Mtunzi kutoka chang'ombe primary school to st Anthony mbagala up to sokoine agricultural alafu akaingia mlimani ud mbali na kupea pipa to Germany ndani ya PHD Mwenyezi Mungu akubariki sana my best brother DS Kacholi🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@NonosiusMapunda7 күн бұрын
Wimbo wa NIONGEZEE IMANI BWANA kweli unaniburudisha na kuniongezea imani juu ya UKATOLIKI WANGU.
@charlessaasita99757 күн бұрын
@@NonosiusMapunda asante sana familia ya saasita tumefurahi kusikia hivo
@janemwirikia68173 жыл бұрын
There was a time i was crying for faith in 2018,i was reciting holy rosary for Jesus to see me through 3times per day,i was very low in faith,february 2nd 2019 the day i will never forget in my life mother mary came on my dream and stayed with me and she was crying holding my hands,from that day i started believing and praying so hard.
@onesmuskivuva71122 жыл бұрын
This is encouraging. Ain't a catholic but love the singing and messages therein
@audaxbizimana8084 Жыл бұрын
Oooh wow praise the Lord 🙏🙏🙏🙏 And pray daily you will a lot of miracles from heaven through the hand Mary mother of Jesus Christ our Lord
@salomelaitete5010 Жыл бұрын
Mama Maria tuombee...nakupenda Mama
@audaxbizimana8084 Жыл бұрын
Ave Maria Ave Maria
@janethmayanja7 ай бұрын
My prayer in 2024, Lord increase my Faith
@MariaMaria-gj9or3 ай бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉🙏🙏🤝
@elviskum6741Ай бұрын
I enjoy this song so much. Even though I don’t understand what they’re singing..Greetings from Cameroon
@GhostMonkey7724 жыл бұрын
Nilianza kunywa nilipokuwa na umri wa miaka 16. Nilikunywa kwenye karamu, lakini pia nilianza kunywa peke yangu kwa sababu sikuwa na raha, na nilikuwa kwenye maumivu mengi ya kihemko wakati wote. Mama yangu alikuwa mkali sana nilipokuwa mchanga, na kaka yangu alimuumiza na hivyo mimi. Alianza kunyongwa na watu wenye kivuli, alianza kutofaulu masomo yake yote, hakuwahi nyumbani, na wazazi wangu walipambana wakati wote. Nilikimbia pia mara kadhaa. Siku zote nilikuwa nikijaribu kujua sababu ya kwanini nilikuwa hapa au kusudi la maisha lilikuwa nini. Kwa hivyo, nilianza kutazama falsafa tofauti, dini, na imani. Wakati nilikuwa na miaka 18 baada ya kunung'unika, niliinama na nikazungumza kwa mara ya kwanza. Niliuliza ikiwa Mungu ni kweli atanionyeshea ni kweli kwa sababu ni lazima nichukue tena. Nilikuwa nikilia wakati niliongea hii. Wakati huo nilihisi uwepo ukinipanda kama upepo. Haikuonekana kabisa, lakini haikuwa tofauti na kitu chochote maishani mwangu ambacho nilikuwa nimeona hadi wakati huo. Nilishangaa niliposikia na nakumbuka nikisema "ilikuwa nini hiyo?" Baada ya uzoefu huo mimi sana nilisahau kilichotokea na kuendelea kuaga, hadi mwaka wangu wa juu nilipokamatwa. Baada ya kukamatwa, wazazi wangu walipoteza imani yao yote kwangu na nilifukuzwa shule ya upili. Sikuwahi kuambiwa nirudi. Wakati huo, nilihisi hofu na kutokuwa na tumaini. Nilipoanza kumtafuta Mungu, na nilidhani atajifunua katika maisha yangu na kwamba atanipa ishara. Maombi yangu yakaanza kujibiwa kila wakati hadi sikuweza kukataa kuwa Mungu