LEMA Asimulia GWAJIMA ALIVYOMWAMBIA LISSU "Usiende Dodoma, Utapigwa RISASI"

  Рет қаралды 574,093

Wasafi Media

Wasafi Media

Жыл бұрын

LEMA Asimulia GWAJIMA ALIVYOMWAMBIA LISSU "Usiende Dodoma, Utapigwa RISASI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 704
@KipazaOfficial
@KipazaOfficial Жыл бұрын
Nikiziangalia hizi sura naona Kabisa kuna siku zitachoka maisha magumu na propaganda za watawala na kuaminishwa umaskini ni haki yao…naomba siku hiyo Mungu asimame upande wa wananchi🙏🏿🙏🏿😢😢
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 Жыл бұрын
Eti ... Nimerudi Kwa wito wa kuipigania nchii.....Eti nikampigia Kikwete.....Eti wasiliana na Mama.... Siku Moja mtamtaja tu aliye..muua JPM... Katika maneno ya siasa zenu za kutaka kuiiba Tz... Iwe heri Kwa watz
@abbiecox1
@abbiecox1 Жыл бұрын
WATASEMA TARATIBU
@neemamwandoto8293
@neemamwandoto8293 Жыл бұрын
Wauwaji hao hawana lolote wenyewe naona walitaka wamuue mapema alivowagundua walitaka atafute mbinu gani wanabahati hao ipo siku yao
@dickaugustino8238
@dickaugustino8238 Жыл бұрын
Ila lema unapaswa kuja na mipango mizuri ya namna ya kuikomboa nchi kiseera na sio kusema habari za magufuri, coz he was the best than ever to most of tanzanian 75%
@japhetkasenga8686
@japhetkasenga8686 Жыл бұрын
Hujawahi kuwa humiliated ndio maana unaongea huu upumbavu
@ibrahimsengo2506
@ibrahimsengo2506 Жыл бұрын
Kwann cdm mtu akiwa tofauti nanyi lazima neno mpumbavu, mjinga nk yaan mnataka uhuru ambao amtak wengine wawe nao
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
@@japhetkasenga8686 humiliated? tunaelewa uzito wa hilo neno? watanzania wengi wamekuwa humiliated kiasi cha kutosha. hivi utasamaje mtu anapochukua hela za walipa kodi anazichezea na familia yake na watu wake? mtu unalipa kodi halafu ukienda hospital unadhalilika huduma hakuna mara dawa hazipo wakati kodi unalipa. halafu unawaona wengine wakiugua kidogo wanakimbilia nje ya nchi kutibiwa kwa pesa hizo hizo za wananchi wengine. hayo si yainatokea na yanaeleweka? huo ni nini kama siyo udhalilishaji? yapo mengi ya udhalilishaji yanafanywa hatuwezi kuyataja yote hapa. jamani tuacheni wengi wetu tumevurugwa. tunauguliwa na mzazi wetu mzee halafu ameenda hopt matibabu hakuna.....unataka mtu tujisikiaje? wakati kodi na hela za miamala tunakatwa kila siku. si afadhali huyo yuko ughaibuni na family wanakuja raha na matibabi ya bure?
@dorisfabian4776
@dorisfabian4776 Жыл бұрын
Yaani wewe ni mpumbavuuuuu natamanigi wafuasi wa magufuli nao wamfate huko aliko wakachomeke pa1 na mshenzi yule
@chundabadsingasinga3130
@chundabadsingasinga3130 Жыл бұрын
Huna akili
@mkuluwaukae2221
@mkuluwaukae2221 Жыл бұрын
Nawaza sana enzi za uhai wa gadafi, Wananchi walikua hawalipi kodi, umeme,ada ya shule na vyuo,na matibabu ni bure,na ukitaka kuoa unapewa pesa ya mahari na unapewa nyumba bure,na pesa ya kujikimu hata kama hauna kazi, ila pia libya walikua hawana huu ujinga za siasa za kihayawani! Lema punguzeni ulevi,kabla hamjaongea na watu! Maana watanzania wengi wana akili sana siku hizi!
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 Жыл бұрын
Akili? Gan 😂😂😂
@truthnafact9081
@truthnafact9081 Жыл бұрын
Watz wote wanazo ila zako umeziacha chooni
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 Жыл бұрын
@@truthnafact9081 ww ndio ulinipelekea
@evancemapunda9512
@evancemapunda9512 Жыл бұрын
Na walipojaribu siasa za kihayawani ikala kwao mazima.
