia. Natumai umepat kitu cha kujifunza. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.
@ireengrimbe74927 ай бұрын
Nafunguliwa leo kwa jina la Yesu
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina na iwe kwako. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe sana.
@malaikalihuda28318 ай бұрын
Nashukuru sana mtumishi nami huwa naota hivyo hivyo
@makimbiliochannel8 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
@PeninahMwendwa7 ай бұрын
Hizi ndoto Sina uchungu tufanye nini😢
@nesmoskanyuto67154 ай бұрын
Tafsiri yako siyo Sahihi
@rebeccawangui88087 ай бұрын
Mmi niko uarabuni hua naota niko place falani after few days naskia mtu amekufa😢 kuna siku niliota na kijiji ingine iko bali na kijiji yetu after somedays nikaskia msichana amekufa
@damarisnjerunjeru3997 ай бұрын
Ahsante baba
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina, na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe.
@damarisnjerunjeru3997 ай бұрын
@@makimbiliochannel ahsante
@benardbonephace48968 ай бұрын
Amina sana mchungaji,nimepata ufunuo Sasa.... kumbe tukilala tukaota tunachokiona kwenye ndoto kinaonwa na nafsi zetu hivyo tunapoona chochote kupitia ndoto huo ndo uhalisia wa nafsi ya mtu
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Ni kweli kabisa unachosema. Maandiko yanasema aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. Kwahiyo kama unaona upo kijijini kwenu basi huko ndipo uliko.
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@irinechoi82047 ай бұрын
Nifunguliwe kwa jina la yesu
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255(0) 755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255(0)768385240. Usisahau ku subscribe katika channel hii. Be blessed in Jesus name.
@jinaop4907 ай бұрын
Amen Apostle,hizi ndoto sinanitesaza sana kwa Kila mara,mungu nisaidie hizi ndotioziishe Kwa damu ya yesukristo
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Pole kwa changamoto hiyo. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Ubarikiwe sana.
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina na iwe kwako kwa Damu ya Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Be blessed
@user-bi1em9ji4s5 ай бұрын
Naota sana hizo ndoto Mungu nisaidie
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Amina Mungu akusaidie. Ila usisahau kuchukua hatua stahiki. Kumbuka palipo na haki kuna wajibu. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Maana somo la namna ya kutoka kwenye vifungo vya ndoto linaandaliwa na punde litakuwa youtube. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.
@stevenmwalwiba61648 ай бұрын
Naanza kuelewa baba ubarikiwe
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@jacklinemwamsojo29557 ай бұрын
Asantee Sana mtumishi kwa ufafanuzi mzuri nimekuelewa Sana mimi hizi ndoto za kuota nipo nyumbani zimenisumbua Sana yaani mpaka wiki ilio pita nimeota nipo nyumbani kabisaa nipo ndani naongea na mama lakini mama mwenyewe alisha kufa mwaka wa tatu sasa😢 ananiambia nimuangalie ndugu yangu chumbani anaumwa nae huyu ndugu yangu alishakufa miaka 17 iliopita nikaingia chumbani kweli nikamkuta ndugu yangu kweli anaumwa miguu
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Pole sana kwa changamoto hiyo. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria hatari fulani katika mfumo wako wa maisha. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@user-dq5xt8ed7w7 ай бұрын
Yaan mm nmeota baba yangu anani chapa fimbo na uko Alisha kufa miaka makumi na alafu wakat naota nilkua cja lala nyumbni nili lala Kwa mchepuko je hii Ina maana gan paster
@peterlaurent59698 ай бұрын
Sasa somo lako haliishi apostle ilitakiwa umalizie na namna yakujitoa..
@makimbiliochannel8 ай бұрын
Asante. Tutalifanyia kazi suala hilo. Hakikisha ume subscribe kwenye channel hii na account nyingine za mitandao ya kijamii kama vile Facebook na Instagram ili uweze kupata tarifa punde tu somo hili litakapokua hewani. Mungu akubariki sana.
