RAIS SAMIA AMGEUKIA NAPE - "MWANAUME ANAMBUSU MWANAUME, WIZARA HAMCHUJI"

  Рет қаралды 220,147

Wasafi Media

Wasafi Media

2 жыл бұрын

RAIS SAMIA AMGEUKIA NAPE - "MWANAUME ANAMBUSU MWANAUME, WIZARA HAMCHUJI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 271
@japhethgeriad4519
@japhethgeriad4519 2 жыл бұрын
KATIKA HILI, BWANA AKUBARIKI SANA, YOU'VE SPOKEN A VERY IMPORTANT MATTER MADAM PRESIDENT, KATIKA HILI UMEUPIGA MWINGI..✌✊😊
@andreamndeme1539
@andreamndeme1539 2 жыл бұрын
MAMA LA MAMA HEBU UNDENI HIZO SHERIAAAAA WASHUGHULIKIWE MAPEMAAAAA ,,
@user-vb6rg4tk7z
@user-vb6rg4tk7z 2 жыл бұрын
Asante Mama hao wasanii wanao ambiwa nikio cha jamii ni kiuo cha kutangaza zinaa, Wasanii wote wa kitanzania wanatembea uchu wanatunyanyasa kijinsia wanaume
@nassornurdin1290
@nassornurdin1290 2 жыл бұрын
Wasanii wanao ambiwa kuoo cha jamii nikituko kwajamii..msanii m1 ana wanawake 34..anawanaume 30..anavaa uchi anaelimisha nini..mwisho hadi dada zetu wanavaankisanii kukaa uchi ni fashen..kwao tungeni sheria hadi move zao zavitandani zisiwepo.
@JimmyWilliam-mf4of
@JimmyWilliam-mf4of 15 күн бұрын
Kama ulikuwepo
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 2 жыл бұрын
MAMA MLEZI HONGERA KWA KUYAONA HAYO HALI NI NZITO MITANDAOONI!!
@auntdorah9141
@auntdorah9141 2 жыл бұрын
Asante sana mheshimiwa mama👏👏👏 hili la kutembea nusu kuvaa limeenea sana...hasa wasanii ambao wanaitwa kioo cha jamii...ila mama hujaongelea hizi nyimbo za sasa! Ni matukano nje nje!!!! Hili waziri ajiongeze.
@issaal-busaidi4479
@issaal-busaidi4479 2 жыл бұрын
Hongera Rais wetu, kwa mungu hilo umelisemea na tunasubir lifanyiwe kazi, ili jukumu uliepuke
@gracebecky6592
@gracebecky6592 2 жыл бұрын
Thank God there's someone aware of what the devil is planning against our children asante Rais wetu am a happy woman
@salma-gf8ek
@salma-gf8ek 2 жыл бұрын
Kweli kabisa wanawake tunajizalilidha
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 жыл бұрын
MAGUFULI ALIPOWATUMBUA HAKUWA MJINGA ndio maana WATANZANIA kamwe piga uwa hawatamsahau kwakuwa alikuwa ni chaguo la MUNGU kwa WATANZANIA sasa hiyo ndio faida ya UHURU WA HABARI 🏃🏃🏃‍♀️🏃‍♀️ naona kwa mbali MAGUFULI UMOJA PATI ni shiiidaaaa ya DUNIA shikamooo ndugu Pole Pole
@frankjohn8706
@frankjohn8706 2 жыл бұрын
Chaguo la Mungu anakua na kibali kwa Mungu na kwa wanadamu maana kwa USHINDI wa kura halali Mungu hujidhihirisha ndio Mana twasona hekima ya Suleman, lkn siku hizi ndizo Suleman alisema kaona ajabu juu ya ichi kuona watumwa wamepanda farasi na hali wafalme wanatembea kwa miguu
@frankjohn8706
@frankjohn8706 2 жыл бұрын
Usisemee mioyo ya watu sama kwaajiliyako usie msahau,pia tumia busara kufikiri hata mtu Alie umwa na nyoka humkumbuka yule nyoka kwaajili ya ule mkasa na balaa, ila aliekula kuku siku ya krismas humkumbuka aliempa kuku ila sio kwa Sana maana ubaya unavuma kuliko wema, ndio maana polisi hapendwi na mwizi ispokua pale anapomuokoa mikononi mwa wanainchi wenyehasira,
@shinipapaya846
@shinipapaya846 2 жыл бұрын
Naona umeandika uharo wa bata mwanzo mwisho 🤣🤣🏃🏃
@mussayasini4130
@mussayasini4130 2 жыл бұрын