alikuwa akifanya kitu. Ilikuwa ya kushangaza na ya kulazimisha. Niliishia Kanisani na kuanza kusoma masaa ya bibilia kwa siku. Niliacha kunyongwa na marafiki wangu wengine kwa sababu walikuwa wakikamatwa kila wakati. Niliweza kusamehe familia yangu na mimi mwenyewe na kuomba kusamehewa. Niligundua jinsi watu wa Kanisa walivyohukumu na jinsi wanaunda vikundi lakini waliogopa kuwa karibu na mtu mwingine yeyote tofauti nao. Iliongezeka imani yangu kwa sababu niligundua Yesu hakuwa kama hiyo na tangu nilipokuwa mchanga, niliona watu kama watu bila kujali wao ni nani. Baada ya muda mfupi, ni kama ningeona uwepo wa Mungu ulikuwa katika maisha yangu na ndipo ikahisi kama hakuwa, na hapo ndipo alipokuwa, na sivyo sivyo. Siku moja niliamka na nilihisi mnyonge zaidi kuliko vile nilivyowahi kufanya katika maisha yangu yote. Nilihisi kama nilikuwa nikifaa ndani. Usiku huo niliomba, nikasema, Mungu, sioni maisha yangu miaka mitano kuanzia sasa nitakufa Yesu niokoe Bwana, tafadhali niokoe. Nilikuwa nikilia wakati niliposema na nilipomwomba kuniokoa, nilihisi uwepo ndani mwangu kama moyo, na nilihisi mara moja kama dimbwi, na nikasema Bwana tafadhali niokoe na nilihisi tena nguvu zaidi . Ilikuwa kama mionzi. Nilipoamka asubuhi iliyofuata, nilikuwa nimebadilisha kila kitu kiliona kipya kama nilikuwa mtoto tena. Hofu yangu yote na mawazo yangu yote ya mbio mbio kila kitu kilikuwa kimeenda. Niliangalia mikono yangu, na nikasema hii haiwezi kuwa kweli haiwezekani. Nilijiangalia kwenye kioo, nikaona mtu mwingine. Nilianza kuomba, na roho takatifu ikawa kweli kwangu ilikuwa ikiniosha na ndani yangu. Ilikuwa upendo kamili na amani, na nikasikia sauti lakini sio inayosikika, ilikuwa sauti ya ndani. Ilisema niko nawe; Nakupenda, sitakuacha kamwe, imekamilika. Hiyo ilikuwa Mei 3, 2009, na tangu wakati huo nimemfuata Mungu, nimeona mambo mengi yakibadilika na mambo mengi najua hayangebadilika bila imani na imani. Ninajua ni nini kupotea ili kuhisi hauna tumaini. Usiwahi kufikiria kuwa umekwama, au maisha hayawezi kubadilika kwa sababu inaweza. Mama yangu ni Mkristo sasa, Usiku wake na mchana. Baadhi ya mambo ambayo yalikwenda katika kipindi hicho yalikuwa wasiwasi mkubwa na ulevi wangu wa pombe. Nimeona na kuona mambo mengi ambayo ni ya miujiza na nimeona jinsi Mungu amefanya kazi maishani mwangu. Tunapomwomba Mungu atusamehe kwa kile tumefanya na kuachana na dhambi zetu na makosa yetu na tunaamini katika dhabihu ya Kristo kila kitu kinabadilika. Neno lake linasema ikiwa tunakiri kwa vinywa vyetu kuwa Yesu ni Bwana na tunaamini mioyoni mwetu kwamba alikufa na kufufuka tutapata uzima wa milele lakini sio maisha tu baada ya kifo bali maisha tele kwa sasa. Dhambi zetu zinafutwa sio tu za zamani, za sasa, na za siku zijazo lakini mizigo yetu na woga pia huondolewa. Mawazo yetu, akili zetu, mioyo yetu, roho zetu hubadilishwa na kuunganishwa na Mungu na tunajua roho yake inakaa ndani yetu. Ukitafuta, omba, na kubisha utajua YESU NI MFALME !!! ANAISHI!
@manasseskamau53272 жыл бұрын
There’s something sacred about Catholic music, nobody can adapt it to common music.
