No video

Tanzania - Marijani Raajab - Namsaka Mbaya Wangu

  Рет қаралды 568,791

Tizedboy Zilipendwa Channel

Tizedboy Zilipendwa Channel

11 жыл бұрын

Namsaka Mbaya Wangu by Marijani Raajab.

Пікірлер: 122
@abdallahjumbe9480
@abdallahjumbe9480 10 жыл бұрын
Mziki walifanya Zamani miaka hii ni mauzauza tu!
@robertsrugimbana6086
@robertsrugimbana6086 7 жыл бұрын
wa siku hizi Sio wanamuziki, ila ni waimbaji,mtu unanitamanisha mwanamuzika huwezi puliza saxophone, trumpet, huwezi piga chombo chochote cha muziki,
@husnamohamed9448
@husnamohamed9448 5 жыл бұрын
Ujumbe kwenye mziki haswaaa.Wachana na hawa vijana wa sasa wanaocheza na kushika mapumbu
@mustaphamohamed7831
@mustaphamohamed7831 2 жыл бұрын
Rest easy my parents 🙏 💔
@annepeninah4185
@annepeninah4185 7 жыл бұрын
mziki ya wezee vijana, Weee motoooo.... taratibu!!
@jumannemwakalinga2586
@jumannemwakalinga2586 Жыл бұрын
RIP Jabali la muziki - Marijani Rajabu. Siku hizi wasanii wana copy nyimbo zake, lakini wanavyoigiza ni tofauti kabisaaa!
@remigiuschilumba4685
@remigiuschilumba4685 4 жыл бұрын
Nakumbuka RTD duuuh nahisi sijielewi maana utamu wa hii nyimbo nahisi umepitiliza
@jumamohamedi4852
@jumamohamedi4852 6 жыл бұрын
Huo ndio ulikua muziki, Mungu amlaze pema peponi Marijani mwana wa Rajab
@husseinmussa9683
@husseinmussa9683 7 жыл бұрын
Da jamani machozi yananitoka nimekumbuka mbali
@sumatanasemkungu8165
@sumatanasemkungu8165 7 жыл бұрын
hiki kilikua kichwa adimu.hamna kama yy kwa sasa
@samorakajiru3258
@samorakajiru3258 5 жыл бұрын
hata Mimi ingawa bado nilikuwa mdogo ila machozi yanatoka hasa wimbo ndoa ya mateso au mwana meka
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 2 жыл бұрын
Sasa @Hussein Mussa mbn unaniambukiza kutoa machozi banaa! Daaaah
@erickyahaya6784
@erickyahaya6784 3 жыл бұрын
This song should be hit when i was about to die will give me peace🙏❤
@Zip-c3g
@Zip-c3g 2 жыл бұрын
WHAT IS WRONG WITH YOU????
@adammwanjugilo7827
@adammwanjugilo7827 7 жыл бұрын
Ujumbe uliotuachia ni mafunzo sana kwetu.. Mungu hailaze roho yako mahali pema peponi...😢 KILA NAFSI ITAONJA MAUTI
@sangomamoricee6533
@sangomamoricee6533 5 жыл бұрын
Asante jabari
@kidaumtumbwi1128
@kidaumtumbwi1128 3 ай бұрын
Amiin
@jamilmwinge3695
@jamilmwinge3695 4 жыл бұрын
Hapo ndio utajua tofauti ya wanamziki🎼🎸🎻🎺 na wasanii🎶🎧🎤📽.
@malahoomary6079
@malahoomary6079 7 жыл бұрын
wapendwa jaman nautafuta wimbo siwema part 2 wa marijan Rajabu'na Mama watoto acha roho mbaya'hakika hizo nyimbo ni faraja kwangu
@dohabisophicateqatar1742
@dohabisophicateqatar1742 7 жыл бұрын
na mkumbuka marehemu na radio yake sanyo akiskiliza huu wimbo mungu amlaze pema peponi
@mrmsomali766
@mrmsomali766 Ай бұрын
Just compare this lovely poetic song from Jabali Marijani Rajab, with the bongo flavour songs!!!! Kweli Marijani, Mbaraka Mwinshehe and Salim Abdallah were very talented and genius. Legends.