Asante Mama wambie hao wanaojifanya wamagharibi hasa watoto wa mwaka kuanzia tisini kwenda mbele ndo wamekuwa tabu na maabara duniani waziri anatakiwa asimamie yote hayo kama anaogopa kusemwa na ushikaji akae pembeni nafasi apewe mwingine maadili hakuna kama alivyosema hao dada zetu huko mitaandaoni na hao baadhi ya mabraza men tabia mhh
@jackyluns8224
@jackyluns8224 2 жыл бұрын
Duuu msituchambe sana jaman nass tunaokaribia 2000 huko
@obrienwejuli4804
@obrienwejuli4804 2 жыл бұрын
President of Tanzania, you are very relevant and very educational to all regional countries and I Must say that you are leading in showing the way to our future leaders keep it up President
@miriamcheya3136
@miriamcheya3136 2 жыл бұрын
Safi sana mama yangu na picha za mashoga tumezichaka mama piga marufuku mashetani hao
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 жыл бұрын
Rais wangu ongera sana tena sema tena sema sana wamezidi jamani. NI OVYO OVYO.
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 жыл бұрын
Madam President kunywa Maziwa fresh ya moto kikombe kimoja na vitafunwa (sambusa 1& chapati 1) ntalipa.
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
Hahaha
@shukurukoll7269
@shukurukoll7269 2 жыл бұрын
Ahsante sana Rais wetu kwa hilo. Kadhalika hilo inabidi iwaguse hata wasanii ambao baadhi yao wamevuka mipaka Ni aibu tupu ujumbe wanaoutoa na vitendo vyao kwa ujumla. Naamini kwa hali ilivyo kizazi chetu kinachokuja kitaweza kuharibika sana. Matokeo hayo yatajitokeza miaka ijayo.Hili naomba tulitazame ni ushauri tu.
@zahiribrahim8319
@zahiribrahim8319 14 күн бұрын
Thanks to our Queen 🎉 The new Tanzanians strong President ever for by myself as ordinary citizen deeply i love you my mom ❤ Tanzania 🇹🇿
@jumamwete1600
@jumamwete1600 2 жыл бұрын
Mashaa Allah hutuba nzuri yenye ukweli halisia
@murtallamohammed381
@murtallamohammed381 2 жыл бұрын
Hongera Rais wangu mpendwa endelea kuchapa kazi watakuelewa tu.....
@aldeamasuki6196
@aldeamasuki6196 2 жыл бұрын
Hongera mama kwa kuziona hizo picha za utupu zimetuchosha sana tunaomba washuhulikiwe
@dennisisrael2187
@dennisisrael2187 2 жыл бұрын
Hapa Ni kweli Mama umesema 🙏🏽
@ramadhanramadhan3698
@ramadhanramadhan3698 2 жыл бұрын
Well said madam President. Kizazi chetu kipo katika hatari kubwa kutokana na ukuaji wa media holela bila udhibiti.
@charlesmasese6342
@charlesmasese6342 2 жыл бұрын
Huyu Raise ni mzazi kwelikweli tumuunge mkono watanzania
@faustinejemsi1488
@faustinejemsi1488 2 жыл бұрын
Kwa hilo sina jisi
@tyiezboe519
@tyiezboe519 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@josewillson1813
@josewillson1813 2 жыл бұрын
Sisi hatutaki mzazi tunataka rais anaejielewa
@kamanyolabilajasho3833
@kamanyolabilajasho3833 2 жыл бұрын
@@josewillson1813 Kama humkubali tengeza wako!
@marygregory7566
@marygregory7566 2 жыл бұрын
Mama mlezi bigup mama
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 24 күн бұрын
Ubarikiwe Mheshimiwa Raisi sio katuni tu mama hata watu woamo Mungu Tusaidie sijui tufiche wapi watoto it pains Ahsante
@lucykristensen7145
@lucykristensen7145 2 жыл бұрын
Asante Mama kwa kukea hilo. Kuna mambo ya aibu mitandaoni. Tusisahau jadi na mila zetu. God bless you always. Tunakupenda.
