Sheikh tafadhali njoo utoe msaada huku Kigali Rwanda matatizo mengi sana
@HajatAbdul8 ай бұрын
Mashaallah
@allymlavi46 Жыл бұрын
Swadaktaa.washirikina wameambatanisha uislam na ushirikina hadi inakuwa ngumu kuwaelewesha wasiokuwa waislam kuwa ushirikina ni dhambi kubwa.lete madini ulamaa.maashALLAH
@user-pd4zz9hj4n8 ай бұрын
Allah,akufanyie,wepesi,shekh.
@SunguraFesto-ir2mp Жыл бұрын
Waislam hawana mahubiri zaidi ya kufundishana uchawi
@fatumakissoky2504 Жыл бұрын
Hayo yako kwa mtazamo wako wewe hujaelewa kinachozungumziwa
@bintsalimalbimany287 Жыл бұрын
Mashallah Sheikh Jaafar lkn Nataka kidoog nikuelimishe kitu Nimekipata kwenye Mawaidha ya Sheikh Nurdin لا إله إلا الله Ina nguzo mbili نفي Ambayo maana yake ni kukanusha واثبات Kuthibitisha Ukikanusha tu bas hio inakuwa si tawhiid pia ukithibitisha tu si tawhiid Sasa laza Usema Lailahaillallah Ni makosa kusema Lailaha Halaf wengine wakamalizia Unatakiwa ukanushe Hakuna mola apasaye kuabudiwa illah llah sasa huipati yote hio Ispokuwa uiseme yote nafkir Nimesema Sawa sawa Inshaallah Hili kosa Masheikh wengi wanalifanya mim sikuwa najua Ila siku izi alhamdulillah elmu alhamdulillah inatufikia Majumban mwetu Alhamdulillah ala neeema hii yarab 🤲🤲🤲
@user-rq9hi5wc8v7 ай бұрын
Sjui lakini
@MarkaziIBNSiriinOnlineTV4 жыл бұрын
Like Tufahamiane Ndg zangun Almuslim Akhii Muslim
@user-jz5jr7uq2g3 жыл бұрын
ما شاء الله تبارك الله
@user-jz5jr7uq2g3 жыл бұрын
وعليكم السلام ورحمه الله وبركاته نام شيخه الله يوفقك
@erickayo36034 жыл бұрын
Dah shekhe alla akubalik kwa elim ase umetufunguaa
@@faizayunus3050 huwa nafikia hapo karibu na makaburi ya kikowani
@munasayed12284 жыл бұрын
Maashaa allah
@salmametta45124 жыл бұрын
Mashaallh
@ramsostar_tz7307 Жыл бұрын
Allah Akbar
@fatumadiriye61624 жыл бұрын
Maa shaa Allah
@jafarimtimkuu Жыл бұрын
Alhamdulillah bado ipo hewani
@maryammct39674 жыл бұрын
Subhanallah
@hakiizaalim5742 жыл бұрын
Asante kutufundisha
@rafikipascal70 Жыл бұрын
Asante Nana kiongozi
@mishibaron50213 жыл бұрын
Uchawi upo na waganga wapo bt mganga na mchawi tofauti kidogo Sawa
@ngendakumanasimeon923 жыл бұрын
Sheikh nimekukubali mozambique hapa
@lameckchengula1234 жыл бұрын
Mungu aulazemwili wamuheshimiwa William Benjamin mkapa amina
@griezmannmhalaka43383 жыл бұрын
Atalatwa anapostahili
@194summer3 жыл бұрын
Acha kuingilia nafasi ya Mungu yeye ndio anajua aulaze wape sio kazi yako kumshauri Mungu,wala Mungu hasikilizagi maneno kama yako wala hupati dhawabu Yeyote kwa kusema hayo sisi tunao elewa tutakujibu hivi Ebrania 9:27
@sultanadam55293 жыл бұрын
SubhanaAllah... Alafu Ustadh Asalam Alaikum warahmatullahi wabarakatuh..Ningependa uongelee kuhusu Ruhania ivi kama ni viumbe wa kweli wapo kwajili gani... na ni sawa mtu kua nayo ??🇰🇪 Shukran
@yaedlifemedia3203Ай бұрын
