No video

Tuongezee Imani Bwana - Dkt. D. Kacholi

  Рет қаралды 2,634,755

SAASITA’S FAMILY

SAASITA’S FAMILY

7 жыл бұрын

Kwaya ya Mt. Fransisko Ksaveri, Chang'ombe DSM

Пікірлер: 644
@bitundaeulali3741
@bitundaeulali3741 3 жыл бұрын
Kama unapenda dini catholic gonga like 😘
@Kinondoni-sg9ot
@Kinondoni-sg9ot 9 ай бұрын
Naipenda kutoka moyon❤❤❤❤
@gabjoni4306
@gabjoni4306 3 жыл бұрын
Mtunzi kutoka chang'ombe primary school to st Anthony mbagala up to sokoine agricultural alafu akaingia mlimani ud mbali na kupea pipa to Germany ndani ya PHD Mwenyezi Mungu akubariki sana my best brother DS Kacholi🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@NonosiusMapunda
@NonosiusMapunda 7 күн бұрын
Wimbo wa NIONGEZEE IMANI BWANA kweli unaniburudisha na kuniongezea imani juu ya UKATOLIKI WANGU.
@charlessaasita9975
@charlessaasita9975 7 күн бұрын
@@NonosiusMapunda asante sana familia ya saasita tumefurahi kusikia hivo
@janemwirikia6817
@janemwirikia6817 3 жыл бұрын
There was a time i was crying for faith in 2018,i was reciting holy rosary for Jesus to see me through 3times per day,i was very low in faith,february 2nd 2019 the day i will never forget in my life mother mary came on my dream and stayed with me and she was crying holding my hands,from that day i started believing and praying so hard.
@onesmuskivuva7112
@onesmuskivuva7112 2 жыл бұрын
This is encouraging. Ain't a catholic but love the singing and messages therein
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 Жыл бұрын
Oooh wow praise the Lord 🙏🙏🙏🙏 And pray daily you will a lot of miracles from heaven through the hand Mary mother of Jesus Christ our Lord
@salomelaitete5010
@salomelaitete5010 Жыл бұрын
Mama Maria tuombee...nakupenda Mama
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 Жыл бұрын
Ave Maria Ave Maria
@janethmayanja
@janethmayanja 7 ай бұрын
My prayer in 2024, Lord increase my Faith
@MariaMaria-gj9or
@MariaMaria-gj9or 3 ай бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉🙏🙏🤝
@elviskum6741
@elviskum6741 Ай бұрын
I enjoy this song so much. Even though I don’t understand what they’re singing..Greetings from Cameroon
@GhostMonkey772
@GhostMonkey772 4 жыл бұрын
Nilianza kunywa nilipokuwa na umri wa miaka 16. Nilikunywa kwenye karamu, lakini pia nilianza kunywa peke yangu kwa sababu sikuwa na raha, na nilikuwa kwenye maumivu mengi ya kihemko wakati wote. Mama yangu alikuwa mkali sana nilipokuwa mchanga, na kaka yangu alimuumiza na hivyo mimi. Alianza kunyongwa na watu wenye kivuli, alianza kutofaulu masomo yake yote, hakuwahi nyumbani, na wazazi wangu walipambana wakati wote. Nilikimbia pia mara kadhaa. Siku zote nilikuwa nikijaribu kujua sababu ya kwanini nilikuwa hapa au kusudi la maisha lilikuwa nini. Kwa hivyo, nilianza kutazama falsafa tofauti, dini, na imani. Wakati nilikuwa na miaka 18 baada ya kunung'unika, niliinama na nikazungumza kwa mara ya kwanza. Niliuliza ikiwa Mungu ni kweli atanionyeshea ni kweli kwa sababu ni lazima nichukue tena. Nilikuwa nikilia wakati niliongea hii. Wakati huo nilihisi uwepo ukinipanda kama upepo. Haikuonekana kabisa, lakini haikuwa tofauti na kitu chochote maishani mwangu ambacho nilikuwa nimeona hadi wakati huo. Nilishangaa niliposikia na nakumbuka nikisema "ilikuwa nini hiyo?" Baada ya uzoefu huo mimi sana nilisahau kilichotokea na kuendelea kuaga, hadi mwaka wangu