Niseme Nini - By Bernard Mukasa, JBC Choir - Bukoba Parish

  Рет қаралды 955,531

KAPOTIVE

KAPOTIVE

2 жыл бұрын

Пікірлер: 269
@jeremiahjahulula7868
@jeremiahjahulula7868 11 ай бұрын
Kadri ninavyousikiliza mwili unasisimka❤ Mungu ambariki mtunzi na kwaya hii bila kumsahau Baba Askofu Kilaini
@bestamsumange9289
@bestamsumange9289 11 ай бұрын
hakika bernard mukasa.,mungu akuweke miaka mingimingi, hakika wewe ni hazina kubwa kwa kanisa katoliki,tunakuomba kwa uwezo wako tengeneza au ibua warithi wako kuendeleza karama hiii kubwa. mungu awabariki wanabukoba.🎉
@roseasimwe827
@roseasimwe827 10 ай бұрын
Proud to be a Catholic Bernard Mukasa Mungu azidi kukulinda kazi yako ni njema
@josephkulija293
@josephkulija293 Жыл бұрын
Benard Mkasa kazi unayoifanya ya uinjilishaji malipo yako mikononi mwa Mungu, hakika Mungu akubariki na uzao wako. Wimbo una maudhui mazito sana.
@manyorifrancis8348
@manyorifrancis8348 Жыл бұрын
Nilifunzwa kuwa mkatoliki na mama yangu mkubwa na ndiye aliyenileya nikiwa mdogo. Aliupenda sana huu wimbo nikiwa na miaka mitano. Mpaka sasa nina miaka 34. Nimeukumbuka juzi tarehe 4 mwezi huu. Sikujuwa kama kumbukumbu zangu zilikuwa namshukuru kwa maisha yake kwangu na pia kwa maisha yake hapa duniani. Tarehe 8 ameaga dunia na leo tumempumzisha kwenye nyumba yake ya milele. Asante Mungu kwa maisha yake kwa kunikuza kimwili na kiroho 😤😤
@josephlango5591
@josephlango5591 Жыл бұрын
Pole sana. Astarehe kwa amani Tumshukuru Mungu kwa kila jambo
@aurorabenedicto3197
@aurorabenedicto3197 Жыл бұрын
Pole sana dear, Mungu ampokee katika utukufu wake mbinguni ❤
@user-ex5yk2oz5o
@user-ex5yk2oz5o 8 ай бұрын
6:11 ❤😢😢
@devidkingu2439
@devidkingu2439 2 жыл бұрын
Nasadiki kwa kanisa moja takatifu katoriki la mitume.. Niseme nini ee Bwana?🤲
@solanuskomba82
@solanuskomba82 9 ай бұрын
...Proud of being catholic ...wimbo mzuri sana kwakweli jaman, be blessed ...ila nataman sku moja nikutane na mukasa nipige nae hata picha tu
@ChristerShao
@ChristerShao 10 ай бұрын
Benard Mkasa,hekima ya wazazi wako Mzee Wlllia na Mama Revina Mkasa,wanavyoipenda dini.Benard ubarikiwe na familia yako.Mungu aeatunze,wimbo mzuri sana.
@ConsolathaUpendo-po5tf
@ConsolathaUpendo-po5tf Жыл бұрын
So proudly to be CATHOLIC
@furahajames4085
@furahajames4085 11 ай бұрын
Hàkika wimbo huu unatuongoza hata sisi kumwambia Mungu asante. At 58, I really appreciate the unrestricted love from My good God.
@nassorotryphonenassoro2542
@nassorotryphonenassoro2542 Жыл бұрын
Asante sana kwa wimbo huu mm niliuimba nilipotoka ulinzi wa amani kongo mt mikael kawe
@christinacharles1955
@christinacharles1955 7 ай бұрын
Mungu akupe amani ipitayo amani
@deuskasege3021
@deuskasege3021 4 ай бұрын
Nakumbuka sana Ile siku na gwanda zenu
@tinomasangia5511
@tinomasangia5511 2 ай бұрын
🔥🔥
@Kimalomushi
@Kimalomushi 12 күн бұрын
@illomowerner7690
@illomowerner7690 12 күн бұрын
Barikiwa Nassoro
@frankmhoja2460
@frankmhoja2460 2 ай бұрын
HAKIKA BENARD MUKASA... Kipaji mungu kampa...n tunu ya kanisa katolik... Hongereni wana kwaya.. Hongera ake kwa miaka 50 ya upadre
@jsifuna
@jsifuna 10 ай бұрын
My daily song!! The Bishop is amazing I tell you!!