@truthnafact9081
@truthnafact9081 Жыл бұрын
Moto hapana ulipelekewa na watz wengine
@robinsonrespicius2713
@robinsonrespicius2713 Жыл бұрын
JOHN WAS A DECISIVE MAN A HIGH CALLIBER MAN NO ONE IN CHADEMA OR IN CCM HAVE THE STRENGTH THE RITHLESSNESS OF JOHN JOHN MAGUFULI IS AFRICA ITSELF KUJARIBU KUMSEMA ETI NI MWENDAZAJE SIJUI NI NINI NA HUKU MAMBO YAMEBADILIKA MIFUMUKO YA BEI KUSHUKA THAMANI KWA SHILLING , MAISHA MAGUMU HUWEZ KUICHAFUA OIL CHAFU ULISHAAMBIWA NA KONK MASTER VIVA JOHN
@teddyshedafa2940
@teddyshedafa2940 Жыл бұрын
Pole baba mungu akupe maisha marefu zaidi sipo kilimanjaro bali nipo pamoja na bawacha wenzangu toka kanda ilala kata segerea pepooooossss
@mokiaolenaputu7648
@mokiaolenaputu7648 Жыл бұрын
Pole sana kamanda Lema. Herode amekufa, Yesu amerudi Galilaya injili inaendelea
@profs.a5412
@profs.a5412 Жыл бұрын
Duuu!!! Wajakoya ni mwamba saanaaaa , Asante Prof wajakoya
@happymwaluko8779
@happymwaluko8779 Жыл бұрын
Prof Wajackoya salute kwako
@nice58765
@nice58765 Жыл бұрын
Did not know Prof W was involved in helping him, God bless you Prof.
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
ulishafanikiwa kujenga nazingira ya kwenda nje kupata ukimbizi wa kisiasa na familia yako mko poa saa hizi...elimu bure chakula na mavazi bure na malazi bure. Wengine hapa kwetu wanateseka namna ya kupata milo miwili kwa siku. Njoo na sera zenye ubunifu wa kupata unafuu wa maisha. watu wamechoka maneno.
@mahnalamry
@mahnalamry 2 ай бұрын
Hadi leo mke na watoto bado wako Canada
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
watanzania wamechoka maneno matupu wanataka maisha bora yenye uhakika wa chakula, elimu bora, mavazi na matibabu bora. Porojo hazisaidii lolote zimeweza kusaidoa wewe kuishi vizuri na familia yako ughaibuni. watu wengine nao wanataka maisha mazuri pia. Lets sera zenye ubora na ubunifu kaka Lema. Tumechoka hadithi.
@allenmmari6327
@allenmmari6327 Жыл бұрын
Ongeana serikali sio huyo
@modycadabra8721
@modycadabra8721 Жыл бұрын
Tupe maneno achana na Jpm mana cc hatutakuelewa hata kidogo
@cavonboyblogger1995
@cavonboyblogger1995 Жыл бұрын
Akili huna
@modycadabra8721
@modycadabra8721 Жыл бұрын
@@cavonboyblogger1995 yah inawezekana nikawa cna ila tunataka Sera co kumsema marehemu
@sirkingsky108
@sirkingsky108 Жыл бұрын
@@cavonboyblogger1995 asee
@bockerbocker8495
@bockerbocker8495 Жыл бұрын
Ukiwa na ubongo wa Kuku hautamuelewa
@personpeter2221
@personpeter2221 Жыл бұрын
Hakika cc hatumwelew
@jeradbendiliba3828
@jeradbendiliba3828 Жыл бұрын
Gwajima he is man of God
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 Жыл бұрын
No he is a man of sattan
@ahz6907
@ahz6907 Жыл бұрын
Are u sure?😅
@jeradbendiliba3828
@jeradbendiliba3828 Жыл бұрын
@@mbwanarajab4756 😂😂😂 Oky time will tell us
@mwigarleysaid5406
@mwigarleysaid5406 Жыл бұрын
@@ahz6907 Ok What about you 🤦🏼‍♀️🤦🏼‍♀️
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Ama kweli siasa ngumu. Yaani JPM ameondoka miaka miwili sasa lakini watu bado wanaweweseka hawaachi kutafuta namna ya kupanda ngazi kwa kutumia mgongo wake. kweli JPM hutaweza kufa akilini mwa watu...utaishi milele.
@dostovan5142
@dostovan5142 Жыл бұрын
Mmh maovu hayasauliki, hawa pia ni watanzania
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 Жыл бұрын
Mtu kuwa mzuri kwako haina maana ni mzuri kwa wote. Je maguful hakutoa tamko vichomw vifaranga
@innocentmtashobya1257
@innocentmtashobya1257 Жыл бұрын
Wajinga ni wengi nchi hii..mtu anaelezea yaliyomkuta ww unaleta mahaba uchwala..ma Rais wamepita wangapi?.kwa nn ni Magufuri ndo anasemwa vibaya peke yake..acheni uzuzu..Tatizo ni ukayumba..haya ni masuala yanayoitaji uelewa
@godsson5954
@godsson5954 Жыл бұрын
mtoto wako akibakwa utasahau aliyembaka hata ikipota miaka kumi? omba Mungu tunapaswa tuipende sana nchi yetu na Raisi wetu wa sasa ana upendo wa dhati sana na sana tofaut na aliyepita
@troyano_22
@troyano_22 Жыл бұрын
Ataishi kwako tu.