@tumainlenad51416 ай бұрын
Ee mwenyez mungu nusaidie mm na unikomboe kwenye ndoto chafu zisizofaaa iwe mwisho kuota ndoto za kunirdisha kijiin nilinde mungu na yvunje maagano yote mavaya juu yangu
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Amina amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu.
@lydiamakenge56133 ай бұрын
Ziiishe kwa jina layesu
@user-ny6dp1iz2g7 ай бұрын
Nimefunguliwa leo na damu ya yesu
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240.
@agnesneema23983 ай бұрын
Mimi naota Na shangazi yngu alikufa naota nikiongea Nae,bado naota Niko primary school,Mara naota nko kwetu kijijini Niko zaliwa,Naomba tu niweze kushinda izo ndoto kW Jina la yesu🙏
@user-wk2bg8zf3l2 ай бұрын
Uyo ndiyo aliyezima nyotayako ya mafanikio😢😢😢😢
@JusterKaberia-ry2sh4 ай бұрын
Amen apostle nisaidie mm naota ndoto za kwatu kijijini, ndoa yangu ilivujika nikarudi kwetu nyumbani ,sahii Niko Nairobi lakini naota nikiwa nyumbani , mpaka nimeshidwa nifanye nn.
@makimbiliochannel4 ай бұрын
Pole kwa hiyo changamoto. Nikushauri kutafuta msaada wa kiroho juu ya jambo hilo kwa haraka maana hiyo siyo ndoto ambayo ni kama taarifa tu. Adui amepata nafasi ya kuyashambulia maisha yako hivyo ni muhimu kuchukua hatua thabiti. Kama ulipo una kiongozi wako wa kitoho unaweza ukamuekeza kuhusu changamoto hiyo na akakusaidia pia. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240. Hongera kwa kuyapata mafundisho haya.
@bbhv35688 ай бұрын
Mm hua naota sana izo ndoto
@makimbiliochannel8 ай бұрын
Ooooh pole sana wasiliana na mtumishi kwa watsapu 0755 021008
@makimbiliochannel8 ай бұрын
KANISA LA THLIC- MAKIMBULIO HM LINALOONGOZWA NA MTUMISHI WA MUNGU MICHAEL MWAKILAMBO LINAPATIKANA KINYEREZI DAR ES SALAAM
@PeninahMwendwa7 ай бұрын
Pia mimi nilikua naota nikifanyia mtu wa nyumbani kazi,nanilikua warabuni, na kwakweli nilirundi Niko kwake namfanyia kazi,inauma sana😔
@linajoseph52967 ай бұрын
Kinyerezi sehemu gani?
@ShakirashakiraKiuno7 ай бұрын
Mimi nazioto sana ndoto izo naoto niko kijijini kwetu. 😢 Sehem nilipo zaliwa namimi nipo ndia lakn naoto sana ndoto izo mungu anisaidie
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina. KKama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255(0)755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255(0)768385240.
@nzivoalbanus22407 ай бұрын
Mimi niko Nairobi lakini huwa naota nikiwa kijijini Kila siku na maisha yangu inaedelea vibaya
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Polesana kwa hiyo changamoto. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@user-qk7zi9cw6w7 ай бұрын
Baba mungu akubariki sana sana umeniponya hayo madoto kila mara tena shuleni nilikosoma naota kweli siku hii imekuwa yangu naenda kufanikiwa
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Unapoota upo shuleni maana yake haiishii kama ya kuota ukiwa upo kijijini kwenu au sehemu uliyokulia. Unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi, na Mungu akubariki sana.