wa juu nilipokamatwa. Baada ya kukamatwa, wazazi wangu walipoteza imani yao yote kwangu na nilifukuzwa shule ya upili. Sikuwahi kuambiwa nirudi. Wakati huo, nilihisi hofu na kutokuwa na tumaini. Nilipoanza kumtafuta Mungu, na nilidhani atajifunua katika maisha yangu na kwamba atanipa ishara. Maombi yangu yakaanza kujibiwa kila wakati hadi sikuweza kukataa kuwa Mungu alikuwa akifanya kitu. Ilikuwa ya kushangaza na ya kulazimisha. Niliishia Kanisani na kuanza kusoma masaa ya bibilia kwa siku. Niliacha kunyongwa na marafiki wangu wengine kwa sababu walikuwa wakikamatwa kila wakati. Niliweza kusamehe familia yangu na mimi mwenyewe na kuomba kusamehewa. Niligundua jinsi watu wa Kanisa walivyohukumu na jinsi wanaunda vikundi lakini waliogopa kuwa karibu na mtu mwingine yeyote tofauti nao. Iliongezeka imani yangu kwa sababu niligundua Yesu hakuwa kama hiyo na tangu nilipokuwa mchanga, niliona watu kama watu bila kujali wao ni nani. Baada ya muda mfupi, ni kama ningeona uwepo wa Mungu ulikuwa katika maisha yangu na ndipo ikahisi kama hakuwa, na hapo ndipo alipokuwa, na sivyo sivyo. Siku moja niliamka na nilihisi mnyonge zaidi kuliko vile nilivyowahi kufanya katika maisha yangu yote. Nilihisi kama nilikuwa nikifaa ndani. Usiku huo niliomba, nikasema, Mungu, sioni maisha yangu miaka mitano kuanzia sasa nitakufa Yesu niokoe Bwana, tafadhali niokoe. Nilikuwa nikilia wakati niliposema na nilipomwomba kuniokoa, nilihisi uwepo ndani mwangu kama moyo, na nilihisi mara moja kama dimbwi, na nikasema Bwana tafadhali niokoe na nilihisi tena nguvu zaidi . Ilikuwa kama mionzi. Nilipoamka asubuhi iliyofuata, nilikuwa nimebadilisha kila kitu kiliona kipya kama nilikuwa mtoto tena. Hofu yangu yote na mawazo yangu yote ya mbio mbio kila kitu kilikuwa kimeenda. Niliangalia mikono yangu, na nikasema hii haiwezi kuwa kweli haiwezekani. Nilijiangalia kwenye kioo, nikaona mtu mwingine. Nilianza kuomba, na roho takatifu ikawa kweli kwangu ilikuwa ikiniosha na ndani yangu. Ilikuwa upendo kamili na amani, na nikasikia sauti lakini sio inayosikika, ilikuwa sauti ya ndani. Ilisema niko nawe; Nakupenda, sitakuacha kamwe, imekamilika. Hiyo ilikuwa Mei 3, 2009, na tangu wakati huo nimemfuata Mungu, nimeona mambo mengi yakibadilika na mambo mengi najua hayangebadilika bila imani na imani. Ninajua ni nini kupotea ili kuhisi hauna tumaini. Usiwahi kufikiria kuwa umekwama, au maisha hayawezi kubadilika kwa sababu inaweza. Mama yangu ni Mkristo sasa, Usiku wake na mchana. Baadhi ya mambo ambayo yalikwenda katika kipindi hicho yalikuwa wasiwasi mkubwa na ulevi wangu wa pombe. Nimeona na kuona mambo mengi ambayo ni ya miujiza na nimeona jinsi Mungu amefanya kazi maishani mwangu. Tunapomwomba Mungu atusamehe kwa kile tumefanya na kuachana na dhambi zetu na makosa yetu na tunaamini katika dhabihu ya Kristo kila kitu kinabadilika. Neno lake linasema ikiwa tunakiri kwa vinywa vyetu kuwa Yesu ni Bwana na tunaamini mioyoni mwetu kwamba alikufa na kufufuka tutapata uzima wa milele lakini sio maisha tu baada ya kifo bali maisha tele kwa sasa. Dhambi zetu zinafutwa sio tu za zamani, za sasa, na za siku zijazo lakini mizigo yetu na woga pia huondolewa. Mawazo yetu, akili zetu, mioyo yetu, roho zetu hubadilishwa na kuunganishwa na Mungu na tunajua roho yake inakaa ndani yetu. Ukitafuta, omba, na kubisha utajua YESU NI MFALME !!! ANAISHI!
