Tundu Lissu Amjibu Fatma Karume Sakata la "Ubaguzi"

  Рет қаралды 146,045

The Chanzo

The Chanzo

Ай бұрын

Akihutubia wananchi wa jijini Dodoma Leo Aprili 29,2024, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu amemjibu Mwanasheria Fatma Karume aliyekosoa kauli za Tundu Lissu dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa ni za kibaguzi wakati akihutubia wananchi wa Babati siku ya Ijumaa, Aprili 26, 2024 ikiwa ni siku ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru.

Пікірлер: 900
@ernestkaji9640
@ernestkaji9640 Ай бұрын
Kwa mara ya kwanza toka nianze kumsikiliza huyu jamaa,Leo nimemuelewa sana
@rolencevedasto1009
@rolencevedasto1009 29 күн бұрын
Nakichwa kizito sana Leo tu
@albertmbise2670
@albertmbise2670 15 күн бұрын
Umechelewa sana kumuelewa
@pascaladloph4719
@pascaladloph4719 13 күн бұрын
Yaani tangu aanze hukuwahi kumwelewa? Basi kijani walikuwa wamekulevya sana
@user-hu4sd7bg8n
@user-hu4sd7bg8n Ай бұрын
Mimi ni mazanzibar lkn hizi nchi ni mbili wasituchanganye hawa. Ccm waweke wazi hizi nchi mbili. Serikali ziwe tatu
@Soon815
@Soon815 Ай бұрын
Huna akili
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Ай бұрын
Una miaka mingapi..? maana tusije kupoteza nguvu kumjibu mtoto kwa hoja. Nikupe home work. Nenda katafute, muungano wowote wa nchi mbili wenye serikali tatu. ukiupata utuambie
@Skomi-0nedayyes
@Skomi-0nedayyes Ай бұрын
Lamuhimu hapo kila mmoja ashike 50 zake atuoni umuhimu wowote wa muungano pia upande wa Tanganyika kwa sasa unaathirika zaidi asa wananchi wake na tangia mzanzibar alipo kaimu kiti cha Marehem Rais Magufuli hoja alizo ongea Lissu zina mashiko makubwa Rai yangu 2025 tusifanye makosa watanganyika tuakikishe raisi ajae ni Mtanganyika acha neni na wapemba ao wanayo Nchi yao jamani watupishe 2025 Tanganyika kwanza
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Ай бұрын
Mzanzibar lakini una mashamba morogoro Pumbavu. Huu muungano hauna mantiki yoyote kwa watanganyika.
@mzarendo.com9624
@mzarendo.com9624 Ай бұрын
Hatuutaki muungano sie Watanganyika labda uwe wa serikali tatu.
@gideongerald2846
@gideongerald2846 Ай бұрын
Lissu huwa unatwambia mambo ambayo yamejificha heko nyingi kwako
@Expedito2512
@Expedito2512 Ай бұрын
Ndugu Lissu nakuombea sana Mungu akulinde
@masoudsalum
@masoudsalum Ай бұрын
Amina
@eliamtanzaniaog6380
@eliamtanzaniaog6380 29 күн бұрын
​@@masoudsalumAmina sasna
@user-zw4tf5os8b
@user-zw4tf5os8b 25 күн бұрын
Amlinde wakati anaongea pumba zake za ubaguzi vunjeni muungano
@user-ul5ei1vv7z
@user-ul5ei1vv7z 24 күн бұрын
Amina
@habinezaabubakar4200
@habinezaabubakar4200 19 күн бұрын
Hakika
@josaphatkessy530
@josaphatkessy530 Ай бұрын
Tundu lissu wewe ni zawadi Mungu katupa Watanzania Mungu azidi kumlinda GENIUS
@hamadfaki7625
@hamadfaki7625 Ай бұрын
Hapo amehusisha Tanganyika so zawad ya Tanganyika iyo
@user-us4tk2tk3c
@user-us4tk2tk3c Ай бұрын
Mwehu tuu huyu. Hana jipya.
@user-us4tk2tk3c
@user-us4tk2tk3c Ай бұрын
Hakika wewe ni Mbaguzi na siasa zako hazina nia njema kwa Watanzania.
@mkude
@mkude Ай бұрын
Hahaha huyo lissi bado sanaa mtamkubali wachache kama nyinyi mnataka kugawa watu ili mfaidike kisiasa.
@user-dq7gi3li9q
@user-dq7gi3li9q Ай бұрын
Na yule mbunge wa za
@phillipmasungwa7365
@phillipmasungwa7365 Ай бұрын
SAHIHI KABISA LISSU UNAYOYASEMA.
