Daah ahsante ma Hindu nimekukubali yaani mpaka mwanao kafata nyayo zako za ndoa. Mpo talented sana, wallah naendelea kuzingatia mafunzo yenu mama na mwana. 😘😘
@uwingeneyeshadia76974 жыл бұрын
Mama unafunda kwa hekma na busara na adabu🙏 Mansha Allah
@fettymudy88945 жыл бұрын
Ntakufata mama uwe somo wangu nmekubali
@hafsakhamis5334 Жыл бұрын
Asante kwako mama ...Ila pia hongera...mana pia umepata uyo mume wakujali ayo unayomfanyia
@milkajanuary90565 жыл бұрын
Muda wa kazi tu hapa ,nani anapenda
@centralboytz42405 жыл бұрын
😅😅😅we mama ni kwikwi🙌 watu hawajui wanakwama wap 👌
@user-qv8zq3fy7fАй бұрын
Mama umetisha ❤❤nowadays lzma tutambue pesa kuna botu lapwezi kununua isipokuwa jali japo utu w mtu ata km haba kitu
@archykawere14304 жыл бұрын
Mama mahaga u are fire...amazing concept plus u look amazing hun
@thexoshowtira4 жыл бұрын
Thank u darling 😍😍
@marysdiosa87643 жыл бұрын
@@thexoshowtira Da Tee tunaomba # za kungwi tuna jambo naye
@thexoshowtira3 жыл бұрын
@@marysdiosa8764 Huyu nilipoteza cm,labda nikupe za huyo mwingine
@aishasalum79363 жыл бұрын
@@thexoshowtira namba ya kungwi please dadake
@wennybarny1685 жыл бұрын
Mwanaume anakuwa na ww mwanamke akikupenda tu au la wale wanaoroga wanaume ndo wanafanikiwa. Hakuna kauli wala matendo. Kuna wanawake wachafu wananuka, wagomvi, wavivu, hawjui kupika na wana kauli mbovu sana kwa wanaume zao ila ndo wanapendwa na hawaachwi.
@shamimkingazi89255 жыл бұрын
Basi ujue mwanaume kampenda kupitiliza 😍 hata pia kuna wanaume wachafu hata kuoga hawataki ila unakuta nwanamke ammpeeeeenda kwahiyo kuacha ni mtihani sio kuwa wee mbaya au mchafu au anuka domo 😛😛😛😛😛😛mwenyewe meno kaa nashabikia yanga lkn napigwa mabusu 😎
@mwasitiramadhan56345 жыл бұрын
@@shamimkingazi8925 😂😂😂😂😂😂😂
@shamimkingazi89255 жыл бұрын
@@mwasitiramadhan5634 😆😆😆😆😃😃😘😘😘😘
@anithaswalleh58375 жыл бұрын
Shamim Kingazi 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 umenichekesha wakati nilikua nimenuna jaman duuh una vituko wewe
@jamilajamila96825 жыл бұрын
@@shamimkingazi8925 🙈🤭🤣🤣🤣🤣🤣👌🤣🤣
@emmanuelnzaligo62624 жыл бұрын
Mama umeongea kweli kabisa endelea kuwafundisha dada zetu hata hawaelewi
@jenipherclement21034 жыл бұрын
Jmn kuna wanaume ata umfanyie nn haelew,,,, huzun kwel ndoa za ck hz
@angelngoye49105 жыл бұрын
Kungwiii umetishaaa😆😆
@PendoPanclas-lt5zu Жыл бұрын
Jamani Mumy asantee saaaaaana ❤❤ Nakupend buree🥰🥰
@wambuimungai19505 жыл бұрын
Haloooo Oooo!! 😍👌
@salmasaid1521 Жыл бұрын
Shukran kwa somo nzuri
@WitnessOchora-dd1gm Жыл бұрын
Jamn atali ❤❤❤ nmepnd mamy natmn nkiolew uwe como wanguu🙏🏽😘 mung akulinde n akzdshie umr mlefu amina
@WitnessOchora-dd1gm Жыл бұрын
🙏🏽❤️
@sponsor78825 жыл бұрын
SOMO ZURI KWA SLAY QUEEN
@bintiiddy70435 жыл бұрын
Haaahaaaa jaman uwiii mbavu zangu mie Asante sana ubarkiwe mama
@obviousmphande86215 жыл бұрын
Dada wewe Safi sana wafundishe hawo wasiejua kwakweli mwanawake wengine wanaboa sana .hata kama mtu unataka kucheza muda mlefu unashindwa maana navitu vingine ukiviona hata mpaka nguvu zinapotea kabisaaaaa tafauti na muonekano wake.
@zainanamaganda65435 жыл бұрын
Mashaallah shukran jazzakah Allah kheirah from UAE
@SafeHaven_TV4 жыл бұрын
Nimewapenda bure...Ooh TIRA..
@SafeHaven_TV4 жыл бұрын
@@thexoshowtira Tira,hivi unajua ulivyo kweli?Great show by the prettiest host ever....duuh.