@khatamiyusuphsakala-wi8sc
@khatamiyusuphsakala-wi8sc Жыл бұрын
Hapo Kwa kikwete na lema na mama Kuna jambo katikati yaan unapigiwa simu kuambiwa mwenda zake ameenda nataka kurudi nyumbani hayo maneno yana ulakini ndani yake mtalipwa kama mlimfanyia rais wetu sisi wanyonge
@japhetkasenga8686
@japhetkasenga8686 Жыл бұрын
Liseme hilo jambo, unalolijua acha porojo,
@ibrahimsengo2506
@ibrahimsengo2506 Жыл бұрын
Mungu atalipa
@neemamwandoto8293
@neemamwandoto8293 Жыл бұрын
Wauwaji hao wewe kuwapa kula hao Bora ni sawa na umempa kula simba
@mustaphamasobe8343
@mustaphamasobe8343 Жыл бұрын
Hata Yesu alikimbiziwa misri mpaka Herode alipo kufa
@marygregory7566
@marygregory7566 Жыл бұрын
Yaan kwa sasa hv ukitaka kuwatibua watanzania mkashifu magufuli
@pendojeremiah1023
@pendojeremiah1023 Жыл бұрын
Muacheni RAISI WETU KIPENZI MAGUFULI apumzike kwa amani ukweli huwa unachelewa ila uongo ni rahisi kutapakaa mnamuhukumu mtu pasipo jua,kwa kazi aliyoifanya magufuli hawezi kukosa maadui kwasababu ni mtu alikuwa na maamuzi bila kuyumbishwa na kupelekeshwa pls mmeshamuua basi mwecheni Apumzikr time will tell R.I.P MAFUFULI😢🙏
@turabiturabishekilindi1210
@turabiturabishekilindi1210 Жыл бұрын
Wote njia moja.angalieni Mambo ya kujadili maisha magumu huku hatutaki hayo Mambo yenu tena mnatutonesha vidonda r I p uncle magu tutakukumbuka daima, dad ata mungu alimwambia mtume ole wako upendwa na kila mtu
@victorsanga2229
@victorsanga2229 Жыл бұрын
Unamkumbuka Magufuli kwa lipi? Ni maisha gani Magufuli aliyafanya kuwa rahisi?
@japhetkasenga8686
@japhetkasenga8686 Жыл бұрын
Hutaki ukweli wewe
@bensonjohn9633
@bensonjohn9633 Жыл бұрын
Pumbavu kabisa.
@murtarakhalfan8179
@murtarakhalfan8179 Жыл бұрын
Tulia weweee
@Majembe12
@Majembe12 Жыл бұрын
Kufa mfuate ukapate maisha mazuri
@kawiche4911
@kawiche4911 Жыл бұрын
ASALI MMELISHWA NYIE USITUPIGIE KELELE SI UMERUDI WALIOKUITA WAMEKUAGIZA UJE KUTUPIGIA KELELE. KWENYE MAJUKWAA YA SIASA MAGUFULI NI KIPENZI CHA WATANZANIA WALIO WENGI ACHA KUMCHAFUA JINA .
@lukemelyemposola885
@lukemelyemposola885 Жыл бұрын
Hawa ndiyo wanafiki kweli nahisi ndo waliyo muua kwanini mnazungumza na mtu ambaye Wala hayupo halafu Dunia nyie hamjaona mataifa yaliyo mwaga damu hayo mbona utani sana maendeleo nikazi kubwa sana siyo hivyo vimaneno acheni kutudanganya magufuli hata afufuke Leo tunampa kura siyo nyie mwacheni rais Samia aongoze nchi nyie Bado hamjakomaa yenu makelele tu hamnajipyaaaaa Hanna sera njaa tu
@deogratiuswambura7597
@deogratiuswambura7597 Жыл бұрын
Lema aya unayo yasema usizani magufuli akuacha watu hapa inchini ipo siku nyie na uyo kikwete wako mtaondoka
@deogratiuswambura7597
@deogratiuswambura7597 Жыл бұрын
Lema kwa maneno hayo hauna rorote unabwatuka turetee siasa ulio jifunza uko
@meddymushmaz551
@meddymushmaz551 Жыл бұрын
Wewe ukianza kungea mambo ya JPM hapo ndipo mnapokwama shenzi, kwanza sisi hatuwatambui nyinyi ni matapeli wakisiasa
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 Жыл бұрын
MUNGU HAONGWI WALA HATUKUZI MWANADAMU
@Omary_Mjema
@Omary_Mjema 3 ай бұрын
Kweli ujinga mwingi sana aisee yani mmeanza kuabudu watu sasa na mabaya yao aiseee
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 Жыл бұрын
CHADEMA bana, unaweza kuwasikiliza na ni sawa na kuangalia OTTOMAN 😝😝😝😝😝😝
@philipngeso8883
@philipngeso8883 Жыл бұрын
Mungu bariki wajakoya
@BGHaule
@BGHaule Жыл бұрын
Professor Wajacko is the real man
@luganojohn2673
@luganojohn2673 Жыл бұрын
Leta mpango kazi wa kutatua matatizo ya watanzania acha story nyingi mambo yamebadilika
@abbiecox1
@abbiecox1 Жыл бұрын
LAZIMA APIGE KITU KIZITO KWANZA VICHWANI MWA WAJINGA KISHA ALETE POROJO SIASA
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 Жыл бұрын
Kaa na matatizo yako mbwa ww mbn ww hutaki kusikiliza matatizo yake
@machintangachibwena5922
@machintangachibwena5922 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 Жыл бұрын
@@jeunajuatv817 hayatuhusu
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 Жыл бұрын
@@mohammadoman8963 yenu pia hayamuhusu
@solomonpeter1824
@solomonpeter1824 Жыл бұрын
Hapa ndo utajua mbivu na mbichi. Na kukimbia kote kama unavyotudanganya, hakuna ulilojifunza umerudi kwenye nchi yako bado unamtukana na kumdhihaki Hayati Magufuli. Mungu hadhihakiwi cha msingi ukipata nafasi ya kutoka kujifunza nenda jifunze rudi tuambie cha maana na nn cha kusema. Huo umati wote wanakushangaa sana kaa chini tafuta namna ya kuongea na watu. Pia epuka kuwachonganisha viongozi wastaafu kama walikusaidia ni jambo la kusema asante na siyo kuweka hadharani, mm cyo mwana siasa bali mzalendo naipenda nchi yangu but sipendi kusema uongo na nawaheshimu viongozi waliopo na waliotangulia
@samwelimoshi5614
@samwelimoshi5614 Жыл бұрын
Pole
@samsonfulgence5553
@samsonfulgence5553 Жыл бұрын
Mfuate Chato kama unamtaka.