@user-mk6my3gb4s
@user-mk6my3gb4s 8 күн бұрын
Sisi wanzinzibar tunataka nchi yetu tumechoka kelele zenu nyinyi wenyewe watanga nyika mushauza sana vitu vyetu kua raisi mzanzibar ndo imekua shida hamujui kama kutesa kwa zamu😮😮
@user-mk6my3gb4s
@user-mk6my3gb4s 8 күн бұрын
Kutesa kwa zamu wazanzibar zamu yetu kukuongozenii mtake msi take😮
@pauloropian2367
@pauloropian2367 Ай бұрын
Mungu akubariki Mr tundu na akuongezeee miaka mingi ya kuishi ktk uso wa dunia
@msafirisaimoni9561
@msafirisaimoni9561 Ай бұрын
Kumbe tuna miaka ya uhuru na tanganyika na miaka 60 ya mungano
@manilabonalumanula9210
@manilabonalumanula9210 Ай бұрын
Uhuru wa Tanganyika ikifika 9 Desemba 2024 na Muungano ilipofika 26 Aprili 2024 ulitimiza miaka 60.
@user-xx2ex2nj8f
@user-xx2ex2nj8f Ай бұрын
I'm from Somalia, if you are complaining that the people of the islands are exploiting them, why are you on the mainland forcing the union. I say this because I follow the politics of East Africa a lot.
@fredrickchenga
@fredrickchenga Ай бұрын
How did you know that is a complaint? This means you know the language. if that is the case, contribute to Swahili for the betterment of the viewers.
@hamidudongo1879
@hamidudongo1879 Ай бұрын
Because they are Muslims-99%. They can't let them go. Some of their political -Christian leaders talked about it publicly.
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 Ай бұрын
@@fredrickchenga😂😂
@phillipmbuligwe6033
@phillipmbuligwe6033 Ай бұрын
Accept the fact my friend. Don't be unnecesarily defensive ​@@fredrickchenga
@johnsonkiwia6577
@johnsonkiwia6577 29 күн бұрын
@@fredrickchenga😂😂😂
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 Ай бұрын
Haya mambo yataisha tukishavunja muungano
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 29 күн бұрын
Kweli kabisa, mimi siutaki huu muungano wa mchongo
@LanguMiliariMollel
@LanguMiliariMollel Ай бұрын
Mungu akutunze mtetezi wa wanyonge wa Tanzania 👏👏
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 Ай бұрын
Kwa hili Tundu lisu umeongea ukweli 100%
@BegaMakenge
@BegaMakenge 10 күн бұрын
Waambie ukweli
@yustobitalio3597
@yustobitalio3597 Ай бұрын
Huyu jamaa ni BRIGHT sana
@user-tw9qc6oe9b
@user-tw9qc6oe9b Ай бұрын
Daah lisu nakuelewa ila kwa hili sipo na ww unakosea sana. Piganieni katiba, tumehuru ya uchaguzi nk vikipatikana hivi hayo ya ubaguzi yatakaa kando
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 24 күн бұрын
Ukitulia na kuichambua kauli zake utamuelewa tu
@festussostenes4189
@festussostenes4189 18 күн бұрын
Ungekuwa umemuelewa usingeandika hayo mengine mbele
@user-td5ye9zb1l
@user-td5ye9zb1l Ай бұрын
Nakuelewa Sana kiongozi
@jacksonaloyce9920
@jacksonaloyce9920 10 күн бұрын
😂😂 Kuna mzee anaskika miyeyusho kichizi KASEMA "Lahaullah tumeliwa mbona anakula na uku" 😂😂
@assayusuph3295
@assayusuph3295 Ай бұрын
Safi sana❤
@user-el1eh6xn6w
@user-el1eh6xn6w Ай бұрын
Shida uelewa hasa hawa mabumunda wa ccm Lissu yuko sahihi
@hamicpina1151
@hamicpina1151 Ай бұрын
Wanzanzibar tulio wengi tumechoka na muungano na ndio maana wapo waliowekwa jela kwa muungani tanganyika mnakwama wapi kuupenda huu muungano kama x kutojiamini kwa Zanzibar
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im Ай бұрын
Kwa haya namuunga mkono Tundu Lissu. Mtanganyika hawezi kununuwa aridhi Zanzibar, lakini muzanzibari anaweza kununuwa aridhi popote Tanganika
@juliusnyerere5393
@juliusnyerere5393 Ай бұрын
Kweli mfamaji haichi kutapapata. Bado ni mjinga Sana Lissu. Mbona husemi Kama. Mnasema muungano wa nchi mbili Wabunge wawe sawa bungeni. Nyie mko wengi. ?
@user-zj4ii6uf7t
@user-zj4ii6uf7t Ай бұрын
Lissu siyo njinga,na siyo mpubavu na siyo mbaguzi,na anacho kisema yuko sahihi kabisa,ila ninyi Viongozi wa roho wa madaraka mliokalia madaraka ndo mnaoziharibu baina za hizi nchi mbili?maana mnamuona Lissu km mwiba kwenu,wakati anawambia ukweli viongozi,na wtz kwa ujumla!!!!mnamuona Lissu km hayuko sahihi maana anawatomaso,lkn mjue kuwa haki haipotei ila inacheleweshwa tu,Kuna siku itakuja kutimilika tu,asanteni,ila viongozi kumbukeni kuwa Mungu yupo,na mbeba maono hafi mpaka yatimiye asanten
@helencyprian8745
@helencyprian8745 Ай бұрын
Piga kazi Lisu, sisi tunakuelewa sana
@omaryjumas6327
@omaryjumas6327 Ай бұрын
Hizo ni nchi mbili tofauti, hata kama.jimbo moja kwa kura moja. Tundu Lissu.ameona abadilishe gia angani.