@usalamaedward1189
@usalamaedward1189 2 жыл бұрын
Sio cartoons peke au watu kuweka picha za utupu kwenye mitandao ya kijamii hata nyimbo za siku hizi wanatukana sana
@far_hard1301
@far_hard1301 2 жыл бұрын
Uko sawa rais wetu
@uwezatunuhalisi426
@uwezatunuhalisi426 2 жыл бұрын
Sina cha kusema Samia big up ningalikuwa na uwezo libidi nikupe zawadi ila MUNGU BABA aendelee kukufungua usafishe madudu yote katika Taifa hili
@raphaelsikumbi5517
@raphaelsikumbi5517 2 жыл бұрын
Asante mheshimiwa umenena vema
@derickbenedicto7435
@derickbenedicto7435 2 жыл бұрын
Fantastic
@Bise270
@Bise270 2 жыл бұрын
Leo Mhe rais ameongea point sana,inabidi tuamke na tuache kuyafumbia macho masuala kama haya hili tuweze kunusuru vizazi vyetu vijavyo visikute jamii iliyovurugwa kupita hii.maana hali inatisha sana huko mitandaoni.
@bhmwamkinga4203
@bhmwamkinga4203 2 жыл бұрын
Asante kwa hilo
@mwitajoseph5003
@mwitajoseph5003 2 жыл бұрын
Asante mama umeongea vizuri sana
@hasheryhermas6653
@hasheryhermas6653 2 жыл бұрын
Hakika Rais wetu.
@abdallaabeid4251
@abdallaabeid4251 2 жыл бұрын
Very good point!
@pinkertontv5735
@pinkertontv5735 2 жыл бұрын
Bei kupanda huoni, ila kubusiana f asta unaona🙌🙌 unapoteza mvuto hizo story waachie vijiweni.
@auntdorah9141
@auntdorah9141 2 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🙏🙏
@shabanibumbo5774
@shabanibumbo5774 2 жыл бұрын
mama katika siku omeongea vitu vya maana ni leo maana mimi mwenyew nasikia vibaya sana kuona maadil yana momonyoka kazia sana hilo mungu atakuingiza peponi inshallah
@ndongeyejackobo4059
@ndongeyejackobo4059 2 жыл бұрын
Excellent
@evamwimike7355
@evamwimike7355 2 жыл бұрын
Mama umeongea kitu kinachosumbua akili yangu kila siku naomba sheria iwe kali zaidi kwa hao mashoga siku izi hawajifichi tena mama, taratibu nimeanza kukuelewa.
@muddyso1953
@muddyso1953 Жыл бұрын
Hakika
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 жыл бұрын
well well well.Mungu akubariki kwa kuliona hili mama
@msetikebwasi7270
@msetikebwasi7270 2 жыл бұрын
Hii kauli ya hatujui chochote ni hatari sana kwa waziri wa wizara hiyo,ajitathimini sana kwa kauli hiyo.
@rashidrajab1391
@rashidrajab1391 2 жыл бұрын
Kweli baba alienda ila mama atatuvusha misingi sahihi kabisa
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 Жыл бұрын
Bravo
@dariusmutalemwa1491
@dariusmutalemwa1491 2 жыл бұрын
Mama Mungu ambaliki sana
@romanakipanga6113
@romanakipanga6113 2 жыл бұрын
Asante Sana Mheshimiwa Rais your real mother apart from Being a president,hasa watoto wakike wamezidi kujiweka uchi mitaoni na mengine mengi ni kweli waliemishwe na wakirudia washughulikiwe.
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 2 жыл бұрын
Mheshimiwa Rais hili la maadili kila mmoja atakuunga mkono. Viangaliwe mpaka uimbaji wa nyimbo za wasanii
@kanoa645
@kanoa645 2 жыл бұрын
Ndo maana akasema yako mengi nadhani Ni pamoja na hayo
@neelamvithlani3040
@neelamvithlani3040 2 жыл бұрын
very true
@ghuheni
@ghuheni 10 ай бұрын
Big up Our President May the LORD be with you.
@haithamyahya6722
@haithamyahya6722 2 жыл бұрын
Big up
@badrudiniabdulmpakate2014
@badrudiniabdulmpakate2014 Жыл бұрын
Hongera Mama.
