Uzee mapenzini hakuna..Acheni uvivu

  Рет қаралды 79,079

The XO

The XO

4 жыл бұрын

Пікірлер: 90
@deusmauka9626
@deusmauka9626 4 жыл бұрын
Mwanamke mnyenyekevu hapigwi na mumewe hata siku moja, mwanamke mjuaji, jeuri, mbishi, asiyejua kuomba msamaha hawa nd 'o wanaopigwa mpaka kutolewa meno. Hakuna mwanaume katili kwa mwanamke mnyenyekevu na mwenye heshima.
@rahillhamidu2544
@rahillhamidu2544 4 жыл бұрын
Mwanaume wa kupiga niwa kupiga tu
@mutwalesylvie7443
@mutwalesylvie7443 3 жыл бұрын
Mh atari sana
@ritamutoka7768
@ritamutoka7768 4 жыл бұрын
Kweli kabisa ! Ndoa inashindikana kwa kuwa wengi ni dreamers na wana unrealistic expectations. Ndoa ni za mature people sio za watoto !
@juliuskoina6684
@juliuskoina6684 4 жыл бұрын
Julius from.kenya Maamisa chuma ,,wasema ukweli mtupu. I love ur shows
@leonardkarwani2752
@leonardkarwani2752 4 жыл бұрын
Mm nimwanaume mama anasema kweli
@robertpangisa1353
@robertpangisa1353 4 жыл бұрын
Kipindi chako kizuri sana Dada. Ni kweli sisi wanaume tunataks maneno matamu hasira zote zinaisha
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 4 жыл бұрын
Mwezangu sio waleo hawo wanaume. Wazamani sawa. Hawa wa sasa. Mmm
@ikhlassathman8782
@ikhlassathman8782 3 жыл бұрын
Waleo ni dotcom. Wadigital vichwa vigumu!
@mariamm2724
@mariamm2724 3 жыл бұрын
Mwanamke ukiwa mpole mnyenyekevu na unaheshima Mumeo na kuwa na sauti ya upole pia kuomba radhi hata kama huna kosa wallah huwezi pigwa kamwe,
@mohammedalshahwani1542
@mohammedalshahwani1542 2 жыл бұрын
Asante mama mungu akuzidishie umri
@estarkapinga6126
@estarkapinga6126 3 жыл бұрын
Pacha wa bihindu mungu akuweke
@valenakomba7686
@valenakomba7686 4 жыл бұрын
Je kama alikotoka kashakutana na nyingine kama hiyo? tena ya mwanamwali? unafikiri ataijali hiyo yako? ukiona hivi basi huyo hajakasirika.
@wennybarny168
@wennybarny168 4 жыл бұрын
Mwanaume atakuwa na mwanamke akimpenda tu huyo mwanamke Hakuna lolote mwanamke atafanya ili apendwe na mwanaume Wapo wanawake wagomvi, wachafu, wakorofi, wana hila BADO WANAPENDWA SANA NA WANAUME ZAO Mwanaume hata umnyenyekee vp, akiamua kuwa msumbufu, atazidi kukusumbua tu maana unavomnyenyekea ndo anazidi kukuona mnyonge au unampenda sana na huwezi kuishi bila yeye na atakutesa km uko jela.
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 4 жыл бұрын
Ukweli💯💯
@hanifaamani3363
@hanifaamani3363 4 жыл бұрын
Maneno kuntu!
@ashashabani4210
@ashashabani4210 4 жыл бұрын
kungwiiii saulaaaaaa
@juliusmzengaboma9892
@juliusmzengaboma9892 4 жыл бұрын
Saafi Mama mtu mzima waambie hao vijana wabishi na wanapandisha kauli kwa Wanaume wakiwa na majeans yao wanayovaa mpaka kitandani ndio maana wanaoteshwa nundu mchana kwa kubondwa kila wakati.
@mdmubrak8152
@mdmubrak8152 4 жыл бұрын
Akunakupigwa nimwendo wakusaula2
@abdulabdalla8076
@abdulabdalla8076 4 жыл бұрын
Uko vizuri
@deusmauka9626
@deusmauka9626 4 жыл бұрын
Hakuna mwanaume mbabe kwa mwanamke mnyenyekevu na anaejitambua, jifanye mjuaji, jifanye jeuri,utatolewa meno, jifunzeni kubembeleza,muwe na heshima.
@mwanaisha522
@mwanaisha522 4 жыл бұрын
Hakika ht akikasirika baadae atarud t
@zuhuramwawimo997
@zuhuramwawimo997 4 жыл бұрын
maa asante kwa mafunzo yako😅😅😅
@salya8884
@salya8884 4 жыл бұрын
Ni kweli mamangu
@damsonwillison435
@damsonwillison435 4 жыл бұрын
Hahahaha hahahaha mama wewe noma
@lemonadesoldier1377
@lemonadesoldier1377 4 жыл бұрын
Waambie ukweli mtupuuuu mama hawaelewi hao
@catravaax7158
@catravaax7158 4 жыл бұрын