@WildStanley01
@WildStanley01 Жыл бұрын
@@samwelimoshi5614 Amekudanganya nini sasa..kwenye hii dunia kunamtu ambae hajui kua mwendazake alikuwa anaonea upinzani ?
@geofreylucas7870
@geofreylucas7870 Жыл бұрын
Hawawezi kukuelewa hawa bado watakupinga sana
@simonballu1124
@simonballu1124 Жыл бұрын
nenda chato mpumbavu wewe na usenge wako.
@rajihijarajihija8371
@rajihijarajihija8371 Жыл бұрын
Polesana kaka yetu
@lovierlion-vs9rn
@lovierlion-vs9rn Жыл бұрын
Ila mbowe n jasiri na ana Mungu
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 Жыл бұрын
MNAJISUMBUA HAMUWEZI KUFUTA LEGACY YA NYERERE +JPM LAANA ITAWATAFUNA. NA HUYO BI TOZOOOO WENU.,NONSENSE
@ramadhanimtambo6755
@ramadhanimtambo6755 Жыл бұрын
Watu wamepata taabu sana halafu wakiambiwa ubaya uliopita hawakubali. Tuombe mungu sana tuwe na amani
@kawiche4911
@kawiche4911 Жыл бұрын
Na mkiambiwa uzuri hamuamini Jpm Shujaa wa Afrika Acheni kumchafua jina Kauzeni madini mdanganye ni Mchanga KAUZENI BANDARI YA BAGAMOYO KWA WACHINA WATANZANI SIO WAJINGA
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 Жыл бұрын
​@@kawiche4911 wewe ni mjinga kuliko mwendazake
@joegemihayo8625
@joegemihayo8625 Жыл бұрын
@@marcokaroje8980 Sio mjinga tu ni mpumbavu wahedi
@otmanmbwilo9117
@otmanmbwilo9117 Жыл бұрын
@@marcokaroje8980 ww unaakili kwahiyo
@lukafbbwebelof3874
@lukafbbwebelof3874 Жыл бұрын
Wanao kataa kazi za MAGUFULI, wanalinganishwa na mzimu ulio hai
@damsonwilson5202
@damsonwilson5202 Жыл бұрын
Wewe Unazengua jambo Moja tuuuu kushambulia watumishi wa Mungu
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 Жыл бұрын
🤔, makubwa pole, Mungu ni mwema 🙏
@robertzingu9889
@robertzingu9889 Жыл бұрын
Mmh😯😯😯😯!! Ni kweli haya??
@mwitawambura2548
@mwitawambura2548 5 ай бұрын
Chadema mnatakiwa mmteuwe God bless lema awe karibu wa itikadi na uwenezi wa Chama chenu Huyu jamaa ana madini mengi kweli kumzidi yule mlie nae Huyu ndo ataweza kupelekeana moto na makonda
@anisabassedondi5513
@anisabassedondi5513 Жыл бұрын
Poleni sana,kwa yote yaliyowapata.
@kilalamuhumba4612
@kilalamuhumba4612 4 ай бұрын
Kama mnataka uongozi ombeni kistaarabu acheni uongo bwana! Mama anafanya kazi vizuri mbona! CCM OYEEE
@Imaniamockgmail
@Imaniamockgmail 4 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤
@abednego3876
@abednego3876 Жыл бұрын
NYIE NA MAMA SAMIA NA KINA KIKWETE NI KITU KIMOJA, HI MIKUTANO MMERUHUSIWA ILI MUMMSEME JPM ILA TAMBUENI MWAKA MMOJA WA URAISI WA JPM NI SAWA NA WA SAMIA MIAKA 10
@pendojeremiah1023
@pendojeremiah1023 Жыл бұрын
NImepata picha kwann raisi wetu alikufa ila Mungu atatulipia
@tichamawani6953
@tichamawani6953 Жыл бұрын
Kunguru mwoga ukimbiza bawale ! Pole sana dogo
@enocepaulkumba9362
@enocepaulkumba9362 Жыл бұрын
Pole sana kamanda!
@emmabrownmissana6996
@emmabrownmissana6996 Жыл бұрын
Kumbe we ni zaidi ya mjinga!