@ommarthabiti4834
@ommarthabiti4834 10 жыл бұрын
marijan ni jabali wa muziki,namkubali sana,mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
@sumatanasemkungu8165
@sumatanasemkungu8165 7 жыл бұрын
jamaa ni hatari sana.kila kigongo kikipigwa kama kimetungwa jana kila kitu kinasikika
@kidaumtumbwi1128
@kidaumtumbwi1128 3 ай бұрын
Amiin Yarabil Alamiyn
@babalois7240
@babalois7240 5 жыл бұрын
I do real miss you my lovely mummy,when i listen this kind of music RIP MUMY
@rashidhemed8331
@rashidhemed8331 4 жыл бұрын
Ukiishi ba watu vizuri, watafini ili mgombane , namsaka mbaya wangu anayetugombanisha
@lagosimon2764
@lagosimon2764 3 жыл бұрын
Ukiusikiliza Mziki wa Zaman unavionjo vitamu sana alafu hatua kwa hatua
@abdallahjuma9895
@abdallahjuma9895 6 жыл бұрын
Maisha hayarudishiki nyuma, tungependa jana iwe leo lkn haiwezekana. Mungu awarehemu waliotutangulia hasa waliofanya kazi hizi, inshallah!
@saidali9282
@saidali9282 6 жыл бұрын
mziki zamani sasa wanaume wanavaa uzuri wanawake wako uchi wamnyama
@josevicente2365
@josevicente2365 6 жыл бұрын
Ni burudani isiyo kifani, zamani sana aisee enzi za RTD Tanzania nzima. Asante sana kwa ukura huu
@jangamagili2601
@jangamagili2601 6 жыл бұрын
jabari la muzi marijani Rajabu hatotokea wa mfano wake
@patricia5137
@patricia5137 9 жыл бұрын
Hizi nyimbo za zamani ni nzuri mnooo, zinanikumbusha mbali sana Enzi za utoto wangu, jamani nyimbo zilikuwa zamani yani naenjoy mnooo. Asante sana
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 2 жыл бұрын
Sana jamanii!! Tulikuwa waduchu namsikia mama akiimba! Daaah siku hizi mastress tuu aagh
@aggreychoreh9937
@aggreychoreh9937 5 жыл бұрын
Wakati wa kbc kiswahili Ali Salim Manga akiwa continuity announcer.. waaa kijana marijani Raajab akifanya mambo yake... Erude Gladys uko wapi
@aggreychoreh9937
@aggreychoreh9937 Жыл бұрын
Namsaka mbaya wangu....enzi zao
@ahmednoor2617
@ahmednoor2617 10 жыл бұрын
Jabali muziki afrika mashariki nyimbo zake hazipitwi na wakati
@abdullsadiq2378
@abdullsadiq2378 10 жыл бұрын
Inapendeza sana kwa hakika tumepoteza watu wenye uwezo mkubwa katika mambo ya music
@ommyhassa
@ommyhassa 11 ай бұрын
Nakumbuka wakati huo mchana mwema zikianza kupigwa nyimbo hizi time za kwenda shule Zanzibar siku za raha zimepita
@hoseakayubu5677
@hoseakayubu5677 6 жыл бұрын
kizuri hudumu zaidi. nyimbo nzuri ujumbe mzuri.
