TOFAUTI YA UPENDO NA MAPENZI | DEO SUKAMBI

  Рет қаралды 20,315

Deo Sukambi

Deo Sukambi

5 ай бұрын

Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza TOFAUTI YA UPENDO NA MAPENZI.
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ deosukambi1
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
www.youtube.com/@DeoSukambi?s...
Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #MahusianoUnaweza Kusapoti huduma hii

Пікірлер: 180
@noelinasaru1496
@noelinasaru1496 5 ай бұрын
Nilidhani ananipenda kumbe ilikuwa ni mapenzi tuu baada ya muda mfupi tukaachana .mtumishi Sasa nimeelewa asante sana be blessed.from Saudia
@ibrahimukikwilili4368
@ibrahimukikwilili4368 5 ай бұрын
Anafundisha vizuri sana nimekubali unaelimisha jamii vizuri hata mb zangu kula tuu
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Haleluyaaa
@genevievesunday
@genevievesunday Ай бұрын
Uko vzr baba
@judymwangi6370
@judymwangi6370 4 ай бұрын
Kwa mafundisho haya,🙌 basi asante sana mume wangu kwa kunionyesha upendo, kuhusu mapenz, nitapunguza haya matarajio, eeh Mungu tupe afya njema kama familia🤲...baba Emma📢📢📢📢📢🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ out with my head down
@LucyEzekiel-gm2jr
@LucyEzekiel-gm2jr 5 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, Yesu aendelee kukupatia mafunuo ili uwasaidie watu wa Mungu kwa sababu hiki kizazi kinahitaji mafundisho sana.
@sifaoksbagirishyasie2410
@sifaoksbagirishyasie2410 3 ай бұрын
ASante kwa Ujumbe huu mzuri Jamani😊🌻, nimejifunza Mengi saana. Lazma kurudi kwenye asilia, kama mababu zangu.
@hammerymachogu3885
@hammerymachogu3885 2 ай бұрын
Bravo pastor somo zuri sana nimejufunza kitu ,barikiwa sana mtu wa Mungu
@user-mw5rs6eq3w
@user-mw5rs6eq3w Ай бұрын
Nimefurahi sana kwa somo Asante sana ubarikiwe sana ❤❤❤
@ClailleICIDUHAYE-xh3ll
@ClailleICIDUHAYE-xh3ll Ай бұрын
Kweliiii unafundisha vizuli,nakupenda ten napend gisi unafundisha ❤from burundiii
@manmanonline6394
@manmanonline6394 21 күн бұрын
asante sana bro Mungu akubariki,hakika umenipa ujasiri wa kujua na kutoka ktk madhila
@godwineliya5434
@godwineliya5434 5 ай бұрын
Daah masomo mengine yalipaswa kufundishwa miaka kadhaa nyuma but somo nzuriiii nimejipatia kipande changu barikiwa Pastor Deo
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Amen amen ndugu
@fatumamesso2573
@fatumamesso2573 5 ай бұрын
Upendo ninmaana kuliko mapenzi. Asante pastor
@user-ei2ud7gh5h
@user-ei2ud7gh5h 5 ай бұрын
Asante baba nimejifunza japo sina mtu ila naogopaaa maaana hiyo engo inahitaji msaada wa mungu inshaallah khery ya allah anipe kilicho bora kwangu nami niwe bora kwakeee amin ❤❤❤❤❤shukran sana
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Mungu atakujalia aliye bora na kufaa. Endelea kujifunza
@user-ei2ud7gh5h
@user-ei2ud7gh5h 5 ай бұрын
@@DeoSukambi amin
@harosicharo2736
@harosicharo2736 19 күн бұрын
❤❤unaongea ukweli kbsa nasikiliza nikiwa mombsa likoni
@jennytugara9470
@jennytugara9470 5 ай бұрын
Hata mimi umenifurahisha sana Mr Sukambi umewatoa Watu wengi upofu. Wadada wengi kwa kweli they cant tell the difference katika Upendo na Mapenzi ndio maana ndoa zinachechemea. Kumbe expectations zao zinakuwa off🙏🏾
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Barikiwa sana ndugu
@mhamadaldo7338
@mhamadaldo7338 5 ай бұрын
​@@DeoSukambishukurani sana
@user-qv3eo5pb3g
@user-qv3eo5pb3g 5 ай бұрын
Nimekuelewa pastor ila kuna mwanaume anaupendo sana na mm ila tumeachana wazazi wamemtafutia mwanamke mwingine ila nahisi ana upendo sana bado na mm na bado nina upendo na mm je inawezekana aliyemuoa anamuonyesha upendo au ndo mapenzi tu
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
@@user-qv3eo5pb3g sasa kama upendo wake kwako haukutosha yeye kusimama upande wako ina maana gani? Wazazi wanamuamulia mke wa kuoa? Sifikiri kama huyo anajua maana ya kuwa mume
@jennytugara9470
@jennytugara9470 5 ай бұрын
@@user-qv3eo5pb3g kama ana kupenda ni jambo jema hata bible inasema pendaneni. Ila swala la mapenzi ni hisia na hisia huwa zinaisha ila upendo ndio kinacho dumu. Kama Mke alietafutiwa anampenda basi ndoa itadumu ila kama ni Mapenzi tu hisia huwa zina expire.
