wa siku hizi Sio wanamuziki, ila ni waimbaji,mtu unanitamanisha mwanamuzika huwezi puliza saxophone, trumpet, huwezi piga chombo chochote cha muziki,
@husnamohamed94485 жыл бұрын
Ujumbe kwenye mziki haswaaa.Wachana na hawa vijana wa sasa wanaocheza na kushika mapumbu
@mustaphamohamed78312 жыл бұрын
Rest easy my parents 🙏 💔
@annepeninah41857 жыл бұрын
mziki ya wezee vijana, Weee motoooo.... taratibu!!
@jumannemwakalinga2586 Жыл бұрын
RIP Jabali la muziki - Marijani Rajabu. Siku hizi wasanii wana copy nyimbo zake, lakini wanavyoigiza ni tofauti kabisaaa!
@remigiuschilumba46854 жыл бұрын
Nakumbuka RTD duuuh nahisi sijielewi maana utamu wa hii nyimbo nahisi umepitiliza
@jumamohamedi48526 жыл бұрын
Huo ndio ulikua muziki, Mungu amlaze pema peponi Marijani mwana wa Rajab
@husseinmussa96837 жыл бұрын
Da jamani machozi yananitoka nimekumbuka mbali
@sumatanasemkungu81657 жыл бұрын
hiki kilikua kichwa adimu.hamna kama yy kwa sasa
@samorakajiru32585 жыл бұрын
hata Mimi ingawa bado nilikuwa mdogo ila machozi yanatoka hasa wimbo ndoa ya mateso au mwana meka
@fatmazullu49332 жыл бұрын
Sasa @Hussein Mussa mbn unaniambukiza kutoa machozi banaa! Daaaah
@erickyahaya67843 жыл бұрын
This song should be hit when i was about to die will give me peace🙏❤
@Zip-c3g2 жыл бұрын
WHAT IS WRONG WITH YOU????
@adammwanjugilo78277 жыл бұрын
Ujumbe uliotuachia ni mafunzo sana kwetu.. Mungu hailaze roho yako mahali pema peponi...😢 KILA NAFSI ITAONJA MAUTI
@sangomamoricee65335 жыл бұрын
Asante jabari
@kidaumtumbwi11283 ай бұрын
Amiin
@jamilmwinge36954 жыл бұрын
Hapo ndio utajua tofauti ya wanamziki🎼🎸🎻🎺 na wasanii🎶🎧🎤📽.
@malahoomary60797 жыл бұрын
wapendwa jaman nautafuta wimbo siwema part 2 wa marijan Rajabu'na Mama watoto acha roho mbaya'hakika hizo nyimbo ni faraja kwangu
@dohabisophicateqatar17427 жыл бұрын
na mkumbuka marehemu na radio yake sanyo akiskiliza huu wimbo mungu amlaze pema peponi
@mrmsomali766Ай бұрын
Just compare this lovely poetic song from Jabali Marijani Rajab, with the bongo flavour songs!!!! Kweli Marijani, Mbaraka Mwinshehe and Salim Abdallah were very talented and genius. Legends.
@ommarthabiti483410 жыл бұрын
marijan ni jabali wa muziki,namkubali sana,mungu ailaze roho yake mahali pema peponi
@sumatanasemkungu81657 жыл бұрын
jamaa ni hatari sana.kila kigongo kikipigwa kama kimetungwa jana kila kitu kinasikika
@kidaumtumbwi11283 ай бұрын
Amiin Yarabil Alamiyn
@babalois72405 жыл бұрын
I do real miss you my lovely mummy,when i listen this kind of music RIP MUMY
@rashidhemed83314 жыл бұрын
Ukiishi ba watu vizuri, watafini ili mgombane , namsaka mbaya wangu anayetugombanisha
@lagosimon27643 жыл бұрын
Ukiusikiliza Mziki wa Zaman unavionjo vitamu sana alafu hatua kwa hatua
@abdallahjuma98956 жыл бұрын
Maisha hayarudishiki nyuma, tungependa jana iwe leo lkn haiwezekana. Mungu awarehemu waliotutangulia hasa waliofanya kazi hizi, inshallah!