@jamesndirangu11972 жыл бұрын
This particular one is melodious and reverent. Even the deportment of the singers tells you that they are truly addressing, in song, a prayer to God. However, there are other catchy, rythymic trendy songs which, although they utter religious words, they only serve to gratify the senses as they seem designed to please and entertain....
@davidkipsang38082 жыл бұрын
@@jamesndirangu1197 true sir
@FortunataMakula4 күн бұрын
naipenda sana catholic wimbo ambao kila nikiusikiliza lmani inazidi kuwa kubwa kwangu
@charlessaasita99754 күн бұрын
Asante tunafurahi sana tuzidi kuimarika katika imani 🙏
@charlessaasita99755 сағат бұрын
@@FortunataMakula amina sana tumefurahi pia endelea kuimarika kiimani🙏
@omoshspeakmouth43716 жыл бұрын
Kuwa mkatholiki ni baraka...ningependa watu wote ulimwenguni tuwe kanisa moja ambalo ni katholiki...am very proud to be a Roman Catholic
@berthanathan70746 жыл бұрын
Hope academy training south africa
@jacklinesamwel87315 жыл бұрын
Really and me am proud to be
@jamali00174 жыл бұрын
Tuongezee Imani bwana tuwe Askari hodari kweli wa yesu Kristi 2019_2020 tuwe na Imani na dini yetu🎹🎤🎸🎵⚓🙏🙏🙏🙏🙏
@marypwanye89433 жыл бұрын
Ninaupenda sana wimbo huu. Sifa na utukufu una yeye
@amedeuslyimo23155 жыл бұрын
Uuhh wimbo unanipa matumaini Sana na sitoikana Wala kuipinga imani yangu proud to be Catholic
@teopistacypirian76115 жыл бұрын
Amedeus Lyimo
@chicharitojembe74344 жыл бұрын
Amina Amina
@lucymushi3284 жыл бұрын
Sana wimbo mtamu sana. Mungu aendelee kuwatunza wanakwaya hawa.
@stellamaombi41164 жыл бұрын
Amaina
@ponsianjosephat23584 жыл бұрын
Mkojuu mnapendeza!
@adamdaudi61915 жыл бұрын
Kazi nzuri mtunzi, ara za kirumi na nidhamu ya nyimbo za katoliki imejidhihirisha katika wimbo huu, marvelous!.
@SABASMSOFEАй бұрын
Huu wimbo unanifanya niwena amani sana ❤🎉kama umegundua mapadre weng wana penda huu wimbo like hapo😊
@belindananjala88445 жыл бұрын
Hakika wanafunzi walimwambia yesu kristo"Tuongezee imani bwana"God bless you people, i really love this song
@peterogutu82673 жыл бұрын
G.Hyde get tvred
@lucykazohera86212 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana kwani tunahitaji kuongezewa imani ya kumuamini Mungu na kumtegemea eye tu hasa kwa kipindi hiki mbarikiwe
@user-sx4yy6tm3g4 ай бұрын
Kwakweli Mungu niongee lmani Bwana
@yohanadeus1292Ай бұрын
Eeeh mungu niongezee Imani juu ya uumbaji wako
@mukasememabenge39442 жыл бұрын
Senza ABBA PADRE L'uomo e nulla
@AffectionateBalkhHound-cg1fo6 ай бұрын
Ee tunamuomba mungu atuongezee Imani ili tuweze kumkimbilia
@dsshirima775 жыл бұрын
Wimbo huu unanibariki sana. Mungu awaongezee moyo wa kujitolea kueneza Injili kwa njia ya kuimba.
@jacintanyongesa7920 Жыл бұрын
Mungu awajalie nguvu ya wimbaji
@felistanjelu48322 жыл бұрын
Am proud to be a catholic ❤🙏
@raphaelmahabusi86494 жыл бұрын
Niogezee imani bwana Mimi na familia yangu
@FelixAlbert-hs7ls4 ай бұрын
Congrats. Appreciate . Pernament in FAITH. PAOLO attempts in evangelicalism. amen.