@truemindstv1425 жыл бұрын
Hahaha mama anajuavyo, nani kweli kabisa
@ramadhantembo24534 жыл бұрын
Mama mola akuzidishie neema yenye kheri na afya njema ukapate kuishi vyema katika ardhi hii kwa ajili yamasomo yako yahekma na taadhima, kila laheri mama!!
@ruthcharles36494 жыл бұрын
asante sana kwasomo zuri
@jaligawesa4 жыл бұрын
Nimechekaaaa!!😂
@FloraMwavulaАй бұрын
Umetisha mama❤❤❤
@user-xi1pi4zr3b5 жыл бұрын
Mama hatari nmekuelewa sana.
@user-fj6gp4hi6c4 ай бұрын
Asant sana mamy
@lucywanjiru42184 жыл бұрын
Napenda haya👌👌
@Ngoniboy06234 жыл бұрын
Naomb ntafute kwa WhatsApp number +255627714797
@maryambailakhunani33605 жыл бұрын
Hatwareee kungwi nimekupenda
@erickendrick33305 жыл бұрын
Ahahaha.....Duuuu
@vibestudio47075 жыл бұрын
kwa darsazaidi tupe namba tukuletee wari wetu plz
@imeldabwire66285 жыл бұрын
nimekupenda mom,asante nimekuelewa
@jeffmauzo54835 жыл бұрын
Hahaha lazima apige pap
@rosenaadolfu32595 жыл бұрын
Hamna kitu hapo ujinga mtupu. We sema umempata wa bahati yako mama kaa utulie
@jacksonchimomo5544 жыл бұрын
Rosena Adolfu Wew ndo mjinga wa kutupwa jiwe hilo limekupa
@hajiiddy48434 жыл бұрын
@@jacksonchimomo554 ndio anatabia hizo zinazosemwa hajui saman ya mwanaume na kwa tabia hiyo tutawatumi na kutupa kule anafundishwa anasema upumbavu
@mwasitilimbanga74945 жыл бұрын
Ilo nalo neno mama maana sikuizi wasichana tunajifanya wajuwaji kuliko uwezo wetu
@emmanuelpaul244 жыл бұрын
Umenena
@julesnahimana10685 жыл бұрын
Mola Ali jaliye ,maneno mazuri
@winfridapeter44584 жыл бұрын
Ahsante sana
@zainabumohammed83345 жыл бұрын
hahahaha Hatareee Mambo Fire
@futureyouthfoundation58014 жыл бұрын
tena sana
@elishamaligana51873 жыл бұрын
Nimeipenda hiyoooo
@sadambaraka75834 жыл бұрын
Mashallh
@leilaabdul85975 жыл бұрын
Mwingine unampikia vizuri anashiba unafanya kila lakini mkiingia kitandani anakwambia kachoka
@esperancenzeyimana24335 жыл бұрын
Leila Abdul Iyo ni kweri kabisa
@futureyouthfoundation58014 жыл бұрын
akichoka njoo kwa watoto wakungwi huku tukupe raha dada
@futureyouthfoundation58014 жыл бұрын
akizingua tyu kacho piga hap kwa mtoto wa kungwi au tuma namba tuje kumuonesha mwanamke anataka nn bhan tena mpuuzi huyo
@lulusanga23264 жыл бұрын
@@futureyouthfoundation5801 😂😂😂😂
@rsshidmnkonje743220 күн бұрын
Toeni ushauri sana Kwa wadada wa sasa
@victoriamefya62875 жыл бұрын
oioioiioi 😘😘😘kungwiii
@abellangaiza79404 жыл бұрын
Naomba namba somo
@karimhamis7 ай бұрын
tira bwana eti lazimaaaaa😂😂😂😂
@evefesto19854 жыл бұрын
Jaman Tira nimekumiss mno
@neybeuty36193 жыл бұрын
Du nipevitu vya nguvu nikupe vituvyanguvu😄😄
@deborahrehema58195 жыл бұрын
Fantastic mama kinywa cha mwanamke ndo chanzo cha ndoa kuaribika
@chique235 жыл бұрын
haswa
@jenniferkayoza96184 жыл бұрын
ukweli nuksi tena mbaya sema hawajitambui wa ivyo
@madiyamsonde5625 жыл бұрын
amisa chuma 😚😚😚
@zahramunir85965 жыл бұрын
Hahaa eti nna bahati? kumbe una nuks!!