@malahoomary6079
@malahoomary6079 5 жыл бұрын
Jaman Mungu na amlaze pema Marijan,Nilihangaika kumtafuta huyu mtu ili kumfahamu nikamfuata Arusha wakati yupo kurugenzi jazz,naingia mlangon naye anatoka kwa kuwa simjui sikumtambua naulizia ndan naambiwa umepishana naye mlangon,nikamfuata Dar nyumban kwake mtaa wa sikukuu na Somali,nimepelekwa kwake na mtu mmoja anaitwa Babu Delly,kufika kwake hayupo kaenda msikitin,kumbuka simfahamu kwa sura!Babu Delly akaniacha pale kwake akanikabidhi kwa fundi cherehani,kumbe Delly kakutana naye njian akamwambia nyumban Kuna mgeni wako anaitwa Hashim,akaja moja kwa moja ananiambia bwana Hashim habari bwana Karibu nie ndo Marijan Rajabu,ilikuwa kidogo nizimie,nilikaa naye hadi saa tano usiku toka saa kumi jion,hakika Ardhi inakula vingi jaman,tuwen na tabia ya kuwaombea dua marehemu waliotangulia mbele ya haki
@batiishirima2051
@batiishirima2051 4 жыл бұрын
Jabali la muziki
@mussamrisho1283
@mussamrisho1283 2 жыл бұрын
Wenye kukaanga mbuyu hawatafunii wao
@hasacustomsclearance5849
@hasacustomsclearance5849 10 жыл бұрын
he will remain as legend alawys
@mahirfauz1993
@mahirfauz1993 Жыл бұрын
Legend never died
@RevocatusJulian
@RevocatusJulian 24 күн бұрын
July 26/2024 tuko apa
@qalinmalgc1470
@qalinmalgc1470 6 жыл бұрын
Mmoja wa mabingwa wa muziki wale walikua hodari kwa utunzi wa mashairi
@petermwangi7110
@petermwangi7110 6 жыл бұрын
timeless song.great musician.RIP
@sospeter291
@sospeter291 4 жыл бұрын
Hakika yuyu bwana Rajab alikuwa stadi kwa utunzi na gita pamoja na uimbaji. we miss you Marijan.
@misanalwanga394
@misanalwanga394 7 жыл бұрын
Vya kale ni dhahabu.
@josephyegella4816
@josephyegella4816 3 жыл бұрын
Muziki wako bado almasi jabali la muziki. Siku hizi mashauzi tu na ubishoo mwingi.
@vinmaranga2360
@vinmaranga2360 7 ай бұрын
Hii nayo ni moto, moto sana.
@anthonyriobamtete6005
@anthonyriobamtete6005 Жыл бұрын
Uko sawa hizi nyimbo za zamani zilikuwa na mafundisho sana
@alibomba5408
@alibomba5408 4 жыл бұрын
Old is gold bhanaaaa..marijani much respect....
@rahimaally9838
@rahimaally9838 6 жыл бұрын
Raha sana kusikiliza hizi nyimbo zinamafunzo fulani
@donaldsassa7532
@donaldsassa7532 3 жыл бұрын
Muziki unaoishi , siyo huu was leo Moto wa mabua !!
@ngechepeter9568
@ngechepeter9568 Жыл бұрын
Reminding me of VOK..Ali Salim Manga
@davidzacharia2373
@davidzacharia2373 2 жыл бұрын
Naacha comment hapa ili mwanangu siku aje kusoma miziki nilioipenda baba yake
@jamilabaraka8449
@jamilabaraka8449 5 жыл бұрын
huu ndo mziki bwana
@elijahaywago7274
@elijahaywago7274 5 жыл бұрын
nimeanza kumsikiliza Mrijanu 2019. Najilaumu mbona nililala darasani hivi....nyimbo zenye mafundisho. ata ameshinda waimbaji wengi wa goispel wenye wanaimba nyimbo hazina maelekeo ziku hizi
@jumaally67
@jumaally67 6 жыл бұрын
Dah mungu mwenyewe awarehemu watu hawa pamoja na wazazi wangu mana kama namuona mama yangu jaman
@mussamrisho1283
@mussamrisho1283 2 жыл бұрын
Sikuhizi wanasema ukilikoroga utalinywa. Ukikaanga mbuyu utazitafuna mwenyewe.
@yusuflalu2887
@yusuflalu2887 8 жыл бұрын
Hizi ndo zenyewe, zinanitoa stress zote.
@kipchumbakemei7270
@kipchumbakemei7270 3 жыл бұрын
Mziki zilizoenda shule na kuhitimu.
@malikishabani6207
@malikishabani6207 5 жыл бұрын
Hakika tutazidi kukumbuka daima jabari wa muziki
@ramadhanimwasi1647
@ramadhanimwasi1647 Жыл бұрын
Imenikumbusha mbali sana
@twilamtumbi2647
@twilamtumbi2647 10 жыл бұрын
tutakukumbuka daima
@tyty1794
@tyty1794 11 жыл бұрын
Excellent Bw. Abdalla
@mwaka308said7
@mwaka308said7 4 жыл бұрын
RIP Marjani #LEGEND
@evamwamafupa3512
@evamwamafupa3512 5 жыл бұрын
Nakumbuka mbali sana Urafiki flats.kweli Old is gold
@alexanderalson680
@alexanderalson680 Жыл бұрын
Upo?