@georgeexavier5921
@georgeexavier5921 20 күн бұрын
@pascaladloph4719
@pascaladloph4719 13 күн бұрын
Alooooooo. Umepiga hapo hatariiii
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 Ай бұрын
Kwan Tanaganyik imewafanyi mangapi zanzibar mbona munawachagulia mpka Raisi mbona hamunaweka mpka leo acount ya muungano inayosaidia Zanzibar mbona mpka hii leo hamujaipa zanzibar mamlaka yake yakujitawala wenyewe mumekaa kinyaa hamusemi chochote
@maonezinyagalu9393
@maonezinyagalu9393 Ай бұрын
😂 waulize ccm
@kendry_rix1899
@kendry_rix1899 Ай бұрын
Wanataka kuhamisha mjadala. Asiyemuelewa Lissu sio mzima.
@mohammedrajab6514
@mohammedrajab6514 13 күн бұрын
Nilipokuwa TZ 1994 i was told mtu kutoka TZ bara you wanted a visa to visit Zanziber. I really wanted to visit zanzibar for holiday niliposikia hivo and me us a foreigner nilidhani ni Country moja so i refused to Travel to zanzibar. Nilikuwa nataka ku Travel na my friend from TZ bara.
@christopherjumanne4689
@christopherjumanne4689 Ай бұрын
😮
@alinassor391
@alinassor391 Ай бұрын
Nyinyi wa Tanganyika tusaidieni sisi wa zanzibar kuuvunja huu muungano feki usio na tija kwetu ili munufaike na tanganyika yenu
@bilalkhamis_
@bilalkhamis_ Ай бұрын
Na mm natamani uvunjwe... mana hawa wabongo asaa 😢
@bahatielias6443
@bahatielias6443 Ай бұрын
Lakin lissu kasema ukweli ,sema CCM wako kimasilahi zaidi,Nanyie wanzanzibar muwe wakwanza kuukataa huu udhalimu,muungano feki
@philipombwambo1980
@philipombwambo1980 Ай бұрын
Huu hauvunjiki kamwe labda mhame Zanzibar nyinyi
@FridayMwassa
@FridayMwassa Ай бұрын
Rais wa sasa anatoka kwenu mwambieni avunje muungano mtaona maisha yenu yatakavyo kuwa magumu
@jumaseifjuma4185
@jumaseifjuma4185 Ай бұрын
Kwani huu muungano ndo Mungu hata maisha yetu yawe magumu. Fahamu kwamba mambo ni kutegemeana hapa. Naona mmejaa tele hapa kutafuta maisha.​@@FridayMwassa
@RamadhanMohamed-jz6xm
@RamadhanMohamed-jz6xm Ай бұрын
Huu ndo ujinga tunaukataa wazanzibar nyinyi mliunganisha idadi ya watu au mliunganisha nchi ndo maana tunasema watu waulizwe
@HassanHassan-sr3fq
@HassanHassan-sr3fq 29 күн бұрын
Watanganyika wameyataka wenyewe
@railasteve7801
@railasteve7801 Ай бұрын
Sasa mbona kuna maneno mnayakata ndugu Chanzo
@user-gy5gu1mn4x
@user-gy5gu1mn4x Ай бұрын
✌️✌️✌️🙏🙏🙏
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 Ай бұрын
Huu muungano ujadiliwe upya ikiwamunataka ubaki
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Tundu Lissu Mungu ana sababu ya kukulinda na yote waliyo panga Mungu azidi kukulinda. Mungu hashindwi na lolote lile. Kama Mungu akuweka jicho lake nani atakuwa kinyume cha Mungu? Mungu anaona yote wanayofany maovu ya kutuibia watanganyika. Mungu hapendi dhuruma!
@mahirmauly3664
@mahirmauly3664 Ай бұрын
Mm mzenji nimeipenda hii ni njia moja ya kujikwamua mwenye huu muungano batili
@adilhabib8988
@adilhabib8988 25 күн бұрын
Zamani nilikua nakuona wa maana lkn saiv unapotea
@elishalomay4895
@elishalomay4895 25 күн бұрын
Correct
@tanzanitetv
@tanzanitetv Ай бұрын
Lisu Hatari sana kwa hoja ,unapotaka kupambana naye ni kujiandaa sana
@unclepumpuu5920
@unclepumpuu5920 29 күн бұрын
Hana hoja yyote ni mbaguzi
@mzeejumbe900
@mzeejumbe900 22 күн бұрын
Tatizo la tudu lissu huwa anadhania kuwa hao anaoongea nao hapo na penginepo kuwa wanamfahamu asilimia kubwa ya watanzania wenye maono wanamfahamu kuwa ni mtu wa propaganda na mwenye kueneza chuki na sintofahamu baina ya watanzania na pande mbili za muungano ni mtu asiye na uzalendo na taifa kwani ameelekeza chuk zaidi sana kwa kiongozi wa nchi huku akisahau kuwa raisi aliyepo madarakani yupo hapo kikatiba. Tundu huna jipya nenda zako ukatumwe na wazungu hilo ndilo lililobakia kwako kwani huna sifa ya kuwa kiongozi kwa watanzania.