@salambajosephine3211
@salambajosephine3211 Ай бұрын
Nikweli unacho kiongeaa ubarikiwe
@user-vq7bp3ph7o
@user-vq7bp3ph7o 4 ай бұрын
Mungu akubariki sana tena azidi kukujaliza hayo madili nimechukua nondo hizo da! Hakika umenitoa upofu god bless you pastor
@esthermliga4875
@esthermliga4875 5 ай бұрын
Asante sana Pastor Kwa Somo zuri, tangu nimeanza kufuatilia vipind vyako Kuna kitu napokea siku Hadi siku ambavyo ni msaada San ktk familia yangu!!! Mungu akubariki sana
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Ameeeen
@frolaibrahim1257
@frolaibrahim1257 5 ай бұрын
Uko vizuri Pastor Uko sawa kabisa. Hongera kwa Kipawa hicho.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Asante..utukufu kwa Mungu
@loycep7785
@loycep7785 5 ай бұрын
Mimi Loyce niko Marekani nabarikiwa na mafundisho haya na nimejifunza kitu Barikiwa sana mchungaji
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Amen Loyce
@MarcelBlessing-ef7rz
@MarcelBlessing-ef7rz 5 ай бұрын
Papa ubarikiwe unanifadha kujuwa mapenzi na upendo ✊
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Amen..barikiwa sana
@politenessjasper4100
@politenessjasper4100 5 ай бұрын
Asante sanaa,nimekuelewaa
@work24onme
@work24onme 5 ай бұрын
Holy Spirit Amen 🙏🏼 Asante sana mwalimu Joel, God Bless you, Amen 🙏🏼
@user-sy8dr5mo1n
@user-sy8dr5mo1n 5 ай бұрын
Yanu una madini sanaaaa kaka ubarikiwe sanaaaa
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Ameeeeeen
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 5 ай бұрын
Bora upendwe kuliko mapenzi
@mavelyenlaurent8103
@mavelyenlaurent8103 5 ай бұрын
Asantee sana Kuna sehemu umenipeleka
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Barikiwa
@user-wn5te1wg4m
@user-wn5te1wg4m 5 ай бұрын
Amen mungu àkubariki
@davielubuyih-yh7sx
@davielubuyih-yh7sx 4 ай бұрын
Ahsante kwa nondo za uhakika unatutoa tongotongo kwakweli
@DeoSukambi
@DeoSukambi 4 ай бұрын
Asante sana
@gracemlawa0015
@gracemlawa0015 5 ай бұрын
Asante sana
@user-ng2ot8uz5j
@user-ng2ot8uz5j 5 ай бұрын
Asante Sana tunajifunza mengi kupitiya wewe
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Karibu sana
@work24onme
@work24onme 5 ай бұрын
Holy Spirit Amen 🙏🏼
@RukiaMdide
@RukiaMdide 2 ай бұрын
Asante sana yupo mwanaume anaupendo na mimi lakini mimi nipo mbali nipo Oman ameniambia atanivumilia mpaka nitakapo rudi ila anasema ananipenda
@LilianMbangwa
@LilianMbangwa Ай бұрын
Ubarikiwe kwa somo
@rithatekakwitha666
@rithatekakwitha666 5 ай бұрын
Asante sana mafundisho ya maana
@user-ln4ll6vq8k
@user-ln4ll6vq8k 5 ай бұрын
Asante sana ,Mungu akubariki
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Amen
@user-gv4pc9if2u
@user-gv4pc9if2u 3 ай бұрын
Kuhusu Uvamizi wa Mizimu ktk mahusiano Kupitia mila potofu unaonaje? Kuna kiburi kumbe si MTU anafanya. Mie Heri Halisi Niko Songea Kanisa Halisi. Hongera kwa kujitoa
@DeoSukambi
@DeoSukambi 3 ай бұрын
Uvamizi wa roho chafu upo lakini kabla hujafikia huko ni vema kutathmini vyanzo vingine vya tabia hizo
@user-oj6qq8up7f
@user-oj6qq8up7f 5 ай бұрын
Very true
@SubiraSanga
@SubiraSanga 4 ай бұрын
Asante kwa somo zr barkiw
@user-kx2kt8ng9g
@user-kx2kt8ng9g 5 ай бұрын
Nimekupata nipo Zambia umenitoa upofu mkubwa Mungu akuongezee maarifa
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Asante sana kutoka Zambia
