No one's like David mmbaga...he is my roll mod coz he is thinking a big something so that I love him..!!!!!!#
@petermasala14092 жыл бұрын
Kupata mwanamke mchangamfu,,,anayecheka kutoka moyoni,,mwenye hekima na busara ni vigumu kuliko kupata dhahabu mara tisa zaidi,... Ninashauri Pastor ufundishe pia maandalizi ya kisaikolojia mwanamke anayopaswa kuyafanya,,,uchangamfu ni adimu Sana kwenye ndoa nyingi Sana. Unakuta sawa mwanamke mcha Mungu lakini si mchangamfu bado ndao haitakuwa na furaha.
@mataramasanga1894 Жыл бұрын
Posta nabarikiwa Sana na mafundisho yako!! Yamenipa Imani Thabiti
@EdithaHusein14 күн бұрын
Kwakweri mahubir haya yananibarik san,Mungu akubariki sana
@rosepeter89962 жыл бұрын
AMEN🙏...namshukuru mchungaji kwa kutufunza mema katika ndoa kupitia biblia takatifu,....nami nitasema ubarikiwe sana mchungaji mmbaga🙏
@musatbobius54722 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa somo hili tunabarikiwa San na tunajifunza ,Mungu AKUBARIKI
@lonahnekesa9102 жыл бұрын
Amen barikiwa Mtumishi wa Mungu🙏🏾🙏🏾
@damaslukando85922 жыл бұрын
Somo nzuri sana kabisa.
@elizaphankamando56052 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji mbaga, Mungu akulinde kwa mafundisho yako
@johnstephano64862 жыл бұрын
Waaooo somo zuri sana tushindwe sisi tu.
@rodahadhiambo3637 Жыл бұрын
God bless you Pastor ,
@angelinanewland1652 жыл бұрын
Asante sana mtumishi barikiwa
@mathewndimila92732 жыл бұрын
Amen noted
@rossarutasha93912 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji tunakufatilia na tumebarikiwa sana
@atukuzwepeter94512 жыл бұрын
Asantee Baba kwa mafundishaa mazurii
@mangugiki672 жыл бұрын
Be blessed pastor
@maureenkemei92542 жыл бұрын
Amina Asante Sana.
@gidioniyoeli6052 жыл бұрын
Thanks Pr mmbaga uko vzr
@melvinnakhungu25042 жыл бұрын
Great 👍
@williamchamle75472 жыл бұрын
Aminaaaaa Pastor Mbaga Mungu azidi kukutumia
@ernestmhilya9602 жыл бұрын
great Sana👍👍👍👍👍
@user-bu3be1yx3f4 ай бұрын
Neno zuri pastor
@zuhurayonah6292 жыл бұрын
Ameen pastor Bora niangalie unafuu na nitakaloweza kulibeba
@alicesidi96012 жыл бұрын
Amen be blessed Pastor Mmbaga
@alicesidi96012 жыл бұрын
Amen be blessed Pastor Mmbaga 🙏
@officialgabriel7535 Жыл бұрын
Amen and Amen,,haya mafundisho mazuri,,,,nimejuchuna sikio ,,,
@hylinemoraa99482 жыл бұрын
Mafundisho mazuri sana, Asante pastor
@eddahnyongesa98192 жыл бұрын
God bless u so much from Nairobi but pastor Siku hizi in_laws na mama wakwe ndio wanasambaratisha ndoa sana
@josephlupigasa90262 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu
@JojaidaClever3 ай бұрын
Hakika inabidi kujifunza sana tumjue mungu
@everlyneiminza57222 жыл бұрын
Amen mchungaji barikiwa sana 🙏
@izzylyrics22402 жыл бұрын
Nakupata pastor
@evamugusi33622 жыл бұрын
Kweli ndoa siyo agriculture pastor Mungu atusaidie sana tupate kilichochema.
@agustaelitumaini7342 жыл бұрын
Tunabarikiwa sana Mungu azidi kukutumia
@dinnaemmanuel49272 жыл бұрын
Bwana ni mwema nashukulu mungu Kwa kuwa nabarikiwa na mahubiri haya ila Nina swali ni jinsi Gani unaweza kubadili dini ya mtu hasa mulie nae kwenye mahusiano na ikitokea ikashindikana na Bado upendo upo je nichukue hatua gani
@lolojunior58082 жыл бұрын
nakuelewa sana paster na, ninakupenda pia, mimi ni muislamu nipo hapa brazil, siku hizi unachelesha mahubiri, kuyarusha mtandooni na pia, ninahitaji kuongea na wewe paster.
@gasperjohnson33882 жыл бұрын
Tafadhali Tuma namba yako nikuunganishe nae
@charmantekahindo91582 жыл бұрын
Aksante kwa fundisho
@7tonjugu41111 ай бұрын
Amina ..
@janembalinga70742 жыл бұрын
Amen
@boniphacecastory68312 жыл бұрын
Amina barikiwa
@mathiasmbelenge27752 жыл бұрын
Pastor asante sana, kuna wakati unajikuta una mahusiano /umeoa binti lakini unakuta anakuwa karibu sana na wazazi wake mathalani baba yake yaani mpaka anakushangaza, mara nyingi hasa ukikuta baba yake ana kauwezo kifedha. yaani uko naye lakini unaona hata akiwa na changamoto /au issue ambalo hata mume anaweza kulitatua mtoto wa watu analipeleka kwa baba bila hata mume kuambiwa naamini hii ni changamoto kwa wengi sana pastor japo haiongelewi kuoa watu
@MpembaNengo3 ай бұрын
Ni kweli
@rehemaezekiey49912 жыл бұрын
Ubalikiwe sana mchungaji kwa ujumbe wako mzr
@evamgina8432 жыл бұрын
Mchungaji mi nmebalikiwa na sisi mtukumbuke uku iringa