Mtangazaji nakupenda ukijisriri unapendeza sana Masha Allah
@ChancelineCatherine-bj6jd7 күн бұрын
Nawapenda sana tuu kbx ZB na kp ❤❤❤😂🎉 ila nimeomba number ya zb na Sheilla
@ElizabethLaurent-wq1lm11 күн бұрын
Mimi hapa😂😂😂 kuomba msamaha hapana kwa kweli
@aishaomar228712 күн бұрын
Mashallah KP apo umeweza,ukikwaza usifikirie tu yale mabaya ya mtu bali fikiria yaleazuri...hivyo ndio mtaishi walai,Mola Awaongoze❤
@user-qo8eu1br6f11 күн бұрын
Nikweli kabisaa hata mtoto wangu alikuwa ana ipenda sn sonaa pia ilikuwa nzuri 🔥🔥🔥👌💪 Uendelee kupendana mnaendana sn, Ze buu punguza kushindana na mzazi mwenzio imeandikwa tuwatii waume zetu ❤
Kwel kabisa lazima umuheshimishe kwa kutoa matumiz, mana hata yy ana kuheshumisha kwa kukuagiza hata kama umechoka lazma umuheshimishe
@ngusakalima98999 күн бұрын
Nawanatumana Kama punda wake👈👈👈👈
@HamisiOmaly11 күн бұрын
Da nimependa sana maneno yariozungumzwa ❤
@ChancelineCatherine-bj6jd7 күн бұрын
Wow that's good ❤❤❤🎉🎉🎉
@khadija21138 күн бұрын
Mtangazaji upo vizuli❤❤❤
@MwaJuma-zf8sk10 күн бұрын
😂😂😂 mimi kabisa huyoo nasema haya basi yaishe nisamehee
@FatmaHamis12 күн бұрын
N kwel zebuu wanawake sio rahisi kuomba msamaha.nawapenda sana nyie
@wemasangasanga7576 күн бұрын
Zebuu jaman nakupenda na kp🎉🎉🎉
@Fatumakayanda-ny3ml12 күн бұрын
Ni vzr ukamsaidia mmeo kunnua vtu vya ndani nawapenda sana
@user-pn7vo4dh5l10 күн бұрын
Sahihi atamimi siwez kuomba msamaha
@user-rx2oq8hw3f16 сағат бұрын
Zebuu nakupenda sana lakini kipara hakikupendezi
@AgnesMasoud10 күн бұрын
Japo naombaga msamaha ila huwa najikuta mjinga kabisa nikiomba msamaha
@mwanaikaomar862812 күн бұрын
Oaneni inshallah Allah atawabarik zaid
@user-dv2wl3gh4n11 күн бұрын
Zembuu ako sawa❤❤❤ i love you guys
@user-xn2uq3bs2g12 күн бұрын
ila kweli 😂😂😂 ata mi msamaha mmhh inakua ngum kwangu😅😂😂
@Alfredchai-zp3pc10 күн бұрын
Zebuu na kp nimependa sana video zenu😂❤
@NoelaKk12 күн бұрын
Tatizo Tanzania in nmkiunbv Love❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@PrincessHellen-pg1oy10 күн бұрын
Mimi binafsi kuomba msamaha kirahisi siwezi mpaka niombe msamaha tumeshabishana sana 😅 hahhahaha
@AthmanMasini4 күн бұрын
😢Kp yupo okay na hio kipara ya mkew dah, msichan mzim unayoaj kwamfn
@EddaYohanis3 күн бұрын
Mithali 23 kumi na tatu kp xio yeremia 3,33
@MwanamvuaNassoro12 күн бұрын
Hela ya mwanaume ndio ya mahitaji ndani ya nyumba
@FajmaHilali11 күн бұрын
Maisha nikusaidiana zebuu acha ubaya mazali mnafanya kazi pamoja namatumini msaidiane zebuu acha mkono wabirika
@user-yd2dw5nt7r12 күн бұрын
Zebuu mdogo wangu kuna vitu nyengine inapashwa ununuwe ili kumzaidia mumeo kilakitu kumzaidiana
@user-ij2po2jw2f12 күн бұрын
Kwakweli hata mm hiyo tabia ninayo d
@MbokoKaluta11 күн бұрын
Umetukwaza san nakioara dd atukufurahi lakini uko muzuri saaaaaaaaan
@ElizabethLaurent-wq1lm11 күн бұрын
Mimi nahisi hicho kipara ni maandarizi ya movie mpya😅😅😅
@AgnesMasoud10 күн бұрын
Kabisaa
@user-gc2rd8ln3v10 күн бұрын
Ndio
@MaryYona2 күн бұрын
Mi naona toa mahar umuoe ndoa takatifu then muweke malengo yenu hasa ktk kipato chenu mshirikiane saaana muweke pesa mezan mpange bajeti Kwa pamoja then mwanaume aendelee kubaki na nafas yake
@zainaalmahlruqy582912 күн бұрын
Basi vaa mtandio ufiche hicho kipara unapendeza ukivaa mtandio
@salomedarema304Күн бұрын
Mwanamke kuomba msamaha ndyo msingi. Mwanaume ndo hawezi kuomba msamaha ila atakufanyia vitendo vya kukuonesha kuwa anajutia alichofanya. Zebuu muombe msamaha mwenzio
@user-gc2rd8ln3v11 күн бұрын
Kp siyo Yeremia ni Mithali 23:13 Usimnyime mtoto wako mapigo, maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa.