Sasa jamani uwo mtandio utauva kweri sem zabaridi kari 😨😨
@AbdulwahidAbdulla-qj8jh
@AbdulwahidAbdulla-qj8jh Жыл бұрын
Mama mesa nimependa hiyo umeomba kazi umepata kazi kwahiyo uwajibike sio kulala mika
@amourmtungo623
@amourmtungo623 4 жыл бұрын
Mwanamke kama ua hapigwi hupendwa na kuengwaengwa. Kiswahili cha pwani hichi kama hufahamu ulizia. Mwenye kujua mapenzi anajua kuwa wanawake ni vitulizo na starehe zetu kwanini kuwapiga. Hebu lipige ua halafu uone matokeo yake.
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 3 жыл бұрын
Kabisa aiseee
@saadaissa2234
@saadaissa2234 4 жыл бұрын
Da mamisa hahahaha unahatari wallah
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 4 жыл бұрын
😂😂😂 mapenzi ya majani uota popote😅
@zainathcuwimigishazchelsea2113
@zainathcuwimigishazchelsea2113 4 жыл бұрын
HahaHahaha Alhamdoulillah uyu mama Allah akuifadhi. Daah nikiolewa nakuja TZ nikutafute
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 жыл бұрын
ZCuwimigisha Zchelsea njoo nikuoe Tanzania lkn visiwani.
@MARIAAPOLNAL
@MARIAAPOLNAL 9 ай бұрын
haha ss tunapgwa kila siku
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 4 жыл бұрын
Maana wanawake wasaiv wajeuri Kama nyoka au kenge
@flomenastephen2226
@flomenastephen2226 2 жыл бұрын
Kweli mwanaume ukikaa nae ujue anakupenda sio Siri
@samzuuseif
@samzuuseif 3 жыл бұрын
Assalamu aleikum madam maamisa, unaeza ukawa mnyeyekevu na ukatumia utulivu ukakaa nae na kuongea nae na asikujib au asikir kosa lake vp hapo utafanyaje au utachukua maamuz gan
@wencmbilango8622
@wencmbilango8622 4 жыл бұрын
Yuko vizur
@raheemarahman1435
@raheemarahman1435 4 жыл бұрын
Asante
@elikanashega1514
@elikanashega1514 2 жыл бұрын
Mama wanaume wasiku hizi wanapiga hadi huku chini yan shida tupu
@Qs3557
@Qs3557 10 ай бұрын
Hamna we Kwa mkeo lazima ale kpigo labda mchepuko,Kwa wife nishamzoea hawez kunitega nishndwe kufanya nilopanga
@user-hy9pp5rp9i
@user-hy9pp5rp9i 16 күн бұрын
Correct mke mwenzangu ni mjuaji balaa Kila siku kipigo nashkuru sijawahi guswa yy ugomvi mkubwa kupekuwa sim ya mume mm naiyona kama kituo Cha polisi kavunjwa mkono Kwa vipigo 😂😂😂
@husnajohn7466
@husnajohn7466 4 жыл бұрын
Mwanaume mwingine nyenyekea were mwisho wa picha unaomba matumizi anaanza ugomvi,huyo na aende tu
@modestarubunda4250
@modestarubunda4250 4 жыл бұрын
Weee! Siwezi.
@saidiomali3324
@saidiomali3324 4 жыл бұрын
Kiukweri huyu mama ni mkwer naomba nikuoe japo umri umeenda
@gracekibelenge65
@gracekibelenge65 2 жыл бұрын
Hahahahha
@jasminyiddysulaiman9807
@jasminyiddysulaiman9807 4 жыл бұрын
Lvyu Tira
@gloriamalisa3033
@gloriamalisa3033 4 жыл бұрын
thancs much
@akidamzinga1828
@akidamzinga1828 3 жыл бұрын
Saw
@nuranzubail8134
@nuranzubail8134 4 жыл бұрын
Mimi ni mwanaume huyu mama ameongea ukweli kabisa
@rizikisalum9678
@rizikisalum9678 4 жыл бұрын
Si utakuja kukimbia uchi anakupiga uvue nguo
@ritasheriff7814
@ritasheriff7814 4 жыл бұрын
Si kweli, kuna waume hata umfanyie lipi hashughuliki na wewe wala hata uke wako haumsisimui. Anakaa mwaka hakushiki wala hata busu. Je huyu naye ni wa kuvumiliwa?
@wencmbilango8622
@wencmbilango8622 4 жыл бұрын
...imekukuta nn Dada hiyooo
@shabaningabwe9876
@shabaningabwe9876 4 жыл бұрын
Kuna kitu hapo
@alassannzhass6893
@alassannzhass6893 4 жыл бұрын
hahahahahaha iyo kweli kabisa. kapatia
@zammaulidi7507
@zammaulidi7507 4 жыл бұрын
Ndio wanatolewa uchi jaribuni muoneee 😂😂😂😂
@azizasaid913
@azizasaid913 4 жыл бұрын
Zam Maulidi 😁
@frankelikana4030
@frankelikana4030 4 жыл бұрын