@GahimbalMarieCantalАй бұрын
Niliipata nikiwa saudia alabia nikahalibikiwa muda huo mama wanyumba akanipambasisha nikawa naonana akitaka kuniuwa nikaludi bila chochote mipango yangu ikawa imekufa kila nikiipata ndoto hiyo majilani wananikata maneno yakunichafuwa atajaa mutaa nimejalibu bunyumba bumekataa mimi sivilahisi 😭😭😭😭😭🙆
@HappyPyramids-dj7iy29 күн бұрын
Tusaidie mchungaji maana ndapata shida sana
@user-lm7xx3pp7q2 ай бұрын
Mungu nisaidie yani mimi haipiti siku mbili bila yakuota nipo kijijini 😢😢
@makimbiliochannel2 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya. Kuipata ndoto hiyo si kwamba ufalme wa giza unakuhusuru. Pia Mungu amekupa nafasi ya kuliona hilo ili uchukue hatua. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240
@lydiamakenge56133 ай бұрын
Nifunguliwe kwajina layesu
@ireengrimbe74927 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu yaan naona kama unanisema Mimi yaan Niko uwarabuni lakini ndoto zangu ni kijijini nilikolelewa ujombami
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@linajoseph52967 ай бұрын
Mm Niko dar ila naota Niko tanga upande wa mamangu nilipozaliwa kwa bibiangu . Niko jikoni kwa Bibi alikokua anapikia nakula tu . Na Bibi alishafariki kwa sasa nyumba hamna mtu. Ila haipiti wiki naota Niko jikoni kwa Bibi nakula tu. Na maisha yngu hayaend😢
@VeronicaJane-em4rg5 ай бұрын
Mtumishi wa MUNGU nisaidie huwa naota ivyo na kufanikiwa ni shida. Am in kenya
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Marko 9:23 [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. Amini kisha fuata hatua za kufunguliwa kutoka kwenye kifungo hiko, Amini kwamba ukombozi utakua ni sehemu ya maisha yako. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240. Ubarikiwe.
@rebeccawangui88087 ай бұрын
Mmi hua na subuliwa sana na ndoto hua naomba sana nitafanya nni.hizo ndoto hua fulfilled
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Mungu atakutia nguvu.
@makimbiliochannel8 ай бұрын
KWA MSAADA WA USHAURI PAMOJA NA MAOMBEZI KATIKA MAMBO YOYOTE YA KIROHO IKIWA NI PAMOJA NA HAYO MAFUNDISHO YA NDOTO WASILIANA NA MTUMISHI WA MUNGU KWA NAMBA ZIFUATAZO WATSAPU +255-755021008. CALL 0768385240.
@yesesimoni7 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki
@Kenzowakitaa-lm3uf7 ай бұрын
🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@seraphinamsacky53932 ай бұрын
Pastor mimi kila diku naonta nyumbani kwetu tena kwenye nyumba mbazo hata leo hazipo ni za zamani na mimi nipo mjini kwa miaka mingi. Niombee pastor
@makimbiliochannel2 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya. Kuipata ndoto hiyo si kwamba ufalme wa giza unakuhusuru. Pia Mungu amekupa nafasi ya kuliona hilo ili uchukue hatua. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240
@rebeccawangui88087 ай бұрын
Nifanye nni niko Saudi niliona na familia ya boss sister yako mndogo wakiwa na nice yake sasa after some days sister yake mkubwa kuliko huyu niliota naye amepata ajari but hakukufa,
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008. Kwa msaada wa kiroho zaidi. Mungu yuko pamoja nawe.
@MaaDii-iz3ur8 ай бұрын
Naota kila siku naota nko kijijini na mm nko ngambo ad sielewi,mpaka nmechoka nazo
@makimbiliochannel8 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
@marcongeleja94507 ай бұрын
Amen somo zuli sana
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255) 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba (+255)0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina amina asante. Usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel, ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya. Asante na Mungu akubariki sana.