@charleskingimwakasagule5752
@charleskingimwakasagule5752 Ай бұрын
Kwakweli ukweli unauma kamanda nakupenda sana wewe ndo kila kitu tunashukulu Kwa kutuelimisha watanganyika mungu aendele kukutunza
@masumbukomaganga438
@masumbukomaganga438 22 күн бұрын
Nampenda sana tundu lisu ni mwana siasa asiye yumbishwa kwa kile anacho kiamini, huyu ni legendary
@mahfoudhally2879
@mahfoudhally2879 26 күн бұрын
Wazanzibari hatutaki kelele nyingi nyinyi ndio mnaong'a Ng'ania muungano hebu vunjeni muone tutakavosheherekea then after 10 yrs muone maendeleo yetu .tushachoka na ukoloni wenu
@mussamussa8181
@mussamussa8181 25 күн бұрын
Unazan rahis
@sheikhasalim1190
@sheikhasalim1190 12 күн бұрын
​@@mussamussa8181kwani kabla ya muungano ilikuaje? ama hujawahi kusoma historia ya Zanzibar?
@rajababrahman4365
@rajababrahman4365 Ай бұрын
Kichwa kina niuma
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Ай бұрын
😂😂😂😂😂 Kwani lazima huu Muungano???? iwe Tanganyika na Zanzibar kama Zamani Nchi mbili majirani wazuri kama zamani.
@MM-oe2eo
@MM-oe2eo Ай бұрын
Huyu jamaa ana akili sana, basi tu ngozi nyeusi ina laana alipaswa awe sehemu ya system.
@kaundilaamidu
@kaundilaamidu 25 күн бұрын
❤😂🎉😊
@user-qo8uj1ym4m
@user-qo8uj1ym4m 29 күн бұрын
Pambana lisu hadi Tanganyika itoke kwasababu nyinyi mumeingia chakike 😂z,one mamlaka kamili❤ Tanganyika kanyaga😂
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 Ай бұрын
WATANGANYIKA NI SAWA NA MISUKULE, MAANA HAJIELEWI KAMA NCHI YAO NA TANGANGINYIKA🤣🤣CCM NA SAMIA SULUHU OYEEE
@HasaMediaTv
@HasaMediaTv Ай бұрын
Mitano tena
@zamorad5654
@zamorad5654 Ай бұрын
Ukiwa na matope kichwani huwezi kumuelewa Lisu
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 Ай бұрын
@@zamorad5654 Nimemuelewa LISSU ila Watanganyika ndio tatizo la kuungana nå watu laki tatu, na sasa WAZANZIBARI wanuza ardhi ya watu MILIONI 60!
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir Ай бұрын
Na hasa ukijaa mavi ya kuku kama wana chagadema ​@@zamorad5654
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Ай бұрын
⁠​⁠@@zamorad5654Mugufuli😂 Rais wenu mpendwa alimtowa mbio Lisu Tanzania Bara. Rais Samia Hassan kutoka Zanzibar Island Rais wa United Republic of Tanzania kampa ruhusa kubwa sana ya kurejea Lisu na kuendelea na maisha yake Tanzania kwa upendo Kama ndugu, Imani na heshima aliyo funzwa na wazazi wake. Mungu mbariki Rais Samia na mhifadhi kwenye kazi yake muondoshee maaduwi wabaya mbele ya macho yake. Kila aduwi yake Mungu mlipe hapa hapa Duniani kesho akhera ni hisabu.
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Ай бұрын
TUNDU ANTIPAS LISU MMMH🙌🙌🙌 UKIONGEA NA HIKI KICHWA JIPANGE SN. NI ZAWADI KUTOKA KWA. MUNGU TUNAOMBA MLINDE UNATUFAFANULIA VITU VILIVYOJIFICHA
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in 29 күн бұрын
Wewe n zawad kutoka Kwa shetan
@user-uq5vm2ge4q
@user-uq5vm2ge4q Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@mkude
@mkude Ай бұрын
Bado sanaa,hakuna wa kupanbana na Mama Samia Suluhu
@user-vg9sd2fc1k
@user-vg9sd2fc1k Ай бұрын
Hakuna anaepambana nae shida marekebisho yanatakiwa yafanyike.
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu Ай бұрын
Akili Yako kisoda
@athumankaswaga605
@athumankaswaga605 Ай бұрын
Madhara ya kuishi kwa shemeji😅😅😅😅😅
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 Ай бұрын
We ni mjinga kama wajinga wengine
@yousuphnzira3209
@yousuphnzira3209 Ай бұрын
Hakuna
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 Ай бұрын
Siasa hizo kwa karne hii its totally failure.. jamaa yupo vzr sn, ila anaongozwa na jazba na mihemko na sio busara.
@geraldgedi4657
@geraldgedi4657 Ай бұрын
Yaani unaoneshwa jambo muhimu wewe ni zuzu kweli usiejitambua harafu unakubali nchi yako inatolewa sadaka harafu unajifyatua ubongo. Shenzi sana wewe.
