No video

THE CLASSIC KALAPINA : NLIJUTIA KUMTEKA SOLO THANG/KUMPOSA MR BLUE/UGOMVI NA MTOTO WA RAIS JK /BEEF

  Рет қаралды 20,635

KuviFacts

KuviFacts

Күн бұрын

Hii ni interview ya The Classic na Mwanahiphop mahiri Kalapina ambae alikua kiongozi wa ukoo mkubwa wa hiphop wa Kikosi cha mizinga,Interview hii ilifanyika mwaka mmoja uliopita na Kalapina alituelezea kiundani kuhusu tuhuma nyingi ambazo zilizungumzwa juu yake,hii ni sehemu ya maongezi yake

Пікірлер: 66
@darhustler
@darhustler 8 ай бұрын
Hii ni interview bora sana kwangu kusikia na imeeleza vizuri sana hizo background gossips za bongo fleva kuhusu kikosi na hiphop. Pina is very nice guy 🖖
@MichaelJohn-lb6uu
@MichaelJohn-lb6uu 13 күн бұрын
Appreciation
@alexmisheto7925
@alexmisheto7925 8 ай бұрын
Watu wa Hip hop wanaakil sana
@silvergold5855
@silvergold5855 8 ай бұрын
Napenda kumsikiliza brother pina
@edwardasumwisye3010
@edwardasumwisye3010 8 ай бұрын
Binadamu wanaomba mabaya/ Mtaani kwangu wazee hawana haya/ Wamejaa husuda chuki na roho mbaya/ Hakika wasingetupenda Hata tungeimba kwanya
@nailahharith4745
@nailahharith4745 8 ай бұрын
Those days I remember biliads hip hop ilikuwa real kinyama kikosi dah
@MichaelAnthonyGuni
@MichaelAnthonyGuni 5 ай бұрын
sema kalapina na ubabe tofauti sana he is so innocent ukimuangalia
@iHoppin25th
@iHoppin25th 5 ай бұрын
Mwamba Mtu Guddi Sanaaa
@yudaogonyi2383
@yudaogonyi2383 20 күн бұрын
😝😝😝😝😝 jamaa ni storyteller mzuri sana . Hyu atafutiwe EP ingine
@JimyMnyama
@JimyMnyama 8 ай бұрын
Kikosii Cha mzinga🔥🔥🔥
@cassanovarcousin7973
@cassanovarcousin7973 8 ай бұрын
Nabiii koko📌
@VisualsByEnokaOti
@VisualsByEnokaOti 7 ай бұрын
Napenda Sana the classic
@MrishoMohamed-ey5zf
@MrishoMohamed-ey5zf 6 ай бұрын
Nakubali sana the classic
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 8 ай бұрын
HAO WANAKATAANA,,MI NAFATILIA SANA INTV ZAO,,DUDU,,LORD,,KALA NA HIP HOP WENGI WANAOKUJA HAPO,,KILA MTU ANAJIONA YEYE NDO ALIKUWA MBABE KULIKO MWENZIE,,ILA TUNAWAAMBIA NYIE SIO MASELA MSINGEKUWA URAIANI.
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 8 ай бұрын
Hujielewi, Kwani msela lazma aende jela .?...kwenda jela ni UFALA ww .!
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 8 ай бұрын
@@ismailmasoud6001 WE ndi fala kaka,,,si msela si umepinda?? Waliopinda wote wako chimbo wanasubiri kifo 😀,mnamuiga 2 pac kufa amfi 😃,,nyie mabinti tu
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 8 ай бұрын
@@hassanbakari4525 ...ukiona mtu Kenda JELA Kwa wizi au ugomvi ujue fala ..!..ndio maana ukiingia JELA uliowakuta wanakuuliza umekuja Kwa kesi aina Gani ..!
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 8 ай бұрын
@@ismailmasoud6001 ASA UNABISHA NN,,UKIWA MTUKUTU MANAKE WE UMESHINDIKANA,,,SEHEMU ZAKO NI MBILI TU,,KIFO NA JELA,,,,VINGINEVYO WEWE NI RAIA MWEMA TU...HAPO HUELEW NN APO
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 8 ай бұрын
@@hassanbakari4525 ...Kwani Kuna watukutu wangapi hawajaenda JELA na WEMA wangapi wameenda JELA..?..
@RichardCossan-rk1ub
@RichardCossan-rk1ub 8 ай бұрын
Kalapina sikungi broh
@ronaldissack3338
@ronaldissack3338 8 ай бұрын
Kalapina alikuwa shida sana
@abubakarishariff8489
@abubakarishariff8489 8 ай бұрын
Ashim dogo Kala Pina is the best hip hop bongo akuna tena atakuwa kama awa awa ndio wagumu kamili
@JimyMnyama
@JimyMnyama 8 ай бұрын
Walikuwaa wababe sana adii kutekanaa😁
@simas.a1003
@simas.a1003 8 ай бұрын
Game ilikuwa real sana. Mabifu ya Hip hop kama mbele. Ila hichi kikosi cha mizinga nakikubaligi sana 🙌🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
Wasanii waZamani walikuwa wanaishi kimerekani sana mabifu live na yaukweli
@hassaningorombe3477
@hassaningorombe3477 8 ай бұрын
💯💯
@matolasalumu2625
@matolasalumu2625 8 ай бұрын
Tuleetee yuni besti Kona walio imba tisheti na jinzi
@mootelahamongus633
@mootelahamongus633 8 ай бұрын
University Corner
@nicholouspaschal3586
@nicholouspaschal3586 8 ай бұрын
Hip hop forever
@yusuphrashidi-dr1kb
@yusuphrashidi-dr1kb 8 ай бұрын
Kikosi cha mizinga block 41
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 8 ай бұрын