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba(+255) 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@OmAn-jw4jt8 ай бұрын
Kweli mtumishi mimi naota sana nipo kijijini kwetu kwa sasa nipo uarabuni
@makimbiliochannel8 ай бұрын
Pole sana. Unaweza ukanitafuta kwa njia ya WhatsApp namba 0755021008, kwaajili ya msaada zaidi wa kiroho. Be blessed
@PeninahMwendwa7 ай бұрын
@@makimbiliochannel code namba ni gani
@makimbiliochannel7 ай бұрын
@@PeninahMwendwa +255 Karibu sana
@makimbiliochannel7 ай бұрын
+255 755 021 008 for watsapu and call welcome
@irinenanciebarasa55667 ай бұрын
Hallelujah 🙌 mtumishi wa MUNGU Leo nimeotea Niko nyumbani kijijini na Niko urabuni ?
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Pole kwa hiyo changamoto. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba (+255) 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@user-ns7bw5ps9f8 ай бұрын
Yaani mimi ndioo ndoto zangu kila siku
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Pole kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
Mithali 23:7 [7]Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo.... Baada ya kusoma hilo andiko ninakukaribisha kuuliza swali tena. WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba (+255)0768385240
@JanethLukuna8 ай бұрын
Mimi mwenyewe nimechoka kuota ndogo hizi za vijijin
@makimbiliochannel8 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
@user-oy9ly1sb8z5 ай бұрын
Kiukwel....na mengi nataman kuyaeleza lakn Leo nimefunguliwa ahsant San ubarikiwe nimeota ndoto hizo mar Kwa mara na kwel mambo hayaend napata ajali nakata tanaa natamani kurud nyumban lakn nasimama nafunga nakusali ahsant mtumish
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Amina Asante na hongera. Uwepo wa vikwazo kuelekea lile tunalolitaka haimaanishi kwamba sio jema lile tunalolielekea kama tukiwa upande wa Mungu. Tunapoelekea kwenye ukuu wetu shetani huwa haachi kuturudisha nyuma. Ongeza kiwango chako cha kumtafuta Mungu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Be blessed.
@ConsolataNgatunga-fb1yn5 ай бұрын
Mimi ndio nimeota Leo hii ndoto
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Mara zote Mungu hulituma neno lake ili lituokoe na kututoa katika maangamizi. Pole kwa kuota ndoto hiyo na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel ili uwe wa kwanza kupokea taarifa mapema mara tu ninapotuma mafundisho mengine mazuri kama haya.
@user-xw9kh3vm8i8 ай бұрын
Mh!
@makimbiliochannel8 ай бұрын
Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
@GatewayPharmacy-uq1dv6 ай бұрын
Mm naota nalishwa vyakula ndoton na naota manyoka makubwa xn
@alishakt78776 ай бұрын
Vifungo vya famille yko omba sana
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Suala la msingi ni kuanza kuchukua hatua za kujifungua kutoka kwenye hivyo vifungo. Kumbuka ndoto ni taswira halisi ya jambo linaloendelea ulimwengu wa roho. Hapo haijalishi kwa macho yako hauoni au unaona. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240
@ElizabethLugono7 ай бұрын
Nahitaji msaada sana katika jambo hili
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Pole ndugu Elizabeth. Kama ulivyojifunza kwenye hilo somo, kuota ndoto za namna hiyo sii ishara nzuri na huwa zinaashiria matokeo fulani mabaya. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (+255)0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba (+255) 0768385240. Hongera kwa kusikiliza Mafundisho haya ya Msingi. Be blessed .
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Bado hujachelewa. Mungu ana nafasi ya kukusaidia katika maisha yako.
@jnanawilly72293 ай бұрын
Uko wapi mtumishi ❤❤nikutafute
@makimbiliochannel3 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@user-nn7mt3gs7u6 ай бұрын
Mtoto wangu ameota anakimbizwa na mmbwaaa
@makimbiliochannel6 ай бұрын
Unapota ndoto unakimbizwa na mbwa mara nyingi sii ishara nzuri. Kuota unakimbizwa na mbwa mara nyingi huashiria kufuatiliwa na roho ya uzinzi katika maisha yako. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba (0)755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba (0)768385240.
@makimbiliochannel6 ай бұрын
Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi.