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu Ай бұрын
Anajibu alichotuhumiwa, ndo maana mapema amekwambia anafafanua kile alichotuhumiwa nacho, Kwahio tulia ufafanuliwe alichotuhumiwa usichukie kuambiwa Ukweli
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 Ай бұрын
@@geraldgedi4657 ata kiswahili hujui kuandika, Sasa zuzu ni Mimi au ww.. achana na siasa ingia darasani ukasome kwanza
@hafidhhemed1514
@hafidhhemed1514 Ай бұрын
@@TegemeaFutemakatifu sawa me sijakataa, ila kama chadema Ina lengo la kuja kuchukua serikali nchi hii, inabidi watumie busara kubwa na sio mihemko, ubabe na kebehi havitawasaidia zaidi ya kupata hasara na kupoteza mvuto Kwa wananchi.. matokeo ya watakachokipita ni hasara, watawekwa ndani, wapigwe au kuuliwa kama ilivyokua ikifanywa na mwenda zake, au watafungiwa mikutano ya hadhara wasipate tena nafasi ya kupayuka... Na muheshim sn Mboe ana siasa za kiungwana sn, sio huyu msomi aliezidiwa na elimu yake na kulosa busara za kutatua shida zinazimzunguka.. anahisi shida hutatuliwa Kwa kebehi, ubabe na majivuno.. angekua mwalimu nyere au Mandela walitumia namna hio ya ukombozi historia ya Tanzania na SA ingeandikwa vyengine hii leo
@abdillahikroos9234
@abdillahikroos9234 8 күн бұрын
Kwan iv mnadhan wazanzbar wanashida na tanganyika yenu?
@PaulFaustinemisaraba-bp8md
@PaulFaustinemisaraba-bp8md Ай бұрын
Kama we Ni mtu wa bara na ulishagaenda Zanzibar ndo utamuelewa lisu anachosema
@AhmedZahor
@AhmedZahor Ай бұрын
Mumejaa kama taka huku Zanzibar kazi yenu wizi na Ujambazi muekezaji anauza sumu ya panya na mifuko nitafutie mzanzibari mmoja tu anauza sumu ya panya Bara au karanga Mukitaka Musitake Sisi tuko juu tutakutumeni tu
@omaryjumas6327
@omaryjumas6327 Ай бұрын
Haeleweki. Zanzibar ardhi yake ni ndogo.sasa wageni milioni 50 kutoka Bara wakiamua kumiliki ardhi.Zanzibar. Jee! Wazanzibari Wenyewe wataishi wapi? Au mnataka mzanzibari akizaliwa tu akatafute makaazi nje ya nchi yake? Tambuweni kwamba Zanzibar ni nchi Tangu enzi na enzi, Muungano usiwe sababu ya Zanzibar kupoteza hadhi yake ya kuwa nchi. Tuliungana kwa kushirikiana baadhi ya mambo hatukuungana kwa kuuwa nchi.
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 Ай бұрын
We paulo kama kweli hicho unachosema Mwinyi anatoka wapi?! Zanzibar au Tanganyika?! ametoka Mkuranga Tanganyika mbona anatawala kule?! Wazanzibari na watanzania wote hatupo hivyo kaka, hizo no chuki tu mnazopandikiziwa na wanasiasa ili muivuruge amani ya taifa lenu!! Kuna mabwana zao nje huko wanaowatuma.
@PaulFaustinemisaraba-bp8md
@PaulFaustinemisaraba-bp8md Ай бұрын
@@omaryjumas6327 na kwann raia wa Zanzibar anaweza kutawala bara Ila raia wa bara kutawala Zanzibar Ni changamoto
@festussostenes4189
@festussostenes4189 18 күн бұрын
​@@omaryjumas6327'nchi yake' ipi tena? Sisi si ni nchi moja?