ALLAH AMEWAUMBA NA WAO WAJE KUABUDU KAMA SIS BINADAN ISIPOKUWA WAO ALLAH AMEWAUMBA AWAONEKANI NA WANAVYAKULA VYAO TOFAUTI NA SIS WAPO PANDE ZOTE NNE ZA DUNIA
@yaedlifemedia3203Ай бұрын
Wapo ndio wanaisha na wanaabudu kama sisi.Allah amewaumha waje kuabudu kama sis na wapo pande zote za dunia.ruhani kwa maana nyingine ni jini
@jsdkdk7113 жыл бұрын
Manshaallah tabarakallah
@amenamaashaallahyasheikh34574 жыл бұрын
Maa shaAllah ya sheikh
@johamtv5895 Жыл бұрын
Nimejifunza hakika
@princeeddiekingsley87192 жыл бұрын
Nataka kuwa mwislamu naezaje kuwa mwislamu
@salimbinsaad75512 жыл бұрын
Kua mwislamu haitaki mali wala lolote ni kiapo tu na kufata mwelekeo wa haki.jee ukoo maeneo gani?
@sakinabakari98132 жыл бұрын
ALLAH AKBAR
@Fatma-wi2co Жыл бұрын
Ni kweli hata mimi nilikua na jirani yangu mganga ,akanielezea yeye hupelekewa habari na sheitan wa nyumban kwako hutangulia yeye kabla muhusika hajafika .
@mustaphkategile80314 жыл бұрын
ALLAH AKIBAR
@youtub83204 жыл бұрын
Nilichogundua kila mtu ana namna yake ya kula hata ww hiyo ni njia yako ya kupata tonge mungu akuzidishie inshallah
Kweli bana mashekh waje uku kwetu bana tunaumia waislam uku Shekhe.
@nafuwswedi24653 жыл бұрын
Tumezaliwa 159
@thabitngangila85623 жыл бұрын
Ni tiba kwa wanaoamini saaana uganga.
@sophiasophia46682 жыл бұрын
Omba ya sikukute
@mishibaron50213 жыл бұрын
Aya imekutoka kidogo sawa
@abubakarisaidi83873 жыл бұрын
Kweli kabisa kimataifa nakupata nikiwa arabuni
@VeronicaMushi-ms1tn Жыл бұрын
Nimepata 30 bado sijajua tafsiri.
@habonimanasaidi3703 Жыл бұрын
Nimepata 32
@mohamedshabani20624 жыл бұрын
Naomba uniandikie hy hesabu mi napiga inakataa naomba uniandikie Kwa muhtasar kidogo
@riruskai_tz Жыл бұрын
Namba wametia maneno ila mmeikata ,naomba ungeendelea kutufahamisha
@nzimenyaanordi42844 жыл бұрын
Tayar
@shilimbotoflea4598 Жыл бұрын
asalam aleykum sheikh mbona sijaskia tafsiri kila kwenye mafunzo yako nimekua nikifatilia sana lakini hamna
@kissysimbaa2350 Жыл бұрын
Nimepata 36 apo ikoje
@deusmangera6923 Жыл бұрын
Nawale waganga wanao tengeneza Pete za chumaulete pesa zinajaa begi je nikweli??
@fasterwalker14643 жыл бұрын
Kama sisi tupo 4
@mlishomigila26853 жыл бұрын
Mtume kasema anajini ila jini wake kasilimu je unajuaje Hawa wengine kama hawajasilimu?
@mhogomchungu71683 жыл бұрын
kila mtu akizaliwa lazima kuandamwa na mmoja wa mashetani ili ampotoe , mara nyingi huwa wanakuamrisha na kukushawishi kufanya maovu, chance kubwa utaweza kujua huyo jini kasilimu ukiwa unapendelea kufanya mema sana kuliko maovu, na ukiwa unakimbilia mabaya utajiona unapata mawazo yakuyaacha na kuhofia na kujielekeza katika mambo mengine yenye maana
@johndieme64023 жыл бұрын
Irenipepokubwa sana
@sabayamagilani28083 жыл бұрын
Hiyo nyimbo mbona ya kanisa sio ya waganga bana
@fatmaalnabhani36094 жыл бұрын
Wengine wanadhurika watoto wadogo tusemeje?