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 2 жыл бұрын
Eeee mama hiyo Sheria ije haraka my raise be blessed
@rajabujisena5689
@rajabujisena5689 Жыл бұрын
Hongela mama umenikumbusha enzi za baba magufuri unwell ndo msinngi wataifa letu
@mussahaji905
@mussahaji905 2 жыл бұрын
Safi sana
@safiaothman1098
@safiaothman1098 2 жыл бұрын
Shukrani umeongea ukweli. Pia zipo groups za WhatsApp na nyinginezo zilizoanzishwa ambazo zinakiuka maadili zifungiwe zinapotosha jamii.
@amanifabien1791
@amanifabien1791 2 жыл бұрын
Kabisa mama anasema safi
@sarllemmtunze405
@sarllemmtunze405 2 жыл бұрын
Mama tunakupenda ila hapo ndipo unapo feli kwa hizo bembeleza bembeleza zako. Mtu kazi kaishindwa fukuza acha yahe yahe hizo zinakuharibia serikali yako. Kwa Dunia ya Sasa kumkabidhi mwanasiasa wizara ya habari ni kuhatarisha mustakabali wa Taifa. Hizo wizara Dunia hii ya utandawazi zipo chini ya majeshi. Na si majeshi tu bali intelligent military personnel. Tuamke 😔
@tanunewstz
@tanunewstz 2 жыл бұрын
Thanks mama God bless you
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u 6 ай бұрын
Siyo makatuni ya watototu nipamoja nawale wachungaji wenyekudhalilishawanawake ndani yayalewanayoyaita makanisa .Serikalipia isisajiri auyapigwe marufuku .Shidani.nini? wakati serikali inamkono murefu auhao hawaharibu jamii hatakamani uhuruwakuabudu.lakiniwanavunjasanasheria naudhalilishaji wa utu hasajinsia yakike.
@brotherblack6531
@brotherblack6531 2 жыл бұрын
Mama mavazi pia hawa wabadilishe asante sana asalaam alaykum
@foibennjeje7730
@foibennjeje7730 2 жыл бұрын
Umeongea sawa mpaka mimi nimekuelewa .
@neemakilingo8282
@neemakilingo8282 2 жыл бұрын
Hapa nimeanza kukupenda mama kwa Hilo Ubarikiwe
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Жыл бұрын
Kwahili hongera sana rais
@kondeboyjeshi3514
@kondeboyjeshi3514 Жыл бұрын
Hapo umeongea la maana sana mama samia
@rebecaisemi8349
@rebecaisemi8349 2 жыл бұрын
Piga marufuku vitu kama hivyoo havifaii kabisa kwenye nchi zetu hiyo sio asilia yetu asante sana mama kuyakataa hayo
@gamap2023
@gamap2023 4 ай бұрын
Hapo Raisi wangu umetetea maadili ya MUNGU kabisa, tunakuombea Mkuu wetu wa nchi, Bwana asimame nawe daima
@abubakariomari4660
@abubakariomari4660 2 жыл бұрын
Nikweli mama, hili nijanga la kitaifa hadi kwa baadhi ya watumishi, jambo hili limepelekea kukosekana haya, kwa Wana wake, na kuathirika kisaikolojia kwa wanaume upande wa kutamani kwani kila siku wanao an watu wakiwa wamevaa lkn uchi, Hawa wasanii sio vioo vya jamii Bali ni vyoo vya jamii. Wachafuzi WAKUBWA.