@nkolemuya9283
@nkolemuya9283 Ай бұрын
Ukweli ni Ukweli hakuna funika kombe, Lisu yupo huru moyoni na kichwani so no gibberish, he calls a spade for its name not otherwise 🎉
@emmanuelmohammed1294
@emmanuelmohammed1294 Ай бұрын
😢 tunaibiwa sana
@lwelenjalferdinand671
@lwelenjalferdinand671 Ай бұрын
Ameuza akiwa rais w Tanzania. Hana kosa lolote kama mzanzibari. Tatizo mi Katiba ya Tanzania
@user-ti5ik2le1i
@user-ti5ik2le1i Ай бұрын
Hata Lisu tangu mwanzo alisema katiba ndo imemfanya auze,,,sikiliza hotuba ya babati pia sikiliza kwenye hii hotuba mwanzoni kaongeza kuwa katiba ndo imefanya bandari zetu ziuzwe
@fredsonjaphet
@fredsonjaphet 26 күн бұрын
Hata yeye kasema ivoivo
@maikonyondo-gr7gd
@maikonyondo-gr7gd Ай бұрын
Hivi watu wanataka Nani atueleweshe mpaka wamwelewe
@deluxwoiso999
@deluxwoiso999 Ай бұрын
Adi una nachoka kama kuna watu awa elewi broo
@elisantenyange8751
@elisantenyange8751 Ай бұрын
Hongera mheshimiwa Lisu
@user-ti8fn1wn1w
@user-ti8fn1wn1w 29 күн бұрын
Asante
@kapitours3248
@kapitours3248 Ай бұрын
UKIWA NA UBAGUZI WA KIKABILA NI DHAHIRI UTAKUWA NA UBAGUZI WA KIDINI PIA
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 Ай бұрын
Hayo mambo ameyatunga?Acha kua fwaken
@user-hu4sd7bg8n
@user-hu4sd7bg8n Ай бұрын
Tunataka serikali tatu kila nchi ijitegemee ibaki muungano tu
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Ай бұрын
ukiwa na serikali tatu hauna maana ya kuwa na muungano. otherwise ni kupoteza buree pesa ya walima kodi. kuendesha serikali tatu ni kuwa na mabunge matatu marais watatu majeshi matatu ,benki kuu tatu na vitu vingine vyote vitatu vitatu. fikiria kidogo gharama za uendeshaji hapo !! ukimaliza kufikiria nikwambie tu ,kuna mambo ya muungano na yasio ya muungano. Mambo yasio ya muungano ndo hayo yanayo fanywa na kila nchi pekee yake kama mfumo wa elimu etc kuliko kuwa na Serikali tatu ani ya Zanzibar,Tanganyika na Serikali ya Muungano ni bora tu tusiwe na Muungano maana mpaka hapo utakuwa hauna maana tena. hakuna maana ya kuungana alafu uwe na serikali tofauti.
@isaliisu3408
@isaliisu3408 28 күн бұрын
Na mimi nasema leyo mkapa asingeuwa wazanzibar kama si muungano na katiba
@isaliisu3408
@isaliisu3408 28 күн бұрын
Tutundu waambiye hivi zanzibar ilikuwa huru na kutambulika kimataifa kuliko Tanganyika na kenya ukubwa wa puwa siyo wingi wa makamasi
@isaliisu3408
@isaliisu3408 28 күн бұрын
Hebu tuachiyeni hakuna kisiwa chenye watu milioni 50 kama munataka ka hayo unganeni na kongo
@isaliisu3408
@isaliisu3408 28 күн бұрын
Suala Ardhi za Visiwa zinalindwa kimataifa ili visiharibiwe uhalisiya wske hebu waambiye kuhusu ayalendi na unaited kingdom mungano ukoje
@gabrieljohn6422
@gabrieljohn6422 29 күн бұрын
Sawa kabisa kamanda
@mzalendohasa
@mzalendohasa 26 күн бұрын
Wewe ni mlevi
@user-ct6bk2pz4c
@user-ct6bk2pz4c Ай бұрын
Swali kwa tundu. Muungano ungekuwa unawapendelea wazanzinar, na hao wazanzinar wanataka kujiunga na OIC kwanini watanganyika tinawakatalia?
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 Ай бұрын
Wanakataliwa na watawala wa ccm wa Zanzibar na Tanganyika na syo raia wa kawaida.Raia wengi wa kawaida hawaoni umuhimu wa Muungano
@user-qk2wu5wm1f
@user-qk2wu5wm1f 26 күн бұрын
Sio watanganyika wanaowakatalia Ni huko huko ktk ccm yako😂
@amourmzeeali8464
@amourmzeeali8464 26 күн бұрын
Wazanzibar hatunufaiki na muungano rabda ulizi tu kiukweli mungu akajalia sku moja muungano uvunjike ili zanzibar upunzike kero 😢
@ebrahimngera917
@ebrahimngera917 2 күн бұрын
Siasa ya kibaguzi inawnda kuua hichi chama
@othumanomari1589
@othumanomari1589 27 күн бұрын
🤔🤔Mjusi kamla mamba
@chezariboy
@chezariboy Ай бұрын
Safi sana,, wajinga ndo hawaelewi siku zote,, lisu safi sana mkuu.
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j Ай бұрын
Huyu tundu lissu role model wake ni rev mtikila, amefilisika sera kichwani anajihalalisha kwa utanganyika, walianza kumbagua mzee rukhsa na zambi ya ubaguzi anaiendeleza kwa samia...
@boscomfundo7953
@boscomfundo7953 Ай бұрын
Mungu akubariki Mheshimiwa Lissu
@bogoheidaso2628
@bogoheidaso2628 24 күн бұрын
Mimi nilikuwa sijui Leo ndio nimejua
@godfreykahabi1964
@godfreykahabi1964 Ай бұрын
Big brain brilliant intellectual treasure of Tanzania next president of Tanzania republic excellently president honorable Tundu Antipas Mugwahi Lissu
@halimamasai2234
@halimamasai2234 Ай бұрын
Ni raisi wako nani anamtaka huyu tahira kwanza ni mbeligiji si mtanzania shenzi huyu
@petersilas4234
@petersilas4234 29 күн бұрын
Never
@HasaMediaTv
@HasaMediaTv Ай бұрын
Bora vunjeni muungano tu
@user-bg2yc4kw9k
@user-bg2yc4kw9k 22 күн бұрын
Mimi mzazibar ila nimekuelewa
@JamesMkufya-cn1hl
@JamesMkufya-cn1hl 27 күн бұрын
👍👍👍👍
@Wastara001
@Wastara001 Ай бұрын
One of the confused politicians on earth.