@kassimchande49853 жыл бұрын
Saf
@mlishomigila26853 жыл бұрын
Sasa unakwepa nini? Sio namba hizohizo? Namba saba lakini ndiyo namba hiyo ya ramli
@nadegeuw.57033 жыл бұрын
Hahahaa
@nyabintuissa48533 жыл бұрын
Sheh shukrani saana kwadarasa lako ila usitafsili usichokua na elimu nacho uganga upo wakitabu
@mishibaron50213 жыл бұрын
Hiyo ni hesabu na una piga hesabu so kwangu si geni
@mayachanelle48613 жыл бұрын
😳😂😂😂
@fatmaomar5777 Жыл бұрын
nime copy paste kutoka google الخيزران - Bamboo
@ramak.95874 жыл бұрын
Apo kwa 87 amepatia ata sisi tuko 9 waume 7 wanawake 2
@fatmaalnabhani36094 жыл бұрын
Unakwenda hospitali utarudishwa tusemeje?
@zamzamabdi52794 жыл бұрын
Ni Allah yajakubali apone
@fatmaalnabhani36094 жыл бұрын
@@zamzamabdi5279 Asante. Mungu anajua zaidi
@fatmaalnabhani36093 жыл бұрын
@@doctarmwalimujuma9131 sijakuelewa wasemaje ?
@mlishomigila26853 жыл бұрын
MTU kajua habari za MTU mwingine kupitia jini sasa uwo utapeli uko wapi? Sema na wewe ni njia yako ya kupata pesa
@burhanimahmoud89853 жыл бұрын
Wewe ndio una shida broo huyo anafundisha watu waachane na ushirikina wamtegemee Allah
@popod1775 жыл бұрын
Number yako sheikh
@jafarimtimkuu5 жыл бұрын
popo D 0713403775
@jafarimtimkuu4 жыл бұрын
0713403775
@faizayunus30503 жыл бұрын
Hii namba ya kenya au tz
@olivaxpaulinoalivaaliva91983 жыл бұрын
Asalamu alikum
@jafarimtimkuu3 жыл бұрын
Waalykum salaam warahmatullah wabarakatu
@gracemmari61083 жыл бұрын
Umejuwaje kama na wewe hukuwah kwenda inamaana umeenda
@husseinwemmar62173 жыл бұрын
Humu kuna watu wanaopenda kwenda kwa waganga na pia waganga wenyewe wapo humu basi wanapinga kila kitu.
@mlishomigila26853 жыл бұрын
Muongo namba za hivyo zinatumika kumuangalia MTU? Huo mbona mchezo Wa kitoto tuliucheza zamani
@martinswai80313 жыл бұрын
Unatuchanganyia habari. Hujamaliza hili unakimbilia hili
@mlishomigila26853 жыл бұрын
Wewe hujaugua ndiyomaana unasema hivyo na hapo hakuna siri ya ramli Bali kamtindo tu umepata. Mbona magonjwa ya MTU hukutaja? Omba mungu usipate mitihani ya kurogwa hata Mtume alirogwa . Uchawi upo! Na waganga wapo na wanatibu watu na watu wanapona huyo anadanganya hajawahi kupatwa mitihani
@burhanimahmoud89853 жыл бұрын
Hata upatwe na mtihani gani ima urogwe au kwa namna yeyote ile kuna utaratibu ambao Allah ametuelekeza sio kwenda kwa waganga ambao ni washirikina,kwa hiyo ukiugua hujaambiwa usiende kwa mganga Bali yule ambae ana fuata taratibu za Quran na sunna.halafu kurogwa sio sababu ya wewe kwenda kinyume na taratibu za Allah kwamba ukengeuke basi ni mtihani umepewa kwa vile binadam lazima ujaribiwe kama utaenda kinyume au kwa taratibu za kisheria.
