Msigwa anatrma sumu ase uko vzr kamanda✌️✌️✌️✌️✌️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Expedito25122 ай бұрын
Safi sana Msigwa kwa kutoa elimu nzuri kwa wananchi.
@rastheunique2 ай бұрын
Salaam sana Wana Ughandi tupo nanyi sambamba katika mapambano yanayoongozwa na Tundu Lissu
@namsifubwana21522 ай бұрын
Hongereni sana wakuu🔥🔥🔥🔥🔥
@markmuna12762 ай бұрын
Hongereni kufka ughandi
@PastorBiluko-wl1exАй бұрын
safi sana
@lucaschisamalo28522 ай бұрын
Jumbe uko vizuri umeongea vitu vya point Sana Dodoma na singida ndo mibuyu ya ccm wanapopoa tu
@lukasmnyeti30162 ай бұрын
Ccm ni zaidi ya jambazi ukiwaangalia ni kama watu lakini siyo watu
@walidmgonja3644Ай бұрын
@@lukasmnyeti3016wewe pia unaonekana ni jambazi,Malaya na mwenye roho mbaya kama ccm
@user-nr2ux1cm5bАй бұрын
Msigwa ahsante kwa kunifungua🔨🔨🔧🛠️🗝️🗝️🗝️
@fredypastoryutd48642 ай бұрын
Duh msingwa ameshusha nondo za hatari mnooo... Wengi tulikuwa hatuna elimu hii
@ulomirabiel69802 ай бұрын
Msigwa umefanya vizuri weka maslahi ya chama mbele, huo ndio ukomavu.
@NkoTya92 ай бұрын
Sera nzuri sana lakini bado tunatawaliwa na uoga
@bongo392 ай бұрын
Hali ishaharibika tayari tundu vita tayari mbowe hakutaki anataka yeye awe mwenyekiti wa maisha asiwe na mpinzani atakae mpinga msigwa washampiga na chini bado wewe tuu
@TegemeaFutemakatifu2 ай бұрын
Kwani Msigwa walompiga Chini nani? Kwani nyie Ccm Wenyeviti wa Mikoa wanadum milele? Au hujui Msigwa Alikuwa Mwenyekiti Kanda ya Nyasa?
@dionismutayoba35422 ай бұрын
Uliyetoa hiyo comment hujitambui,unaloloma tu
@imanimaulid8304Ай бұрын
Mi hofu yangu ni kwa huyu askofu mwanamapinduzi hv neno la mungu na siasa wapi na wapi ameacha kanisa anapiga misele jamani duu hii kali
@charlesmnuo32922 ай бұрын
Mmmm jambo tv siwaelewi mmekaza camera jukwaani tu wananchi hamuwaonyeshi au mkutano hauna watu?
@malkavoice2570Ай бұрын
Msigwa tena jamani! Smetokaapi mbona juzi tu alikuwa anajipaka mavi mwenewe kule jimboni kwake?!!
@veronicaadrof82442 ай бұрын
Inaitajika elimu kama hii ya mheshimiwa lisu maana inaamusha mioyo ya watu kukata tamaa kunaisha ujue sehemu nyingine wanaona hata wakipiga kula kwa mugombea wa chadema anatangazwa wa ccm hali hii inakatishana tamaa kuendelea kupiga kula lakini kwa elimu hii ya lisu naona watu wanapata matumaini tena na nguvu ya kupiga kula
@IssaAlly-lp4uf2 ай бұрын
Asanteni kwa kutufungua akili
@bennymatinde45142 ай бұрын
mpiga picha use unaonesha na watu waliopo kwenye mkutano unammwonyesha tu anaeongea hii siyo sawa
@HenryCastuli-jz3cx2 ай бұрын
Mpiga picha nihana uzoefu anajifunza kamaanauzoefu awe anawaonyesha na umati wa watu aunijamii ya ccm
@AlfredAlfred-yd2mgАй бұрын
Ccm kama freemason kila dhambi wanazo . Mungu atawaangamiza Kwa kuibeba dunia
@imanimaulid8304Ай бұрын
Enzi za Nccr mageuzi Kuna askofu alisema mrema akishinda anaacha uaskofu tusijisaulishe
@rutambivalentine2 ай бұрын
Kimenuka
@IssaAlly-lp4uf2 ай бұрын
Tena na kodi za majengo kukatwa kwenye umeme kila mwezi 1500 zinaenda wapi nyumba ngapi zina katwa tozo za majengo pesa inafanyia nini
@dismasmtui7292 ай бұрын
Kwa hiyo rufaa ya Msigwa imeshasikilizwa au ni kutaka kuwagombanisha Lissu na Mbowe?!
@deohank59952 ай бұрын
Wenye akili hawagombani wanapishana tu. Bali mpumbavu ndo hugombana
Hivi kwaniniii? Jambo camera yenu huwa inaonyesha viongozi pekeee? Kwanini huwa hamuonyeshi wananchii wanaosikiliza mkutanoooo??
@willymgaya76182 ай бұрын
CCM mnatuangamiza . Mnapeleka wapi fedha za kodi mnazokusanya na mnazokopa . Malori yenu yanauwa sana watu MBEYA. Barabara ya kuchepusha malori yasipite mjini mmezungumza miaka mingi sana. Oneni aibu kulaghai wananchi miaka mingi huku wakiendelea kupoteza ndugu zao. Ajali kila kukichwa, inasikitisha sana.
