Jamani habari za hapo naomba sana no. Yake ya simu mimi nipo znz
@user-hb2wd8lu7b Жыл бұрын
Mashallah somo nzuri Asante hongera Sana
@witnessmarley5391Ай бұрын
Mama hatariiiiiiiii uyu..
@thexoshowtiraАй бұрын
@@witnessmarley5391 sanaaaaa
@muhimuziahadi77793 жыл бұрын
Eti niko up to date nakupenda saana mama
@zainabally11743 жыл бұрын
Mama pambe wewe ni fire
@cicihammy69764 жыл бұрын
Nampenda Da Maamisaa😍😍 Sauti ya zegee👌🏾
@bintysaid71774 жыл бұрын
Sawasawa ma amissa nimependa manenoyako.
@bintomari64512 жыл бұрын
Nakubali mama tufunze atuyajui hayo ss
@shaymohd65472 жыл бұрын
Waume wa sasa mtihan sana waweza kufa njaa et wamgojea inataka somo sana hii other wise mtu atajapata ulcers 😎
@user-fv2sn7js7g2 жыл бұрын
Siyo wanaume wa sasa duuu utakura kama hutaki basi duuuuu kazi kabisa 😆😆😆😆😆😆😁
@Arfa1234-k1f28 күн бұрын
❤❤❤ Love you
@alassannzhass68934 жыл бұрын
hahahaha maamisa kabisaaa wewe ndo mama lao hahahaha
@samsungoman56264 жыл бұрын
Somo nzuri asante
@gracegayo4228 Жыл бұрын
Hongera mamaa
@vailethywalter56744 жыл бұрын
asantee mamaaaaa tuvunzeee 👌Tiraaaa😘
@mwandawakambi-qf9oz Жыл бұрын
Nampenda huyu bibi naitaj group lake
@thexoshowtira Жыл бұрын
😄😄😄
@JoelleChirhalabwa26 күн бұрын
X❤❤❤❤
@TravelTheWorld00004 жыл бұрын
Receive Love from your Kenyan fan. This is my best Swahili channel. Tira you always sound mature and lovely
@thexoshowtira4 жыл бұрын
Thank you so much and keep spreading the luv out there
@blan3298 Жыл бұрын
Mom hatari wew unanifurahisha haswah
@xkingx80414 жыл бұрын
Ivi jamani!! Mbona kila siku wanawake ndio wanafundwa!! Fundeni wanaume wawe wanatufanyia haho yote. Maana mapenzi ya kweli hutoka kwa Mme na sio kwa mke.....sio kila siku wanawake tuu...
@rizikisalum96784 жыл бұрын
Kweliii
@azzaally52154 жыл бұрын
Kwel kabisa so kila kitu wafanye wanawak tu
@faidavictoria4 жыл бұрын
Jamani sindo apo sasa mambo ni 🔥🔥🔥😁😂🤣
@rose_Winchester864 жыл бұрын
Kweli kabisa mwanaume ndo anatakiwa ampende mwanamke sana
@teljanahmed20514 жыл бұрын
Mwanamke akiongoka familia itaongoka pia
@ashashabani42104 жыл бұрын
kungwi noma sana huwa nakuelewa sanaaaa
@allymeme87923 жыл бұрын
Piga Kelele kwa somo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@teljanahmed20514 жыл бұрын
I really loved this show oooh my Goodness fantabulous
@thexoshowtira4 жыл бұрын
Teljan Ahsanteeeee
@lovenesssamwel93163 жыл бұрын
Na wapenda sana
@maryamabdullah91692 жыл бұрын
Asante maa Misa kwa Somo zuru
@rehemamsuya22634 жыл бұрын
Nimekusoma ila na huyo bwana awe mtunzaji hupewi huduma utakua smati jmn vingine muangalie
@liliannaomi69814 жыл бұрын
Wakuhanya hata umshushie mbingu atatoka tu. Hayo siwezi hata kwa madawa
Jmn huo muda wa kukaa na night dress au kanga watoto hawapo?
@thexoshowtira4 жыл бұрын
Chumbani kwako
@rizikisalum96784 жыл бұрын
Unakanayo ata wakiwepo si watoto wako
@yaredmwambosa33024 жыл бұрын
Chumbani mama unamaliza
@jenipherclement21034 жыл бұрын
Kna wanaume hawaridhiki nifanyeje?
@suzanailembo54694 жыл бұрын
Mimi ninaswali ninataka kuuliza kwa bibi hapo! Ivi kama uko nampenzi yako nayeye anakupenda sana, ata nawewe pia unampenda sana alafu hinafika atuwa anapenda kutembea nawewe kimweli. And wewe aujawai kufanya ivyo kwa mwanaume wowoteule. Nayeye ndo wakwanza kukuambia ivyo, alafu na wewe unampenda sana sasa mtu anaweza kufanyanini.
@rizikisalum96784 жыл бұрын
Mwambie mufunge ndoa Kwanza baadae ndo mufanye maana ukifanya nae saivi hakuowe ataenda kuowa kwemgine
@suzanailembo54694 жыл бұрын
Riziki Salum sasa kama yeye ndo amekuaribu wewe nabado ajakuowa naunampenda! sasa inaweza kuaje hapo.
@rizikisalum96784 жыл бұрын
@@suzanailembo5469 unajuwa wanaume kwa muda huu ni wachache wanao hitaji kuowa kwa iyo Alisha kuchezea baadae anakuacha itakuwa unamazowea ya kuwa na mwanaume asa itabidi utafute mwengine naye akikuacha utaenda kwa mwingine kwaiyo itakuwa no kuchezewa na Kila mwanaume ndoa ni muhimu kwakweli baadae ndio yafate maingiliano