No video

UJENZI STENDI ya KISASA ARUSHA WAIVA, PICHA 3D ZAONESHA, SERIKALI KUJENGA UWANJA wa KISASA PEMBENI

  Рет қаралды 17,487

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

UJENZI STENDI YA KISASA ARUSHA WAIVA, PICHA 3D ZAONESHA, SERIKALI KUJENGA UWANJA WA KISASA PEMBENI
Halmashauri ya jiji la Arusha imeeleza kuwa mradi wa ujenzi wa stand ya kisasa ya mabasi katika eneo la Bondeni city sasa utaanza rasmi...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 29
@globaltv_online
@globaltv_online Жыл бұрын
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@emmanuelaloyce932
@emmanuelaloyce932 4 ай бұрын
Mnatudanganya hadi lini sasa!!,
@dicksonkisanga7380
@dicksonkisanga7380 Жыл бұрын
Acheni bhana mnatumiaga mwezi wa 3 na mwezi wa 7 kutudanganyia huo mwezi wa 3 ukifika mtasema mwezi wa 7..tunzeni maneno yangu..na kama wanajenga Kwa pesa za ndani stend itaisha 2045.
@elimbotoraphael3940
@elimbotoraphael3940 Жыл бұрын
Upo sahihi. Siasa nyingi sana.hamna lolote
@saliminyusuph6122
@saliminyusuph6122 11 ай бұрын
Msema kweli alikuwa Jpm akisema kitu kinafanyika.
@allysalim9822
@allysalim9822 Жыл бұрын
Awa wamekuja kutangaza Biashara yao tu hapo...mwanzo walisema eneo nila serikal leo wanasema wamepewa Tena Duuh za uso mchana kweupe...unakuja kutangaza viwanja wakat watu wanataka Stand🤣🤣🤣🙌🙌🙌 Hii ndio Tz
@ludovickbenjamin6104
@ludovickbenjamin6104 Жыл бұрын
Ivii madiwanii ndo wanakwamishaa maendeleo ya arusha mikoa mingine yotee maendeeleo yamepambaa motoo ila arusha storii mingii sanaa
@noriegacapadona9340
@noriegacapadona9340 Жыл бұрын
Mimi sipendi kudanganywa Na mtu kama anataka kunidanganya Kwanza aanze kunidanganya mama yke
@maprosokelly2986
@maprosokelly2986 Жыл бұрын
Wanafiki tu vitendo hakuna😂😂
@abdallahsaid8157
@abdallahsaid8157 Жыл бұрын
MashaAllah!!!
@hassanaloobaidan25
@hassanaloobaidan25 Жыл бұрын
Tatizo vitu vyetu havina muendelezo wa vitendo maneno mingi sanaaaa
@sadamkuntukumu3672
@sadamkuntukumu3672 Жыл бұрын
Bora nyie huko maana majiji yote stendi zitakuwa tiyar Isipokuwa Jiji la Mbeya stendi amna ukianza Dar tiyari, mwanza tiyari, Dodoma tiyar Arusha ndo iyo, Haya jiji la Mbeya vip!
@giftmeela6250
@giftmeela6250 Жыл бұрын
Mbeya si nanenane au?
@DominicKizwalo
@DominicKizwalo Жыл бұрын
Mwezi wa tatu wa mwaka gani?😂😂
@elimbotoraphael3940
@elimbotoraphael3940 Жыл бұрын
😂 huu mchezo wa kuigiza sijui utaisha lini
@brightonymnyone927
@brightonymnyone927 Жыл бұрын
Maneno mengi sana
@tonyaron1194
@tonyaron1194 10 ай бұрын
Arusha na Mbeya stand hamna kwani hayo siyo majiji? Mwanza mpaka ina stend 2 Nyegezi na Nyamongolo ila muda mwingine naye Magufuli alikuwa mbaguzi sn mpaka Mwanza anabariki zijengwe stend mbili za kisasa miji mingine haukuiona?
@LinusFrancis-rr8rw
@LinusFrancis-rr8rw 10 ай бұрын
Acha ujinga maguful alkua na mipango mikubwa hakuwa na mawazo yaliyo jibana
@emagervas4522
@emagervas4522 6 ай бұрын
​@@LinusFrancis-rr8rwalikuwa mbaguzi kabisaa. Alisema kuwa kaskazin wasubiri kwa maana tayari imeshaendelea
@selijusimalambo6437
@selijusimalambo6437 Жыл бұрын
Kajengeni na bukoba sitendi mbaya
@mackymneney9935
@mackymneney9935 Жыл бұрын
Bado gari za taka ni aibu watalii wanatushangaa
@musampanda3643
@musampanda3643 Жыл бұрын
Kwel
@tonyaron1194
@tonyaron1194 10 ай бұрын
Ayo tv mmzidi ubaguzi habari nyingi ni za kaskazini yani Arusha na moshi michaga bhana hadi kero
@nicolasaugustino8449
@nicolasaugustino8449 4 ай бұрын
Kila mkoa kuna muwakilishi wa AyoTV, sema wawakilishi wengine wamelala 😂
@richardbegga6679
@richardbegga6679 Жыл бұрын
Huyu jamaa anaongea sana
@nasrafadhili7408
@nasrafadhili7408 Жыл бұрын
Afadhali
@user-gm7fw8sq2m
@user-gm7fw8sq2m 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@rizikisirili6973
@rizikisirili6973 Жыл бұрын
Hapo m naona wanafanya matangazo ya viwanja tuuu
@saliminyusuph6122
@saliminyusuph6122 11 ай бұрын
NI kweli Mkuu isitoshe huko bondeni city inawabidi pia waoteshe miti maana NI jangwa Kali Sana.
Indonesia’s $33B Capital Relocation Plan Is Imploding | WSJ Breaking Ground
7:11
The Wall Street Journal
Рет қаралды 1,3 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 67 МЛН
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 26 МЛН
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 33 МЛН
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
Arusha city, Tanzania 🇹🇿 | 4K Drone Footage
3:05
ALL in 4K
Рет қаралды 86 М.
SERIKALI YAAHIDI FIDIA KWA WANANCHI WA MIANZINI JIJINI ARUSHA
2:51
Wizara ya Ujenzi
Рет қаралды 2,5 М.
Why is anti-immigration sentiment on the rise in Canada?
13:00
The Guardian
Рет қаралды 1,8 МЛН
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 67 МЛН