@rehema-yu1qo12 күн бұрын
Mutoto mupechakura ale ashibe rakini usimunyime kiboko 😂
@frankyunia18099 күн бұрын
Mithali23:13 usinyime mtoto wako mapigo,maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa
@janemumbua46838 күн бұрын
Ukweli kabisa ukimpiga mtoto pia utamuepusha na laana
@joycemaige68384 күн бұрын
Mithali 23:13 Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa. Ni mithali na siyo Yeremia
@AishaAlmas-cm5bf3 күн бұрын
Yah. Kp bila zebuu. Movie hainogiiiii😅
@JescaMlelwa10 күн бұрын
Zebuu upo kama mm siwez kuomba msamaha mpaka niseme haya bas nisamahan 😂😂
@zainaalmahlruqy582912 күн бұрын
Mbona umekonda sana Zebuu halafu vaa mtandio ufiche hicho kipara unatisha kweli
@rukiahassan787712 күн бұрын
😂😂
@Muslim-gs6rn11 күн бұрын
😂😂😂
@helinasubila98711 күн бұрын
Zabuu na kp lakini usiwe una nyoa hivio
@shericktv50911 күн бұрын
Yeremie 33:3 haisemi Ivo acha uongo
@ngusakalima989912 күн бұрын
We zebuu jaman nakupenda na mmeo👩👧👩❤️👩
@sosaah_official6 күн бұрын
Nimeifata hadi mwisho
@MarthaMgaya-zo4bi10 күн бұрын
Heeee mm navyokimbilia kuomba msamaha hata kama sijakosea mimi😂😂😂😂
@ngusakalima98999 күн бұрын
Mwoga mwenzangu hahahahaaaaa😂😂😂😂😂
@MarthaMgaya-zo4bi9 күн бұрын
@@ngusakalima9899 wee acha tu mapenzi yatatuua 🤣
@Mzawadi10 күн бұрын
𝗡𝗮𝘄𝗮 𝗽𝗲𝗻𝗱𝗮 𝘀𝗮𝗻𝗮 𝗵𝗮𝘄𝗮💙💙💙💙💙
@kura.the.boy-11 күн бұрын
Nimeipenda San haya mahujiano
@MundhirOmar-rq3mw11 күн бұрын
Zebuu kuusu urembo wa nyumbani mfano kununua panzia vyombo kapet nk ni vinakuusu weye shost punguza ubaili
@narutonaruto430312 күн бұрын
Dah hatar
@user-fd8ce8ct2m7 күн бұрын
Ndo maana anapenda hela
@magyreciousree39107 күн бұрын
Usimnyime mtoto wako mapigo; Maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa. Mithali 23:13
@user-lw6st3bi1s11 күн бұрын
Sipedi kunyolewa kwa mwanamke. Tafadhali zebbuu badilika
@AgnesMasoud10 күн бұрын
Ni kazi hii please kuna movie inakuja na inastahili hivyo.... See more
@hubamkwele78412 күн бұрын
Nawapendasan jamani mnapendeza sana k .z
@kura.the.boy-11 күн бұрын
Wazee wa kazi hawana dogo🎉🎉🎉
@user-lp4ro3pq9r5 күн бұрын
Kuomba msamaa inatokana naroho ya mtu
@JoslineKavugho12 күн бұрын
Usiwe unakata nyele dada. Nyele ni urembo wa mwanamuke
@user-vz5ti5ot8u11 күн бұрын
Zebuu anakosea yan kla ktu afanye mwanaume na ada ya mtoto pekeake zako hela unapeleeka wap,alaf mwsho wa sku mmetengana unadai mgawane paspas et mmetafta wote wakat hela zako unakalia,ila siombei muachane n mfano2
@lindauma98212 күн бұрын
Eeee bc Kp wachilia mzigo tumesubiri sana duuh😊
@eggysulle798811 күн бұрын
Af 20 y nn kuogesha bwana? ipo sku atachoka mazr atayasaau af ataenda kogeshwa kwa Ashura Tabata 👌
@user-dv2wl3gh4n11 күн бұрын
Uliza kp . na mapenzi ya malikia wa majini na binadamu itaendelea?