@athanassongalimi56856 жыл бұрын
Hakika najivunia ukatoliki wangu daaaah!!! Nyimbo nzuri
@kamwanagakeni56943 жыл бұрын
Indeed the real meaning of life to worship and grorify him who created us for this purpose even angles in heaven join us whenever such beautiful songs are sung by the faithful here on earth. Praise be to God!!!! 🙏🇰🇪
@user-ym2cv5ko8w6 ай бұрын
Mungu,uzid,kutupa,iman
@user-ym2cv5ko8w6 ай бұрын
Mungu,uzid,outup,iman😊😊
@juliuslyimo66484 жыл бұрын
Hakika wimb huu upon kweny ubora ,waimbaj hongeren sana!
@johnmbata79726 жыл бұрын
Hakika mbarikiwe nakamwe sitosubutu kuliacha kanisa katoliki Mwenyezi Mungu nipiganie mtumishi wako mkosefu
@delphinrashidnziko14492 жыл бұрын
Niongezee Imani Bwana Yesu
@mgenileonora97172 жыл бұрын
Tuongezee imani Bwana,nabarikiwa sana
@maganyarobert7008 Жыл бұрын
Ee Yesu utuongezee Imani tunakuomba
@julianabenard39676 жыл бұрын
Wimbo mzur xana Bwana uzd kutuongezea iman
@annamremal26755 жыл бұрын
Asate sana yesu kwa kutowa mwiri wako kuwa mkate na damu yako kuwa divai emungu nipe moyo wa kushiriki mpaka kufa kwangu
@deborasoa80223 жыл бұрын
Najivunia kua Catholic Church hakika iman imeongezeka Mara kumi yake sitowez kubadili dini kumukana yesu
@ivanfaustin97172 жыл бұрын
huu wimbo kila nikisikiliza cwez kuzuia machozi !!! eeh Bwana tuonhezee Imani
@marothijohn74234 жыл бұрын
Nice and wonderful songs don't have to know the longuege, is fantastic, I listen FROm South Africa in Johannesburg
@marysemufali70116 жыл бұрын
Jamani sikujusa huu wimbo ni Wa Ndg Charles Saasita jamani asante maana tuliuimba san shuleni kwetu..Ohh Rest In Peace
@pricillamassawe76083 жыл бұрын
I LOVE MY CATHOLIC FAITH 🙏🙏🙏
@shukuranisarah17552 жыл бұрын
Me to
@nasinyamaatassi95405 жыл бұрын
Tuongezee imani Bwana Amen. Asanteni sana waimbaji kwa wimbo huu
@emilymbogho59453 жыл бұрын
Tuongezee imani baba Sisi wakosefu
@jescarwegoshora11234 жыл бұрын
Ee Bwana tunaomba utuongezee imani ss wana wako, maana tunakutana na mengi
@henrymapalala2427 жыл бұрын
hakika Mungu ni mwema tunaongeza imani kupitia nyimbo kama huu amen
@abalindam.gorret2755 жыл бұрын
This song is power to all cells of my body and "soul"..... Increase faith in us Lord!
@deocresdominick32734 жыл бұрын
This song is very powerful, it is very deep, thanks Catholic singers, and today it was a part of leading during the mass. Kwakweli Mungu naomba uniongezee Imani
@philipmugagolo28784 жыл бұрын
It's True my sister
@rhodamwita36 жыл бұрын
Truely you are the best singers
@francisochieng39493 жыл бұрын
Niongezee imani bwana .maisha yahitaji imani na in kwako naeza pokea imani.nashukuru kwa nyimbo hii nzuri ya kufariji roho
@AgnesMwita-uq9nq2 ай бұрын
Naipenda sana dini yangu ya roman catho
@altogosbertluhikula90834 жыл бұрын
Tuna kila sababu ya kuendelea kumwomba Mungu atuonzee IMANI hasa katika kipindi hiki cha Corona. Kazi nzuri sana kwa mtunzi Dkt David Kacholi na wanakwaya kwa ujumla. Apumzike kwa Amani Mwl.na mpiga kinanda Charles Saasita.
@luciamutanu67145 жыл бұрын
proud to be a cathlician
@bazireteclaudine42912 жыл бұрын
Mubarike Niko Rwanda
@naomisila7076 жыл бұрын
Kwa kweli Mungu niongezee Imani, bila imani mimi ni bure kabisa...naomba uniongezee imani.