@MonikaAsedi
@MonikaAsedi 3 ай бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri ,ubarikiwe sana
@PatrickMusyoka123
@PatrickMusyoka123 4 күн бұрын
Safi mwalimu
@MamaNabii
@MamaNabii 4 ай бұрын
Asante Sana pastor kwa mafunzo
@DeniseKarafuli-fn2qb
@DeniseKarafuli-fn2qb 3 ай бұрын
Asante kwa mashauri kuhusu ukimia wamwanaume
@josephwawuda3204
@josephwawuda3204 5 ай бұрын
Asate sana kwa mafundisho nyako hakii nimejifuza mengi sana kupitia haya mafundisho GOD BLESS YOU 🙌
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Amen amen ndugu
@user-mz9oy1ip1i
@user-mz9oy1ip1i 3 ай бұрын
Asante Sana kwa Somo lako nzuri
@ipyanaangetile38
@ipyanaangetile38 4 ай бұрын
Uko vizuri mtumishi .niko Arusha tunakupata
@matildakaria1532
@matildakaria1532 5 ай бұрын
Mwenzangu tulipendana tuna mwaka wa 14 hatujafunga ndoa ila tuna mpango lkn tutafanya biashara pamoja na tuko vizuri hakuna shida tunashirikiana kwa mambo mengi na ananishauri mambo mazuri hata yanayohusu familia yangu.napia tunafanya miradi kwa ajili ya maisha yetu ya baadaye.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Mungu awafanikishe kwenye nia yenu hiyo ya kufunga ndoa
@matildakaria1532
@matildakaria1532 5 ай бұрын
@@DeoSukambi Amina pastor nafaidika sana na mafundisho Yako na tayari Nina majibu ya maswali niliypkuwa najiuliza kwa kukusikuliza Kila wakati Mungu akubariki sana.
@NuratyAlly-lq7xc
@NuratyAlly-lq7xc 5 ай бұрын
Dada umeona jibu la deo jitafakari
@NuratyAlly-lq7xc
@NuratyAlly-lq7xc 5 ай бұрын
Kutengeneza mali pamoja bila ndoa ni riziki san
@joycebosire3434
@joycebosire3434 4 ай бұрын
Subiri kukimbiwa tu na huyo mwanaume. Nafikiria huwajui wanaume wewe ataenda tafuta mwanamke mwingine wa kuowa na atakula hizo Mali be careful 😅
@fatmakombo9793
@fatmakombo9793 5 ай бұрын
Asante kaka nimejifunza mengi sana 🎉
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Barikiwa
@user-tk8de2pl4j
@user-tk8de2pl4j 4 ай бұрын
Mm ni mgonjwa aiseee pastor hapo mwsho umeongea nimimi kabsa lakin mwanaume nilienae hawezi kabisa....pia if possible naruhusiwa kukupigia cm kwa namb hzo nikuelezee kitu kidogo tafadhal
@DeoSukambi
@DeoSukambi 4 ай бұрын
Sawa unaweza kupiga japo ni vizuri ukanitext whatsap ili tupange appointment
@user-dy9un3qb9g
@user-dy9un3qb9g 5 ай бұрын
Mungu akubadiriki sana Pastor
@enerstmusa5398
@enerstmusa5398 5 ай бұрын
nakukubari sana kaka naomba kitabu chako cha usilolijua kuhusu mwanaume
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Asante sana kaka..piga namba 0786903727 kukipata
@dianajuma2734
@dianajuma2734 3 ай бұрын
Asanteee mi wangu yuko bize lakin ananijali pale ninapo kua n uhitaji na hua ananiuliza kuusu changamoto zangu maan yupo mbali na mimi
@johnathumani6891
@johnathumani6891 5 ай бұрын
John kuyoka US nakupata vizuri
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Asante sana kutoka ISA
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 5 ай бұрын
Nimekuelewa
@claricemapenzi7581
@claricemapenzi7581 2 ай бұрын
Hakika umenifunza kitu asante sana
@angeldeusdedith2918
@angeldeusdedith2918 3 ай бұрын
Ashsante Mr sukambi
@user-xn9kf3kp2g
@user-xn9kf3kp2g 5 ай бұрын
Hasante mchungaji umenisaidia namimi mungu akubariki
@beera.g5302
@beera.g5302 4 ай бұрын
Asante sn pastor 🥺, very educative ✍🏼🙏🏼😊❤
@josephwawuda3204
@josephwawuda3204 5 ай бұрын
