No video

Tozo Kwenye Gesi. Ni Nani Aliyetuloga Watanzania? | Mtazamo wa Pili

  Рет қаралды 2,580

The Chanzo

The Chanzo

Күн бұрын

Karibu kwenye Mtazamo wa Pili (Ep 04), katika kipindi hiki tumeangalia Tozo ambayo serikali imependekeza kwenye bajeti yake ya mwaka 2024/25 kwa ajili ya gesi inayotumika kwenye magari
Tanzania ina takribani futi za ujazo za gesi Trilioni 57, hata hivyo ni asilimia moja tu imeweza kutumika katika kipindi cha miaka 20,serikali imependekeza kuweka tozo ya 382 kwa kila kilogramu inayotumika kwenye magari, haya ni maendeleo au la? fuatilia kwenye uchambuzi huu.
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 34
@Mpakele
@Mpakele 2 ай бұрын
Huku Wanasema nishati safi, Huku wanaongeza bei ya gesi ili watu washindwe kuitumia
@UncleBigi
@UncleBigi Ай бұрын
Cjui wanaona tunafaidi sana au lengo ni turudi kwenye mafuta 😢
@dullyjabri8393
@dullyjabri8393 Ай бұрын
Kwa kifupi toka tumpoteze Magufuli sitaki tena kusikiliza Habari. Kwa mambo kama hayo vìongozi wa nchi wanapiga dili. Hawana huruma
@wilesadatare6866
@wilesadatare6866 2 ай бұрын
Yaani Tanzania kweli tumepigwa sana hawa watu walituingiza kwenye majanga sana
@samwelshepa8443
@samwelshepa8443 Ай бұрын
Hii nchi inawanufaisha familia fulani fulani maana haya mambo yangetokea nchi fulani wananchi wangefanya challenge kujua undani wake. Mfano kama yangetokea Kenya viongozi wangeshikishwa adabu lakini hapa kwetu Tanzania Kila wananchi tu wapole. Maana kiongozi akiamka anaota tozo nyingine na nyingine zisizo na tija Kwa maisha ya watanzania. hata hao wanaojiita wapinzani hawawezi tena kuhoji maana wameshapewa mafungu yao
@kamrudinelias3922
@kamrudinelias3922 Ай бұрын
Tozo kwenye kila kitu inawaumiza WANANCHI wa rika zote, saa hii tozo kwenye kutoa pesa kutumia simu janja makato ni makubwa mno, na zinaongezwa kiholela bila taarifa, UJANJA NYANI HII AU SIASA CHAFU....
@yusuphmark3257
@yusuphmark3257 2 ай бұрын
Kaka kaka hongera sana kaka nakuelewa snaa MUNGU aendelee kubariki kazi ya mikono yako unanifanya sasa naielewa nchi yangu vizur sana
@KanyanaGerald
@KanyanaGerald 2 ай бұрын
Umetisha sana brother for more explanation, tumelogwa na viongozi ambao sio wazalendo wanaotanguliza maslahi yao mbele kuliko taifa.
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 Ай бұрын
Ni mekupa hongera kwa kumkumbuka Jpm. Kwa kweli pamoja na mapungufu yake alikuwa jembe
@stevensteve7519
@stevensteve7519 2 ай бұрын
Kwakweli Kwahili Mwigulu hayuko sahihi. Tunatafuta kupromote clean and safe energy. Hapa tulipaswa kuwagawia wananchi bure. Bei ya mauzo ingetosha. Kuweka tozo juu ya gesi nikuzuia tusiende kwenye clean energy. Nimesikia kwamba mheshimiwa Mwigulu ni Daktari! Is it true?
@BusokeloTV
@BusokeloTV 2 ай бұрын
Daah uchambuzi jadidi. Ahsante sana Tony
@victoreleonardmdee9158
@victoreleonardmdee9158 2 ай бұрын
Ubinafsi Ndo Tatizo letu Hatuwazi Vizazi na Vizazi Tunajifikiria sisi Tu
@georgekimasaofficial1629
@georgekimasaofficial1629 2 ай бұрын
Safi kwa uchambuzi huu niwakati wa watanzania kuamka Serikali ya CCM imeshindwa kusaidia wanainchi wake kwa kuwaongezea zigo la tozo lukuki wanainchi wake.
@muhammedbakari2867
@muhammedbakari2867 2 ай бұрын
Munauliza Nan kawaroga.. umemsahau muingereza na marekan hao ndio wameturoga nduguyangu.. kune mengi yanakuja mbona hayo bado.. mlisema tutaisoma sasa tunaisoma pamoja😂😂😂😂😂😂😂😂