@josephjastineyyugfgggf49004 жыл бұрын
Mungu atuogezee imani 2020
@markfransi224 жыл бұрын
Bwana,Tunakuomba utuongezee Imani Bwana. Amina.
@agnesmaumenee85922 жыл бұрын
L'Éternel seul est Dieu ! À lui seul toute la gloire que tous le craignent et connaissent que L'Éternel seul est Dieu au Nom de JÉSUS CHRIST AMEN
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Nyimbo za tz za Catholic so nice
@neykawishe2265 Жыл бұрын
Mbarikiwe xn nice song❤️❤️
@paulinem7003 жыл бұрын
My late dad loved this song. May his soul rest in eternal peace ✌🙏🏽💔
@harrietkmoindi1572 Жыл бұрын
😭😭😭😭
@harrietkmoindi1572 Жыл бұрын
Several years later I camp here In hoope
@mcdee200 Жыл бұрын
@@harrietkmoindi1572 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@maliinathan48316 ай бұрын
May he rest in peace
@michaelmutuku91426 жыл бұрын
Wimbo mzuri naipenda.Imani ya bwana ikae nasi daima.Salamu nyingi kutoka Nairobi
@florencemutuku67996 жыл бұрын
Michael Mutuku kwa hakika imani ndio mwanga wa kikristo...keep it up choir master with your choir members for performing tha melody of sympathy..
@delphinamponela52232 жыл бұрын
Naomba niongeze Imani Bwana
@elizabethsalema89504 жыл бұрын
I'm proud to be Roman Catholic for sure🙏
@justinambrose35776 жыл бұрын
This song "Tuongezee imani bwana" hits me with tears, R.I. P Charles Saasita
@photunatamakelele69804 жыл бұрын
😢😢😢 rip charles mwandishi wa wimbo huu mwanga milele ukuangazie upumzike kwa aman
@semenimao96014 жыл бұрын
R.I.P
@beatricemalisa69844 жыл бұрын
@@photunatamakelele6980 jamani,hayupo hai ?kafariki lini jamani😭😭
@deusandrea71692 жыл бұрын
@@photunatamakelele6980 x
@francokachu61182 жыл бұрын
Amen
@bonifacepeter14743 жыл бұрын
Proud to be Catholic!!!
@jamesgachau2566Ай бұрын
Increase my faith Lord
@sylvestrengwelu20125 жыл бұрын
Am proud to be a Catholic, thank you for your proper encouragement on faith we are Born again
@LucyOisso-tz3jv4 ай бұрын
Tuongezee imani Bwana🙏🙏❤
@neemacharles96483 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na huu wimbo,," kwa kipind hiki kigumu Nachopitia,,Amina🙏
@rosemarysulle92883 жыл бұрын
Tuongezee imani bwana,palipopungua imani
@FelixAlbert-hs7ls4 ай бұрын
TYK. This Fantastic music like songs from HEAVEN bleesed me and treat my Heat. amen.
@user-ci6xt6ru3x4 ай бұрын
Bwana tuongezee Imani katika maisha yetu ili tuweze kulitangaza neno lako vyema
@williamdavid7037 жыл бұрын
Mungu mwenyewe atuongezeee iman....tuwe imara na imani yetu...Mungu ni mmoja jana, leo , kesho daima na hata milele....Mungu abariki nia zenu njema.
@jessyngey13066 жыл бұрын
Hukika nafarijika sana kupitia wimbo nimewalisha kwa unoo pia tuongezee iman bwana, mungu awatie nguvu mzidi kumtumikia zaidi na zaid kwa sifa na utukufu wake yeye....amina.
@aliceakinyi66137 ай бұрын
Bwana hakika nahitaji Imani yako
@danielgarubindi32036 жыл бұрын
Ee Mungu, usituache hvhv tuongezee imani Bwana Amen.