@Aida-qh3jq
@Aida-qh3jq Жыл бұрын
Huyu Mzee ana akili zilihama au ukimwangali hivi hayuko sawa
@hilaliusjohn8386
@hilaliusjohn8386 Жыл бұрын
Kumbe wewe ni zaidi ya kahaba
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Жыл бұрын
Daah aisee kumbe huyu jamaa ame ponea kufa😭 magu alikua katili mno
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Usiwe kama benders fuata upeo bana. fikiria kwanza. Mbona wengine hatukufa? Sanasana tulifurahia tupata haki zetu mahakamani, polisi, mitaani ziilizokuwa zimeporwa na wajanja wenye nguvu. miajali ilipungua baranarani? hospitalini huduma bora na dawa zilikuwepo Nile ubaguzi, ujambazi ulitoweka na vifo vilipungua sana tena sana. Masikini na sisi tulifurahia kula chakula milo mitatu kwa siku. Matabaka ya wenye pesa na wasio nazo yalipungua kwa kiasi kikubwa haijawahi kutokea....uonevu kwa wasionacho uliondoka, maofisini nidhamu ilikuwepo huduma kama kazi. Unadhani hiyo ilikuwa kazi ndogo? Au hiyo kwa kutafsiri yako ni uonevu? jamani fikiti na utumie akili kabla ya kutoa comments. tusiwe kama "maji fuata mkumbo"
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Janja yenu hiyo ya kwenda kutafuta maisha mazuri na familia zenu ughaibuni. kule mkimbizi nyumba bure, matibabu bure, chakula bure na elimu za watoto wenu bure. Mbona hamarudishi watoto wenu hapa kwenye vumbi? mnawapeleka kupata maisha bora halafu nyie mnarudi kutupiga pororjo tupu watanzania. Tuna macho na akili zetu jamani.
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 Жыл бұрын
Dah! Hivi kumbe baada ya Magu kufa Rais alibaki kikwete? Ukiunganisha haya ya Lema na ya Kikwete msibani chato unapata maruweruwe... Bora waanze ukurasa mpya, kuendelea kumtaja JPM watajikuta wamesema yote waliyoyafanya na nchi itakuwa ya moto
@omaryidd4373
@omaryidd4373 Жыл бұрын
lema mungu akuongoze
@edgartz3367
@edgartz3367 Жыл бұрын
Duh😭😭😭😭
@emmanuelkateba3545
@emmanuelkateba3545 Жыл бұрын
Very touching
@gangmore9091
@gangmore9091 Жыл бұрын
Ukitaka kujua Watanganyika wengi Mazezeta soma comments Ukitaka kuwatawala watu wanyime elimu bora watie umaskini 🤣🤣🤣😅
@margrethvegula-wc7px
@margrethvegula-wc7px Жыл бұрын
Kuwa na elimu haimaanishi una busara Kuna watu wengi tu Wana pesa na elimu ila bado ni bogus
@gangmore9091
@gangmore9091 Жыл бұрын
@@margrethvegula-wc7px umefahamu nilichokiandika??
@ezekiambise2595
@ezekiambise2595 Жыл бұрын
God bless God bless lema
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 Жыл бұрын
Ipo trending no one duuuh
@jumaedward7110
@jumaedward7110 Жыл бұрын
Mungu ni mwema
@emmanuelmasele9585
@emmanuelmasele9585 Жыл бұрын
Karibu Lema
@charlesmazigo8106
@charlesmazigo8106 Жыл бұрын
Lakini Cha ajabu lissu mwenyewe aliulizwa kuhusu kuambiwa na gwajima kwamba asiende Dodoma na atapigwa risasi ,na alikana kuambiwa jambo hilo,so Mimi sielewi
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Жыл бұрын
Uongo wa kuwadanganya wananchi, hakuna jipya.
@aminimushi6945
@aminimushi6945 Жыл бұрын
Na hutaelewa.
@prudencemushi6948
@prudencemushi6948 Жыл бұрын
Tumetoka Mbali Mungu anaipenda Tanzania
@yusuphchankwa4759
@yusuphchankwa4759 Жыл бұрын
Hata mumseme vibaya vipi magufuli wetu au magufuli wangu hamuwezi mkamfuta ndani ya moyo wangu
@jeunajuatv817
@jeunajuatv817 Жыл бұрын
Mbn cijasikia Magu akisemwa
@owagatonny6558
@owagatonny6558 Жыл бұрын
Magu Alikuwa muuwaji😭
@francistesha4115
@francistesha4115 Жыл бұрын
Watuache
@pendojeremiah1023
@pendojeremiah1023 Жыл бұрын
@@owagatonny6558 alikuulia mama yako au baba yako shuwaain
@simonlulenga7062
@simonlulenga7062 Жыл бұрын
Hii nchi bwana! Mlikosea sana kumkabidhi rungu chizi. Shukuruni Mungu aliwaona watanzania akamlaza pema peponi.
@rechalbarama6758
@rechalbarama6758 Жыл бұрын
kila mamlaka yatoka kwa MUNGU ,,, ukituliza akili utagundua una matatizo ya kuto fikili vema na kutoa majibu sahihi
@gilmangeorge366
@gilmangeorge366 Жыл бұрын
@@rechalbarama6758 acha zako ww unataka kusema iddi amini,adolf hitler,benito musoni,wale madikteta walioua watu nao mamlaka zilitoka MBINGUNI
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 Жыл бұрын
Watz hapo wanasikiliza story
@stephanokaaya1881
@stephanokaaya1881 Жыл бұрын
Story Gani za kipuuzi TU?
