Shukrani kwa somo vijana tujifunze na tuingie kwenye kilimo hiki
@eddymbwana32393 жыл бұрын
Waandaji wa Interview ni muhimu Sana kuandaa maswali muhimu kwa manufaa ya watazamaji 1.Garama za mradi 2.Upatikanaji wa Masoko 3. Changamoto za mradi 4. Mapato 5.Nini faida ya Mradi ukilinganisha na miradi mwingine... e. t. c Msikurupuke kufanya interview pasipo maandalizi. Kiukweli sijajifunza chochote kwenye clip hii zaidi ya kumjua Jose Masamaki. Tubadilike twende kisomi sio kukurupuka!
@selegioelias90763 жыл бұрын
Sijakuelewa na wewe umetoa ushauri au unawalaumu ?
@cletuslyelu38642 жыл бұрын
Hii taaluma imevamiwa sana
@wilbertmahenge70512 жыл бұрын
Ni kweli kabisa yaani mada nzuri lakini wanakosa mwaswali sahihi ya kuwaongoza kwenye mahojiano lakini pia wanakosa mtiririko mzuri wa mahojiano
@MbeyaYetuOnlineTV1 Жыл бұрын
Is it hujapata chochote kweli au umeamua tu kuponda
@Sifa_film_tv72 Жыл бұрын
Umenena vyema hata mimi moyoni nilisema hili 🤣
@godloveadamu43793 жыл бұрын
Aisee hongera brother, nimependa sana aidia yako
@luganostewart83204 жыл бұрын
Asante sana kwa kipindi kizuri, Tafadhali nisaidie namna ya kumpata huyo Jose Masamaki. Ingefaa zaidi kama ningepata mawasiliano Yake
@eliahkomba93573 жыл бұрын
Namba yake ni 0757283517
@luganostewart83203 жыл бұрын
@@eliahkomba9357 🙏Shukrani sana
@KaseseMakubi3 ай бұрын
Hongera sana kwa huo mradi nimejifunza kitu nafanya maandarizi nami nianzishe huo mradi nakuhitaji kwa ushauri naomba namba zako za simu
@emilymwandogo43222 жыл бұрын
Nimeipenda saana project hii.Ubarikiwe.
@saidhamisi27953 жыл бұрын
Kazi nzuri Sana
@rajabuomary32584 жыл бұрын
Mie nilifika zamani ila saizi kupendeza sana hongera sana kaka
@SharifaHayatta10 ай бұрын
Msiri sana. Asante kwa ushauri
@kibasamohamedi80294 жыл бұрын
Idea nzuri Sanaa , ahsante sanaaaa
@pwezasamaki60752 жыл бұрын
Aliehojiwa yupo deep kwenye kujibu..yupo vzur sana
@deviskitonge647810 ай бұрын
Hongera sn umejitahid sn ogeza bidii mm npo nyuma yko
@rikekikonyo22654 жыл бұрын
Hivi ndio vitu vya msingi kujifunza,asante sana ntakutembelea mkuu
@giselagonza14193 жыл бұрын
Ahsante tumejifunza mengii
@sondayumbu65023 жыл бұрын
Hongera Kaka na me nakuja kupata elim
@musamwanisawa82503 жыл бұрын
Hongera sana
@giftyohana21503 жыл бұрын
Hongera kk nakuja
@cutelady74103 жыл бұрын
Ww yaan Kuna watu Wana akili ya biashara sana
@fikirijoelmupenda66523 ай бұрын
ongera sana. ufugaji wa samaki inaomba nini na ina omba pesa ngapi?
@zahorrashid52542 жыл бұрын
Nipo kwangu
@uwezawamungumkuu.amaniafrika4 ай бұрын
Vinywaji,vitafunwa, video stori hayo ni machapisho kwenye mabasi mengi lakini ndani akina kitu.
@mussajohn13623 жыл бұрын
Safi sana
@hassanmapenzi61884 жыл бұрын
Nipee kazi tafadhali
@abeljoseph26153 жыл бұрын
Jaman tekash unataka ajira ya kufuga samak,si uimbe tu!! Hahahaaa
@hassanmapenzi61883 жыл бұрын
@@abeljoseph2615 haha wacha niimbe tu hila biashara ni nzuri
@mrjambo800610 ай бұрын
Safi
@kennedyngusa889011 ай бұрын
Namba naomba
@user-hn4rq1mt4u4 ай бұрын
Kiongozi wakati utapata sms hii naomba mawasiliano na mzee wangu
@chilumomo93092 жыл бұрын
Muandishi wa habari ni shabiki wa Jose , sio mtu wa kujua taarifa za biashara
@leornadjohn38393 жыл бұрын
Naomba namba ya mkuu uyoo natak nifike nyumbani kwake niji funzee plz
@AbelMwanshinga8 ай бұрын
Naomba namba ya cm ya uyo mfugajo
@shedrackmwaipopo219 Жыл бұрын
Mshua anataka kutupa mbinu Mtangazaji hataki
@veronicatweve47864 жыл бұрын
Namba ya Jose Masamaki ili tujifunze zaidi
@eliahkomba93573 жыл бұрын
0757283517
@mfalisayo6 ай бұрын
Aweke namb za sim pia
@festokimuli11292 жыл бұрын
Nimeipenda laziness hiyo
@kennedyngusa889011 ай бұрын
Maji sio machafu ni langi ya chakula
@yusufulight-iz6ro4 ай бұрын
Ninauza suluali za kuvulia samaki,
@yusufulight-iz6ro4 ай бұрын
Hazipitishi maji
@emmanuelmwambona34383 жыл бұрын
Naomba namba yako mtaalam
@kennedyngusa889011 ай бұрын
Natamani nimfaham anifundishe kitu
@user-gz9cj9dq6n3 жыл бұрын
Namba yake
@frankmgunjimgunji92613 жыл бұрын
Mtangazaji anazingua
@KADALAtv2553 жыл бұрын
Wewe mtangazaji ovyoo kabisa acha mtu ajieleze amalize sio unamkatishakatisha tu tutajifunzaje sasa