@geographyteacher.2961
@geographyteacher.2961 Ай бұрын
😂😂😂
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 Ай бұрын
Just like you
@Wastara001
@Wastara001 Ай бұрын
@@richardmbasha1411 am not and I cannot be a politician
@kazimotomaswi9700
@kazimotomaswi9700 28 күн бұрын
And you aconfused utuber
@Wastara001
@Wastara001 28 күн бұрын
@@kazimotomaswi9700 ikiwa hamuelewi lugha fulani afadhali unyamaze
@michaelmaziku991
@michaelmaziku991 Ай бұрын
Bado tunahitaj shule kwlkwl watanzania Lisu hapo tumekuelew san
@user-cz9zu7ur1h
@user-cz9zu7ur1h Ай бұрын
Wazanzibar wakomakini nauzanibari wao
@ibel4lf
@ibel4lf 23 күн бұрын
Tundu you spoke well kuuza vitu vya Tanganyika si sawa kwa huyo Mzanzibar
@MohamedAbdallahSaid
@MohamedAbdallahSaid 22 күн бұрын
Porojo zina mwisho wake.Wakati bandari itakapo immarika na inchi kunawiri porojo sizitakuwa kama mashuzi tuu😂
@ofreyking5975
@ofreyking5975 Ай бұрын
Cjawahi juta kukufaham umenyooka sana tatizo binadam hatupend ukweli hakuna baya ulilosema mkuu ni vle ww ni mkweli sana ndio tatizo
@ramamjema8391
@ramamjema8391 Ай бұрын
Lisu wewe ni hazina kwa taifa letu,bali ugonjwa mkubwa unaotutafuna watanzania ni kutokubali ukweli na wavivu wa kusoma ili kuwa na uelewa mpana wa mambo na uwezo wa kuchambua mambo.
@adilhabib8988
@adilhabib8988 25 күн бұрын
Niubaguzi mkubwa sanaaaa
@juliusmihayo6396
@juliusmihayo6396 16 күн бұрын
Hii ilitoka sana ungekuwa hivi tangu zamani tungekuchagua
@adudeswalehe8724
@adudeswalehe8724 Ай бұрын
Kwenye hili nasimama na Tundu Lissu
@vuaimuhidin5250
@vuaimuhidin5250 Ай бұрын
Wewe lisu naona unazeeka vibaya
@charleslukumai7875
@charleslukumai7875 Ай бұрын
Jibu hoja zake kwa vielelezo. Acha kuandika upumbavu.
@godsson5954
@godsson5954 29 күн бұрын
ww mbona unazeeka kwa shemej yako😂😂
@vuaimuhidin5250
@vuaimuhidin5250 29 күн бұрын
@@godsson5954 huwa sipendi kubishana na watu wasiojielewa ,hivi Hilo Jina lako tu laana tosha sishangae matendo yako
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Ай бұрын
Fatma Karume pia ni Mzawa wa Zanzi b ar.Lakini wote sisi ni Watanganyika🎉
@vincentnyawa
@vincentnyawa 23 күн бұрын
Zanzibar na Tanganyika ipi kubwa. Ratio ya wabunge Tanganyika na Zanzibar ni ipi?
@kiatu
@kiatu Ай бұрын
Lol Lissu peke yake hashindi hii vita. Watanganyika poleni sana sijui mtaamka lini masikini
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 Ай бұрын
Watanganyika wote ni vipofu kiakili kabisa. Watawala siku moja ndiyo sababu Samia anaandaa Warabu kujitayarisha kuja kuwatawala watanganyika. Hata kama CCM siku moja itawakula kwenu pia mtajikuta mnatawaliwa na Wazanzibari na wakati huu Samia anautumia vizuri kweli ili warabu waje wajazane hapa ili waungane na Zanzibar kutawala Tanganyika. Pole sana hata sasa mmeisha tawaliwa kiakili kabisa sijui ni ushamba au uchawa.
