Kwaya ya Mt. Dionizi Ssebugwawo Parokia ya Mt. Joseph Mukasa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza
Пікірлер: 130
@violetshio2613 Жыл бұрын
Wakati uliokubalika ndiyo sasaaa
@Proscovia-fc1fq Жыл бұрын
Waoo mko juu sana chama letu
@user-pb3px5hl9j Жыл бұрын
Mungu awatie nguvu katka utume wenu wa kuimba na pia akumbuke majitoleo yetu ya muda kwenye mazoezi.
@marierobert42 Жыл бұрын
Congratulations ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@petersalto426 Жыл бұрын
Hongereni Kwa utume 🎹🎹🎺🎺
@juliethbazil350 Жыл бұрын
Hongereni mmeimba vizuri saaana.Mungu awabariki
@violetshio2613 Жыл бұрын
JINA LA BWANA LITUKUZWE.Kazi iendelee
@RosePeter-uq9bp Жыл бұрын
Kazi nzuri sana,wapendwa katika jina la Bwana.Endeleeni kuupiga mwingi
@violetshio2613 Жыл бұрын
Asante my dada.Bariiwa na wewe
@juliuskitumbo Жыл бұрын
Asanteni Wana Dioniz
@happymarchiusnjungani1138 Жыл бұрын
Hongereni saana kwa wimbo mzur Sana mmeutendea vyema ktk uhalisia wake..Asante mwl Kanyaruju kwa Kaz nzur Barikiwa sana
@josephmbiti6033 Жыл бұрын
wimbo mfuti sana huu. Kongole
@MaryKasinge-tz9jh Жыл бұрын
❤❤❤❤ nimewapenda sanaaaa Mungu awatie nguvu katika utume
@redemptermbenge-lj1wb Жыл бұрын
Hongera sana...Mungu na azidi kujithihirisha kwenu
@YujiniPatrick-pc7ig Жыл бұрын
Ahsante sana kwaya nzurii Na wimbo mzuriii
@josachakelvin-ho4kp Жыл бұрын
Dah.... Hongereni sana na zaidi kwa walipiga vyombo, flute na trumphet safy sana na Mungu aendelee kujitangaza kupitia nyinyi.
@bonaventurarutahakana2044 Жыл бұрын
Safi
@eradiuskanyaruju3709 Жыл бұрын
Wana wa Mungu kazi nzuri
@agnesokonda6573 Жыл бұрын
Mungu awape nguvu muzidi kumutumikia congratulations
@jacksonkanzira4346 Жыл бұрын
Hongereni sana kwa kazi nzuri wana Dionizi. Niliusubiria sana wimbo huu. Hongera pia Mwl Kanyaruju kwa utunzi uliotukuka. Mungu azidi kuwainua na kuwafanikisha katika hatua zenu zote!
@vanity_van_quishtumainiell7715 Жыл бұрын
Asante sana Mr. Jackson tunakushukuru sana Pia
@eradiuskanyaruju3709 Жыл бұрын
Asante sana Fr. Jackson karibu sana
@josephbashasha831 Жыл бұрын
Amina sana baba tunashukuru sana kwa ushirikiano wako pia ,usikae mbali maana Mama wa KRISTO Iko jikoni baba
@JacksonKanzira-wp3wt Жыл бұрын
@@josephbashasha831Tuko pamoja! Mungu atujalie uzima tu
@PauloSung11 ай бұрын
Mama@@vanity_van_quishtumainiell7715
@audaxbizimana8084 Жыл бұрын
Hakika ukuu wa Mwenyezi Mungu ndani ya jina la Yesu Kristu ni Raha
@poulina4007 Жыл бұрын
Amina waimbaji
@piniellaizer1602 Жыл бұрын
Kiukweli Kuna mda Huwa nakata tamaa ya maisha but nikisiliza Huwa inanipa nguvu nakuniimalisha Amina Sana wanakwaya
@leticiakaijage1060 Жыл бұрын
Mungu ni mwema ameufanikisha .
@filbertdaniel1618 Жыл бұрын
Kazi nzuri
@michaelwambua6038 Жыл бұрын
Naipenda. 👍
@RENATUSBUKAMBU-jk6fg11 ай бұрын
Ongereni sana Kwa wimbo mzuri Kristo ametupatanisha na Mungu
@yohanambano872 Жыл бұрын
Hongereni nyimbo nzuri
@marrykinunda1620 Жыл бұрын
Hongera sana wanakwaya kwa injilisha vyema nyimbo za kumsifu MUNGU wetu, natamani kujiunga na kwaya yenu.
