Dah kweli nimeamin watu wetu wa media mko makini jana mlituwekea kafupi tukalalamika nikiwemo mim hapa niliomba mtuwekee angalau dakika 20 naona mmetimiza hongereni sana kwa kutekeleza maoni yetu
@abdullahpongwa15372 ай бұрын
Hongera sana Top score Azizi🔑 NBC hatukudai tena na umeziilisha ww ni nani🔰🔰💚💚 Una deni la CAF CL tunaomba msimu huu mtufanyie jambo kubwa mpk Dunia ishituke
@ernestchibulunge9518Ай бұрын
Lmk
@omarmatata-dc3mv2 ай бұрын
Gharib mzinga katangaza magoli mengi xana✌👍💛💚
@mpangalalisotha68082 ай бұрын
Hongera sana Clement Mzize kwa ma-assist ya upendo bila choyo kwa Key Aziz.
@FTUBEMEDIA_TV2 ай бұрын
Ni hazina ya nchii 🎉
@russia12532 ай бұрын
Kweli jamaa nampa mau yake 🎉🎉🎉🎉🎉 clement nho
@vickykwembe58422 ай бұрын
Waoooo,stephan Azizi k mwamba huyu
@maikojohny3452 ай бұрын
Mm nilikuwa nasubiri alivyo wafunga simba tuuu😅
@user-hp6bf5lh2d2 ай бұрын
Vile jinsi naangalia Magoli ya Ki Aziz najawa na furah😂😂😂 Nawaza mwanae na fimilia yake kwa ujumla inajisikia Raha kiasi gani Daaaa Aziz 🙋🙌🙌🙌
@eliasthomas15472 ай бұрын
Aziz ki yupo vizuri.
@shadrakagalus11852 ай бұрын
Very fantastic player in Africa,,keep it up Aziz K the king of football in Africa 🎉
@jacksonmaximilian749511 күн бұрын
👏👏👏👏👏Pongez nyng kwake Mzinze kwa ma asist
@gencychaniko88252 ай бұрын
#AZIZI K🔥
@MoTalentTz2 ай бұрын
Aziz k Stephanie 🙏🙏🙏💪🏻💪🏻💪🏻👏👏
@rehemamahendeka-rm2ek2 ай бұрын
Ewaaa,sawa sawa tunaomba takwimu za matobo,asante sana azam tv hakika burdan kwa wote hadi walionuna pia.
@user-xs7ry1ce3t2 ай бұрын
Wa kwanza naomba like
@BsekoMimi2 ай бұрын
Asante Aziz 👏🏽
@trice_yanga2 ай бұрын
tunaomba takwimu za matobo😂😂
@dullamuso69552 ай бұрын
Kweli watuhesabie Tupate takwimu za matobo
@lucasmatinya80392 ай бұрын
😂😂😂😂acheni utani jamani
@lucasmatinya80392 ай бұрын
😂😂😂😂acheni utani jamani
@jacksonlyimo14912 ай бұрын
Kweli na matobo
@jumanneenos24812 ай бұрын
Ki ukweli hii watupe tu
@user-hp6bf5lh2d2 ай бұрын
Magoli ya matobo na matobo yote kwa ujumla please😂😂😂😂😂
@DanielErnest-nn2zj2 ай бұрын
Alistahili kwa kazi aliyoifanya, Daima mbele nyuma mwiko💚💚💚💚💛💛💛💛
@PiusOnesmo2 ай бұрын
the best man of the season✅✅✅✅✅💨💚💚💚💚
@marcobulili4341Ай бұрын
Aziz anatumia robo tu ya uwezo wake aliojaaliwa na mwenyezi MUNGU! Hayuko serious sana akiwa uwanjani na huwa anakosa magoli na kupoteza pasi kizembe sana.
@HadiaMohammed-ec2dn2 ай бұрын
Mzize hana baya
@russia12532 ай бұрын
Kabisa
@user-pf5zc6xi9w2 ай бұрын
Ki master
@ShaibuKimti25 күн бұрын
KI AZIZ🙌
@wakugusamakolokocho6008Ай бұрын
Mwamba kwel kweli
@BasuleBasule2 ай бұрын
Hizo Viongozi Mnazotaka kumpa Chama Bora Mumuongeze master K wetu
@mwansasujonny3536Ай бұрын
The 2023-3024 MVP...
@EnosMwakipiti11 күн бұрын
Balaaaa 2pu na msmu huu atakua zaid
@GreysonMbisse2 ай бұрын
Tupe na assist zake
@Ramyfalz09Ай бұрын
Hata ukiondoka hauna deni kwa wana yanga amazing player
@rosemasiaga81772 ай бұрын
Congratulations key Aziz
@josepeter803327 күн бұрын
Hiiii balaaaa🎉
@sr.elizabethmbuligwe55402 ай бұрын
Kwa kweli Stefano azizik yanga msimwache kwenye usajili awamu hii 2024 Hadi 2025
@Faustine_CharlesАй бұрын
huyu azizi ki akiwa serious anaweza kufunga magori mengi sana, naona kama hajatumia uwezo wake wote bado.