@paulmutoro2687
@paulmutoro2687 10 ай бұрын
Wow! Sauti zimepangwa zikapangikwa.Mungu awape afya nzuli mzidi tena na tena
@kirighawilberd6351
@kirighawilberd6351 2 жыл бұрын
Nice to hear from you niseme Nini bwana thank you may God bless u mniombee pia Mimi Niko chuo Cha mziki arusha
@victorishengoma5724
@victorishengoma5724 Жыл бұрын
Napenda Baba wimbo huu umemjaa hkika umeibeba safari yke ya wito
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 Жыл бұрын
Wimbo huu unabeba ujumbe wa shukrani Kwa zawadi ya maisha ya Mhashamu Baba Askofu Kilaini anayeimba kwa hisia kali katika maadhimisho ya Jubilee yake ya miaka 50 ya upadre. Hongera sana Baba.. na hasa ubeti wa "changamoto nilizopitia" namwona Baba anashika kichwa....inanikumbusha uhalisia wake. Hongera sana Baba, hongera sana Bwana Bernad Mukasa na wanakwaya wote!
@graceandrew3988
@graceandrew3988 9 ай бұрын
Asante Mungu kwa kipaji cha Mukasa..Askofu Kilaini you're the best..nakumbuka utoto wangu ukiwa askofu mkuu msaidizi jimbo kuu la DSM late 90's..ulifanya kazi kubwa mno katika jimbo..umeuvaa uhusika katika huu wimbo.Mungu azidi kukutunza..Hongereni wanakwaya Bukoba mpo juu mmeutendea haki wimbo...kuanzia mavazi,sauti,mandhari..So proud of you all..God bless❤
@alexngovi
@alexngovi 4 ай бұрын
WE,,,,Kiswahili
@evancefesto
@evancefesto 2 ай бұрын
Bernad Mukasa na kapotive nzima mnafanya kazi nzuri ya utume Mungu awabaliki sana wimbo mzuri I a'm proud to be roman Catholic ☺️☺️
@josephkulija293
@josephkulija293 Жыл бұрын
Hongera Baba Askofu Kilaini Mungu azidi kukubariki kwa kazi yako ya kutuongoza sisi kondoo wa Mungu. Pia pongezi sana ndugu Benard Mukasa kwa kipaji ulichopewa na Mungu uzidi kutuinjilisha.
@user-vj5mo1xf6r
@user-vj5mo1xf6r Ай бұрын
The bit hits differently ❤️It both touches the heart 🎉
@mariemeni5939
@mariemeni5939 4 ай бұрын
Aksante waimbaji.Nimebariki kupitia hii nyimbo. Bwana awabariki.
@JoyceMkeka
@JoyceMkeka 4 ай бұрын
Hakika tuseme nini kwa mungu mapito nimengi lakini anatuvusha tunashukuru Sana 🙏🙏🙏🙏😢
@RuesFedrick
@RuesFedrick 7 күн бұрын
Ahsant mungu mapito mengi sana umenilinda na kunisaidia
@ceciliaotwane3906
@ceciliaotwane3906 Жыл бұрын
The bishop! wow! he must be in charge of liturgy. The song itself, wah, for real, asante mungu nakushukuru!
@benmbwilinge2816
@benmbwilinge2816 Жыл бұрын
Hongera Sana kwa wimbo mzuri wajina wangu
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 2 ай бұрын
Kwakweli niseme nini, Mungu wangu sina cha kusema bali Mungu wangu nakushukuru kwa ukarimu wote ulio nitendea. Na Barikiwa sana na huu wimbo 🙏
@michaelmwembezi5998
@michaelmwembezi5998 Жыл бұрын
Hakika am proud to be catholic,,ujumbe mzur kwe
@AvelineKiria-np9mn
@AvelineKiria-np9mn Жыл бұрын
Asante ubarikiwe umeniokoa Sana jaman mungu amfikishe mbali zaid my dear friend neema umesharudi
@gracefeldinandi838
@gracefeldinandi838 Жыл бұрын
Nawapa vyema wanyumbani nikiwa kenya jirani yangu kalaudi w kyelima nakuona
@jamesnyamwaya1841
@jamesnyamwaya1841 10 ай бұрын
Kazi nzuri mwalimu mkasa pongezi wote na baba askofu kwa wimbo huu bora
@JASSONEVARISTER-sz2bi
@JASSONEVARISTER-sz2bi 5 ай бұрын
Hatunabudi kusema asante mungu kila wakati
@claudekalimbirirontabaza7467
@claudekalimbirirontabaza7467 10 ай бұрын
Kiukweli nimemwaga machozi ya furaha. Hongera sana mwalimu Bernard Mukasa, Mungu akuongezeye nguvu tele. Hongereni pia kwa wana kwaya wote. Kazi nzuri sana
@josephelias7364
@josephelias7364 2 жыл бұрын
Asanteni Sana wanakwaya kwa utume wenu. IAM proud to be a Catholic
@josephinekessy1994
@josephinekessy1994 2 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana jamani nimesikiliza zaidi ya mara kumi...nimebarikiwa sana na nyimbo hii. Kati kati ya safari changamoto kubwa nilipitia,lakini kwa wema wako ukanivusha nikavuka salama🙏🙏🙏
@glorypeter1194
@glorypeter1194 Жыл бұрын
Nyimbo inabariki na kusisimua mbarikiwe wainjilist wote muendee kutupatia nyimbo nzur zaidi
@petrobenson2932
@petrobenson2932 9 ай бұрын
Smart song,inanipa nguvu hasa hapa Mandera mpakani mwa Somalia
@user-ge4gy6ly5l
@user-ge4gy6ly5l Жыл бұрын
Safi sana mungu awalinde zaidi mzidi kutuinjirisha Kwa nyimbo nzuri kama huu
@marylyimo6519
@marylyimo6519 Жыл бұрын
Hongereni sanaa Wanakwaya kutoka Bukoba
@SanyagiKulwa
@SanyagiKulwa 16 күн бұрын
Mi maneno yameniishia ila mukasa we mwamba sana nataka sana nikuone kwa macho yangu we king bless you boy and you family much respect brother mukasa
@BetraminoJulius
@BetraminoJulius 3 ай бұрын
Nahuyu mzee kwa unyenyekevu wa kukubali ajimwage hivi mbele na wanakwaya ni muujiza. Nitaomba wimbo huu ùwe maalumu kwa waimbaji wetu na wtu woke
@theresiapatrick7860
@theresiapatrick7860 2 ай бұрын
TYKRISTU. NAMI NAUNGANA NA WIMBO HUU KWA MATENDO MAKUU ALIYONITENDEA MUNGU TRH 10.5 MAANA NILIPATA MTIHANI MGUMU SN LKN MUNGU KANIVUSHA NISEME NINI EEE BWANA. UBARIKIWE SN MKASA WA WIMBO HUU UMENIGUSA MOJA KWA MOJA KBSA.
@oliversangawe-cn2jj
@oliversangawe-cn2jj Жыл бұрын
Hzi nyimbo hatuwez zipata kupitia boomplay music
@AngelMassawe-nz9sk
@AngelMassawe-nz9sk Жыл бұрын
Hakika nyimbo nyimbo hii imegusa watu wengi kwa jinsi ilivyopigwa vizuri na ilivyodansiwa vyema kwa Kiutukufu sana wa wa KIMUNGU umegusa wengi hasa mimi naomba uendelee kufunguliwa ktk douwiloding tukiwa popote unatupatia kutafakari leo nakuta umezuiliwa nimeuzunika ponyeni Roho kwa tenzi Kama hii Asante Mungu katika sifa Unashuka na kutuponya mbarikiwe sana
@ATANASCHOBARIKO
@ATANASCHOBARIKO 5 ай бұрын
Hongera Sana mtunzi wawimbo huo naupenda sana
@paulinalusazi3560
@paulinalusazi3560 Ай бұрын
Mungu awabariki sana KMK kwa kutuinjilisha
@prospervedasto4366
@prospervedasto4366 8 ай бұрын
Ahsante Baba Askofu Kilaini kwa umahiri wako
@user-dt2tc2gb4l
@user-dt2tc2gb4l 6 ай бұрын
Asante sana kwa wimbo wenye mguso ndani ya moyo asante sana
@alphoncerutumo1644
@alphoncerutumo1644 5 ай бұрын
Safi sana mbarikiwe wimbo Mzuri sana .
@user-lq2be9sb7q
@user-lq2be9sb7q 10 ай бұрын
The song elevates me every time I listen to it. This is God given straight from heaven. God bless you all.
@user-wy7md3kg7q
@user-wy7md3kg7q 7 ай бұрын
Ahsant San jaman nakupenda San hii nyimbo
@user-ix8qr4bn9z
@user-ix8qr4bn9z 6 ай бұрын
Asante sana kwa wimbo nzuri, niseme Nini
@joycengolly547
@joycengolly547 2 жыл бұрын
Hongereni sana Wana Mt. Don Bosco Kwa kazi nxurii😍😍😍Mungu awabariki sana.🙏🙏🙏
@geofreynyakana
@geofreynyakana 10 ай бұрын
Mukasa mukasa mukasa nimekuita mara 3 hakika mbinguni malaika wanakusubiri ukaongoze waimbaji
@user-ix8qr4bn9z
@user-ix8qr4bn9z 6 ай бұрын
Asante sana kwa wimbo nzuri sana hongera sana
@yohanadeus1292
@yohanadeus1292 Ай бұрын
Nimeneemeka na baraka kusikiliza wimbo huu
@renatusjoachim8876
@renatusjoachim8876 2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri,Mungu aendelee kukubariki Benard Mukasa kwa kazi nzuri
@marytairo4981
@marytairo4981 10 ай бұрын
Proud to be a Catholic! Nice song Mungu awabariki sana
@claudekalimbirirontabaza7467
@claudekalimbirirontabaza7467 10 ай бұрын
Really
@velonicacharles-6124
@velonicacharles-6124 3 ай бұрын
Asanteni mbarikiwe wimbo mzuri sana
@GaudenciaKija-ji9qs
@GaudenciaKija-ji9qs Жыл бұрын
Nimeguswa Sana na huu wimbo kulinga na mapito niliyopitia
@KAPOTIVE
@KAPOTIVE Жыл бұрын
Ubarikiwe sana 🙏🙏🙏
@mosesokeyo2824
@mosesokeyo2824 Ай бұрын
Nisemee ninj.ewe.bwanaaa❤🎉
@sarahambajo2873
@sarahambajo2873 Жыл бұрын
Your bishop is having a blast, well done
@lucaskioko6387
@lucaskioko6387 Жыл бұрын
good staff. God bless you guys
@paskaziayaheze962
@paskaziayaheze962 2 жыл бұрын
Wimbo mzuri Sana. Hongereni👏👏👏👏👏
@EudosiaTango-pu7jg
@EudosiaTango-pu7jg Жыл бұрын
Jaman imenibarik Sana mungu aendelee kuwalinda nakuwabariki waimbaji Hawa..
@user-pb3db2rl7d
@user-pb3db2rl7d 10 ай бұрын
Amina wimbo huu umenibariki sans mpaka nimetokwa na machozi ya furaha
@fatumamaiga8496
@fatumamaiga8496 Жыл бұрын
Baba Askofu ubarikiwe Sana. Ujaliwe utume mwema baba
@ranveelkamsanga745
@ranveelkamsanga745 7 ай бұрын
8:47 9:48 9:48 ahsnteni mbarikiwe sana watu wa mungu mwimbo mzuri sna na mungu awape nguvu aman na baraka za kumtumikia yeye daima
@geofreynyakana
@geofreynyakana 10 ай бұрын
Daima nitaiishia imani KATOLIKI milele na milele
@BahatiAdam-lo6xx
@BahatiAdam-lo6xx 7 ай бұрын
Nakumbuka mwaka 2020 nikiwa chuoni tukiwa ktk mashindano ya kwaya 16
@gracewamaitha7382
@gracewamaitha7382 9 ай бұрын
I love this song to the moon and back 💕 ❤️ 💛 💖 💓
@mahungujulius1788
@mahungujulius1788 14 күн бұрын
❤❤ Wimbo Mzuri sana Hongera kwa waimbaji
@jenifadaniel7752
@jenifadaniel7752 Жыл бұрын
Kati ya nyimbo za kushukuru ninazozipenda huu wimbo ni wa kwanza, maana naweza kuusikiliza huu wimbo siku nzima bila kubadilisha wimbo mwingine. Mbarikiwe sana wanakwaya pamoja na mtunzi hakika mmeutendea haki
@eliudi
@eliudi 10 ай бұрын
Nimependezewa nawimbo naommba notazake
@marthauisso5803
@marthauisso5803 Жыл бұрын
hongereni sana jaman kwa kumuimbia Askofu wetu vizuri sana
@BetraminoJulius
@BetraminoJulius 3 ай бұрын
Namba niandike Barua rasmi kwa Idara ya Katekes utunukiwe cheti cha Doctor of catholic miusic
@pondapapa8371
@pondapapa8371 Жыл бұрын
Nicely done! Asante ndugu Mkasa. Hongera Bab Askofu Kilaini!
@winfrednkatha6159
@winfrednkatha6159 Жыл бұрын
Am addicted to this song. Huyo pianist...ni another level
@user-qn7ug6pz6p
@user-qn7ug6pz6p 6 ай бұрын
Nafarijika Sana nikisikia wimbo huu
@carolnderi5004
@carolnderi5004 Жыл бұрын
Get addiction to this song najipata nikiimba zaidi ya mara 10 kwa siku mbarikiweni sana kwa kazi nzuri👏👏👏
@annamushi7758
@annamushi7758 Жыл бұрын
SO WONDERFUL BE BLERSSED ALL
@johnmwakipongo3536
@johnmwakipongo3536 28 күн бұрын
Nyimbo nzuri sema kuna sehemu wameingiza maneno yao
@henrykimani1664
@henrykimani1664 11 ай бұрын
Roho yangu imefurahishwa na uimbaji wenyu zaidi, nyimbo tamu na zenye uinjilishaji mkubwa. Proud to be catholic
@dorothymbuere5832
@dorothymbuere5832 Жыл бұрын
Kweri kabisa Niseme Nini ni wimbo mzuri OYee Askof KILAHINi kwa kuimba wimbo huu mzuri Mbarikiwe sana wahimbaji kwa nyimbo nzuri.
@bibianarugaimukamu4095
@bibianarugaimukamu4095 9 ай бұрын
We really all of us need to thank God together with our Bishop Kilaini for his mercy
@okrasamson4137
@okrasamson4137 3 ай бұрын
Nimeguswa sana na mapito ninayo pitia
@candymarandu2230
@candymarandu2230 Жыл бұрын
Hongereni Sana wanna bukoba furaha kw a kweli nawatakia uinjilishaji na utume mwema was kwaya
@beatricemichael6376
@beatricemichael6376 Ай бұрын
Mungu awabariki sana Kwa wimbo huu.
@oliverwabwire2836
@oliverwabwire2836 Жыл бұрын
A great shepherd leading his choristers in doing the Lord's work🔥🔥🔥🔥🎶🎶
@geraldkishenyi5786
@geraldkishenyi5786 2 жыл бұрын
Amen ninavyojisikia sijui nifanyeje. Atukuzwe baba.
@alphoncempiti9505
@alphoncempiti9505 Жыл бұрын
Askofu kilaini,man of the match, Kiufupi hongereni sana waimbaji ,mmeimba vizuri sana
@georgekazaula3123
@georgekazaula3123 3 ай бұрын
Kapotive you are the best. Nawakubari sana na sio mimi tu bali watu wengi
@modesternyamizi6408
@modesternyamizi6408 Жыл бұрын
Jamani wimbo mzuri sana, umegusa maisha halisi ya Baba Askofu lkn na hata maisha yet ki ujumla, hunger mtunzi. Kinanda safi sana. Nimexikiliza mara nyingi sana. Mungu awabariki sana sana!
@user-yv1lw2sn4i
@user-yv1lw2sn4i Жыл бұрын
Hakika wimbo uko vizuri sana hongereni kwa kuutendea haki.organist ni fire mko vizuri
@davidomuya1779
@davidomuya1779 Жыл бұрын
My family fevorite song👍👍
@terrymukoya3153
@terrymukoya3153 11 ай бұрын
I just cant get enough of this song,,, blessingss
@user-ey1yp6jk7g
@user-ey1yp6jk7g 9 ай бұрын
Fantastic song 👍
@tempochoir
@tempochoir 6 ай бұрын
Hello i am watching from USA nawapenda wote 💕
@benedictaroman1074
@benedictaroman1074 9 ай бұрын
Huyu baba mungu aendelee kumbariki ,nyimbo zake Ni maudhui tosha ,wapo na wengine waje wasijifiche Ni kipaji tosha .
@sadiguillaumesadi7345
@sadiguillaumesadi7345 Жыл бұрын
Kweli huwa nabarikiwa sana nawimbo huo mahalum wa jubile ya baba kilaini
@orestpaul4273
@orestpaul4273 Жыл бұрын
Mungu awabariki sana na asanteni kwa wimbo mzuri
@JoyceMlwale
@JoyceMlwale 5 күн бұрын
Wimbo huu tumeubariki uwe wa Taifa wa Katoliki😅🙏
Mt. Kizito Makuburi - Wewe ni Mungu (Official Music Video)
9:29
KMK MAKUBURI
Рет қаралды 9 МЛН
УГАДАЙ ГДЕ ПРАВИЛЬНЫЙ ЦВЕТ?😱
00:14
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 3,9 МЛН
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 8 МЛН
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 43 МЛН
Niseme Nini (Baba Ninakushukuru) LYRICS - Dr. Ipyana
15:42
Dj Marita
Рет қаралды 2,1 МЛН
Bernard Mukasa - Niseme Nini (Official Video)
6:54
Bernard Mukasa
Рет қаралды 1,4 МЛН
Holy Trinity Studio - Nikushukuruje Bwana ( Official Music Video )
8:12
HOLY TRINITY STUDIOS
Рет қаралды 1,4 МЛН
Neema Gospel Choir - Nikurejeshee (Live Music Video)
12:44
Neema Gospel Choir
Рет қаралды 2,8 МЛН
TEGEMEO LANGU NI YESU - Melodic Harmony Chorale Ft Lawrence Kameja
6:25
Melodic Harmony Chorale
Рет қаралды 2,3 МЛН
KISHINDO CHA WAKOMA (OFFICIAL VIDEO) - NJIRO SDA CHOIR
6:32
Njiro SDA Church
Рет қаралды 12 МЛН
ASHUKURIWE MWENYEZI
3:08
RAJO PRODUCTIONS
Рет қаралды 2,2 МЛН
Malohat
3:35
Xamdam Sobirov - Topic
Рет қаралды 1 МЛН
Stray Kids "Chk Chk Boom" M/V
3:26
JYP Entertainment
Рет қаралды 53 МЛН
IL’HAN - Pai-pai (lyric video) 2024
3:24
Ilhan Ihsanov
Рет қаралды 555 М.
Әбдіжаппар Әлқожа - Ұмыт деме
3:58
Әбдіжаппар Әлқожа
Рет қаралды 799 М.
Jakone, Kiliana - Асфальт (Mood Video)
2:51
GOLDEN SOUND
Рет қаралды 10 МЛН