Mwanamke mnyenyekevu hapigwi na mumewe hata siku moja, mwanamke mjuaji, jeuri, mbishi, asiyejua kuomba msamaha hawa nd 'o wanaopigwa mpaka kutolewa meno. Hakuna mwanaume katili kwa mwanamke mnyenyekevu na mwenye heshima.
@rahillhamidu25444 жыл бұрын
Mwanaume wa kupiga niwa kupiga tu
@mutwalesylvie74433 жыл бұрын
Mh atari sana
@ritamutoka77684 жыл бұрын
Kweli kabisa ! Ndoa inashindikana kwa kuwa wengi ni dreamers na wana unrealistic expectations. Ndoa ni za mature people sio za watoto !
@juliuskoina66844 жыл бұрын
Julius from.kenya Maamisa chuma ,,wasema ukweli mtupu. I love ur shows
@leonardkarwani27524 жыл бұрын
Mm nimwanaume mama anasema kweli
@robertpangisa13534 жыл бұрын
Kipindi chako kizuri sana Dada. Ni kweli sisi wanaume tunataks maneno matamu hasira zote zinaisha
@ashapearubart26244 жыл бұрын
Mwezangu sio waleo hawo wanaume. Wazamani sawa. Hawa wa sasa. Mmm
@ikhlassathman87823 жыл бұрын
Waleo ni dotcom. Wadigital vichwa vigumu!
@mariamm27243 жыл бұрын
Mwanamke ukiwa mpole mnyenyekevu na unaheshima Mumeo na kuwa na sauti ya upole pia kuomba radhi hata kama huna kosa wallah huwezi pigwa kamwe,
@mohammedalshahwani15422 жыл бұрын
Asante mama mungu akuzidishie umri
@estarkapinga61263 жыл бұрын
Pacha wa bihindu mungu akuweke
@valenakomba76864 жыл бұрын
Je kama alikotoka kashakutana na nyingine kama hiyo? tena ya mwanamwali? unafikiri ataijali hiyo yako? ukiona hivi basi huyo hajakasirika.
@wennybarny1684 жыл бұрын
Mwanaume atakuwa na mwanamke akimpenda tu huyo mwanamke Hakuna lolote mwanamke atafanya ili apendwe na mwanaume Wapo wanawake wagomvi, wachafu, wakorofi, wana hila BADO WANAPENDWA SANA NA WANAUME ZAO Mwanaume hata umnyenyekee vp, akiamua kuwa msumbufu, atazidi kukusumbua tu maana unavomnyenyekea ndo anazidi kukuona mnyonge au unampenda sana na huwezi kuishi bila yeye na atakutesa km uko jela.
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
Ukweli💯💯
@hanifaamani33634 жыл бұрын
Maneno kuntu!
@ashashabani42104 жыл бұрын
kungwiiii saulaaaaaa
@juliusmzengaboma98924 жыл бұрын
Saafi Mama mtu mzima waambie hao vijana wabishi na wanapandisha kauli kwa Wanaume wakiwa na majeans yao wanayovaa mpaka kitandani ndio maana wanaoteshwa nundu mchana kwa kubondwa kila wakati.
@mdmubrak81524 жыл бұрын
Akunakupigwa nimwendo wakusaula2
@abdulabdalla80764 жыл бұрын
Uko vizuri
@deusmauka96264 жыл бұрын
Hakuna mwanaume mbabe kwa mwanamke mnyenyekevu na anaejitambua, jifanye mjuaji, jifanye jeuri,utatolewa meno, jifunzeni kubembeleza,muwe na heshima.