@user-yk7ff9ks6q2 ай бұрын
Masha allah
@samweledward766416 күн бұрын
Yanga Bingwa ✅
@winifiridamayala4692Ай бұрын
Safi sana 💚💛💚💛💛
@dencblugalila70972 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Official.DS-99Ай бұрын
Mechi ya yanga na simba 7 kwa 2 Tunataka full mechi zikiwa kwenye video moja hahhhaha 😂😂😂😂 this is Yanga
@HamicKauno2552 ай бұрын
Wow! what A Player
@BusakieBusakiejumaАй бұрын
Huyu kweli ni mwamba kutoka wagadugu
@robertcheruiyot3182 ай бұрын
Yanga damu from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@AzamMgasha-qh9zc2 ай бұрын
Ila AZIZ KI
@NassorRashid-kx2vk2 ай бұрын
Lakin aziz ki penalty Anapig upande moja
@HassanMussa-cs9bg2 ай бұрын
Hongera kwak
@EphatKekonАй бұрын
Mfalme wa jangwanii
@user-hy3en6vk5f2 ай бұрын
Asipopewa kiatu chake tutaandamana narudia Tena tutaandamana🙏🙏🙏
@jacksonmaximilian749511 күн бұрын
💚💛💚💛💚
@SidniAlly17 күн бұрын
🔥🔥🔥
@wimranpatrickАй бұрын
Ile ya ranwen william manula ilinifirahisha daaaah
@mwajayhaxxan55072 ай бұрын
Tuekeeen magoal ya wachezaj woteeee mf max,mudathiri, guede, pacome yaaaaan n mwendo wa kujikumbusha mpaka likizo inaisha
@Asha-up1ej2 ай бұрын
Nice💚❤️💚❤️💚💚💚💚
@managerbenlight97012 ай бұрын
Tunaitaji highlights ya magoli yote ua yanga 😅
@shaibusaady24202 ай бұрын
Allaah Akbar
@richardsule44542 ай бұрын
Ilikua rahisi kwa kipa wa azam kuzuia penalt ya aziz maana hata penati zote za nbc kapiga sehemu ileile,,kwa timu zenye video analyst professional ni rahisi kugundua hili
@user-ch2it3qt5z2 ай бұрын
Kwl Kabsa azzk anapenda kupga anapga upande mmoja tu
@barakawabuge52852 ай бұрын
Kikubwa ni magoli dhidi ya mskolo😂😂
@martinmwambembe69432 ай бұрын
Master kiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@user-ch2it3qt5z2 ай бұрын
Penalty za Azzk zote anapga upande mmoja😂
@dwonder88112 ай бұрын
Wow
@TzsNatureWithJameelFarАй бұрын
best player
@mohamedkutwambiАй бұрын
Kiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii✈️✈️✈️✈️✈️✈️
@SelemanCharles-yt5op2 ай бұрын
hakika yote yanawezekanaaaaa
@user-nl3ld3vs8u2 ай бұрын
Mwamba kutoka uwaga dugu vimba2 kii azizi hauna baya apa tz,,
@salimtz62 ай бұрын
Big profile ❤
@abeljoseph4300Ай бұрын
Mwamba kabisa
@dullamuso69552 ай бұрын
Master KI
@JeniphaRobert2 ай бұрын
Goli ambalo nimelipenda lile la kichwa goli la jiooooooni nilifurah sana
@jacksonmaximilian749511 күн бұрын
😅😅😅😅😅 Tobo naziona mm tu au na nyie pia
@RaymondMcharo2 ай бұрын
💚💚🖤🖤💛💛💪💪
@ChrissJozee2 ай бұрын
Quality ya Aziz k ni kbwa saan
@goodluckmaziku-jh9qeАй бұрын
nilikua nasubir tano za simba
@jumamzelela42072 ай бұрын
Hatar
@AmaniOmari-ev2gu2 ай бұрын
Kiii Stephani
@patrickmallya45162 ай бұрын
NAYAPA HADHI YA MIZINGA "21" YA HESHIMA KWA Raisi ENGINEER. HERSI. halaaah!...
@user-ot5nk7lw4rАй бұрын
Mtu wa maana xana huyu
@PetroMganga-hj4bs2 ай бұрын
💚💛💚💛
@officialdoy-ux8lt2 ай бұрын
Tunaomba mtuletee na mechi za yanga zote alizoshinda kwenye NBC
@marthageorge50432 ай бұрын
💚💛💚💚
@user-im5kc6ey7j2 ай бұрын
Master ki
@sadickcharles4690Ай бұрын
Kweli no sahihi,?
@nestoryjuma7648Ай бұрын
Asiondoke pls
@murotv89602 ай бұрын
🎉
@adilaadila11282 ай бұрын
Key
@EdigarSikomele2 ай бұрын
Bado kanzu Alizo piga watu
@DinoOneTouch7626Ай бұрын
Huyu mwamba ni mtu na nusu haswa yani
@malietamaliet2 ай бұрын
😂🤣🙌 nimemuona konkoni anashukuru
@hamisathuman27292 ай бұрын
MATCH NA SINGIDA NDIO GOAL LANGU PENDWA
@saidmasengo79882 ай бұрын
NIMEBAK NACHEKA MATOBO KAMA CHIZI😂😂😂😂😂😂😂😂
@chollejr_2 ай бұрын
Matobo tafadhali😂😂😂😂
@yohanajames7269Ай бұрын
Saf Sana💛💚🟢🟡
@user-ok9fv1hb9j2 ай бұрын
Alwaatan tunataka na za matobo😅😅😅😅
@chollejr_2 ай бұрын
Matobo
@sospetershijah56192 ай бұрын
Ila lile goli la pili dhidi ya mtbwa 😂
@LAITONWILISONNZOWA2 ай бұрын
Ki
@IMANWILLIAM-bl2ui2 ай бұрын
kwan huwez kufunga bila kupiga watu matobo? sifa tu
@tungaraza7794Ай бұрын
KUNA TIMU IKIONA HII VIDEO WANABAKI NA KUSONYA WANAISHIA KUSEMA YANGA INA MADENI