@morrissombe8539
@morrissombe8539 7 жыл бұрын
kwa kweli hii ndiyo burudaani ya ukweli ki ukweli.
@smarealle
@smarealle 10 жыл бұрын
The one and only.
@martinnkuba6683
@martinnkuba6683 Жыл бұрын
Still the one
@tgeofrey
@tgeofrey 2 жыл бұрын
Tumebarikiwa
@bhonatesha2390
@bhonatesha2390 6 жыл бұрын
hizi ndio nyimbo. sasa hivi wimbo wanaita nyimbo. suruali makalioni. RlP Jabali
@rafiiabdul6217
@rafiiabdul6217 Жыл бұрын
Jabali la MUZIKI ...
@chiefmajai9345
@chiefmajai9345 4 жыл бұрын
Hakika haya yapo yana sumbua huku uswahilini wanamziki wa enzi
@raskenneth1981
@raskenneth1981 Жыл бұрын
Hao ndio wenye kuukaanga Mbuyu,wacha wainama na wautafunee.
3 ай бұрын
Waachie wenye meno watafune *
@raskenneth1981
@raskenneth1981 3 ай бұрын
Asante kwa marekebisho 🙏🙏🙏
@saidibadawi469
@saidibadawi469 8 жыл бұрын
yaani hakunaga kama hizi za kare.
@deusmauka9626
@deusmauka9626 6 жыл бұрын
Sasa hivi wanabwabwaja maneno hawaimbi
@hamisimohamed7690
@hamisimohamed7690 5 жыл бұрын
jabali la mzuki
@mohamedshebe9919
@mohamedshebe9919 8 жыл бұрын
huo ndio ulikuwa mziki sasa iv wanajua kuvaa suruali chini ya makalio tuu.
@mohamedmdoka2762
@mohamedmdoka2762 6 жыл бұрын
Hv kuna kizazi kitafikia uku kwel jamani
@gracianpaul2608
@gracianpaul2608 6 жыл бұрын
mohamed shebe halafu ujumbe ni mapenzi tuuu.
@gracianpaul2608
@gracianpaul2608 6 жыл бұрын
ni hatari sana aisee!
@athumanisudi891
@athumanisudi891 5 жыл бұрын
Utasikia eti kuku kavaa raizoni kuku kapanda basker miziki ya kipuuzi sana ihi ya kizazi kipya wajifunze miziki ya zamani.
@ericernest845
@ericernest845 5 жыл бұрын
Hakuna
@omarmussa488
@omarmussa488 9 жыл бұрын
Enzi hairudi tena ile!!!!
@sangomamourice8680
@sangomamourice8680 3 жыл бұрын
Siwezi na simchoki
@pudencianamlewa6486
@pudencianamlewa6486 3 жыл бұрын
Mziki unaoishi
@kefanyarega2542
@kefanyarega2542 6 жыл бұрын
Super music
@arthurmuema6233
@arthurmuema6233 3 жыл бұрын
Well put together
@kipchumbakemei7270
@kipchumbakemei7270 4 жыл бұрын
Wakati mziki ilkuwa taaluma.
@richardmarisa3888
@richardmarisa3888 10 жыл бұрын
Shauri za kweli
@dohabisophicateqatar1742
@dohabisophicateqatar1742 7 жыл бұрын
ngoma bila jasho
@graceshomari7727
@graceshomari7727 2 жыл бұрын
Mama maria
@ommykhatib
@ommykhatib 6 жыл бұрын
Hawa watu walikuwa wakiimba kwa mapenzi sio sasa hivi mipasho ubishoo mwingi kila mtu anataka kiki
@calvinmorgan66
@calvinmorgan66 7 жыл бұрын
penda hii saut ya huyu jamaa alieimba aisee
@heesramhemed4869
@heesramhemed4869 7 жыл бұрын
mbona znapatkana tu youtube
@asiliyakechuma4319
@asiliyakechuma4319 4 жыл бұрын
2020
@nicksonjackson8638
@nicksonjackson8638 9 жыл бұрын
Familia yake inafaidikaje na hiki kipaji cha ndugu yao costa naomba jibu
@jacksonzebedee4668
@jacksonzebedee4668 7 жыл бұрын
Mmoja wa 'familia yake' ni mimi na wewe, je tunafaidikaje na kipaji chake!?