@fredyosokoni7672
@fredyosokoni7672 Жыл бұрын
Pole Sana mpingania haki Mungu Amubariki Sana muteeesi yawengi
@hoseastephen4508
@hoseastephen4508 Жыл бұрын
Jiwe alikuwa nyoko wallah! Kiukweli kabisa kama angekuwepo hadi sasa wapinzani wengi either wangekuwa jeala maisha au wameaga dunia!
@BGHaule
@BGHaule Жыл бұрын
Inawezekana nchi ingechafuka,watu wangechoka
@BGHaule
@BGHaule Жыл бұрын
Mambo yalishafika shingoni
@adrianalex5546
@adrianalex5546 Жыл бұрын
@@BGHaule uvn0l Ll
@nicholauspeter6278
@nicholauspeter6278 Жыл бұрын
Mnachefua sana yaan watu wazima hovyo sana hv hamuoni aibu mnayoyazungumza hapo mnajifanya watu wa Mungu kumbe utopolo tu
@husseinyusuph5458
@husseinyusuph5458 Жыл бұрын
Wameruhusiwa mikutano ya hadhara wanaongea upuuz hiyo ndio dhamila ya kulilia mikutano ili muhadisiane utopolo kweli nyie bure kweli
@kelvinmaisa8763
@kelvinmaisa8763 Жыл бұрын
Hujalazimishwa kusikiliza
@phinah9728
@phinah9728 Жыл бұрын
Wasafi hakuna dogo.# no .1 on trending
@emmanuelzwallo3933
@emmanuelzwallo3933 Жыл бұрын
TATIZO HAMJAJUA JINSI YA KUWATEKA WATANZANIA.WATANZANIA HAWATAKI STORY NA NGONJERA ZA KUONA ETI UMETESWA,UMEDHURUMIWA NK..WEWE WAMBIE UKICHUKUA HATAMU UTALETA MAENDELEO GANI.NA SI KUHUBILI NGONJERA NGONJERA.MAANA KILA MTU ANA HISTORY YAKE.
@joezeno8
@joezeno8 Жыл бұрын
Siasa za kutafuta huruma kwa Watanzania, ajenda zao wakati wa Kikwete mzee Magu alizimeza zote
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
yaani kwenda kote nje tulidhani amrkuja na habari za maana atupe maarifa ya kuboresha hali zetu za kimaisha kumbe karudi kama alivyoondoka ni maneno yaleyale yasiyo na mpango kwa wananchi. Hizo story zake sisi zianatuhusu vipi jamani? Lete sera za maendeleo ulizojifunza huko kwa wenzetu.
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 Жыл бұрын
NABII NA MTABIRI AMERUDI NYUMBA.WEWE NI YUSUFU MUNGU YUKO PAMOJA NAWE.SAUTI YA WANANCHI MAMBO YAMENOGA.MAMA OYEEEE MUNGU AKUPE ULINZI KWA WEMA WAKO.IRON LADY
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Jamani chadema hivj like neno lenu mliloanzisha la UFISADI limeishia wapi? Mbona huo msamiati umetoweka kabisa midomoni mwenu. Habari yake ikoje? Kwanini mnaliogoa kulitamka hilo neno? Au mnataka kusema ufisadi umeisha? Tupeni majibu jamani hatujasahau. Ilikuwa neno lililowapa umaarufu nchi nnzima. Sasa limeishia wapi? mnatuacha na maswali tutayafufua kipibdi cha uchaguzi sababu hamjatoa majibu.
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
wanajipoteza sababu wao wenyewe ndiyo ma..... wenyewe. neno limewageukia wenyewe
@goodluckkamaghe3871
@goodluckkamaghe3871 Жыл бұрын
Pole Sana kwa mapito
@josh_versal8180
@josh_versal8180 Жыл бұрын
Vijana huku chuo tunawakubali Chadema sana
@abbiecox1
@abbiecox1 Жыл бұрын
wengi mtakubali ushoga pia huo ni mwanzo wanakuja na haki mpaka za kuwaruhusu vijana kutumia makalio yao
@stephanokaaya1881
@stephanokaaya1881 Жыл бұрын
Chuo Gani hicho aisee?
@abbiecox1
@abbiecox1 Жыл бұрын
@@stephanokaaya1881 TUSUBIRI YA KENYA VIJANA WENGI WANATAFUTA KAZI KWA KIGEZO CHA ELIMU PASIPO UBUNIFU. KUKIMBILIA SIASA NI KWA MAANA YA KUPATA SULUHISHO LA AJIRA TU
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 Жыл бұрын
Zero akili chuo kinapokea hata vichaaa
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 Жыл бұрын
Pole sana chuo
@juliusjames4768
@juliusjames4768 Жыл бұрын
Acheni kutumia hisia na matako kufikiri kwenye mikutano yenu...someni alama za nyakati,..Njooni na strategies mpya za kuwakomboa watanzania..Mkikaa kumuongelea magufuli mtaangukia pua.
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Bwana Lema we mwache JPM amepumzika kwa amani. Sikufichi wapo wengi walimpenda sana na bado wanaomboleza kuondoka kwake. bado watu wana maumivu rohoni. Hii inakuondolea ushabiki. we kazania na mambo yajayo achanna na yaliyopita hayakujengi.