@AhmedZahor
@AhmedZahor Ай бұрын
Wewe Kinacho kusumbua Ugalatia mbona huwataji Wazungu nyie Mulitawaliwa na Wajerumani na Waingereza mbona hamusemi kitu si kitu warabu nyie mbn kila siku munajipeleka
@mkude
@mkude Ай бұрын
Unaongea pumba tupu,ulifikiri nyinyi wagala ndo wenye mamlaka ya kuwapa wazungu kuwa wawekezaji peke Yao matokeo Yao wanakufundisheni ushoga
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir Ай бұрын
Upo mjinga sana sawa na huyo mkimbizi kilema
@user-zw6xv1vt1p
@user-zw6xv1vt1p Ай бұрын
Nayy atauwawa tuu km alimuuwa makufuli apate madalaka basi hata yy hana maisha mm mwenyewe ingekuwa mtoa roho ninavyo mchukia huyu ningemnyongelea mbali uko
@AhmedZahor
@AhmedZahor Ай бұрын
@@user-zw6xv1vt1p wewe Mgalatia uko kijijini na Ujinga wako hata kiswahili hujui eti Madalaka Sema Madaraka kwani Tangu Dunia ilipo Umbwa alie kufa Magu tu Wamekufa Mitume itakua yeye yeye kama nani asife
@NzingulaSonda-lo1qc
@NzingulaSonda-lo1qc 25 күн бұрын
Huyu chizi nn
@hafidhissa4405
@hafidhissa4405 Ай бұрын
Huyo mlizi wako kafanana na Makonda😂😂
@mussahussein3583
@mussahussein3583 Ай бұрын
Sasa leo ndio nimekujua Lisu kwamba kumbe nimtu ambae haufai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi. Mimi sitaki kusema kwamba eti Raisi samia amepatia ktk hilo au amekose bali ninanachokiona kwako lisu nisiasa za kibaguzi, kwanini labda tu usisemee yaliofanyika kwamba sio sahihi na sjui ametokea zanzibar sjui nini... labda umeishiwa na chakuwashawishi watu na unaanza kuingiza fikra za kibaguzi kwa watanzania
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu Ай бұрын
Ungesikiliza vizuri inachosema katiba ya Zanzibar ungemwelewa Lisu, Lakini kama hujui isemacho katiba ya Zanzibar utaona anakosea Lakini katiba zetu ndo Zinatengeneza Ubaguzi
@user-uq5vm2ge4q
@user-uq5vm2ge4q Ай бұрын
Kama unaempenda lisu gonga like
@dullahkalanjedullahkalanje1422
@dullahkalanjedullahkalanje1422 23 күн бұрын
upo sahihi kabisa
@SimbaM2kufu
@SimbaM2kufu 21 күн бұрын
Mimi ni mwana CCM damu, lakini hapa nakubaliana na Lisu.
@user-fr3vz2np4e
@user-fr3vz2np4e Ай бұрын
Ww tundu mjinga,mbona Maraisi wa tanganyika unapowasema vibaya hutaji wanakotoka?
@richardmbasha1411
@richardmbasha1411 Ай бұрын
Akili mgando ww
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 Ай бұрын
ZANZIBAR ni nchi inarais wake kaatiba yake bunge lake kwann ss Tanganyika hawaendi wawakilishi kule bunge la Zanzibar MUUNGANO wa upendeleo mno
@user-vg9sd2fc1k
@user-vg9sd2fc1k Ай бұрын
Ngoja nicheke 2
@user-fr3vz2np4e
@user-fr3vz2np4e Ай бұрын
@@faustinombilinyi9809 Ww una wazimu kweli,kwan Bunge la Tanzania ni la Tanganyika?wazanzibar wapo kwenye Bunge kama upande wa muungano. Ss wazanzibar tulipiga kelele kipindi kirefu ninyi muwe na serikali yenu ya tanganyika,mumekataa na mumejivisha koti la muungano. Daini Serikali yenu na ss tuwe na yetu then tukubaliane vipi serikali ya muungano iwe
@EmanuelBlassy-uz4gm
@EmanuelBlassy-uz4gm Ай бұрын
Ujanja ujanja
@sabriabdalla9562
@sabriabdalla9562 Ай бұрын
Umejitahid kufafanua lakini still ulichosema ni ubaguzi. Kupotea kwa Tanganyika kumesababishwa na watanganyika wenyewe. Ubaguzi hausaidii.
@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr
@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr Ай бұрын
Zanzibar ni nn
@user-cq4lp5rv1l
@user-cq4lp5rv1l 25 күн бұрын
​@@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr Zanzibar ni ya wazanzibr wenyewe watanganyika ndo nn
@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr
@ConfusedJigsawPuzzle-mr9rr 23 күн бұрын
@@user-cq4lp5rv1l haya tuseme mnajitawala haya kila xku mnalilia nn
@user-id7ws5hl5p
@user-id7ws5hl5p 20 күн бұрын
Chama cha wabaguzi
@giftyjackson2461
@giftyjackson2461 Ай бұрын
Duhhh
EXCLUSIVE: AMANI KARUME ATEMA CHECHE, AFUNGUKA SAKATA LA BANDARI
25:11
Daily News Digital
Рет қаралды 57 М.
Super sport🤯
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 20 МЛН
Glow Stick Secret 😱 #shorts
00:37
Mr DegrEE
Рет қаралды 145 МЛН
Miracle Doctor Saves Blind Girl ❤️
00:59
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 38 МЛН
KUMEKUCHA TUNDU LISSU ANAMJIBU NAPE NNAUYE
12:51
Tifu Tv
Рет қаралды 31 М.
Kurasini SDA Choir - JEHOVA
5:00
Kurasini SDA Choir
Рет қаралды 20 М.
Bom gevonden in de straat van Brent, 1100 mensen moeten hun huis uit
3:16
KIMENUKAAA: Lissu AMVUA Kinana NGUO hadharani, Lema naye AMJIBU!!!
8:02
Acties Israël in Rafah verhogen druk op Joe Biden
6:41
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 52 М.
Super sport🤯
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 20 МЛН