@manasseskamau5327
@manasseskamau5327 2 жыл бұрын
There’s something sacred about Catholic music, nobody can adapt it to common music.
@jamesndirangu1197
@jamesndirangu1197 2 жыл бұрын
This particular one is melodious and reverent. Even the deportment of the singers tells you that they are truly addressing, in song, a prayer to God. However, there are other catchy, rythymic trendy songs which, although they utter religious words, they only serve to gratify the senses as they seem designed to please and entertain....
@davidkipsang3808
@davidkipsang3808 2 жыл бұрын
@@jamesndirangu1197 true sir
@FortunataMakula
@FortunataMakula 4 күн бұрын
naipenda sana catholic wimbo ambao kila nikiusikiliza lmani inazidi kuwa kubwa kwangu
@charlessaasita9975
@charlessaasita9975 4 күн бұрын
Asante tunafurahi sana tuzidi kuimarika katika imani 🙏
@charlessaasita9975
@charlessaasita9975 5 сағат бұрын
@@FortunataMakula amina sana tumefurahi pia endelea kuimarika kiimani🙏
@omoshspeakmouth4371
@omoshspeakmouth4371 6 жыл бұрын
Kuwa mkatholiki ni baraka...ningependa watu wote ulimwenguni tuwe kanisa moja ambalo ni katholiki...am very proud to be a Roman Catholic
@berthanathan7074
@berthanathan7074 6 жыл бұрын
Hope academy training south africa
@jacklinesamwel8731
@jacklinesamwel8731 5 жыл бұрын
Really and me am proud to be
@jamali0017
@jamali0017 4 жыл бұрын
Tuongezee Imani bwana tuwe Askari hodari kweli wa yesu Kristi 2019_2020 tuwe na Imani na dini yetu🎹🎤🎸🎵⚓🙏🙏🙏🙏🙏
@marypwanye8943
@marypwanye8943 3 жыл бұрын
Ninaupenda sana wimbo huu. Sifa na utukufu una yeye
@amedeuslyimo2315
@amedeuslyimo2315 5 жыл бұрын
Uuhh wimbo unanipa matumaini Sana na sitoikana Wala kuipinga imani yangu proud to be Catholic
@teopistacypirian7611
@teopistacypirian7611 5 жыл бұрын
Amedeus Lyimo
@chicharitojembe7434
@chicharitojembe7434 4 жыл бұрын
Amina Amina
@lucymushi328
@lucymushi328 4 жыл бұрын
Sana wimbo mtamu sana. Mungu aendelee kuwatunza wanakwaya hawa.
@stellamaombi4116
@stellamaombi4116 4 жыл бұрын
Amaina
@ponsianjosephat2358
@ponsianjosephat2358 4 жыл бұрын
Mkojuu mnapendeza!