@aglipinanaombaunirushueya29766 жыл бұрын
Nimebalikiwa na wimbo wa tuongeze iman nawaomba nawale wenye vipaji nyakuimba muimbe
@simonmpaki43194 жыл бұрын
Hakika tumebarikiwa sana... R.I.P mwalimu Charles Saasita Mtunzi wa wimbo huu uliotukuka
@renatusladslaus34864 жыл бұрын
Ee Mungu zidi kuniongezea Imani ktk tabu na raha 🙏🏼🙏🏼
@josephinevitalis9544 жыл бұрын
Nmebarikiwa sana na wimbo huu
@maryemmanuel33565 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba yangu tutakukumbuka kwa mazuli yako kwan kwake tulitoka kwake tutaludi Mt maria Bunda tulibaki na pengo kubwa lisilo zibika
@vincentsila71884 жыл бұрын
I love this song tena xana yaniogezea matumaini yangu katika kila jambo ninalolifanya
@cathyfredy-xe7rq9 ай бұрын
Mtunzi wa hi nyimbo sasita.. tutakukumbuka daima.. najua upo patakatifu kwa Mungu
@user-gw8fe2no7e11 ай бұрын
Am really proud of Catholic songs they really Touch my heart...
@hildahongeri24676 жыл бұрын
Tuongezee imani katika mioyo yetu Bwana
@bensilvester49815 жыл бұрын
Tuongezee Imani Bwana Yesu Tudumu daima tukikutumikia,Tusiwe na imani Haba
@naomisila7076 жыл бұрын
Great song for us Kenyans, we need this song, sang many times... its so inspiring, i feel strong in faith when i listen to this song.
@hokabalindile54006 жыл бұрын
Mungu amlaze mahala pema peponi Mr. Charles Saasita , ananibariki mno na nyimbo zake hasa huu wa tuongezee imani Bwana
@venancen.manori52936 жыл бұрын
Pumzika kwa amani Charles Saasita. Ulitumia kipaji chako kumwabudu Mungu kwa nyimbo.
@elizabethjoseph72925 жыл бұрын
Tuongezee Imani BWANA, wimbo unahisia kali na ni mzuri
@amenahalshahrani1124 жыл бұрын
Love you 🇧🇮🇧🇮🇸🇦
@winfridasingano19533 жыл бұрын
I realy appreciate this song as it reminds me of my faith and even when am missing my dad i use it as my comfort he realy love it too
@hellenkarimi43112 жыл бұрын
Nice
@generozphibility47056 жыл бұрын
tuongezee iman bwana wimbo mzur sana unanifanya nitafakar ukuu was Mungu mbarikiwe waimbaji
@nduwayoelias73087 жыл бұрын
Ukweli utabaki kuwa ukweli siku zote. Mtunzi wa wimbo huu aifanya kazi kubwa sana. wimbo unabariki sana na hauchoshi kabisaaaaaaa. Tuongezee Imani bwana.
@lurcyfocus59055 жыл бұрын
Tuongezee iman bwana mbarikiwe sanaa
@magrethmgallah55104 жыл бұрын
tuongezee iman bwana especially in this unexplanable moment do not let us diverge bcoz of this virus bt rather bring us more closer to u by increasin our faith Amen
@delphinrashidnziko14492 жыл бұрын
Amen Ukubali kunijalia Imani iweze kunisaidia katika wokovu wangu
@mempyanday4668 Жыл бұрын
Uniongeeze Imani Bwana
@mathildemwangaza1093 жыл бұрын
Tanzania muko mbele sana Duniani kote
@patrickotim92442 жыл бұрын
Asanteni sana ndugu zangu wapendwa hasa hasa waimbaji wa wimbo Tuongezee Imani Bwana, ni nzuri sana kwangu kusikiliza na kuangalia. Hasa hasa kama niko kwenye ofisini, napenda kusikiliza na kuangalia wimbo hiyo. Asanteni kabisa mara ngine.
@imeldambuya91386 жыл бұрын
Niongezee Imani MUNGU wangu
@lucykanash5823 жыл бұрын
Wow wimbo huu unipa Imani Sana
@stefanonaman95467 жыл бұрын
Bwana utuongezee imani ck zote za maisha yetu hapa duniani