@JosephuSwai2 ай бұрын
Apo msigwa umenena jambo LA maana sanasana mtendaji mkurugenZi mkuu wa wilaya mkuu wa mkoa jaji mkuu msajili wa vyama IGP wanapatikana _?
@evelina96212 ай бұрын
😮vijini.posho.wapate.nguvu
@user-mo3ik6go6r2 ай бұрын
Huwezi kuchukua mtihani wa mtoto hulipe Hera ya mrizi majengo maji na umeme
@lucaschisamalo28522 ай бұрын
Leo nimefurahi Sana kukuona nilijuwa basi tena unatuacha msigwa niliumia Sana juzi nakuomba usihame chadema kama uliweza kukataa hela za mwendazake Leo hii unaanzaje bado tunakuhitaji mzee
@mariaanthoniangowi93762 ай бұрын
Usiyetosha niwewe Chawla WA ccmmshenzi ww
@tzonespices97342 ай бұрын
Mpiga picha hutufai. Mbona huonyeshi watu unaonyesha anae ongea tu? Mikutano yenu haina watu?
@mariaanthoniangowi93762 ай бұрын
waTanganyika bwana hatutaki Tena kusikis Tanzania
@user-zy4rr9iv3m2 ай бұрын
Toeni elimu tatizo watu wetu hawaelewi
@kaaakwakutuliaa51792 ай бұрын
Minikajua mishahara kwa wenye viti
@AllyMandunda-tj9jc2 ай бұрын
Polisi mmepiga kikokoto unatarajia afanye nini. Yaani hayo yataendelea hadi 2025. Mwakani ccm mtapigwa tu
@enockfumbuka68432 ай бұрын
Serikali inatukomoa afadhali kuliko kuishi na viongozi Matapeli
@faustinebahenobi34122 ай бұрын
Ww chakufanya muwachague viongozi wengi kutoka chadema (upinzani) af utaona
@user-ig3bu6lb5i2 ай бұрын
Hivi wewe nimwana siasa au nini huko upande gani?
@mariaanthoniangowi93762 ай бұрын
CCM si simu tunisawa na kunywa maji ya betrii
@joachimkalungwana86542 ай бұрын
Kwani huyo aliyeshindwa uenyekiti Nyasa kaja huko Kuna Nini?
@user-fr7jj1bo7y2 ай бұрын
kwahiyo akishindwa uchaguzi haruhusiwi tena kuhudhuria mkutano wala kuongea ?? akili za kiccm hizo
@festokemibala58322 ай бұрын
Mambo mengine bwana? Tumeambiwa Msigwa kajoin ccm sasa hapo kwa Lissu ametafuta nini? Msituchanganye, mnafanya watu wasipige kura
@TegemeaFutemakatifu2 ай бұрын
Hajashindwa, wamepokezana Madaraka, huko yupo anatumikia Chama Chake,Nini kimekushangaza?
@BonaBonala-bp5qm2 ай бұрын
Mimi simwiti mama namuita mzanzibar na sio mtanganyika haruhusiwi kuishi tanganyika ni mwanamke hafaii kutuongoza waisramu duniani labda wakristo watampenda wana manabii wakee
@faustinebahenobi34122 ай бұрын
Kweli
@walidmgonja3644Ай бұрын
Mbona wewe mrundi unaishi Tanzania na hakuna anayekughasi mkundu wewe
Ni kweli ndugu ila usitishike,huyu siyo askofu bali ni wale majambazi wanaokimbilia katika siasa
@BonaBonala-bp5qm2 ай бұрын
Kwa ujumbe huu wa baba Askofu ccm atareta vita ya kimbari ya Zanzibar na tanganyika tutauuwana kwa ubaguzi wake huyu mrembo Mh peekee tz ajawai tokea toka inchi izariwe
@innocentmleli11962 ай бұрын
Basi ni wachumba hao
@user-vl4rz6lf6d2 ай бұрын
Asikofo anatetea maslahi yake njaa kali unliabisha Kanisa lo aibu gani sasa kwa taarifa unatetea upumbavu inachosema ni upumbavu mtupu hampati kitu hamshindi ngo
@helencyprian87452 ай бұрын
Pole
@Bboy-ek8vn2 ай бұрын
Askofu unajihusisha na siasa mshenz we
@TegemeaFutemakatifu2 ай бұрын
Mbona Ma Askofu wanaoshiriki Ccm hamuwashangaagi?
@ephraimkalanje71052 ай бұрын
Matusi haya utoayo yanamuhusu na Askofu wenu Gwajima na wengine mlionao huko CCM?
@bonifacemkanga63022 ай бұрын
Askofu wa kanisa ganiiiii ushapotea wewee
@user-fr7jj1bo7y2 ай бұрын
angekuwa amevaa shati la kijani angekuwa hajapotea? aliyepotea ni Gwajima aliyeoba kura posho za ubunge zimemfanya akae kimya huku watanzania wengi tukiumia
@evelina96212 ай бұрын
Chedema Wenye.viti.vijij Ndio Wenye.nguvu.rais.mawa ziri.wote.toka.:vliji ni.watangazwe.pos ho Ndio.chazo
@hssanrubota38912 ай бұрын
Kweli maisha ni magumu sana tena sana lakini hizo sela za matusi hazikubaliki kumwambia mtu hana akili hiyo siyo sera hayo ni matus
@user-ig3bu6lb5i2 ай бұрын
Unajua unacho kiongea askofu?
@silasngoya94222 ай бұрын
Askofu kwenye uaskofu hutoshi na kwenye siasa hutoshi. Bahati mbaya hujui kwamba hutoshi !