@adamdaudi6191
@adamdaudi6191 5 жыл бұрын
Kazi nzuri mtunzi, ara za kirumi na nidhamu ya nyimbo za katoliki imejidhihirisha katika wimbo huu, marvelous!.
@SABASMSOFE
@SABASMSOFE Ай бұрын
Huu wimbo unanifanya niwena amani sana ❤🎉kama umegundua mapadre weng wana penda huu wimbo like hapo😊
@belindananjala8844
@belindananjala8844 5 жыл бұрын
Hakika wanafunzi walimwambia yesu kristo"Tuongezee imani bwana"God bless you people, i really love this song
@peterogutu8267
@peterogutu8267 3 жыл бұрын
G.Hyde get tvred
@lucykazohera8621
@lucykazohera8621 2 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana kwani tunahitaji kuongezewa imani ya kumuamini Mungu na kumtegemea eye tu hasa kwa kipindi hiki mbarikiwe
@user-sx4yy6tm3g
@user-sx4yy6tm3g 4 ай бұрын
Kwakweli Mungu niongee lmani Bwana
@yohanadeus1292
@yohanadeus1292 Ай бұрын
Eeeh mungu niongezee Imani juu ya uumbaji wako
@mukasememabenge3944
@mukasememabenge3944 2 жыл бұрын
Senza ABBA PADRE L'uomo e nulla
@AffectionateBalkhHound-cg1fo
@AffectionateBalkhHound-cg1fo 6 ай бұрын
Ee tunamuomba mungu atuongezee Imani ili tuweze kumkimbilia
@dsshirima77
@dsshirima77 5 жыл бұрын
Wimbo huu unanibariki sana. Mungu awaongezee moyo wa kujitolea kueneza Injili kwa njia ya kuimba.
@jacintanyongesa7920
@jacintanyongesa7920 Жыл бұрын
Mungu awajalie nguvu ya wimbaji
@felistanjelu4832
@felistanjelu4832 2 жыл бұрын
Am proud to be a catholic ❤🙏
@raphaelmahabusi8649
@raphaelmahabusi8649 4 жыл бұрын
Niogezee imani bwana Mimi na familia yangu
@FelixAlbert-hs7ls
@FelixAlbert-hs7ls 4 ай бұрын
Congrats. Appreciate . Pernament in FAITH. PAOLO attempts in evangelicalism. amen.
@athanassongalimi5685
@athanassongalimi5685 6 жыл бұрын
Hakika najivunia ukatoliki wangu daaaah!!! Nyimbo nzuri
@kamwanagakeni5694
@kamwanagakeni5694 3 жыл бұрын
Indeed the real meaning of life to worship and grorify him who created us for this purpose even angles in heaven join us whenever such beautiful songs are sung by the faithful here on earth. Praise be to God!!!! 🙏🇰🇪
@user-ym2cv5ko8w
@user-ym2cv5ko8w 6 ай бұрын
Mungu,uzid,kutupa,iman
@user-ym2cv5ko8w
@user-ym2cv5ko8w 6 ай бұрын
Mungu,uzid,outup,iman😊😊
@juliuslyimo6648
@juliuslyimo6648 4 жыл бұрын
Hakika wimb huu upon kweny ubora ,waimbaj hongeren sana!