@eradiuskanyaruju3709 Жыл бұрын
Karibu sana Mariam
@joycemsumba1408 Жыл бұрын
Hongereni sana, kwa uimbaji na ubunifu . Mungu azidi kuwabariki Nimewapends
@InviolataMusavi-sy1sj Жыл бұрын
Wimbo mtamu sana
@violetshio2613 Жыл бұрын
Wimbo unatafaarishwa kweli kweli
@kibazirafelix7332 Жыл бұрын
Ukubwa wa Kwaya sio jina Bali ni Mambo mazuri kama haya bravoo sana🎉🎉
@dianamaumba9738 Жыл бұрын
Well done
@paulmasele1116 Жыл бұрын
Hongeren kwa uinjilishaji mzuri
@Domynic.mapesa8973 Жыл бұрын
Hahahaha filimbi ya mchongo
@wigbertrwegasira8919 Жыл бұрын
Nawapongeza sana wimbo mzuri unainjilisha .mungu awabariki wote.
@user-ge2kr3ln5g Жыл бұрын
Barikiweni sana.....tangazeni neno Kwa wote🙏🙏🙏
@user-pz1kq2dl6h Жыл бұрын
Big up kw kwaya yangu pendwa nawakubaki sana Hamna baya ...Mwwnyezi mungu aendelee kuwapa nguvu za kuendelea kuinjilisha💖🌹 Mt dioniz utuombee
@COSTANSIABAKARIMADILA-nm2qj Жыл бұрын
Kristu ataendelea kuhubiriwa kila mahali...Dioniz wa kimataifa juu sana
@PsckaliKhaday-id2ek Жыл бұрын
Nimeipenda hiyo kwaya yenu nzuri kbs mungu awabariki
@Domynic.mapesa897310 ай бұрын
Na wanaimba mmmmm
@Domynic.mapesa897310 ай бұрын
Wanaimba vizuri sana
@sixfildmutabi7156 Жыл бұрын
Mungu amekuwa mkuu sana . Hii wimbo Ina viungo vyote . Go go Wana wa Mungu
@Domynic.mapesa8973 Жыл бұрын
Kuna mpaka pili pili.
@user-ry5bh9vq7t Жыл бұрын
Wimbo tamu mungu awe nanyi
@peterrotich2363 Жыл бұрын
Masauti Inanikuza roho
@HildaSelemani-xm9mj Жыл бұрын
Kweli wimbo ni mzuri sana utume mwema
@fredrickmabogo6204 Жыл бұрын
Congratulations St. Dionz
@josephdeus643311 ай бұрын
Mungu hawabariki wimbo mzur sana
@Domynic.mapesa897310 ай бұрын
Jaman ila hiki ni kigongo
@henryyuda2989 Жыл бұрын
Mko vizuriii sanaaa kazi Iko poa
@edwinndomba8328 Жыл бұрын
Hongereni sana wanakwaya kwa ubunifu mkubwa wa wimbo huu, ni mzuri sana una maudhui mengi pia
@user-pb3px5hl9j Жыл бұрын
Wimbo mzuri sana, binafsi unanibarki sana.
@fellisianholle9431 Жыл бұрын
Mko vzr Mutukula big up
@adamkanyika5906 Жыл бұрын
Mungu mwenyezi aendelee kuwaendeleza vipaji vyenu!!!
@edwardedwardbuberwa3701 Жыл бұрын
Mzee wa kazi!
@emanuelsingamb2856 Жыл бұрын
Hakika Mungu awabarik sana wapendwa Kwa wimbo mzuli mbarikiwe sana
@sangaboy3064 Жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@Domynic.mapesa8973 Жыл бұрын
Iko vizuri
@user-lj5qv9om4r Жыл бұрын
🎉❤hongera Wana wa Mungu,nyimbo zenu zanibariki Na kunipa nguvu,,,Mungu azidi kuwabariki milele🙏
@Domynic.mapesa897310 ай бұрын
Na kweli awabariki
@josephbashasha831 Жыл бұрын
Kazi nzuri sana ,Wacha TU injoy hii kitu ni hatare sana, hongereni sana Wana wa Mungu
@maryncemusicmueni6770 Жыл бұрын
Nice song
@candymnyavanu8430 Жыл бұрын
Big up sanaa kwa wanakwayaa nyimbo nzur sana hongera kwa mwl.kanyaruju kwa kazi nzuri. 🥰🥰🥰 HONGERENI SANA WANA DIONIZ🥳🥳❤❤❤
@naomikinyanjui8038 ай бұрын
Kazi njema
@user-ej9fh2fv3x11 ай бұрын
Hongereni sana
@violetshio2613 Жыл бұрын
Mungu ni mwema
@PriscaMajigwa-cl2io Жыл бұрын
U have done a great job congratulations to you all and more to the composer of the song
@eradiuskanyaruju3709 Жыл бұрын
Asante Bwana six
@MariamKaboneka Жыл бұрын
Kazi nzuri Mungu awakumbuke
@edwardedwardbuberwa3701 Жыл бұрын
Prisca you better subscribe cause soon other hot songs are coming
@user-ny5cv1kr4q Жыл бұрын
Nice song ever keep it up
@DogolifaAli-vq9zg Жыл бұрын
Shege hafizi
@piusrugonzibwa1374 Жыл бұрын
Tumsifu Yesu Kristu! Safi sana kitu kimetulia hicho tuletee vitu zaidi na injili ihubiriwe pote kupitia muziki mtakatifu. Hongera sana!
