UFUGAJI WA NG'OMBE KIBIASHARA

  Рет қаралды 54,258

Kilimo Biashara

Kilimo Biashara

7 жыл бұрын

Ufugaji cha ng'ome wa nyama pamoja na uchakataji wa nyama, pia utajifunza kilimo cha nyasi za ngo'ombe

Пікірлер: 36
@bonfasmahenge
@bonfasmahenge Жыл бұрын
Nikweli vijana wengi tunapenda vitu lahisi tuludi huku tunapote Asante kwa ushauli mtalam
@bensab7224
@bensab7224 6 жыл бұрын
Aibuu kubwa,Maziwa yanakuwa imported kutoka Njee...
@bensonmwakyando5776
@bensonmwakyando5776 6 жыл бұрын
Asanten sana kwa Elimu mnayotupatia.
@praygodshayo6324
@praygodshayo6324 5 жыл бұрын
nimefurahi leo nimejua ata majani ni biashara
@wilfredbyabato4732
@wilfredbyabato4732 4 жыл бұрын
nimejifunza
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 4 жыл бұрын
Hawa ng'ombe si pure breed na kwa kuwatizama hawawezi toa zaidi ya lita 14. Ng'ombe wa Kenya ni wazuri na sijui kwa nini hatufugi kitaalamu kama Kenya. Hata wataalamu wetu hawaonyeshi jitihada ya kufanya wawe pure breed. Kenya ng'ombe anatoa lita 40+
@allaboutbts9226
@allaboutbts9226 3 жыл бұрын
Nadhani wao wamejitahidi kuwekeza nguvu nyingi katika kuwahudumia hawa ng'ombe na kuweka umakini zaidi kuliko sisi, sie tunachukulia poa kila kitu
@mohamedghasia95
@mohamedghasia95 2 жыл бұрын
My assumption ni kwamba wewe ni mfugaji. Naomba kufaham aina ya Ng'ombe unaowafuga mkuu!!!
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 7 ай бұрын
​@@mohamedghasia95mimi pia ninafuga ng'ombe kama hawa sina wale ambao ni high yield kama Kenya. Simkosoi prof. yeye ni mbobezi na naamini ameamua kufuga aina hii ili kuepuka magonjwa haswa kwa ng'ombe ambao ni high yield kwenye uzalishaji wa maziwa wanahitaji uangalizi mkubwa kuliko hawa ambao ni Cross breed.
@uswegemalango7993
@uswegemalango7993 2 жыл бұрын
Kwahili tunawapongeza
@manjoriwakunesa7006
@manjoriwakunesa7006 11 ай бұрын
Nikitaka ngombe napataje
@ahmadnejad4796
@ahmadnejad4796 3 жыл бұрын
@kilimo biashara naomba kujua bei za ng'ombe wa Maziwa
@jrkimara
@jrkimara 3 жыл бұрын
Tunapataje hawa ngombe wa maziwa?
@rodgersakwilini7762
@rodgersakwilini7762 5 жыл бұрын
Habari, naweza pata namba ya Prof nahitaji kupata mitamba kutoka kwake , kipindi kizuri sana ila pia mngefanya naye kingine kwenye upande wa maziwa zaidi maana hiki kipo zaidi upande wa nyama
@user-of2qt8nk7w
@user-of2qt8nk7w 11 ай бұрын
Mnapatikana wapi?
@ShambaniFarm
@ShambaniFarm 4 жыл бұрын
Tunaomba contacts za huyu Professor.
@brunomwakalyobi9101
@brunomwakalyobi9101 6 жыл бұрын
mnatupatiaje elimu ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa kwa sisi tuliopo Kyela ambapo hali ya hewa huku ni joto sana?
@upendomichael3498
@upendomichael3498 5 жыл бұрын
Wataaalam wa mafunzo ya ufugaji na uchakataji unawapata vipi?
@victaboy7273
@victaboy7273 Жыл бұрын
Kipindi kizuri, lkn mfugaji kama huyu , pamoja na kwamba ni mfano wa kuigwa, ila. Siyo asilimia 100. Kwanza anaposema kuongeza thamani, yeye namkumbukq alikwisha wahi , kuanzisha butchery ya nyama, lakini alishindwa kumudu sokoni. Kwa hiyo tukumbuke hawa walimu, wanajua kuongea ti. Lkn siyo uhalisia, bado ni vigumu wadau
@adrianmallyakibona.352
@adrianmallyakibona.352 5 жыл бұрын
Prof unatudanganya kweupe.. Hao ng'ombe wako hapo hawana ubora stahiki.. Fresian ninawakamua hapo ni too much crossed then u told us kuwa u nawatoa Hiefer!? From which breed Papaa? Nikitazama hapo sioni ng'ombe mwenye kiwele cha litre 40. Mi nadhan tu jifunze kwa waken ya
@jumannechagulla9110
@jumannechagulla9110 4 жыл бұрын