@johnmbata7972
@johnmbata7972 6 жыл бұрын
Hakika mbarikiwe nakamwe sitosubutu kuliacha kanisa katoliki Mwenyezi Mungu nipiganie mtumishi wako mkosefu
@delphinrashidnziko1449
@delphinrashidnziko1449 2 жыл бұрын
Niongezee Imani Bwana Yesu
@mgenileonora9717
@mgenileonora9717 2 жыл бұрын
Tuongezee imani Bwana,nabarikiwa sana
@maganyarobert7008
@maganyarobert7008 Жыл бұрын
Ee Yesu utuongezee Imani tunakuomba
@julianabenard3967
@julianabenard3967 6 жыл бұрын
Wimbo mzur xana Bwana uzd kutuongezea iman
@annamremal2675
@annamremal2675 5 жыл бұрын
Asate sana yesu kwa kutowa mwiri wako kuwa mkate na damu yako kuwa divai emungu nipe moyo wa kushiriki mpaka kufa kwangu
@deborasoa8022
@deborasoa8022 3 жыл бұрын
Najivunia kua Catholic Church hakika iman imeongezeka Mara kumi yake sitowez kubadili dini kumukana yesu
@ivanfaustin9717
@ivanfaustin9717 2 жыл бұрын
huu wimbo kila nikisikiliza cwez kuzuia machozi !!! eeh Bwana tuonhezee Imani
@marothijohn7423
@marothijohn7423 4 жыл бұрын
Nice and wonderful songs don't have to know the longuege, is fantastic, I listen FROm South Africa in Johannesburg
@marysemufali7011
@marysemufali7011 6 жыл бұрын
Jamani sikujusa huu wimbo ni Wa Ndg Charles Saasita jamani asante maana tuliuimba san shuleni kwetu..Ohh Rest In Peace
@pricillamassawe7608
@pricillamassawe7608 3 жыл бұрын
I LOVE MY CATHOLIC FAITH 🙏🙏🙏
@shukuranisarah1755
@shukuranisarah1755 2 жыл бұрын
Me to
@nasinyamaatassi9540
@nasinyamaatassi9540 5 жыл бұрын
Tuongezee imani Bwana Amen. Asanteni sana waimbaji kwa wimbo huu
@emilymbogho5945
@emilymbogho5945 3 жыл бұрын
Tuongezee imani baba Sisi wakosefu
@jescarwegoshora1123
@jescarwegoshora1123 4 жыл бұрын
Ee Bwana tunaomba utuongezee imani ss wana wako, maana tunakutana na mengi
@henrymapalala242
@henrymapalala242 7 жыл бұрын
hakika Mungu ni mwema tunaongeza imani kupitia nyimbo kama huu amen
@abalindam.gorret275
@abalindam.gorret275 5 жыл бұрын
This song is power to all cells of my body and "soul"..... Increase faith in us Lord!
@deocresdominick3273
@deocresdominick3273 4 жыл бұрын
This song is very powerful, it is very deep, thanks Catholic singers, and today it was a part of leading during the mass. Kwakweli Mungu naomba uniongezee Imani
@philipmugagolo2878
@philipmugagolo2878 4 жыл бұрын
It's True my sister
@rhodamwita3
@rhodamwita3 6 жыл бұрын
Truely you are the best singers
@francisochieng3949
@francisochieng3949 3 жыл бұрын
Niongezee imani bwana .maisha yahitaji imani na in kwako naeza pokea imani.nashukuru kwa nyimbo hii nzuri ya kufariji roho
@AgnesMwita-uq9nq
@AgnesMwita-uq9nq 2 ай бұрын
Naipenda sana dini yangu ya roman catho
@altogosbertluhikula9083
@altogosbertluhikula9083 4 жыл бұрын
Tuna kila sababu ya kuendelea kumwomba Mungu atuonzee IMANI hasa katika kipindi hiki cha Corona. Kazi nzuri sana kwa mtunzi Dkt David Kacholi na wanakwaya kwa ujumla. Apumzike kwa Amani Mwl.na mpiga kinanda Charles Saasita.
@luciamutanu6714
@luciamutanu6714 5 жыл бұрын
proud to be a cathlician
@bazireteclaudine4291
@bazireteclaudine4291 2 жыл бұрын
Mubarike Niko Rwanda
@naomisila707
@naomisila707 6 жыл бұрын
Kwa kweli Mungu niongezee Imani, bila imani mimi ni bure kabisa...naomba uniongezee imani.
@josephjastineyyugfgggf4900
@josephjastineyyugfgggf4900 4 жыл бұрын
Mungu atuogezee imani 2020
@markfransi22
@markfransi22 4 жыл бұрын
Bwana,Tunakuomba utuongezee Imani Bwana. Amina.
