Karibu GS Mligo, Tafadhali tazama video hadi mwisho namba zipo hapo au angalia kwenye video description. Kwa maelekezo zaidi wasiliana nasi 0715 866 027 au 0745 975 126
@gsmligoonlinetv97873 жыл бұрын
@@tatesa Asante Sana Mimi ni mkulima wa mbogamboga ninayehitaji Sana ushauri wenu maana tunapsmbana Sana lakini wakati mwingine tunazidiwa kete na wadudu,,
@gsmligoonlinetv97873 жыл бұрын
Na Sasa nipo kwenye maandalizi ya kilimo Cha pilipili kichaa na pikipiki hoho lkn ushauri wa namna ya kutumia madawa,,pia nipo kwenye majaribio ya kutaka kujaribu zao la zabibu kwenye aridhi ya mkoa ya pwani ,,bado tunahitaji tatesa mtusaidie zaidi
@rubbymusa19715 жыл бұрын
Miche 11000 - 140000 ni sawa na gramu ngapi za mbegu?, hujatoa njia za kukabiliana na mnyauko umetaja tu mtaalam
@tatesa4 жыл бұрын
Ahsante Rubby, endelea kufuatilia vipindi vyetu, kwa vipindi vijavyo utapata mafunzo zaidi kuhusu hilo.