@saidali92826 жыл бұрын
mziki zamani sasa wanaume wanavaa uzuri wanawake wako uchi wamnyama
@josevicente23656 жыл бұрын
Ni burudani isiyo kifani, zamani sana aisee enzi za RTD Tanzania nzima. Asante sana kwa ukura huu
@jangamagili26016 жыл бұрын
jabari la muzi marijani Rajabu hatotokea wa mfano wake
@patricia51379 жыл бұрын
Hizi nyimbo za zamani ni nzuri mnooo, zinanikumbusha mbali sana Enzi za utoto wangu, jamani nyimbo zilikuwa zamani yani naenjoy mnooo. Asante sana
@fatmazullu49332 жыл бұрын
Sana jamanii!! Tulikuwa waduchu namsikia mama akiimba! Daaah siku hizi mastress tuu aagh
@aggreychoreh99375 жыл бұрын
Wakati wa kbc kiswahili Ali Salim Manga akiwa continuity announcer.. waaa kijana marijani Raajab akifanya mambo yake... Erude Gladys uko wapi
@aggreychoreh9937 Жыл бұрын
Namsaka mbaya wangu....enzi zao
@ahmednoor261710 жыл бұрын
Jabali muziki afrika mashariki nyimbo zake hazipitwi na wakati
@abdullsadiq237810 жыл бұрын
Inapendeza sana kwa hakika tumepoteza watu wenye uwezo mkubwa katika mambo ya music
@ommyhassa11 ай бұрын
Nakumbuka wakati huo mchana mwema zikianza kupigwa nyimbo hizi time za kwenda shule Zanzibar siku za raha zimepita
@hoseakayubu56776 жыл бұрын
kizuri hudumu zaidi. nyimbo nzuri ujumbe mzuri.
@malahoomary60795 жыл бұрын
Jaman Mungu na amlaze pema Marijan,Nilihangaika kumtafuta huyu mtu ili kumfahamu nikamfuata Arusha wakati yupo kurugenzi jazz,naingia mlangon naye anatoka kwa kuwa simjui sikumtambua naulizia ndan naambiwa umepishana naye mlangon,nikamfuata Dar nyumban kwake mtaa wa sikukuu na Somali,nimepelekwa kwake na mtu mmoja anaitwa Babu Delly,kufika kwake hayupo kaenda msikitin,kumbuka simfahamu kwa sura!Babu Delly akaniacha pale kwake akanikabidhi kwa fundi cherehani,kumbe Delly kakutana naye njian akamwambia nyumban Kuna mgeni wako anaitwa Hashim,akaja moja kwa moja ananiambia bwana Hashim habari bwana Karibu nie ndo Marijan Rajabu,ilikuwa kidogo nizimie,nilikaa naye hadi saa tano usiku toka saa kumi jion,hakika Ardhi inakula vingi jaman,tuwen na tabia ya kuwaombea dua marehemu waliotangulia mbele ya haki
@batiishirima20514 жыл бұрын
Jabali la muziki
@mussamrisho12832 жыл бұрын
Wenye kukaanga mbuyu hawatafunii wao
@hasacustomsclearance584910 жыл бұрын
he will remain as legend alawys
@mahirfauz1993 Жыл бұрын
Legend never died
@RevocatusJulian24 күн бұрын
July 26/2024 tuko apa
@qalinmalgc14706 жыл бұрын
Mmoja wa mabingwa wa muziki wale walikua hodari kwa utunzi wa mashairi
@petermwangi71106 жыл бұрын
timeless song.great musician.RIP
@sospeter2914 жыл бұрын
Hakika yuyu bwana Rajab alikuwa stadi kwa utunzi na gita pamoja na uimbaji. we miss you Marijan.
@misanalwanga3947 жыл бұрын
Vya kale ni dhahabu.
@josephyegella48163 жыл бұрын
Muziki wako bado almasi jabali la muziki. Siku hizi mashauzi tu na ubishoo mwingi.
@vinmaranga23607 ай бұрын
Hii nayo ni moto, moto sana.
@anthonyriobamtete6005 Жыл бұрын
Uko sawa hizi nyimbo za zamani zilikuwa na mafundisho sana
@alibomba54084 жыл бұрын
Old is gold bhanaaaa..marijani much respect....
@rahimaally98386 жыл бұрын
Raha sana kusikiliza hizi nyimbo zinamafunzo fulani
@donaldsassa75323 жыл бұрын
Muziki unaoishi , siyo huu was leo Moto wa mabua !!
@ngechepeter9568 Жыл бұрын
Reminding me of VOK..Ali Salim Manga
@davidzacharia23732 жыл бұрын
Naacha comment hapa ili mwanangu siku aje kusoma miziki nilioipenda baba yake
@jamilabaraka84495 жыл бұрын
huu ndo mziki bwana
@elijahaywago72745 жыл бұрын
nimeanza kumsikiliza Mrijanu 2019. Najilaumu mbona nililala darasani hivi....nyimbo zenye mafundisho. ata ameshinda waimbaji wengi wa goispel wenye wanaimba nyimbo hazina maelekeo ziku hizi
@jumaally676 жыл бұрын
Dah mungu mwenyewe awarehemu watu hawa pamoja na wazazi wangu mana kama namuona mama yangu jaman