@soberkaleya5148
@soberkaleya5148 2 жыл бұрын
2 Wakorintho 3: 7 Basi, ikiwa huduma ya mauti, iliyoandikwa na kuchorwa katika mawe, ilikuja katika utukufu, hata Waisraeli hawakuweza kuukazia macho uso wa Musa, kwa sababu ya utukufu wa uso wake; nao ni utukufu uliokuwa ukibatilika; 8 je! Huduma ya roho haitazidi kuwa katika utukufu? *MUNGU AJIDHIHIRISHE KWETU LEO TOKA UTUKUFU HADI UTUKUFU! TUMWONE MUNGU KWA MACHO KWENYE MAISHA YETU! UZITO WOTE UTOWEKE, HALELUYA!!!*
@johnrogasiani
@johnrogasiani 2 жыл бұрын
Amen
@emmanuelchaplingi9050
@emmanuelchaplingi9050 2 жыл бұрын
Amina
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 2 жыл бұрын
Mhe. Rais hongera lakini watendaji wako hawajiamini au vp lazima kila mpaka useme, hivi haya mabaraza yaliyoundwa wanaangalia na kuchuja nyimbo za ndani tu na vitu vingine wanaachia viende kiholela, hizo katuni zinahitaji uchunguzi wa hali ya juu ili kuwalinda vizazi vyetu na nchi yetu. KAZI IENDELEE HASA KWA WATENDAJI
@masoudidadi7369
@masoudidadi7369 2 жыл бұрын
Safi sana rais wetu
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 2 жыл бұрын
Mama safi sana waanze na wasanii wanaokaa na kuziba kati kuachia mapaja nnje
@devidluhaga5514
@devidluhaga5514 2 жыл бұрын
Maamaa ukienda huko kurayangu miaka mia niyako
@mtahogarashid8488
@mtahogarashid8488 2 жыл бұрын
Hapo safi kabsa wanakera sana
@user-fm4cr5qp1u
@user-fm4cr5qp1u 2 ай бұрын
Kweli mama washuhulikie mama wetu
@abdirizakibrahim1975
@abdirizakibrahim1975 Жыл бұрын
Nikweli waandishi wa habari hata nyingi mna familia na msingependa yatatokee kwenu basi tumuungane kupinga ujinga huu tubaki na tamaduni zetu kwa faida ya vizazi vyetu
@evancemakusa7474
@evancemakusa7474 2 жыл бұрын
Point
@Udindigwa
@Udindigwa 2 жыл бұрын
%100 Mama
@sohrabtajadin3402
@sohrabtajadin3402 2 жыл бұрын
Sijaona kiongozi hodari kama mama Samia. Mola akulinde.
@nurusakoro9422
@nurusakoro9422 Жыл бұрын
Piga chini mama Samia wasikualibie kazi aooo wasio na elimu
@borahmlamba5030
@borahmlamba5030 2 жыл бұрын
Kwahilo asante sana mama
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 2 жыл бұрын
Kweli.kabisa mama
@auntdorah9141
@auntdorah9141 2 жыл бұрын
Unakuta wimbo unapigwa lbd ndani ya basi au movie (iwe ya ki Tz au nje) inaoneshwa ndani ya basi, uko na familia mnasafiri!!😭 wasanii hao waonywe...hawa wa kwetu..au ikibidi wafungiweeee... wanatuharibia watoto mchana kweupeee!! Na hawa wa kwenye mabasi waonywe..🙏🙏
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 2 жыл бұрын
Filamu Zina Namba na hizo Namba Zina maana.. zipo zinazofaa kuoneshwa kwa watu wa umri huu au ule, mf..Kuna miaka chini ya 12 wanaweza kuona, miaka chini ya 15, miaka chini ya 18, zaidi ya 18, na filamu zenye kuogofya hata ukiwa mkongwe zinaogopesha Kama matukio ya mauaji, Zinaa. Muhimu Ni kujua na kutii Sheria.
@mariamjoseph5555
@mariamjoseph5555 2 жыл бұрын
Hongela kwa kuliona hilo inabidi lichuliwe hatua kari
@mariamjoseph5555
@mariamjoseph5555 2 жыл бұрын
Nilikosea kuandika inabidi serikali yetu ichukue hatua kali wale wanao bainika kujiweka uchi ktk mitandao pia tunaizalilisha Tanzania jamani kwa nini lakin
@frankcharles2483
@frankcharles2483 2 жыл бұрын
Rest in peace j p m
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 жыл бұрын
Anahusikaje hapo?
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 жыл бұрын
@@j.c.maxima816 unatakia nini!!!
@nsodyaphilimon9153
@nsodyaphilimon9153 Жыл бұрын
Mama anaumia sana juu ya hili ila TCRA hatuoni na kuliweka sawa? Ebu ingieni mtandaoni na mziondoe tubaki salama.
@hilmialiomar1983
@hilmialiomar1983 2 жыл бұрын
Upo sawa mama.