@WinWilly41629 күн бұрын
Matangazaji acha kukaa upande mmoja kutetea unaenda against media ethics
@user-lx8nl8hh3f12 күн бұрын
Kasema kweli pia mana hauta muua
@GloriaMkolweКүн бұрын
Zebuu uwe unaomba msamaha Kwa baby wako pia fedha ni muhimu wekeni utaratibu Ili Kila mmoja asimuelemee mwingine kwani wote mpo kazini isiwepo fedha ya zebuu au ya kp ila iwepo fedha ya familia
@reginamalima970111 күн бұрын
Mimi nimetoka singida juzi yan nikawa naangalia sonaa kwenye cm yangu lkn wadogo zangu wakawa wanasema dada huyu ni kp na zebuu jaman mmewajuaje😂😂😄😄kumbe wanawafuatilia sana mko vzr jaman
@eggysulle798811 күн бұрын
Ni kinanani awa
@Naju64512 күн бұрын
Zebuu kakonda sana
@BimuuBimuu-rg7se12 күн бұрын
Me pia nimeona hvyo amepungua sana
@user-hl5cu1xv5h12 күн бұрын
Apana kwa sababu kanyola
@BimuuBimuu-rg7se12 күн бұрын
@@user-hl5cu1xv5h itakuwa we umenena
@MundhirOmar-rq3mw11 күн бұрын
na muogeshe mumeo na mlishe Kama anapenda shaur yako
@reginamalima970111 күн бұрын
😅😅😅we zebuu muongo mwanamke ni lazima uombe msamaha mwanaume ndio mgumu kuomba msamaha ila anafanya vitendo😂😢
@RozaliaStanslausRaphael-zw7zj11 күн бұрын
Kuomba msamaha, ni kawaida kwa mwanamke
@NasraKingazi12 күн бұрын
Achieni kitu plz
@nurumwinyi79612 күн бұрын
Zebuu ungejitanda mtandio
@user-oc3wu7js5k10 күн бұрын
Punguza ujeur mwanamke ni kujishusha
@rashidgona18089 күн бұрын
Ipo usimnyime mtoto kumpiga katika Biblia
@mpagikhatib368411 күн бұрын
Zebuu usiwe nakata nywele unajubunguza umei mwana mke hakati nywele niurembo Kwa Sisi Wana wake
@user-ge3tn7zs8r12 күн бұрын
Mdumu daima wapenzi
@benoseaone11 күн бұрын
Hapana, kwenye kupiga watoto hapana. Waelekezeni kwa upole maana vichapo huwajengea hofu watoto hivyo hata akili hudumaa.
@PrincessHellen-pg1oy10 күн бұрын
Wanaume wa siku hizi wanakimbia majumu 😂 lakini hapo kusaidiana pia ni Sawa ila siyo wanawake wengi wanapenda kutoa pesa zao pesa za mwanamke usitegemee kua ni pesa ya matumizi tafuta namna ya kumfanya mwanamke wako aweze kukupa sapoti pia lakini usimfosi 😮
@user-zi1gp6dc2q9 күн бұрын
Kutoomba msamaha mwanamke niujinga nadharau samahan nikitu kidogo tu
@user-ul9lg6qd3j11 күн бұрын
Mnapedeza sana
@user-oc3wu7js5k10 күн бұрын
Anaweka mazoeya kwenye ndoa badilika zebuu
@user-zm8wo1ue7e10 күн бұрын
Zebu usinyoe nywele plc kipnz
@Neemabetete8 күн бұрын
👌👍❤️❤️❤️🎂
@AliceManirambona-qo4go11 күн бұрын
Nawapnd xan
@FatumaJuaje-nc7om12 күн бұрын
Zebuu huyo mumeo usipende akuwekee pesa kwa vitu. Na kuomba msamaha ni kitu kizuri
@janethmshahara404811 күн бұрын
Zebuu acha ujeuri, uo sio msamaha😂😂😂
@user-ij2po2jw2f12 күн бұрын
Ipo Ili mtoto akupe katika njia impasayo
@user-xn2uq3bs2g12 күн бұрын
wote 😂😂😂na mm nimkorofi
@JumOmar-br9ts10 күн бұрын
Zebuu mjeuri sana wew 😂😂😂
@mwanahawaomarimashaka19712 күн бұрын
Zebuu jamani kumuhudumia mumeo si lazima akulipe
@Muslim-gs6rn11 күн бұрын
Tatizo wanazini bado 😢
@user-hm4hk5hi1c11 күн бұрын
Minaomba msamaa sana
@user-gm2dr7tg9n10 күн бұрын
Zebuu kakonda ama ni macho yangu
@ngusakalima98999 күн бұрын
Kp Anna wivu sana
@Fatumakayanda-ny3ml12 күн бұрын
Mmi ni shabki yenu mkubwa
@user-ij2po2jw2f12 күн бұрын
Kwakweli hata mm hiyo tabia ninayo da
@HagaiNdambo12 күн бұрын
Hayo maneno ya methali za biblia, fimbo itaondoa ujinga wa mtoto