Josphine nakupata vizuri kutoka Jordan 🇯🇴
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Asante sana kutoka Jordan
@jenipherkavusha1661
@jenipherkavusha1661 5 ай бұрын
❤❤❤
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 5 ай бұрын
Asante kumbe Wengiwetu tulikuwatunadanganyika na mapenzi🤭🙏🙏
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Yeah wengi wanalaghaiwa na mapenzi
@fatumakale7004
@fatumakale7004 2 ай бұрын
Shukrn kakngu
@JohnVincent-fc3vp
@JohnVincent-fc3vp 3 ай бұрын
John vicent ,Toka singida mada nzuri
@sarah-hy7gz
@sarah-hy7gz 5 ай бұрын
Nipo ugaibun huku gulfu ndy kufa Tulia sana deo
@menshitunze
@menshitunze 2 ай бұрын
Pastor your👍good,bravo,🙏🙏
@janelmagda5064
@janelmagda5064 4 ай бұрын
Natamani nipate somo au sifa za mtu anaekupenda kwel na mwenyewe nia ya kuoa
@DeoSukambi
@DeoSukambi 4 ай бұрын
Unatakiwa uwe umezipata kwenye somo hili unless kama hujaelewa nilichoongea
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 5 ай бұрын
Kama Yesu KRISTO alivyonipenda,,,,,
@luselose9944
@luselose9944 5 ай бұрын
Nakufuatilia kutoka Saudi
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Asante sana kutoka Saudi
@DoreenMwende-te7zd
@DoreenMwende-te7zd Ай бұрын
Big up🎉🎉🎉
@aateriadaniel1135
@aateriadaniel1135 4 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@rithatekakwitha666
@rithatekakwitha666 5 ай бұрын
Kweli nimejifunza
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 5 ай бұрын
Jamani kihelehele kibaya
@happnesskitumbo5713
@happnesskitumbo5713 5 ай бұрын
Kibaya Sana, ndicho kinachpwafanya watu wengi waumizwe kwenye mahusiano.
@SophiaMalley-kw7pi
@SophiaMalley-kw7pi 5 ай бұрын
Naitwa Sophia kutoka manyara
@theresiachigali9482
@theresiachigali9482 2 ай бұрын
Nico dodoma mama samwel
@Gladysalbinus
@Gladysalbinus 4 ай бұрын
Asante sana barikiwa sana nimejifunza sana adi nimejikuta nina subscribe.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 4 ай бұрын
Karibu sana
@SahimSahil
@SahimSahil 17 күн бұрын
Nakupata viziri npo uturuki kaka salma hapa
@rozaliakimwaga4648
@rozaliakimwaga4648 5 ай бұрын
Hakika umenifundisha vingi mtumishi
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Asante sana kwa mrejesho
@PriscaWiliam-vh5tl
@PriscaWiliam-vh5tl Ай бұрын
Pastor ndoa yangu ipo ICU umenigusa sana nahitaji kukuona
@annamnyazi8206
@annamnyazi8206 Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@imanimwakinga4934
@imanimwakinga4934 5 ай бұрын
Umerahisisha sana process 😂😂😂😂😂😂😂
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 5 ай бұрын
Mwenye upendo wa dhati duniani ni mama tu🎉
@josephlubaba
@josephlubaba 5 ай бұрын
sio mama wote tu
@perpetuaganyara2048
@perpetuaganyara2048 5 ай бұрын
Somo hili liimenigusà mno, limenihusu, naitaji kufànya appointment nipone nafssi
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Karibu sana
@LupiPrisca
@LupiPrisca 3 ай бұрын
Nashuruku kwa somo zuri na vipi kuhusu mtu ambae hatoi huduma yyt na anajiangalia yy na hufanya vitu kiubinafsi hapo nko kwenye upendo au nko miaka 4 Sasa naishi nae
@DeoSukambi
@DeoSukambi 3 ай бұрын
Kuna shida mahali..upendo unaendana na kutoa sio kupokea..kama mtu hatoi basi kuna uwalakini kwenye huo upendo wake unless iwe hana uwezo kabisa
@SubiraSanga
@SubiraSanga 4 ай бұрын
kwahiy m mme wangu sipaswi kumnunulia hata yebo za kuogea