@agnesmaumenee8592
@agnesmaumenee8592 2 жыл бұрын
L'Éternel seul est Dieu ! À lui seul toute la gloire que tous le craignent et connaissent que L'Éternel seul est Dieu au Nom de JÉSUS CHRIST AMEN
@mathildemwangaza109
@mathildemwangaza109 3 жыл бұрын
Nyimbo za tz za Catholic so nice
@neykawishe2265
@neykawishe2265 Жыл бұрын
Mbarikiwe xn nice song❤️❤️
@paulinem700
@paulinem700 3 жыл бұрын
My late dad loved this song. May his soul rest in eternal peace ✌🙏🏽💔
@harrietkmoindi1572
@harrietkmoindi1572 Жыл бұрын
😭😭😭😭
@harrietkmoindi1572
@harrietkmoindi1572 Жыл бұрын
Several years later I camp here In hoope
@mcdee200
@mcdee200 Жыл бұрын
@@harrietkmoindi1572 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@maliinathan4831
@maliinathan4831 6 ай бұрын
May he rest in peace
@michaelmutuku9142
@michaelmutuku9142 6 жыл бұрын
Wimbo mzuri naipenda.Imani ya bwana ikae nasi daima.Salamu nyingi kutoka Nairobi
@florencemutuku6799
@florencemutuku6799 6 жыл бұрын
Michael Mutuku kwa hakika imani ndio mwanga wa kikristo...keep it up choir master with your choir members for performing tha melody of sympathy..
@delphinamponela5223
@delphinamponela5223 2 жыл бұрын
Naomba niongeze Imani Bwana
@elizabethsalema8950
@elizabethsalema8950 4 жыл бұрын
I'm proud to be Roman Catholic for sure🙏
@justinambrose3577
@justinambrose3577 6 жыл бұрын
This song "Tuongezee imani bwana" hits me with tears, R.I. P Charles Saasita
@photunatamakelele6980
@photunatamakelele6980 4 жыл бұрын
😢😢😢 rip charles mwandishi wa wimbo huu mwanga milele ukuangazie upumzike kwa aman
@semenimao9601
@semenimao9601 4 жыл бұрын
R.I.P
@beatricemalisa6984
@beatricemalisa6984 4 жыл бұрын
@@photunatamakelele6980 jamani,hayupo hai ?kafariki lini jamani😭😭
@deusandrea7169
@deusandrea7169 2 жыл бұрын
@@photunatamakelele6980 x
@francokachu6118
@francokachu6118 2 жыл бұрын
Amen
@bonifacepeter1474
@bonifacepeter1474 3 жыл бұрын
Proud to be Catholic!!!
@jamesgachau2566
@jamesgachau2566 Ай бұрын
Increase my faith Lord
@sylvestrengwelu2012
@sylvestrengwelu2012 5 жыл бұрын
Am proud to be a Catholic, thank you for your proper encouragement on faith we are Born again
@LucyOisso-tz3jv
@LucyOisso-tz3jv 4 ай бұрын
Tuongezee imani Bwana🙏🙏❤
@neemacharles9648
@neemacharles9648 3 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na huu wimbo,," kwa kipind hiki kigumu Nachopitia,,Amina🙏
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 3 жыл бұрын
Tuongezee imani bwana,palipopungua imani
@FelixAlbert-hs7ls
@FelixAlbert-hs7ls 4 ай бұрын
TYK. This Fantastic music like songs from HEAVEN bleesed me and treat my Heat. amen.
@user-ci6xt6ru3x
@user-ci6xt6ru3x 4 ай бұрын
Bwana tuongezee Imani katika maisha yetu ili tuweze kulitangaza neno lako vyema
@williamdavid703
@williamdavid703 7 жыл бұрын
Mungu mwenyewe atuongezeee iman....tuwe imara na imani yetu...Mungu ni mmoja jana, leo , kesho daima na hata milele....Mungu abariki nia zenu njema.