Nimefaidika sana na kipindi hiki kwani kinatoa miongozo mizuri ya fursa ya kilimo kijana tuamke tusitegemee kuajiliwa. Asante pro .shem kwa dalasa lako zuri.
@everlastingmessage7663
@everlastingmessage7663 6 жыл бұрын
kilimo biashara hamjibu message za watu, tuna maswal mengi hamtoi support
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 6 жыл бұрын
Swali kama lipi, mengi ambayo hatujibu majibu huwa yamo ndani ya kipindi ila watu huona uvivu kutazama chote, pia namba za simu zinaoneshwa ndani ya kipindi
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 5 жыл бұрын
tunajitahidi sana , pia kwa uharaka zaidi tuma message kwenda +255 713 588 410 kuhudumiwa kwa uharaka
@godknowgosbert8807
@godknowgosbert8807 5 жыл бұрын
ENGITECH TV hawa jamaa siwaelewi kabsa ata ukiwapgia simu wajidai wako bize wananikela sana yaan nakujibu niko bize ukimtext nkupigie saa ngapi anasema eleza shida kwa text kha basi tu
@upendomichael3498
@upendomichael3498 5 жыл бұрын
Namba ya baba tafadhari
@wegesamwita4762
@wegesamwita4762 6 жыл бұрын
Najua Kuna faida Za kufuga kama bio gas tuelimishwe na kuelekezwa wap tutapata wataalamu na Jinsi rea wanavyo saidia
@irakozemaissarah4325
@irakozemaissarah4325 5 жыл бұрын
mnamo suala la gharama nkombe mmoja ndie anauzwa milioni na laki nne?ao nimeelewa vibaya?tafadhali naomba jibu
@moringelangas7276
@moringelangas7276 5 жыл бұрын
Hiyo milioni na laki nne ni ndogo,kuna hadi m4
@godknowgosbert8807
@godknowgosbert8807 5 жыл бұрын
Irakoze Maissarah milion na laki kwa mitamba mitatu bro
@dastankibwana6425
@dastankibwana6425 5 жыл бұрын
@@moringelangas7276 haloo
@godknowgosbert8807
@godknowgosbert8807 5 жыл бұрын
Mna makala nzuri ila tatizo lenu mkipigiwa mnakuwa wazito sana mnataka mtumiwe sms mkitumiwa sms ata hamjali kama vp kuweni wawazi kama simu yenu inalipiwa semeni kwa dk kadhaa tuma shilingi kadhaa ndo usikilizwa ni ushamba kuweka namba ya simu alafu mkipigiwa kila time mnajidai mko bize tuma messeji alafu ziro
@kilimobiashara9361
@kilimobiashara9361 5 жыл бұрын
Watu wanao hudumiwa ni wengi, pia muda mwingu huyo anaepokea simu anakua na kazi za kuandaa makala, pia na mambo binafsi ya kijamii, zote makala zimeandaliwa kwa juhudi na rasimali binafsi za waandaji bila kuchangiwa na wanachi Wala serikali, endelea kujaribu simu itapokelewa
@justiniankasinja8471
@justiniankasinja8471 Жыл бұрын
Ni kweli. Sijui kwa nini hawajiamini. Kama wamajiamini watoe namba zao halafu wapokee simu
@Lialye
@Lialye 4 жыл бұрын
You're doing those ribs wrong
@japhetmombia
@japhetmombia 6 жыл бұрын
Asante sana Prof. Mimi ni mtaalamu wa Mifugo, pia Mazingira. nimekuelewa. contact me via +255765890358 and mombiajaphet@gmail.com
UFUGAJI BORA WA NG'OMBE:BANDA BORA,CHAKULA BORA NA MBEGU BORA   YA NG'OMBEPDF
6:59
KILIMO CHA PARACHICHI
26:57
Kilimo Biashara
Рет қаралды 49 М.
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 3,3 МЛН
Эффект Карбонаро и нестандартная коробка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 10 МЛН
UFUGAJI KUKU CHOTARA
28:34
Kilimo Biashara
Рет қаралды 97 М.
#TBC: SHAMBANI| NAMNA BORA YA UFUGAJI WA NG'OMBE
26:03
TBConline
Рет қаралды 19 М.
UFUGAJI WA SAMAKI NA MBEGU ZAKE
28:54
Kilimo Biashara
Рет қаралды 69 М.
Mfumo wa kufuga ngombe wa maziwa, Kiambu
3:35
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 109 М.
KILIMO KWA NYUMBA KITALU GREENHOUSE
30:37
Kilimo Biashara
Рет қаралды 21 М.
JINSI YA KUANZA UFUGAJI WA MBUZI | #MAVUNOTIMES
10:15
MAVUNO TIME
Рет қаралды 57 М.
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 3,3 МЛН