tunashkuru kwa darasa zuri sana nimependa. Ila hilo li mziki linakera..lina saut ya juuu sana had kero.
@lameckmathias11884 жыл бұрын
Kifaraga kimoja cha samaki aina ya sato na kabale ni sh. Ngapi pia mawasiliano yenu Jamani ni mhimu na mnapopatikana
@mankappy20174 жыл бұрын
Shukran kwa darasa , namba ya simu kwa mawasiliano zaidi tafadhali
@hassansiraji86484 жыл бұрын
Vep maji yanatakiwa yabadrishe kila baada ya muda gan
@olivemwamengonakilimombeya69513 жыл бұрын
Jamaniii naomben msaada, nataka kufuga samaki
@user-vu7yy6hp8j Жыл бұрын
Mafunzo mazuri , nambari ya mawasiliano
@ibrahimrukundo30644 жыл бұрын
nikweli kaka endelea hivo hivo kutuilimisha kwa mambo kama hayooo.
@uwezomazongera78194 жыл бұрын
this is gud and impressing
@gidombawala31114 жыл бұрын
Nadhani mabwawa Madhuri ni ya kujenga
@mrakida2 ай бұрын
ili uwe na bwawa 6 za ukubwa wa 30mx20m ina maana uwe na eneo lenye 3600 square meters kama sijakosea ..Kwa maana hiyo eneo karibia na heka moja ..Naomba ushauri zaidi kama nimekosea hesabau apo..Maana kama ndio ivyo basi ufugaji wa samaki kibiashara ni grama sana maana wakulima wadogo hawana maeneo kiasi icho
@evangomera9565 Жыл бұрын
Nahitaji elimu ya ufugaji wa samaki
@suleimanmbarouk6504 жыл бұрын
Good
@martinaswai13475 жыл бұрын
Asante Sana mtaharamu wetu
@simakeexavery32604 жыл бұрын
Shukrani
@gladymwaipopo50023 жыл бұрын
Mnapatikana wapi
@traffrocky50813 жыл бұрын
Watu tunaitaji namba
@trendingworld7613 Жыл бұрын
jaman mi sielew mnaposema samaki wanne sijui watano mnamaanisha nn 🙄
@juliethscott11294 жыл бұрын
Namba ya simu please
@bwerumaster66914 жыл бұрын
Kama umevuna maji ya mvua au kisma bado unahitaji kibali??
@evangomera9565 Жыл бұрын
Number ya uwasiliyano
@joycepaul88484 жыл бұрын
Tunapataje namba zenu
@anyangograce14654 жыл бұрын
Mm nina eneo na nina maji
@dastanfussy48984 жыл бұрын
Upo wapi?
@judicalosika7642 Жыл бұрын
🇮🇱Je 1m² wanaweza kukaa KAMBALE WANGAPI?
@godfreylaroya44805 жыл бұрын
Asante sana nimekuelewa
@charlesbonifacenashanda78144 жыл бұрын
Naomba namba za simu
@williamftairo34754 жыл бұрын
Chakula cha samaki ni kipi na tunakipataje?
@olivemwamengonakilimombeya69513 жыл бұрын
Ulipata namba? Naomba
@anyangograce14654 жыл бұрын
Mnapatikana wp na no zenu he zapatikanaje
@olivemwamengonakilimombeya69513 жыл бұрын
Namba ulipata ndugu, maana nataka
@godifreypaul94094 жыл бұрын
Mnapotaka kuwaelimisha watu,tafuteni MTU mwenye ufahamu,mzoefu wa kuelimisha.MF.kifaranga kimoja sh,ngapi.bei ya chakula,mmoja anaanzia na sh,ngapi akikuwa.Kibali cha maji,kuna watu wanavuna ya mvua,ulaji wao kwa siku,nk.