@BGHaule
@BGHaule Жыл бұрын
Aisee watu wengine ni heri wakae kimya,kwani hakuna mtu alikuwa anaona nini kinaendelea
@johnnyoni3976
@johnnyoni3976 6 ай бұрын
NAKUELEWA SANA LEMA
@giftyjackson2461
@giftyjackson2461 Жыл бұрын
Pole sana
@onesmomasala-rg2wd
@onesmomasala-rg2wd Жыл бұрын
Pole lema
@gaspercharles4242
@gaspercharles4242 Жыл бұрын
People's power nichama kilichotupa uhuruna kilichopomadarakani hadisasa kwaridhaa yawanachi walio wengi wenyekusema power....naonimbumbukama kamahuyo heis likemoving shedow.
@user-ly9ul6lo4t
@user-ly9ul6lo4t 4 ай бұрын
🎉❤🎉❤ wajakoyaa good bless
@jonaspatrick2871
@jonaspatrick2871 Жыл бұрын
Mlikuwa mkiuza siri za serikali kwa mabeberu ndio maana mlikimbia baada ya kushtukiwa, ongea ukweli!!!!
@phaustinendumbashi
@phaustinendumbashi Жыл бұрын
We ndo choko kweli,,,hizo siri za serikali wamezipata wapi au walishawahi kuiongoza nchi au unaropokwa tuh
@yudaseleman8320
@yudaseleman8320 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 Жыл бұрын
Siasa za masimulizi..... Hii ni Tz bro..... Acha maneno... . Maisha yanaendelea... iwe heri Kwa watz
@jacksongabriel4693
@jacksongabriel4693 Жыл бұрын
Lema we nitapeli tu hamna lolote unavo mwongelea magufuli aliye acha alama kwenye nchi hii we umeacha nn kwenye nch hii zaidi ya utapel kumbe ww na kikwete lenu moja
@robinsonrespicius2713
@robinsonrespicius2713 Жыл бұрын
yaaani sema vyote ila ukimsema JPM hapo unaonekana hauna kitu chochote
@WildStanley01
@WildStanley01 Жыл бұрын
Asiseme kwamba alikuwa anaonea upinzani?
@ibrahimsaid4263
@ibrahimsaid4263 Жыл бұрын
Majamaaa waongo sana aseee dah
@mohamedsuleiman2785
@mohamedsuleiman2785 Жыл бұрын
Yanii benii sanan vip au kwa sababu sio watu wako vip lissu au kw sababu sio wewe yalio kukuta
@josh_versal8180
@josh_versal8180 Жыл бұрын
I wish Magufuli angekua hai na akasikia alichokua anakifnya angelia sana wanasema ukitaka kumjua mtu mpe Mamlaka,pesa na unyumba
@prophetislael5265
@prophetislael5265 Жыл бұрын
Hawa jama ukiwasikilixa hawasemi nini chamaaana zaidi yakupigia watu stor zawalitaka kuuwawa yan Lisaa lizma anatoa stor duu nakunawatu wanasema sema baba
@emmansabu9300
@emmansabu9300 Жыл бұрын
Na u_prophet jina wako unashindwa kusema yanayosemwa ni kweli au Ni uongo.. ondoa iyo prophet kwanza hapo ndo u comment
@prophetislael5265
@prophetislael5265 Жыл бұрын
@@emmansabu9300 nisamehe ila ukweli nikwamba hawa mnao washabiki ccm wala chadema hakuna wakuleta maendeo fanya kaz zako maana naona wapiga kelele tu mm nilikuwa chadema nahata sasa nichadema ila spend hii yamtu ananiletea shidazake kunielezea alikuwa anataka afanywe hiki nakile mm hainihusu namzalendo hakimbii nch yakee et anaogopa kufa wangap wamekufa hapa au siasa za mdomo tu mzalendo hakimbii nchi yake UNATAKA KUSEMA MIKUTANO ISINGE FUNGULIWA NA LAIS HAKUNA MPIGANIAUHURU WAPIGANIA UHURU WAMEKIMBIA NCH ZAWATU HARAFU TUNAWASHANGILIA ET WAMELIDU DA NCH INAWATU WAAJABU HIInyny wengine niwashabiki
@patrickjohn4135
@patrickjohn4135 Жыл бұрын
prophet islael hunaakili futa prophet yko
@prophetislael5265
@prophetislael5265 Жыл бұрын
@@patrickjohn4135 wewe mwenyeakili imekusaidia nini zaidi yakushabikia vitu visivyo namaana
@samsonmsomi8330
@samsonmsomi8330 Жыл бұрын
Kwahiyo unadhani ukimsema JPM ndo tufanyeje, ngoja tukuambaie kitu ahsante kwa kuropoka, kikwete na Gwaji sio!? ngoja inyeshe tuone panapovuja
@muhidiniabdur2382
@muhidiniabdur2382 Жыл бұрын
Tatizo munatumia muda wote kueleza matatizo ya utawala wa magufuri , kasha kufa uyo mbona nanyinyi mawazo yenu yemekufa jpm,ngumu kuchafua magu
@jeradkanyuru5745
@jeradkanyuru5745 Жыл бұрын
Mbona mama..ukaruusi..siasa..mambema..mbona ivo..mama
@weredismas4498
@weredismas4498 Жыл бұрын
So sad,freedom not easy
@gilbertshirima2684
@gilbertshirima2684 Жыл бұрын
Ninasema kuna watu wanakufa lakini kwa matendo yao na mateso waliyosababisha historia lazima iandikwe🤔