@Hellenkerubo-xh6xv6 ай бұрын
Pastor mimi naoto kijiji na manyoka na shule ndoto mbaya mbaya paka😢.
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Tambua kwamba ndoto ni taswira halisi ya jambo linaloendelea ulimwengu wa roho. Hapo haijalishi kwa macho yako hauoni au unaona. Amka sasa na uchukue hatua sahihi za kiroho ili uweze kutika kwenye changamoto hiyo maana hauwezi kujua kwamba ni unaugua au tayari upo mahututi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240
@mwitowainjili72258 ай бұрын
Kwa ukiwa hivyo ufanyaje
@makimbiliochannel8 ай бұрын
Hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya . Tutalifanyia kazi suala hilo. Hakikisha ume subscribe kwenye channel hii na account nyingine za mitandao ya kijamii kama vile Facebook na Instagram ili uweze kupata tarifa punde tu somo hili litakapokua hewani. Mungu akubariki sana.
@user-eg4bz1zn1c8 ай бұрын
Apostle tunaomba utufundishe tufanye nini ili tufunguliwe?
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Majibu ya hilo swali lako utayapata baada ya muda mfupi. Unachotakiwa ni ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel na pia kutufuatilia katika mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook na Instagram kwa jina la Makimbilio channel. Au WhatsApp namba 0755021008.
@HappyPyramids-dj7iy29 күн бұрын
bwana asifiwe nikweli mchungaji mm naota hizo ndoto Kila wakati Kwa sahi Niko saudia lakini huota Niko kijijini niliko zaliwa Kila mara
@makimbiliochannel24 күн бұрын
Pole kwa hiyo changamoto na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba +255755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba +255768385240
@user-pr1jo8ll4m8 ай бұрын
Naota nipo kijijini upande was baba ndani ya nyumba kumejaa maji mpk shigoni tunapita humo imekuwa ikirudia Sana maana take mini hii ndoto
@makimbiliochannel8 ай бұрын
Pole na hongera sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008. Au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia kama upo Dar es salaam, Tanzania unaweza ukafika kanisani kwetu Makimbilio HM. Mungu akubariki sana. Nimefurahi kujumuika nawe katika somo hili Amen.
@rizikivincent52557 ай бұрын
Kupitia maubiri haya niponywe kwakuota ndoto mbaya zitupiliwe mbali
@makimbiliochannel7 ай бұрын
Amina, Mungu akubariki sana kwa kuyapata Mafundisho haya ya Msingi. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240. Pia usisahau ku subscribe katika channel ya Makimbilio channel. Unapofanya hivyo, unakua mstari wa mbele wa kupata mafudisho na taarifa mbalilimbali kutoka Makimbilio channel. Be blessed in Jesus name.
@leahmgunda41543 ай бұрын
Dakika 55 nasikiliza tafsiri ya ndoto ili iweje?
@makimbiliochannel3 ай бұрын
Hongera kwanza kwa kuyapata Mafundisho haya. Dakika 55 zitakufaa kwani haupati tu tafsiri ya ndoto, bali unapata ufahamu juu ya hiyo tafsiri. Hatuitaji tu tafsiri, tafsiri haitakusaidia kitu. Ila maarifa juu ya hiyo tafsiri ndiyo yatakayokusaidia. Kama utahitaji msaada wa Mungu juu ya ndoto fulani pia utayahitaji Maarifa ya Mungu juu ya jambo hilo.
@makimbiliochannel3 ай бұрын
Hosea 4:6 [6]Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
@user-lk4ib4ij9g6 ай бұрын
Kwa imani nime funguliwa kwa mila hizo
@makimbiliochannel5 ай бұрын
Amina amina na iwe kwako kwa Jina la Yesu. Kama utahitaji ushauri na msaada wa kiroho unaweza ukanitafuta WhatsApp namba 0755021008 au unaweza kupiga Simu au kutuma SMS kwa simu namba 0768385240.