@DeoSukambi
@DeoSukambi 4 ай бұрын
Mnunulie haina shida kabisa
@universalgospelministriesh8751
@universalgospelministriesh8751 5 ай бұрын
niko kenya
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Asante sana salamu zangu kenya
@iloveoman2677
@iloveoman2677 5 ай бұрын
Salima Salim froom Oman
@user-tm8xz6de1t
@user-tm8xz6de1t 5 ай бұрын
Kwaiyo anapo kupa moyo kwenye changa moto zako je apo ana kupenda au aonyesha mapenzi
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Huyo anakupenda
@user-ri4ej8mi3l
@user-ri4ej8mi3l 5 ай бұрын
😢
@SalamaAliy-lf6vl
@SalamaAliy-lf6vl 2 ай бұрын
Naomba Jina la icho kitabu cha kumsoma mwanaume sijafahamu jina
@LilianMbangwa
@LilianMbangwa Ай бұрын
Usichojua kuhusu mwanaume ndo kinaitwa hivyo
@SophiaMalley-kw7pi
@SophiaMalley-kw7pi 5 ай бұрын
Nimependa sana mafundisho yako
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Amen amen
@user-jr4pi7lu1d
@user-jr4pi7lu1d 2 ай бұрын
Jamani mimi ninae mpenzi nampnda xana lakini kw xax ameow mke mwngine jamani kila nikfkilia naumia xana
@user-oj6qq8up7f
@user-oj6qq8up7f 5 ай бұрын
Nafatilia nkiwa saud arabia am a kenyan
@KabulimboElie
@KabulimboElie 3 ай бұрын
Jambo habari za huko Tanzanian, mimi naishi marekani ,sasa natakujuwa jinsi ya kuondoa hayo majeraa (wakati moyo umesha kauka kwa kutokana nayale uliyo yapitia)
@DeoSukambi
@DeoSukambi 3 ай бұрын
Inabidi upate therapy ya kukusaidia..wasiliana whatsap 0746104034 kubook session
@DeniseKarafuli-fn2qb
@DeniseKarafuli-fn2qb 3 ай бұрын
Denise KAVIRA KARAFULI kutoka inzi ya congo
@LeticiaShoka-me2wq
@LeticiaShoka-me2wq 5 ай бұрын
Asante mtumishi uko vzr sanaaa
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Amen amen
@jonakax
@jonakax Ай бұрын
Unazunguza ukweri kabisa
@MwajeyMussa
@MwajeyMussa 3 ай бұрын
Ndio
@zawadipeter7152
@zawadipeter7152 4 ай бұрын
Yan hakika ishi tu
@RenatusMatungwa
@RenatusMatungwa Ай бұрын
Wanawake wa kisasa mapenzi kwao ndo upendo anataka umfanyie vitu anavyohitaji hapo ndo ataamini unampenda
@user-mx6zc6tn9v
@user-mx6zc6tn9v 5 ай бұрын
Kanisa laki liko wapi mtumishi!?
@MjataHashimu
@MjataHashimu 5 ай бұрын
Somozurisana braza ahsant
@DeoSukambi
@DeoSukambi 5 ай бұрын
Asante kushukuru
@EstherGoodwell-jb5wq
@EstherGoodwell-jb5wq 4 ай бұрын
Asante sana mtumishi wa Bwana umenitowa upofu kweli yote uliyangumza kama umeniona Mimi jinsi navolalamika Mme wangu asiponigiya SIM naona kama hanipendi nimejifunza mengi sana alafu nimeamini Kweli mapenzi hayalazimichiki
SIFA TATU (3) ZA MKE | DEO SUKAMBI
1:03:07
Deo Sukambi
Рет қаралды 136 М.
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 79 МЛН
TOFAUTI YA MKE NA MSAIDIZI | DEO SUKAMBI
53:50
Deo Sukambi
Рет қаралды 6 М.
Fix You: Namna ya kuishi na watu wenye tabia tofauti kabisa na wewe
1:01:08
TENGENEZA MAISHA UNAYOYATAKA - JOEL NANAUKA
16:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 117 М.
Fix You: Makosa makubwa watu huyafanya wanapoingia kwenye Mahusiano
1:06:20
JINSI YA KUKUA KIROHO Sehemu ya Kwanza- Innocent Morris
48:27
Holy Spirit Connect
Рет қаралды 3 М.
SABABU ZA WANAWAKE KUTOKUWA WAAMINIFU KWENYE NDOA | Deo Sukambi
26:01
SIKU ZOTE CHUKI INAZALIWA MAHALI PALIPOKUWA NA UPENDO MWANZO "PASTOR MGOGO
1:12:52
SIFA TATU (3) ZA MUME | DEO SUKAMBI
55:00
Deo Sukambi
Рет қаралды 45 М.