@kamrudinelias3922
@kamrudinelias3922 Ай бұрын
Mama WANANCHI wamekuamini lakini mhhh, jee mungu anakuona au....
@magesadani9058
@magesadani9058 Ай бұрын
Walioko mbele yetu ndio hawapo kwa ajili yetu wapo kwa ajili yao na mamafya mabeberu shida iko hapo mpaka siku wabunge wetu wakiwa ni wawakilishi wa wananchi kiuhalisia
@reginas1832
@reginas1832 2 ай бұрын
KENYA HOYEEE
@UncleBigi
@UncleBigi Ай бұрын
Hoyee❤
@allymganga3223
@allymganga3223 Ай бұрын
Kishelia nchi izi za galf wenzetu wanaingia ubia lakini kama unavyo sema mkataba utakapotekelezwa na kuisha mali mitambo vinaludi kwa serekali nchi yetu tuna umaskini wa viongozi
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m Ай бұрын
Ndo maana wakenya wanachoka nikitu kibaya sana tunaomba viongozi wasitufikishe huko kwa wakenya
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 ай бұрын
Ccm haijawahi kuwafikilia wananchi wa tanganyika juu ya kuwa punguza ghalama za maisha wanaona wakipunguza maisha kwa watanganyika hao wananchi watafaidi sana maisha
@bilid4128
@bilid4128 2 ай бұрын
Daaah 🔥🔥🔥
@benedictmrisho1800
@benedictmrisho1800 Ай бұрын
Tupunguze magari ya kifahari na matumizi yasiyolazima kuliko kupandisha gas.
@bobwangwe748
@bobwangwe748 2 ай бұрын
🔥🔥🔥
@ibrahimaboker9086
@ibrahimaboker9086 2 ай бұрын
Kaka wacha kuharibu lugha yetu ni kuroga na sio kuloga nenda Tanga ukafundishwe kiswahili fasaha.
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 2 ай бұрын
Mi sijui ni waziri sijui ni serikali lakini mambo wanayofanya ni ya hovyo ni hatusikii mkataba umeisha kwa sababu ni siri ili warudishie ufisadi JPM alisema bwawa likikamilika unit itauzwa sh 50 sisikii tena hicho kitu yaani ni shida
@salumunsabimana6502
@salumunsabimana6502 Ай бұрын
Aliyewaroga aliisha fariki huyo ndo mtihani ambao mnayo
@Skomi-0nedayyes
@Skomi-0nedayyes 2 ай бұрын
Wakenya wanaandamana waTanzania mnasemea majumbani tu acha serikali iongeze tena tena msitumalizie bandos zetu wajinga ndo waliwao 2025 mitano tena😂😂😂
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 Ай бұрын
Tanzania mafya ni viongozi..
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 2 ай бұрын
Tuna ichi yeti au ya wachache tu
@Worldunite
@Worldunite Ай бұрын
Bandari tumemkabidhi mwekezaji DP kwamba tutapata faida, migodi nayo tumeingia mikataba, na maeneo mengi tumeingia mikataba, sasa kupitia mikataba yooote hiyo,ina maana wananchi tumepata ahueni gani zaidi ya kupigwa tozo kwenye simu na sasa gesi jmn?????
@YekoniaKusiluka-jt2ju
@YekoniaKusiluka-jt2ju 2 ай бұрын
Tunawasomi majambazi kwenye nchi hiiii na wanaingia mikataba ya kishenzi Kama huu mkataba pumbafuuuuuuuuuuuuuuuu
JKLIVE | Lee Njiru: Ears of Power [Part 1]
35:23
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 13 М.
Jamhuri ya Uchawa. Muongozo wa Kujenga Taifa Lisilojiamini
22:24
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 38 МЛН
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 67 МЛН
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 21 МЛН
Tabia 10 Muhimu za Mafanikio
30:39
Success Path Network
Рет қаралды 383 М.
Wamasai wa Ngorongoro waendelea kulilia haki zao
3:38
The Chanzo
Рет қаралды 3,8 М.
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 18 МЛН