Ufugaji cha ng'ome wa nyama pamoja na uchakataji wa nyama, pia utajifunza kilimo cha nyasi za ngo'ombe
Пікірлер: 36
@bonfasmahenge Жыл бұрын
Nikweli vijana wengi tunapenda vitu lahisi tuludi huku tunapote Asante kwa ushauli mtalam
@bensab72246 жыл бұрын
Aibuu kubwa,Maziwa yanakuwa imported kutoka Njee...
@bensonmwakyando57766 жыл бұрын
Asanten sana kwa Elimu mnayotupatia.
@praygodshayo63245 жыл бұрын
nimefurahi leo nimejua ata majani ni biashara
@wilfredbyabato47324 жыл бұрын
nimejifunza
@jonamnyone80144 жыл бұрын
Hawa ng'ombe si pure breed na kwa kuwatizama hawawezi toa zaidi ya lita 14. Ng'ombe wa Kenya ni wazuri na sijui kwa nini hatufugi kitaalamu kama Kenya. Hata wataalamu wetu hawaonyeshi jitihada ya kufanya wawe pure breed. Kenya ng'ombe anatoa lita 40+
@allaboutbts92263 жыл бұрын
Nadhani wao wamejitahidi kuwekeza nguvu nyingi katika kuwahudumia hawa ng'ombe na kuweka umakini zaidi kuliko sisi, sie tunachukulia poa kila kitu
@mohamedghasia952 жыл бұрын
My assumption ni kwamba wewe ni mfugaji. Naomba kufaham aina ya Ng'ombe unaowafuga mkuu!!!
@jonamnyone80147 ай бұрын
@@mohamedghasia95mimi pia ninafuga ng'ombe kama hawa sina wale ambao ni high yield kama Kenya. Simkosoi prof. yeye ni mbobezi na naamini ameamua kufuga aina hii ili kuepuka magonjwa haswa kwa ng'ombe ambao ni high yield kwenye uzalishaji wa maziwa wanahitaji uangalizi mkubwa kuliko hawa ambao ni Cross breed.
@uswegemalango79932 жыл бұрын
Kwahili tunawapongeza
@manjoriwakunesa700611 ай бұрын
Nikitaka ngombe napataje
@ahmadnejad47963 жыл бұрын
@kilimo biashara naomba kujua bei za ng'ombe wa Maziwa
@jrkimara3 жыл бұрын
Tunapataje hawa ngombe wa maziwa?
@rodgersakwilini77625 жыл бұрын
Habari, naweza pata namba ya Prof nahitaji kupata mitamba kutoka kwake , kipindi kizuri sana ila pia mngefanya naye kingine kwenye upande wa maziwa zaidi maana hiki kipo zaidi upande wa nyama
@user-of2qt8nk7w11 ай бұрын
Mnapatikana wapi?
@ShambaniFarm4 жыл бұрын
Tunaomba contacts za huyu Professor.
@brunomwakalyobi91016 жыл бұрын
mnatupatiaje elimu ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa kwa sisi tuliopo Kyela ambapo hali ya hewa huku ni joto sana?
@upendomichael34985 жыл бұрын
Wataaalam wa mafunzo ya ufugaji na uchakataji unawapata vipi?
@victaboy7273 Жыл бұрын
Kipindi kizuri, lkn mfugaji kama huyu , pamoja na kwamba ni mfano wa kuigwa, ila. Siyo asilimia 100. Kwanza anaposema kuongeza thamani, yeye namkumbukq alikwisha wahi , kuanzisha butchery ya nyama, lakini alishindwa kumudu sokoni. Kwa hiyo tukumbuke hawa walimu, wanajua kuongea ti. Lkn siyo uhalisia, bado ni vigumu wadau
@adrianmallyakibona.3525 жыл бұрын
Prof unatudanganya kweupe.. Hao ng'ombe wako hapo hawana ubora stahiki.. Fresian ninawakamua hapo ni too much crossed then u told us kuwa u nawatoa Hiefer!? From which breed Papaa? Nikitazama hapo sioni ng'ombe mwenye kiwele cha litre 40. Mi nadhan tu jifunze kwa waken ya
@jumannechagulla91104 жыл бұрын
Nimefaidika sana na kipindi hiki kwani kinatoa miongozo mizuri ya fursa ya kilimo kijana tuamke tusitegemee kuajiliwa. Asante pro .shem kwa dalasa lako zuri.
@everlastingmessage76636 жыл бұрын
kilimo biashara hamjibu message za watu, tuna maswal mengi hamtoi support
@kilimobiashara93616 жыл бұрын
Swali kama lipi, mengi ambayo hatujibu majibu huwa yamo ndani ya kipindi ila watu huona uvivu kutazama chote, pia namba za simu zinaoneshwa ndani ya kipindi
@kilimobiashara93615 жыл бұрын
tunajitahidi sana , pia kwa uharaka zaidi tuma message kwenda +255 713 588 410 kuhudumiwa kwa uharaka
@godknowgosbert88075 жыл бұрын
ENGITECH TV hawa jamaa siwaelewi kabsa ata ukiwapgia simu wajidai wako bize wananikela sana yaan nakujibu niko bize ukimtext nkupigie saa ngapi anasema eleza shida kwa text kha basi tu
@upendomichael34985 жыл бұрын
Namba ya baba tafadhari
@wegesamwita47626 жыл бұрын
Najua Kuna faida Za kufuga kama bio gas tuelimishwe na kuelekezwa wap tutapata wataalamu na Jinsi rea wanavyo saidia
@irakozemaissarah43255 жыл бұрын
mnamo suala la gharama nkombe mmoja ndie anauzwa milioni na laki nne?ao nimeelewa vibaya?tafadhali naomba jibu
@moringelangas72765 жыл бұрын
Hiyo milioni na laki nne ni ndogo,kuna hadi m4
@godknowgosbert88075 жыл бұрын
Irakoze Maissarah milion na laki kwa mitamba mitatu bro
@dastankibwana64255 жыл бұрын
@@moringelangas7276 haloo
@godknowgosbert88075 жыл бұрын
Mna makala nzuri ila tatizo lenu mkipigiwa mnakuwa wazito sana mnataka mtumiwe sms mkitumiwa sms ata hamjali kama vp kuweni wawazi kama simu yenu inalipiwa semeni kwa dk kadhaa tuma shilingi kadhaa ndo usikilizwa ni ushamba kuweka namba ya simu alafu mkipigiwa kila time mnajidai mko bize tuma messeji alafu ziro
@kilimobiashara93615 жыл бұрын
Watu wanao hudumiwa ni wengi, pia muda mwingu huyo anaepokea simu anakua na kazi za kuandaa makala, pia na mambo binafsi ya kijamii, zote makala zimeandaliwa kwa juhudi na rasimali binafsi za waandaji bila kuchangiwa na wanachi Wala serikali, endelea kujaribu simu itapokelewa
@justiniankasinja8471 Жыл бұрын
Ni kweli. Sijui kwa nini hawajiamini. Kama wamajiamini watoe namba zao halafu wapokee simu
@Lialye4 жыл бұрын
You're doing those ribs wrong
@japhetmombia6 жыл бұрын
Asante sana Prof. Mimi ni mtaalamu wa Mifugo, pia Mazingira. nimekuelewa. contact me via +255765890358 and mombiajaphet@gmail.com