@jessyngey1306
@jessyngey1306 6 жыл бұрын
Hukika nafarijika sana kupitia wimbo nimewalisha kwa unoo pia tuongezee iman bwana, mungu awatie nguvu mzidi kumtumikia zaidi na zaid kwa sifa na utukufu wake yeye....amina.
@aliceakinyi6613
@aliceakinyi6613 7 ай бұрын
Bwana hakika nahitaji Imani yako
@danielgarubindi3203
@danielgarubindi3203 6 жыл бұрын
Ee Mungu, usituache hvhv tuongezee imani Bwana Amen.
@aglipinanaombaunirushueya2976
@aglipinanaombaunirushueya2976 6 жыл бұрын
Nimebalikiwa na wimbo wa tuongeze iman nawaomba nawale wenye vipaji nyakuimba muimbe
@simonmpaki4319
@simonmpaki4319 4 жыл бұрын
Hakika tumebarikiwa sana... R.I.P mwalimu Charles Saasita Mtunzi wa wimbo huu uliotukuka
@renatusladslaus3486
@renatusladslaus3486 4 жыл бұрын
Ee Mungu zidi kuniongezea Imani ktk tabu na raha 🙏🏼🙏🏼
@josephinevitalis954
@josephinevitalis954 4 жыл бұрын
Nmebarikiwa sana na wimbo huu
@maryemmanuel3356
@maryemmanuel3356 5 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba yangu tutakukumbuka kwa mazuli yako kwan kwake tulitoka kwake tutaludi Mt maria Bunda tulibaki na pengo kubwa lisilo zibika
@vincentsila7188
@vincentsila7188 4 жыл бұрын
I love this song tena xana yaniogezea matumaini yangu katika kila jambo ninalolifanya
@cathyfredy-xe7rq
@cathyfredy-xe7rq 9 ай бұрын
Mtunzi wa hi nyimbo sasita.. tutakukumbuka daima.. najua upo patakatifu kwa Mungu
@user-gw8fe2no7e
@user-gw8fe2no7e 11 ай бұрын
Am really proud of Catholic songs they really Touch my heart...
@hildahongeri2467
@hildahongeri2467 6 жыл бұрын
Tuongezee imani katika mioyo yetu Bwana
@bensilvester4981
@bensilvester4981 5 жыл бұрын
Tuongezee Imani Bwana Yesu Tudumu daima tukikutumikia,Tusiwe na imani Haba
@naomisila707
@naomisila707 6 жыл бұрын
Great song for us Kenyans, we need this song, sang many times... its so inspiring, i feel strong in faith when i listen to this song.
@hokabalindile5400
@hokabalindile5400 6 жыл бұрын
Mungu amlaze mahala pema peponi Mr. Charles Saasita , ananibariki mno na nyimbo zake hasa huu wa tuongezee imani Bwana
@venancen.manori5293
@venancen.manori5293 6 жыл бұрын
Pumzika kwa amani Charles Saasita. Ulitumia kipaji chako kumwabudu Mungu kwa nyimbo.
@elizabethjoseph7292
@elizabethjoseph7292 5 жыл бұрын
Tuongezee Imani BWANA, wimbo unahisia kali na ni mzuri
@amenahalshahrani112
@amenahalshahrani112 4 жыл бұрын
Love you 🇧🇮🇧🇮🇸🇦
@winfridasingano1953
@winfridasingano1953 3 жыл бұрын
I realy appreciate this song as it reminds me of my faith and even when am missing my dad i use it as my comfort he realy love it too
@hellenkarimi4311
@hellenkarimi4311 2 жыл бұрын
Nice
@generozphibility4705
@generozphibility4705 6 жыл бұрын
tuongezee iman bwana wimbo mzur sana unanifanya nitafakar ukuu was Mungu mbarikiwe waimbaji
@nduwayoelias7308
@nduwayoelias7308 7 жыл бұрын
Ukweli utabaki kuwa ukweli siku zote. Mtunzi wa wimbo huu aifanya kazi kubwa sana. wimbo unabariki sana na hauchoshi kabisaaaaaaa. Tuongezee Imani bwana.