@mwanaisha5224 жыл бұрын
Hakika ht akikasirika baadae atarud t
@zuhuramwawimo9974 жыл бұрын
maa asante kwa mafunzo yako😅😅😅
@salya88844 жыл бұрын
Ni kweli mamangu
@damsonwillison4354 жыл бұрын
Hahahaha hahahaha mama wewe noma
@lemonadesoldier13774 жыл бұрын
Waambie ukweli mtupuuuu mama hawaelewi hao
@catravaax71584 жыл бұрын
Sasa jamani uwo mtandio utauva kweri sem zabaridi kari 😨😨
@AbdulwahidAbdulla-qj8jh Жыл бұрын
Mama mesa nimependa hiyo umeomba kazi umepata kazi kwahiyo uwajibike sio kulala mika
@amourmtungo6234 жыл бұрын
Mwanamke kama ua hapigwi hupendwa na kuengwaengwa. Kiswahili cha pwani hichi kama hufahamu ulizia. Mwenye kujua mapenzi anajua kuwa wanawake ni vitulizo na starehe zetu kwanini kuwapiga. Hebu lipige ua halafu uone matokeo yake.
@jacksonmathayo65103 жыл бұрын
Kabisa aiseee
@saadaissa22344 жыл бұрын
Da mamisa hahahaha unahatari wallah
@rose_Winchester864 жыл бұрын
😂😂😂 mapenzi ya majani uota popote😅
@zainathcuwimigishazchelsea21134 жыл бұрын
HahaHahaha Alhamdoulillah uyu mama Allah akuifadhi. Daah nikiolewa nakuja TZ nikutafute
@hajihassan54334 жыл бұрын
ZCuwimigisha Zchelsea njoo nikuoe Tanzania lkn visiwani.
@MARIAAPOLNAL9 ай бұрын
haha ss tunapgwa kila siku
@oparetionmaalum90304 жыл бұрын
Maana wanawake wasaiv wajeuri Kama nyoka au kenge
@flomenastephen22262 жыл бұрын
Kweli mwanaume ukikaa nae ujue anakupenda sio Siri
@samzuuseif3 жыл бұрын
Assalamu aleikum madam maamisa, unaeza ukawa mnyeyekevu na ukatumia utulivu ukakaa nae na kuongea nae na asikujib au asikir kosa lake vp hapo utafanyaje au utachukua maamuz gan
@wencmbilango86224 жыл бұрын
Yuko vizur
@raheemarahman14354 жыл бұрын
Asante
@elikanashega15142 жыл бұрын
Mama wanaume wasiku hizi wanapiga hadi huku chini yan shida tupu
@Qs355710 ай бұрын
Hamna we Kwa mkeo lazima ale kpigo labda mchepuko,Kwa wife nishamzoea hawez kunitega nishndwe kufanya nilopanga
@user-hy9pp5rp9i16 күн бұрын
Correct mke mwenzangu ni mjuaji balaa Kila siku kipigo nashkuru sijawahi guswa yy ugomvi mkubwa kupekuwa sim ya mume mm naiyona kama kituo Cha polisi kavunjwa mkono Kwa vipigo 😂😂😂
@husnajohn74664 жыл бұрын
Mwanaume mwingine nyenyekea were mwisho wa picha unaomba matumizi anaanza ugomvi,huyo na aende tu
@modestarubunda42504 жыл бұрын
Weee! Siwezi.
@saidiomali33244 жыл бұрын
Kiukweri huyu mama ni mkwer naomba nikuoe japo umri umeenda
@gracekibelenge652 жыл бұрын
Hahahahha
@jasminyiddysulaiman98074 жыл бұрын
Lvyu Tira
@gloriamalisa30334 жыл бұрын
thancs much
@akidamzinga18283 жыл бұрын
Saw
@nuranzubail81344 жыл бұрын
Mimi ni mwanaume huyu mama ameongea ukweli kabisa
@rizikisalum96784 жыл бұрын
Si utakuja kukimbia uchi anakupiga uvue nguo
@ritasheriff78144 жыл бұрын
Si kweli, kuna waume hata umfanyie lipi hashughuliki na wewe wala hata uke wako haumsisimui. Anakaa mwaka hakushiki wala hata busu. Je huyu naye ni wa kuvumiliwa?