@marianasumari3415
@marianasumari3415 11 ай бұрын
🙏
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 2 жыл бұрын
Kusema kweli mneno hayo ni sahihi hakuna mtu atakubali kwa dada yake wala kwa mama yake wala kua mtoto wake mambo ya uchafu NA hiyo ni deni utailipa kwa famili yako ukifanza utafanzwa ndani ya chumba yako ya kulala NA usisahau kwamba mungu alihatamisha zina lazima kwa njia ya ndoa halali itakuja siku utalea watoto sio wako
@dennishyera6127
@dennishyera6127 2 жыл бұрын
Asante mama umeongea kama jemedari wetu. Shida yetu kilakibaya mpaka kiongozi wa juu. Aseme , wengine wanaona hayawahusu badilikeni jamani. Wote yatuumize na tukemee hasa mliopewa mamlaka.
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 2 жыл бұрын
MAMA HAPO SASA NAANZA KUKUELEWA HAYA MAMBO NDIO TULIYAMISS HAYA. MUNGU IBARIKI TANZANIA MUNGU IBARIKI AFRICA.
@beatricenmarwa9745
@beatricenmarwa9745 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mama kutetea utu na heshima yetu.
@deusdedithjoseph7588
@deusdedithjoseph7588 2 жыл бұрын
Tuko pamoja mama
@Bosskubwah4501
@Bosskubwah4501 2 жыл бұрын
Hakuna Dini inayosema uhuru WA kuvaa ila YA ni ya SHETANI Kama BAADHI YA WASANII WA BONGO FLEVA NA BONGO MUVI wanatukalia UCHI UCHI this is TANZANIA watu na MAADILI YAO hizo POST ZA UCHI NA NYIMBO ZA MATUSI ni uwakala WA SHETANI(illuminate) Shukran MAMA LA MAMA
@oscarlinus1545
@oscarlinus1545 2 жыл бұрын
Good president
@hasanoorashid628
@hasanoorashid628 2 жыл бұрын
N kweri kabisa mama angu nakuunga mkono
@rajah9328
@rajah9328 2 жыл бұрын
Kwel sana Mama ayo sio Madili yetu ya tumejisahau wa Africa tukipata Ma Raic kama wew ii Africa tutalinda Maadili yetu sio kila kitu tuege vyengne sio vyakuigwa
@chrismassawe326
@chrismassawe326 2 жыл бұрын
Umeongea Mh Rais miziki pia sio ni uchafu mtupu
@marianasumari3415
@marianasumari3415 11 ай бұрын
Kweli mh leo umeongea /umeagiza jambo la Hekimaa sana mambo haya ya utupu nadhalilisha mno na ni aibu Kubwa inakuwa km hakuna viongoxi ws kukemea.
@marthabura2266
@marthabura2266 2 жыл бұрын
Hongera mama umepiga mwingi
@linnamlay3643
@linnamlay3643 2 жыл бұрын
Mama akee, nakupendaga bureee
@sohrabtajadin3402
@sohrabtajadin3402 2 жыл бұрын
MAMA HATA HUKU KENYA TUNAKUPENDA SANA. UNASEMA UKWELI.
@shamimhayat7637
@shamimhayat7637 2 жыл бұрын
Maneno ya busara sana
@veronicacormack1043
@veronicacormack1043 2 жыл бұрын
Thank you our president speak for us we should not follow western values but holy books Bible and Koran what are we showing our children
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 2 жыл бұрын
Hata mila na tamaduni zetu za kiafrica zipo sahihi
@meryshekoloa961
@meryshekoloa961 2 жыл бұрын
Mama ni kweli maadili yamepotea wanawake tumezidi kukaa uchi hata wanyama wanajiheshimu
@arnoldvictor8763
@arnoldvictor8763 11 ай бұрын
Hapo Rais UNENENA! Wizara iliondoe taifa kwenye huo upuuzi wa kimagharibi!
Tom & Jerry !! 😂😂
00:59
Tibo InShape
Рет қаралды 64 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 67 МЛН
small vs big hoop #tiktok
00:12
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 32 МЛН
#EXCLUSIVE: KWA MARA YA KWANZA ROMA AFUNGUKA YOTE KUHUSU RC MAKONDA
53:33
WATCH: Biden, Trump 2024 First Presidential Debate, Hosted by CNN
11:02:43
Tom & Jerry !! 😂😂
00:59
Tibo InShape
Рет қаралды 64 МЛН