Hongera sana bro,kwa maelezo mazuri sana, kiukweli umeelezea vizuri sana, manake wengi wanakuwa na nia ya kufuga ila hawajiandayi kwa lolote lile,wakisha jenga banda tu basi.wanaingiza mifugo matokeo yake ufugaji unakuwa mgumu.hivyo ndugu yangu nakushukuru kwa ushauri mzuri sana, nakutakia kila la heri