@lurcyfocus5905
@lurcyfocus5905 5 жыл бұрын
Tuongezee iman bwana mbarikiwe sanaa
@magrethmgallah5510
@magrethmgallah5510 4 жыл бұрын
tuongezee iman bwana especially in this unexplanable moment do not let us diverge bcoz of this virus bt rather bring us more closer to u by increasin our faith Amen
@delphinrashidnziko1449
@delphinrashidnziko1449 2 жыл бұрын
Amen Ukubali kunijalia Imani iweze kunisaidia katika wokovu wangu
@mempyanday4668
@mempyanday4668 Жыл бұрын
Uniongeeze Imani Bwana
@mathildemwangaza109
@mathildemwangaza109 3 жыл бұрын
Tanzania muko mbele sana Duniani kote
@patrickotim9244
@patrickotim9244 2 жыл бұрын
Asanteni sana ndugu zangu wapendwa hasa hasa waimbaji wa wimbo Tuongezee Imani Bwana, ni nzuri sana kwangu kusikiliza na kuangalia. Hasa hasa kama niko kwenye ofisini, napenda kusikiliza na kuangalia wimbo hiyo. Asanteni kabisa mara ngine.
@imeldambuya9138
@imeldambuya9138 6 жыл бұрын
Niongezee Imani MUNGU wangu
@lucykanash582
@lucykanash582 3 жыл бұрын
Wow wimbo huu unipa Imani Sana
@stefanonaman9546
@stefanonaman9546 7 жыл бұрын
Bwana utuongezee imani ck zote za maisha yetu hapa duniani
@siamachange3880
@siamachange3880 6 жыл бұрын
Stefano Naman .
@eliekanoel9714
@eliekanoel9714 5 жыл бұрын
NIONGEZEE IMANI BWANA NINAKUOMBA BABA
@therezapantaleo467
@therezapantaleo467 2 жыл бұрын
Bwana tuongezee Imani
@danielemmanuel1758
@danielemmanuel1758 4 ай бұрын
Asanteni sana kwa utume
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 29 МЛН
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:58
Бискас
Рет қаралды 5 МЛН
1,000 Diamonds! (Funny Minecraft Animation) #shorts #cartoon
00:31
toonz CRAFT
Рет қаралды 41 МЛН
Useful gadget for styling hair 🤩💖 #gadgets #hairstyle
00:20
FLIP FLOP Hacks
Рет қаралды 11 МЛН
Niseme Nini - By Bernard Mukasa, JBC Choir - Bukoba Parish
9:48
Neema Gospel Choir - Nikurejeshee (Live Music Video)
12:44
Neema Gospel Choir
Рет қаралды 3,2 МЛН
Israel Mbonyi - Nitaamini
12:58
Israel Mbonyi
Рет қаралды 23 МЛН
KISHINDO CHA WAKOMA (OFFICIAL VIDEO) - NJIRO SDA CHOIR
6:32
Njiro SDA Church
Рет қаралды 13 МЛН
NYIMBO ZA MAMA BIKIRA MARIA | BIKIRA MARIA SONGS MIX
42:09
DJ Ngaruz
Рет қаралды 64 М.
Mt. Kizito Makuburi - Wewe ni Mungu (Official Music Video)
9:29
KMK MAKUBURI
Рет қаралды 9 МЛН
UJE ROHO MTAKATIFU (SIKWENSIA)
5:56
Bernard John
Рет қаралды 1,1 МЛН
لقد سرقت حلوى القطن بشكل خفي لأصنع مصاصة🤫😎
00:33
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 29 МЛН