@jacksonzebedee4668
@jacksonzebedee4668 7 жыл бұрын
Nyimbo zao ni kama kusoma vitabu vya wenye hekima
@deogratiusmarandu7355
@deogratiusmarandu7355 3 жыл бұрын
Nakumbuka enzi zangu wewe usiguse kabisa kidude
@shangaashangaa
@shangaashangaa 11 жыл бұрын
Asante kwa nyimbo hizi.
@omarali-dk5el
@omarali-dk5el 7 жыл бұрын
wanamuziki wa sasa wasikize hii miziki ili kujirekebisha
@runcksmatindiko1930
@runcksmatindiko1930 6 жыл бұрын
Daa. Kiukweri Sinaneno Kwa Mzee Mwenzangu Ayat Marijani Arikuwa Fundi Sana Wa Muziki
@aggreychoreh9937
@aggreychoreh9937 6 ай бұрын
Sisemi kitu
@sofiahamza1873
@sofiahamza1873 6 жыл бұрын
mkono wa iddi
@salimsultan4461
@salimsultan4461 5 жыл бұрын
Bambo
@kassongokittapa7762
@kassongokittapa7762 8 жыл бұрын
Mr Abdallah Ally Nahitaji nyimbo za Marijani, SIO MIMI NI SABABU YA MAPENDO na PENDO SI KULAZIMISHANA. Nimezitafuta sana humu (ytb) sijazipata.
@doysilanda4122
@doysilanda4122 8 жыл бұрын
umezipata
@hamzahaji175
@hamzahaji175 5 жыл бұрын
Nikweli
@jacobmwamba2592
@jacobmwamba2592 7 жыл бұрын
kipaji hicho,siku hz hakuna tena
@runcksmatindiko1930
@runcksmatindiko1930 6 жыл бұрын
Marijani.Rajabu.a.k.a.jabari.arikuwa.fundi.wa.muziki.wa.dans
@faridasabu8946
@faridasabu8946 4 жыл бұрын
Maanzese wakati huo inaitwa soweto
@oswaldchuwa2767
@oswaldchuwa2767 8 жыл бұрын
inn box
@saidibadawi469
@saidibadawi469 8 жыл бұрын
yaani hakunaga kama hizi za kare.
@patrickmrisha3967
@patrickmrisha3967 Жыл бұрын
Kweli nilikuwa napona nikisikia hizo tarumbeta
Dunia Imani Imekwisha Marijan Rajabu
7:11
Balantanda
Рет қаралды 713 М.
DD Mlimani Park Orchestra Nawashukuru wazazi wangu
8:47
Sam Exavery
Рет қаралды 12 М.
Советы на всё лето 4 @postworkllc
00:23
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
Survive 100 Days In Nuclear Bunker, Win $500,000
32:21
MrBeast
Рет қаралды 157 МЛН
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 15 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 63 МЛН
Tanzania - Marijani Raajab  - Uke Wenza
6:37
Tizedboy Zilipendwa Channel
Рет қаралды 329 М.
Nimekinai na Umaskini wangu - Mwanahawa Ali
15:13
SANDUKU LA DHAHABU
Рет қаралды 645 М.
Talaka Ya Hasira
6:31
DDC Mlimani Park Orchestra - Topic
Рет қаралды 284 М.
Marijani Raajab - Mwanameka
6:58
Tizedboy Zilipendwa Channel
Рет қаралды 307 М.
T.B.T...IJUE HISTORIA YA JABALI LA MUZIKI MARIJANI RAJABU.
13:57
CHAKULA CHA UBONGO
Рет қаралды 18 М.
Mziki wa dansi zilipendwa- Bima lee- Shangwe ya harusi
7:31
Eddie Nassor
Рет қаралды 101 М.
Shilingi Yaua Tena Maua
9:44
Simba Wanyika - Topic
Рет қаралды 94 М.
Marijani Rajabu - Masudi
7:46
Power Nguzo
Рет қаралды 405 М.
mwajuma- MARIJANI RAJAB
6:29
jphamber
Рет қаралды 405 М.
Les Wanyika - Barua Yako| Kasuku
13:38
Nyimbo za zamani
Рет қаралды 805 М.
Советы на всё лето 4 @postworkllc
00:23
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН