Kadri ninavyousikiliza mwili unasisimka❤ Mungu ambariki mtunzi na kwaya hii bila kumsahau Baba Askofu Kilaini
@bestamsumange928911 ай бұрын
hakika bernard mukasa.,mungu akuweke miaka mingimingi, hakika wewe ni hazina kubwa kwa kanisa katoliki,tunakuomba kwa uwezo wako tengeneza au ibua warithi wako kuendeleza karama hiii kubwa. mungu awabariki wanabukoba.🎉
@roseasimwe82710 ай бұрын
Proud to be a Catholic Bernard Mukasa Mungu azidi kukulinda kazi yako ni njema
@josephkulija293 Жыл бұрын
Benard Mkasa kazi unayoifanya ya uinjilishaji malipo yako mikononi mwa Mungu, hakika Mungu akubariki na uzao wako. Wimbo una maudhui mazito sana.
@manyorifrancis8348 Жыл бұрын
Nilifunzwa kuwa mkatoliki na mama yangu mkubwa na ndiye aliyenileya nikiwa mdogo. Aliupenda sana huu wimbo nikiwa na miaka mitano. Mpaka sasa nina miaka 34. Nimeukumbuka juzi tarehe 4 mwezi huu. Sikujuwa kama kumbukumbu zangu zilikuwa namshukuru kwa maisha yake kwangu na pia kwa maisha yake hapa duniani. Tarehe 8 ameaga dunia na leo tumempumzisha kwenye nyumba yake ya milele. Asante Mungu kwa maisha yake kwa kunikuza kimwili na kiroho 😤😤
@josephlango5591 Жыл бұрын
Pole sana. Astarehe kwa amani Tumshukuru Mungu kwa kila jambo
@aurorabenedicto3197 Жыл бұрын
Pole sana dear, Mungu ampokee katika utukufu wake mbinguni ❤
@user-ex5yk2oz5o8 ай бұрын
6:11 ❤😢😢
@devidkingu24392 жыл бұрын
Nasadiki kwa kanisa moja takatifu katoriki la mitume.. Niseme nini ee Bwana?🤲
@solanuskomba829 ай бұрын
...Proud of being catholic ...wimbo mzuri sana kwakweli jaman, be blessed ...ila nataman sku moja nikutane na mukasa nipige nae hata picha tu
@ChristerShao10 ай бұрын
Benard Mkasa,hekima ya wazazi wako Mzee Wlllia na Mama Revina Mkasa,wanavyoipenda dini.Benard ubarikiwe na familia yako.Mungu aeatunze,wimbo mzuri sana.
@ConsolathaUpendo-po5tf Жыл бұрын
So proudly to be CATHOLIC
@furahajames408511 ай бұрын
Hàkika wimbo huu unatuongoza hata sisi kumwambia Mungu asante. At 58, I really appreciate the unrestricted love from My good God.
@nassorotryphonenassoro2542 Жыл бұрын
Asante sana kwa wimbo huu mm niliuimba nilipotoka ulinzi wa amani kongo mt mikael kawe
@christinacharles19557 ай бұрын
Mungu akupe amani ipitayo amani
@deuskasege30214 ай бұрын
Nakumbuka sana Ile siku na gwanda zenu
@tinomasangia55112 ай бұрын
🔥🔥
@Kimalomushi12 күн бұрын
@illomowerner769012 күн бұрын
Barikiwa Nassoro
@frankmhoja24602 ай бұрын
HAKIKA BENARD MUKASA... Kipaji mungu kampa...n tunu ya kanisa katolik... Hongereni wana kwaya.. Hongera ake kwa miaka 50 ya upadre
@jsifuna10 ай бұрын
My daily song!! The Bishop is amazing I tell you!!
@paulmutoro268710 ай бұрын
Wow! Sauti zimepangwa zikapangikwa.Mungu awape afya nzuli mzidi tena na tena
@kirighawilberd63512 жыл бұрын
Nice to hear from you niseme Nini bwana thank you may God bless u mniombee pia Mimi Niko chuo Cha mziki arusha
@victorishengoma5724 Жыл бұрын
Napenda Baba wimbo huu umemjaa hkika umeibeba safari yke ya wito
@sylvestercameo6263 Жыл бұрын
Wimbo huu unabeba ujumbe wa shukrani Kwa zawadi ya maisha ya Mhashamu Baba Askofu Kilaini anayeimba kwa hisia kali katika maadhimisho ya Jubilee yake ya miaka 50 ya upadre. Hongera sana Baba.. na hasa ubeti wa "changamoto nilizopitia" namwona Baba anashika kichwa....inanikumbusha uhalisia wake. Hongera sana Baba, hongera sana Bwana Bernad Mukasa na wanakwaya wote!
@graceandrew39889 ай бұрын
Asante Mungu kwa kipaji cha Mukasa..Askofu Kilaini you're the best..nakumbuka utoto wangu ukiwa askofu mkuu msaidizi jimbo kuu la DSM late 90's..ulifanya kazi kubwa mno katika jimbo..umeuvaa uhusika katika huu wimbo.Mungu azidi kukutunza..Hongereni wanakwaya Bukoba mpo juu mmeutendea haki wimbo...kuanzia mavazi,sauti,mandhari..So proud of you all..God bless❤
@alexngovi4 ай бұрын
WE,,,,Kiswahili
@evancefesto2 ай бұрын
Bernad Mukasa na kapotive nzima mnafanya kazi nzuri ya utume Mungu awabaliki sana wimbo mzuri I a'm proud to be roman Catholic ☺️☺️
@josephkulija293 Жыл бұрын
Hongera Baba Askofu Kilaini Mungu azidi kukubariki kwa kazi yako ya kutuongoza sisi kondoo wa Mungu. Pia pongezi sana ndugu Benard Mukasa kwa kipaji ulichopewa na Mungu uzidi kutuinjilisha.
@user-vj5mo1xf6rАй бұрын
The bit hits differently ❤️It both touches the heart 🎉
@mariemeni59394 ай бұрын
Aksante waimbaji.Nimebariki kupitia hii nyimbo. Bwana awabariki.
@JoyceMkeka4 ай бұрын
Hakika tuseme nini kwa mungu mapito nimengi lakini anatuvusha tunashukuru Sana 🙏🙏🙏🙏😢
@RuesFedrick7 күн бұрын
Ahsant mungu mapito mengi sana umenilinda na kunisaidia
@ceciliaotwane3906 Жыл бұрын
The bishop! wow! he must be in charge of liturgy. The song itself, wah, for real, asante mungu nakushukuru!
@benmbwilinge2816 Жыл бұрын
Hongera Sana kwa wimbo mzuri wajina wangu
@jescarwegoshola17542 ай бұрын
Kwakweli niseme nini, Mungu wangu sina cha kusema bali Mungu wangu nakushukuru kwa ukarimu wote ulio nitendea. Na Barikiwa sana na huu wimbo 🙏
@michaelmwembezi5998 Жыл бұрын
Hakika am proud to be catholic,,ujumbe mzur kwe
@AvelineKiria-np9mn Жыл бұрын
Asante ubarikiwe umeniokoa Sana jaman mungu amfikishe mbali zaid my dear friend neema umesharudi
@gracefeldinandi838 Жыл бұрын
Nawapa vyema wanyumbani nikiwa kenya jirani yangu kalaudi w kyelima nakuona
@jamesnyamwaya184110 ай бұрын
Kazi nzuri mwalimu mkasa pongezi wote na baba askofu kwa wimbo huu bora
@JASSONEVARISTER-sz2bi5 ай бұрын
Hatunabudi kusema asante mungu kila wakati
@claudekalimbirirontabaza746710 ай бұрын
Kiukweli nimemwaga machozi ya furaha. Hongera sana mwalimu Bernard Mukasa, Mungu akuongezeye nguvu tele. Hongereni pia kwa wana kwaya wote. Kazi nzuri sana
@josephelias73642 жыл бұрын
Asanteni Sana wanakwaya kwa utume wenu. IAM proud to be a Catholic
@josephinekessy19942 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana jamani nimesikiliza zaidi ya mara kumi...nimebarikiwa sana na nyimbo hii. Kati kati ya safari changamoto kubwa nilipitia,lakini kwa wema wako ukanivusha nikavuka salama🙏🙏🙏
@glorypeter1194 Жыл бұрын
Nyimbo inabariki na kusisimua mbarikiwe wainjilist wote muendee kutupatia nyimbo nzur zaidi
@petrobenson29329 ай бұрын
Smart song,inanipa nguvu hasa hapa Mandera mpakani mwa Somalia
@user-ge4gy6ly5l Жыл бұрын
Safi sana mungu awalinde zaidi mzidi kutuinjirisha Kwa nyimbo nzuri kama huu
@marylyimo6519 Жыл бұрын
Hongereni sanaa Wanakwaya kutoka Bukoba
@SanyagiKulwa16 күн бұрын
Mi maneno yameniishia ila mukasa we mwamba sana nataka sana nikuone kwa macho yangu we king bless you boy and you family much respect brother mukasa
@BetraminoJulius3 ай бұрын
Nahuyu mzee kwa unyenyekevu wa kukubali ajimwage hivi mbele na wanakwaya ni muujiza. Nitaomba wimbo huu ùwe maalumu kwa waimbaji wetu na wtu woke
@theresiapatrick78602 ай бұрын
TYKRISTU. NAMI NAUNGANA NA WIMBO HUU KWA MATENDO MAKUU ALIYONITENDEA MUNGU TRH 10.5 MAANA NILIPATA MTIHANI MGUMU SN LKN MUNGU KANIVUSHA NISEME NINI EEE BWANA. UBARIKIWE SN MKASA WA WIMBO HUU UMENIGUSA MOJA KWA MOJA KBSA.
@oliversangawe-cn2jj Жыл бұрын
Hzi nyimbo hatuwez zipata kupitia boomplay music
@AngelMassawe-nz9sk Жыл бұрын
Hakika nyimbo nyimbo hii imegusa watu wengi kwa jinsi ilivyopigwa vizuri na ilivyodansiwa vyema kwa Kiutukufu sana wa wa KIMUNGU umegusa wengi hasa mimi naomba uendelee kufunguliwa ktk douwiloding tukiwa popote unatupatia kutafakari leo nakuta umezuiliwa nimeuzunika ponyeni Roho kwa tenzi Kama hii Asante Mungu katika sifa Unashuka na kutuponya mbarikiwe sana
@ATANASCHOBARIKO5 ай бұрын
Hongera Sana mtunzi wawimbo huo naupenda sana
@paulinalusazi3560Ай бұрын
Mungu awabariki sana KMK kwa kutuinjilisha
@prospervedasto43668 ай бұрын
Ahsante Baba Askofu Kilaini kwa umahiri wako
@user-dt2tc2gb4l6 ай бұрын
Asante sana kwa wimbo wenye mguso ndani ya moyo asante sana
@alphoncerutumo16445 ай бұрын
Safi sana mbarikiwe wimbo Mzuri sana .
@user-lq2be9sb7q10 ай бұрын
The song elevates me every time I listen to it. This is God given straight from heaven. God bless you all.
@user-wy7md3kg7q7 ай бұрын
Ahsant San jaman nakupenda San hii nyimbo
@user-ix8qr4bn9z6 ай бұрын
Asante sana kwa wimbo nzuri, niseme Nini
@joycengolly5472 жыл бұрын
Hongereni sana Wana Mt. Don Bosco Kwa kazi nxurii😍😍😍Mungu awabariki sana.🙏🙏🙏
Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri,Mungu aendelee kukubariki Benard Mukasa kwa kazi nzuri
@marytairo498110 ай бұрын
Proud to be a Catholic! Nice song Mungu awabariki sana
@claudekalimbirirontabaza746710 ай бұрын
Really
@velonicacharles-61243 ай бұрын
Asanteni mbarikiwe wimbo mzuri sana
@GaudenciaKija-ji9qs Жыл бұрын
Nimeguswa Sana na huu wimbo kulinga na mapito niliyopitia
@KAPOTIVE Жыл бұрын
Ubarikiwe sana 🙏🙏🙏
@mosesokeyo2824Ай бұрын
Nisemee ninj.ewe.bwanaaa❤🎉
@sarahambajo2873 Жыл бұрын
Your bishop is having a blast, well done
@lucaskioko6387 Жыл бұрын
good staff. God bless you guys
@paskaziayaheze9622 жыл бұрын
Wimbo mzuri Sana. Hongereni👏👏👏👏👏
@EudosiaTango-pu7jg Жыл бұрын
Jaman imenibarik Sana mungu aendelee kuwalinda nakuwabariki waimbaji Hawa..
@user-pb3db2rl7d10 ай бұрын
Amina wimbo huu umenibariki sans mpaka nimetokwa na machozi ya furaha
@fatumamaiga8496 Жыл бұрын
Baba Askofu ubarikiwe Sana. Ujaliwe utume mwema baba
@ranveelkamsanga7457 ай бұрын
8:47 9:48 9:48 ahsnteni mbarikiwe sana watu wa mungu mwimbo mzuri sna na mungu awape nguvu aman na baraka za kumtumikia yeye daima
@geofreynyakana10 ай бұрын
Daima nitaiishia imani KATOLIKI milele na milele
@BahatiAdam-lo6xx7 ай бұрын
Nakumbuka mwaka 2020 nikiwa chuoni tukiwa ktk mashindano ya kwaya 16
@gracewamaitha73829 ай бұрын
I love this song to the moon and back 💕 ❤️ 💛 💖 💓
@mahungujulius178814 күн бұрын
❤❤ Wimbo Mzuri sana Hongera kwa waimbaji
@jenifadaniel7752 Жыл бұрын
Kati ya nyimbo za kushukuru ninazozipenda huu wimbo ni wa kwanza, maana naweza kuusikiliza huu wimbo siku nzima bila kubadilisha wimbo mwingine. Mbarikiwe sana wanakwaya pamoja na mtunzi hakika mmeutendea haki
@eliudi10 ай бұрын
Nimependezewa nawimbo naommba notazake
@marthauisso5803 Жыл бұрын
hongereni sana jaman kwa kumuimbia Askofu wetu vizuri sana
@BetraminoJulius3 ай бұрын
Namba niandike Barua rasmi kwa Idara ya Katekes utunukiwe cheti cha Doctor of catholic miusic
@pondapapa8371 Жыл бұрын
Nicely done! Asante ndugu Mkasa. Hongera Bab Askofu Kilaini!
@winfrednkatha6159 Жыл бұрын
Am addicted to this song. Huyo pianist...ni another level
@user-qn7ug6pz6p6 ай бұрын
Nafarijika Sana nikisikia wimbo huu
@carolnderi5004 Жыл бұрын
Get addiction to this song najipata nikiimba zaidi ya mara 10 kwa siku mbarikiweni sana kwa kazi nzuri👏👏👏
@annamushi7758 Жыл бұрын
SO WONDERFUL BE BLERSSED ALL
@johnmwakipongo353628 күн бұрын
Nyimbo nzuri sema kuna sehemu wameingiza maneno yao
@henrykimani166411 ай бұрын
Roho yangu imefurahishwa na uimbaji wenyu zaidi, nyimbo tamu na zenye uinjilishaji mkubwa. Proud to be catholic
@dorothymbuere5832 Жыл бұрын
Kweri kabisa Niseme Nini ni wimbo mzuri OYee Askof KILAHINi kwa kuimba wimbo huu mzuri Mbarikiwe sana wahimbaji kwa nyimbo nzuri.
@bibianarugaimukamu40959 ай бұрын
We really all of us need to thank God together with our Bishop Kilaini for his mercy
@okrasamson41373 ай бұрын
Nimeguswa sana na mapito ninayo pitia
@candymarandu2230 Жыл бұрын
Hongereni Sana wanna bukoba furaha kw a kweli nawatakia uinjilishaji na utume mwema was kwaya
@beatricemichael6376Ай бұрын
Mungu awabariki sana Kwa wimbo huu.
@oliverwabwire2836 Жыл бұрын
A great shepherd leading his choristers in doing the Lord's work🔥🔥🔥🔥🎶🎶
Askofu kilaini,man of the match, Kiufupi hongereni sana waimbaji ,mmeimba vizuri sana
@georgekazaula31233 ай бұрын
Kapotive you are the best. Nawakubari sana na sio mimi tu bali watu wengi
@modesternyamizi6408 Жыл бұрын
Jamani wimbo mzuri sana, umegusa maisha halisi ya Baba Askofu lkn na hata maisha yet ki ujumla, hunger mtunzi. Kinanda safi sana. Nimexikiliza mara nyingi sana. Mungu awabariki sana sana!
@user-yv1lw2sn4i Жыл бұрын
Hakika wimbo uko vizuri sana hongereni kwa kuutendea haki.organist ni fire mko vizuri
@davidomuya1779 Жыл бұрын
My family fevorite song👍👍
@terrymukoya315311 ай бұрын
I just cant get enough of this song,,, blessingss
@user-ey1yp6jk7g9 ай бұрын
Fantastic song 👍
@tempochoir6 ай бұрын
Hello i am watching from USA nawapenda wote 💕
@benedictaroman10749 ай бұрын
Huyu baba mungu aendelee kumbariki ,nyimbo zake Ni maudhui tosha ,wapo na wengine waje wasijifiche Ni kipaji tosha .
@sadiguillaumesadi7345 Жыл бұрын
Kweli huwa nabarikiwa sana nawimbo huo mahalum wa jubile ya baba kilaini