Рет қаралды 103
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema katika kipindi cha miaka mitatu ya Rais Samia Suluhu, makusanyo ya kodi yameongezeka ambapo jumla ya shilingi trilioni 24.1 zimekusanywa katika mwaka wa Fedha 2022/23, ikiwa ni ongezeko la asilimia 8.5.