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Жыл бұрын
God bless inform national on his living Tanzania to Canada on his arrive has spoken reality what happened on his pressure of late John pombe makufuli leadership under exelence president Samia sluu Hassan allowed them back to Tanzania now this is what God bless inform Tanzania Pablic what was happening wajacoa has play big part to solve God bless lema his life for run away from late John pombe makufuli leadership to Kenya for short time process traveling to Canada short information how he saviviving
@marieconnect6389
@marieconnect6389 Жыл бұрын
Sasa wewe kaka Lema muda woooote umetumia hujaongea sera yoyote mpya ya maana ya maendeleo unakazania kumpaka JPM matope. unatufanya kama wambea wa saloon za nywele vile. watu tunataka sera mpya ulizokuja nazo kumbe wala hujabadilika kuwa bora zaidi. Tumeshavhoshwa na mambo ya umbea tunataka sera zilizoenda shule. Unatumalizia bando zetu bure
@salim02tv24
@salim02tv24 Жыл бұрын
13:23 ..... Kikwete ! Mama why ????????? Ukiwa na akiliii utaelewa achana na siasa chadema+ ccm ni wamojaa
@barackpeter.3852
@barackpeter.3852 Жыл бұрын
Rip Magufuri 🙏
@raphaelcharles4949
@raphaelcharles4949 Жыл бұрын
Zito ametuambia mlipokea offer, acha kudanganya
@christophergeorge5490
@christophergeorge5490 Жыл бұрын
We nae hujielewi kwahiyo ilitolewa na offer Lisu apigwe risasi au mihadarati inakupeleka kubaya
@abbiecox1
@abbiecox1 Жыл бұрын
KUMBUKENI YOTE ARACHUGA WENZAKE WATAJIFANYA WAMEMUELEWA!
@danieljustus6441
@danieljustus6441 Жыл бұрын
Pr Wajakoya Mungu ambariki saana
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 4 ай бұрын
Professor j kimya acha huyu mwenye nguvu sa hivi aseme ataujua mchango wawatu yakimkuta😊
@yawepetro2049
@yawepetro2049 Жыл бұрын
Jpm kumbe ulikufa kwa Sababu yetu alikufa mtetezi wetu wawanyonge😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@mbwanarajab4756
@mbwanarajab4756 Жыл бұрын
Mtetezi wa wanyonge haui wenzake
@dorisfabian4776
@dorisfabian4776 Жыл бұрын
Muuaji mkubwa yule na huko aliko kama hakutubuuu moto unamuwakia mshenzi kabisa magu
@hussainmaulatz6758
@hussainmaulatz6758 Жыл бұрын
MAMA SAMIA MUNGU AKUWEKE SANA MAMA ETU UMEKOMAA KIDEMOCRASIA UPINZANI UNA HAKI YA KUWEPO NA KUA MPINZANI SIO ZAMBI WALA SIO LAANA KWA KUA WOTE TUNAJENGA NNCHI 1 .
@evaristimramba9047
@evaristimramba9047 Жыл бұрын
Tunategemea Sera za maendeleo lakn kila mkikimbia mkirudi Sera kupigwa risasi jmn hayo ndio tunayoyahitaji au tunahitajk Sera za maendeleo jmn mnatuchosha
@mariamakoye9066
@mariamakoye9066 Жыл бұрын
SIRI imeanza kutoka. mlishangilia na kuambizana aaa Lema Kikwete Samia. Mmmmm RIP JOSEPH POMBE MAGUFURI. MUNGU AKUPE RAHA YA MILELE KIPENZI CHA MIOYO YA WATANZANIA.
@otmanmbwilo9117
@otmanmbwilo9117 Жыл бұрын
Hapo kikwete na lema kunauhusiano gan
@winnifridaashery4449
@winnifridaashery4449 Жыл бұрын
Ndo maana ukaambiwa kifo Cha JPM kina utata mwingi
@paulseleman0604
@paulseleman0604 Жыл бұрын
Hayo ndo wanayohitaji watanzania simulizi za matukio ndo kukijenga chama Sera hakuna jamani elezeni basi mambo ya muhimu
@neemamwandoto8293
@neemamwandoto8293 Жыл бұрын
Hawana la muhimu hao zai ya uchonganishi
@athuman7480
@athuman7480 Жыл бұрын
Duh Siasa mbaya sana yani wanatumia nguvu nyingi sana
@frankmichael5963
@frankmichael5963 Жыл бұрын
Kweli gwajima ni mtu wa Mungu alioteshwa na Mungu
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 Жыл бұрын
Siyo alioteshwa
'Sikutoroka' - Dereva wa Lissu aiambia DW
16:33
DW Kiswahili
Рет қаралды 755 М.
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 4,8 МЛН
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 46 МЛН
ROMA ft Abiud - Nipeni Maua Yangu (official Audio)
7:00
VIVAROMA
Рет қаралды 2,1 МЛН
GODBLESS LEMA  AFICHUA MAMBO MAZITO YANAYOENDELE KWENYE NCHI
51:18
Chadema Media TV
Рет қаралды 1,7 М.
Дибала против вратаря Легенды
00:33
Mr. Oleynik
Рет қаралды 4,8 МЛН