@adbulmama50653 жыл бұрын
Kweri Maman unasema ukweri
@tamimamtumwa-sw8xy9 ай бұрын
Nakupataje mama
@birehaissa26615 жыл бұрын
Nakubali napenda usafi
@muhamedwardah51445 жыл бұрын
Mme ni funza asante😍😍😍😍😍😍😍💞💞💞💞💋💋💋💋💋💋💋
@veronicabernard41513 жыл бұрын
Kwastahili hii hatuachwiii
@fatumahassan72732 жыл бұрын
Asante mama
@hamdatyussuf60305 жыл бұрын
Jamani naomba namba ya somo tafadhali
@pendondossy21584 жыл бұрын
Asanteeeeeee
@ummulkheirzubeir63205 жыл бұрын
Asante mama ake
@atsubaby127 Жыл бұрын
Kabisa
@thebesthoyame5 жыл бұрын
If possible can you put english subtitles please
@futureyouthfoundation58014 жыл бұрын
she sayed that no matter how girls proud themselve that i am break up with him because i decided it that is not true there is something behind that she failed to do inorder to in spear him so better to find a way to in speared him
@bernaderthalepord42255 жыл бұрын
Nimekupenda bure dada nikupate wapi
@bellasempa93304 жыл бұрын
🔥🔥
@asmutabasli35902 жыл бұрын
💋💋💋💋💋💋💋💪💪💪💕💕💕💕💕Asnte mmi nakwamin
@mauwawilson323 Жыл бұрын
🤣🤣🤣ukweli mama
@tiifhabby74115 жыл бұрын
Wanaume wa cku wao wenyew mahaba hawa yawajui😆😆tena man wa dar ndio kabisaa wanavyo. Penda zegee atari😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ukiuliza eti ataki awe na kitumbo
@merryn48915 жыл бұрын
Kweli
@bigboy85085 жыл бұрын
Nataka mke wa kufira. Pesa ziko
@user-xd3pu3pk5d5 ай бұрын
mama unafunda vizur sana
@dianamedi74535 жыл бұрын
Now days thanks kadriyawanawake asilimia98 wameendelea kwausafi na jinsiyakututumia maeneoyao yaikulu hadi wanaume wanachanganyikiwa na hasa wandaniyandowa kwahapa me nahisi hajafunza kipya. Still anahitajikusoma zaidi
@ridiamwainunualsee74954 жыл бұрын
Diana medi safi
@nasrairunga77305 жыл бұрын
Huyu mama nizaidi ya fundi
@lucymayelias31145 жыл бұрын
Mh mambo hayo pambe kwel kweli👌👌
@user-op9uf6ji1r6 ай бұрын
Mama asante kwa mafunzo yako
@eliaamoss37203 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 eti nikwa babako
@AikaKassa22 күн бұрын
❤
@rizikisamwel99045 жыл бұрын
Asante
@vailethjoseph56745 жыл бұрын
asante asante asante asante asante asante asante
@rizikisamwel99045 жыл бұрын
Waambie bibie
@mymswadik67955 жыл бұрын
Nisaidie no za kungwi,au nampataje?
@francoismalenge1373Ай бұрын
Hello 👏
@bigboys0164 жыл бұрын
Subutu yao,hawa waleo wenye mahaba ya njiwa
@pendosamwel75114 жыл бұрын
naomba namba yahuyo kungwi
@mwazanimbogo59964 жыл бұрын
Nimekuelewa Dada mie 22 ndio kwanza mkoko unaalika maua
@hafsakhamis5334 Жыл бұрын
Ila wanaume wengine hata uwafanyie nin hawaridhiki
@alisss97575 жыл бұрын
Nikweli asante mama
@ysean98724 жыл бұрын
Will they do the same for us??😢 au sisi tufanye tuu lkn hatufanyiwi
@lifesailor9814 жыл бұрын
'Treat yours, the way you love to Be treated'
@medi222alrajhi95 жыл бұрын
Mh majisifu mengi huna lolote
@saunahussein48875 жыл бұрын
medi222 alrajhi yoi
@ashatimo46663 жыл бұрын
❤❤💋
@khalfanabdulrahman47055 жыл бұрын
Please if I may have the contact of the guest in this episode. I would like her to teach my wife a few things. Thank you
@thebeautifulone79825 жыл бұрын
lol
@paulinengugi34355 жыл бұрын
🤣
@hamzanyimkuu80024 жыл бұрын
Same to me 😀😀😀
@marymamakevj32274 жыл бұрын
@@thebeautifulone7982 😂😂
@birih88012 жыл бұрын
😂😂
@qutbabyqut915 жыл бұрын
Atali
@tommytyga44174 жыл бұрын
watoto hamruhusiwi huku
@khadijadaudi59345 жыл бұрын
Uko vizuri my dada
@ilovejesus93035 жыл бұрын
Kitaalam hauruhusiwi kinawa huko chini kwa kuingiza kidole( douching). Wala hutakiwi kunawa na sabuni inauwa Bacteria. Unatakiwa kunawa na maji tu, mwili wenyewe unafanya natural cleansing. Wataalamu mpo humu ndani? Au mnasemaje?
@joymas16535 жыл бұрын
What she said ukifanya hivyo , utapata fungus milele
@thambulilucia98985 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe kabisa 💯💯 Hata mtu aoshe na manukato yote ya dunia kila mwanamke huwa na harufu yake ya ukeni
@tausikichukwi75205 жыл бұрын
Ni kweli kidole hakitumiki kujisafishia huku......ni maji unapitisha tena bila sabuni!!
@safiamasoud13285 жыл бұрын
Kidole lazima kipite na harufu ya huku kweli ipo ila ikiwa hujasafisha lazima itoke harufu tofaut(kuna kunukia na kunuka) sasa usiposafisha lazima unuke!!