@vanity_van_quishtumainiell7715 Жыл бұрын
asante sana ndugu vitu vizuri vinakuja
@josephbashasha831 Жыл бұрын
Asante, Amina sana
@juliuskitumbo Жыл бұрын
Hongereni sana
@hellenjemeli4971 Жыл бұрын
Very nice song 🎵 congratulations wanakwaya
@rosemaryvenance Жыл бұрын
Hongeren sana
@joycengovi2039 Жыл бұрын
wow
@eradiuskanyaruju3709 Жыл бұрын
Tunawashukuru wote mnaoendea kutembelea acount yetu
@vanity_van_quishtumainiell7715 Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥💥💥💥💥💥tunawasihii kutoka Kwa wakimataifaaaaa nihatareeee sana
@osidejudith1878 Жыл бұрын
Wow God bless
@odethakenya3907 Жыл бұрын
♨️♨️♨️♨️ tumehamasika hakika na amasa yenu mbarikiwe sana ❣️
@vanity_van_quishtumainiell7715 Жыл бұрын
Asante ndugu
@vanity_van_quishtumainiell7715 Жыл бұрын
amina sana tubarikiwe sote
@josephbashasha831 Жыл бұрын
Amina Asante sana
@bernadethabernard8600 Жыл бұрын
I love it. So so goooood.
@violetshio26134 ай бұрын
Nice
@EdwinDavid-fn5jz Жыл бұрын
Love song
@josephndayizeye4768 Жыл бұрын
Hatari sana 🔥🔥🔥🔥
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Wimbo mzur Mungu awabariki sana
@missprotector8726 Жыл бұрын
🤍✨
@edwardedwardbuberwa3701 Жыл бұрын
Ndo kwanza tunaanza mambo matamu zaidi yanakuja
@josephbashasha831 Жыл бұрын
Mambo ni motooo
@beatricemagesse4663 Жыл бұрын
Mmetisha sana
@vanity_van_quishtumainiell7715 Жыл бұрын
asante sana ndugu katika kristu
@paustine5590 Жыл бұрын
🙏
@eradiuskanyaruju3709 Жыл бұрын
Tunaendelea kuwashukuru wote kwa namna mnavyotuunga mkono hadi Leo. Tunawaomba muendelee kutuunga mkono. Mungu awabariki sana
@vedastorutahakana6840 Жыл бұрын
SO NICE
@egibartrespicius6748 Жыл бұрын
❤❤
@mosekepha689 Жыл бұрын
Bongezi sana Wanakwaya ,sauti taaamu ka ya ninga
@GeneroseBaittu-se9mx Жыл бұрын
Mwakola abana ba mungu,omkama katonda abae amani.
@diazsylvester9455 Жыл бұрын
Nyiieeeee......🦁🦁🙌🙌🙌🙌👏👏👏👏👏
@Domynic.mapesa8973 Жыл бұрын
Wewe
@vanity_van_quishtumainiell7715 Жыл бұрын
Barikiwa Sana mwana wa Mungu
@diazsylvester9455 Жыл бұрын
@@Domynic.mapesa8973 🤣🤣🤣😁 aiseee iko vzr
@Domynic.mapesa8973 Жыл бұрын
Umeskia flute ya mchongo
@diazsylvester9455 Жыл бұрын
@@Domynic.mapesa8973 😁😁😁😁 mpulizaji wa mchongo kwani..🤣🤣😁??
@radaonlinetv1922 Жыл бұрын
Asa hayo mavazi ya kanzu za waislamu yanahusu nini hapo....?
@edwardedwardbuberwa3701 Жыл бұрын
Kitamaduni zaidi..siyo kiitikadi..so continue to enjoy the music
@davidmwoleka7917 Жыл бұрын
Naomba copy ya Huu Wimbo Tafwadhali sana
@violetshio2613 Жыл бұрын
Mambo safi
@vanity_van_quishtumainiell7715 Жыл бұрын
asante
@vanity_van_quishtumainiell7715 Жыл бұрын
asante
@juliuskitumbo Жыл бұрын
Ujumbe murua na muafaka ktk kipindi tunahitaji kujipatanisha na Mungu