Muongo wewe Arusha before 2005 walikuwa wanafanya live, Via Via. Hii habari ya kujifanya pioneers ndio inaleta ego.
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 8 ай бұрын
Noma Nabi coco
@edwinismail9401
@edwinismail9401 8 ай бұрын
Hamna ndefu?
@dicsonmollel5915
@dicsonmollel5915 2 ай бұрын
Nabii Choco namuongezea stress akisikia hzo vocal
@Abuukhatibu
@Abuukhatibu 4 ай бұрын
😂😂😂😂pina
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 8 ай бұрын
Sasa mnavaa ayo yanii intaviyu ainogi
@ejtjr2647
@ejtjr2647 27 күн бұрын
Kalapina was STUPID na hujui Hiphop . Mwili mkubwa akili KISODA.
@nasrikileo7291
@nasrikileo7291 8 ай бұрын
Sijui wanasahau au nini, age sawa ila kila mtu akiongea issue zinapishana, brother kuvi can u please intervene on my coment for learning purpose
@rogertuga007
@rogertuga007 8 ай бұрын
Kila mtu anavutia upande wake
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
Wasanii waZamani walikuwa wanaishi kimerekani sana mapifu mengi na yaukweli
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj 4 ай бұрын
ila mkwara imezidi sana kuliko vitendo
@EmanuelyMbagalla-rt2vm
@EmanuelyMbagalla-rt2vm 8 ай бұрын
Kwa nini hao watangazaji wamevaa barakoa?
@usercabal
@usercabal 8 ай бұрын
Kaka voda sio msanii ni msela wa maskanii
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 8 ай бұрын
Vipi humor ndani Corona dizaini flani kama imewarudia au ndio ugumu?
@MudaRamadhani
@MudaRamadhani 8 ай бұрын
Mnazingua mabarakoa ya nini sasa hapo mmezingua kuweni wastaarabu
@alextarimo4972
@alextarimo4972 8 ай бұрын
Hizi barokoa vipi tuambine..
@kibwamoko8767
@kibwamoko8767 8 ай бұрын
Huyu Alishwahi kupata Corona, ila Mwenyezi Mungu aliweka Shani yake akapona. Kwahiyo bado anahisi kama bado ipo. Tahadhari kwake ni muhimu zaidi kwasababu ilishampata.
@KuviFacts
@KuviFacts 8 ай бұрын
Sahihi intvw hiyo nlifanya wakati ndo nmeanza kupona hivyo bado nlikua navaa
@KuviFacts
@KuviFacts 8 ай бұрын
Nlikua natoka kuumwa covid mkuu
@kibwamoko8767
@kibwamoko8767 8 ай бұрын
@@KuviFacts Sawa nimekuelewa, ahsante kwa kuniweka sawa
@Papifreshh
@Papifreshh 8 ай бұрын
Nice
@user-rl8hn4ih1n
@user-rl8hn4ih1n 8 ай бұрын
Sema fupi uyu jamaa uchoki kucheki intaview yak Yani
@jumajuma6612
@jumajuma6612 8 ай бұрын
Ndefu ipo nenda kwenye account ya E FM hii ya kitambo kuvichaka kairudia kwenye account yake
@JumaJuma-fu7ji
@JumaJuma-fu7ji 8 ай бұрын
Uyu jamaa alikuwa so mgomvi ila alikuwa mbabe wa kundi ukimchokoza ndo anakuzingua
@aloyceiluminata3650
@aloyceiluminata3650 8 ай бұрын
Kala pina amekua mtu mzima siku hizi ameacha ubabe wa kijinga.. bug up bro😂😂😂😂
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 8 ай бұрын
Kalale mkundu wewe,hip hop waachie wenye akili,huna rhymes hujui mziki,kelele nyingi maku wewe,kaimbe taarabu,
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 8 ай бұрын
Duuu, ivi ww una akili kweli? Haya matusi ya chuki yanatoka mdomoni au?😢
@bobnasser862
@bobnasser862 8 ай бұрын
Tulia mdogo wetu unaona unatatizo aupo sawa
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 8 ай бұрын
Ndio Leo nimeelewa kwanini kalapina wanamtaja saana wana hiphop,,,, alijulikana kwa ubabe na sio kwa mziki ua nafatili mziki wake lakini cjawahi kukutana na kibao Cha kutisha sana
@adinanimuhidini5894
@adinanimuhidini5894 8 ай бұрын
Mstari wa mbele
@frankkajoba8372
@frankkajoba8372 8 ай бұрын
Kasikilize singeli na amapiano wewe. Hujui hip hop😢
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 8 ай бұрын
@@frankkajoba8372 naludia tena Kalapina hakua msaani wa kutisha kwenye hip hop ,,,, Kuna vichwa kama Sol seng walifanya makubwa kwenye game
@EmmanuelKibila-lk8pv
@EmmanuelKibila-lk8pv 8 ай бұрын
U don't know
Нашли чужие сети в озере..💁🏼‍♀️🕸️🎣
00:34
Connoisseur BLIND420
Рет қаралды 3,6 МЛН
Алексей Щербаков разнес ВДВшников
00:47
KALAPINA :AMCHANA DULLA MBABE /ADAM MCHOMVU SIO HIPHOP
16:57
KITENGE TV
Рет қаралды 12 М.
Kalapina awa mkali ghafla, Amgeuzia kibao mtangazaji
4:07
EastAfricaTV
Рет қаралды 12 М.
Chidi benzino achezea kichapo maisha club dar na Kalapina.
5:11
Нашли чужие сети в озере..💁🏼‍♀️🕸️🎣
00:34
Connoisseur BLIND420
Рет қаралды 3,6 МЛН