Wew
@hamzaliganga7437
@hamzaliganga7437 4 жыл бұрын
Mmh sio karne ihi
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 4 жыл бұрын
Waambie hao wanawake wasasa hawana isipokua ujeuri ndo wanachokijua
@wardarashidi1135
@wardarashidi1135 4 жыл бұрын
Haki ntarudi jandoni ntakuja kwako somo unifunde
@umbilahothman4963
@umbilahothman4963 4 жыл бұрын
Daaaah
@thexoshowtira
@thexoshowtira 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣Sukaaaa
@zamdakimaro2973
@zamdakimaro2973 4 жыл бұрын
Kutana na msukuma uone moto wake " tuulize sisi hakuna hapo cha kuchaura wala nini
@mwanjaarashidi7402
@mwanjaarashidi7402 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulaze mahalo pema shoga yangu mamisa
@reenaroy1968
@reenaroy1968 4 жыл бұрын
MTT wa b Hindu maamisa chuma teeynaa
@gwakisamwakabulutu4247
@gwakisamwakabulutu4247 3 жыл бұрын
Kumbe na amefanana nae kweli
@angelngoye4910
@angelngoye4910 4 жыл бұрын
Hahahha Aunt mamisa me nakukubali kinomaaa
@frankelikana4030
@frankelikana4030 4 жыл бұрын
Waooo
@zainababdallah9681
@zainababdallah9681 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@jumamnyambwa7993
@jumamnyambwa7993 4 жыл бұрын
Wakati ajachukia adihiyo inapigwa
@claramkisi5268
@claramkisi5268 4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@frankelikana4030
@frankelikana4030 4 жыл бұрын
Saw
@fikikenya1401
@fikikenya1401 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😋😋😋😋
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 4 жыл бұрын
Mama mzee bado uko sawa
@ameenatanzania4899
@ameenatanzania4899 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@malafyalemlaws3257
@malafyalemlaws3257 3 жыл бұрын
P
@hamisikadege5867
@hamisikadege5867 4 жыл бұрын
Kipo kitakachokupiga
@rizikisalum9678
@rizikisalum9678 4 жыл бұрын
Nini
@bayportsikonge6380
@bayportsikonge6380 4 жыл бұрын
Dudu
@rizikisalum9678
@rizikisalum9678 4 жыл бұрын
@@bayportsikonge6380 kwani dudu linapiga
@mrfix6596
@mrfix6596 4 жыл бұрын
@@rizikisalum9678 mboo
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 4 жыл бұрын
Tira hassan
@sanimoclassic1917
@sanimoclassic1917 4 жыл бұрын
Kama umesikia hawezi kukupiga ila kipo kitakachokupiga gonga like
@thexoshowtira
@thexoshowtira 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 4 жыл бұрын
Ww mama unaongea tu s ukute uko ameshapata toto moja matata ukimvulia ww anakuona km kabati la nguo
Maamisa chuma,
12:20
The XO
Рет қаралды 89 М.
Mchanganye mwanaume kwa vitu hivi/Fukiza/Zai Shanga
13:34
The XO
Рет қаралды 12 М.
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 16 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
Hii Ndio Sababu ya Wanaume Wanachepuka Kwenye Ndoa Zao - #Kungwi
15:42
SIRI KUMI ZA KUFANYA MUMEO ASICHEPUKE - SIRI YA 08
5:44
Flexible Entertainment Company
Рет қаралды 34 М.
HII NDIO SABABU YA SHILOLE KUMUACHA ROMY
5:03
MASI MEDIA
Рет қаралды 1,2 М.
Chonde Chonde UKE huwa hivi,baada yakujifungua.,
15:53
The XO
Рет қаралды 207 М.
Mpenzi wako hakuachi ukiyajua haya,Dr Eliud Esseko
7:59
The XO
Рет қаралды 3,6 М.
BEST MARRIAGE ADVICE TWO BY AUNTIE SAADA BEST FEMALE MC
11:49
Ianem Creations Media
Рет қаралды 1,8 МЛН
WACHAMBUZI WA MAHABA YA PWANI/UTAMU MTUPU PWANI/MWANAMKE KUINAMA/
8:28
Thinkers TV Online
Рет қаралды 60 М.
Mwanaume wako niwa hivi?mtengeneze/dawa hii hapa
14:04
The XO
Рет қаралды 10 М.
MKE NI MPISHI JIKONI NA MALAYA CHUMBANI
19:24
SABRINA WANGECI
Рет қаралды 94 М.
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42