Shekhe mwenyewe anaonekana mganga kajuaje yote hyo mpaka anafundisha hvyooo
@griezmannmhalaka43383 жыл бұрын
@@yahyakiomy1735 hata kama ina maana nzuri ndio kila dakika!!!
@griezmannmhalaka43383 жыл бұрын
@@mussaissa5270 moja tu inatosha Sana ukiitamka toka moyoni sio uswahili Swahili tu
@fatmaalnabhani36094 жыл бұрын
Uliwajuaje majini na majina yao?
@mamussi68724 жыл бұрын
Kaa chini mdogo wangu utafute elmu utaelewa yoote
@yahyakiomy17353 жыл бұрын
Maswali yako hayana uzito
@fatmaalnabhani36093 жыл бұрын
Sio mgeni wa ilmu, Alhamdulillah, tumepitia mengi.
@mamussi68723 жыл бұрын
@@fatmaalnabhani3609 mbona uliuliza tena?
@hilalhilal84004 жыл бұрын
Mwalimu hio ulofanya haiitwi ramli bali ni hesabu tu za nasari
@expert58983 жыл бұрын
Hahahaha!!!
@fatmaalnabhani36094 жыл бұрын
Na ukisukumiwa majini bila ya kuwataka,na yanapanda tuyafanyeje ,na hawataki kutoka ?Kama hujafukuzwa hutakimbia.
@jafarimtimkuu4 жыл бұрын
0713403775
@myself41284 жыл бұрын
Swali nayo
@abushawalihamisi82254 жыл бұрын
Somewa ruqy
@fatmaalnabhani36094 жыл бұрын
@@abushawalihamisi8225 Zimedunda ruqiya,tumemwachia mungu na rehma zake,washirikina wapo na wameingiza wengine mstari ulokuwa haujapangwa rasmi bila ya kutegemea
@husseinissa71184 жыл бұрын
Angalia clip iliyopita ya sheikh huyu itakusaidia
@allyndambwe43543 жыл бұрын
Yquraan haijaacha kitu hizo ni elimu ambazo wewe huna na hautozijua
@allyndambwe43543 жыл бұрын
Mpuuzi wewe
@194summer4 жыл бұрын
Njooni kwa Yesu kuna Roho mt,anajua yote ,,,mnahangaika tu na majini ,,eti kuna majini yanasilimu Mungu amekosa namna yeyote ya kuongea na mwanadamu hadi atumie majini?...akili kichwa
@yusrabebito76864 жыл бұрын
Aaaahhh hujaskia iyo qur-an
@husnakambi15224 жыл бұрын
Kweli huyo mungu amekosa namna ya kuongea na binadam mpaka ajigeuze kuwa binadam apigwe asulubiwe duuh ,Akili kumkichwa
@mtimkavu60624 жыл бұрын
Yupo WP?
@194summer3 жыл бұрын
@@husnakambi1522 nasikia mnaolewa hata make wa NNE!!na mnaona saw a hv siku unamuitaji mumeo na ikaangukia yuko kwa mwingine unajisika vzr kabisaa!..mambo mengine tumieni akili tu sio lazima imani,,Yesu akasema mume au mke ni mmoja tu,vinginevyo ni uzinzi kama kawaida
@194summer3 жыл бұрын
Marko 12:24mnapote maana hamjui maandiko
@paschalnkuba67584 жыл бұрын
_Wewe unataka kufa wewe unaingilia shughuli za watu_
@seifawadh14114 жыл бұрын
Huwez ww ni shekh wetu huyu
@amosmahona4333 жыл бұрын
😂😂😂
@starkingsafi1888 Жыл бұрын
Mwenye kuua ni Allah.na c mganga.
@tibayakotv7610 Жыл бұрын
Sheikh tafadhali njoo utoe msaada huku Kigali Rwanda matatizo mengi sana
@hadija8463 жыл бұрын
Mashaallah
@kamandaafande7665 жыл бұрын
Masha'allah
@tibayakotv7610 Жыл бұрын
Sheikh tafadhali njoo utoe msaada huku Kigali Rwanda matatizo mengi sana