Рет қаралды 37,263
Hii ni sehemu ya pili ya mahojiano na Mr Blue ambapo kiundani anaelezea namna alivyojinasua kutoka kwenye anguko kubwa la kimaisha lililomsababishia matatizo mengi yaliosababisha kukata tamaa kabisa na kisha kupoteza nafasi yake,lakini alijirudi na kutumia muziki wa rap kama ni sehemu ya come back yake ambayo imemrejesha kwenye ramani mpaka sasa
SUBSCRIBE FOR MORE