Ukiota mchele katika njozi ukiwa mbichi umepikwa au unakula. basi Tafsiri zake ni hizi juu ya wewe muotaji. #masjid_mtoro_onlinetv #Ulimwengu_wa_njozi #Ukiotamchele.
Пікірлер: 75
@ibrahimbaila776413 күн бұрын
Mgekua mnaenda kwenye mada ingekua sawa sana . Ila mkianzaaa vifungo vifungo kwenye korowani . Hua mnafanya mada kua mrefuuuu
@irinenanciebarasa55662 ай бұрын
Asante Asante Asante sana kunifafanunulia mchele niliota napewa mchele imepikwa na rafiki wangu wa karibu sana...Asante MUNGU akubariki sana kufafanua maana ya mchele kwenye ndoto
@bbb6nnn5613 жыл бұрын
Mimi nimeota mchele chungu kipo jikon lkn niko mbali sana natafuta maisha lkn ni maisha mazito ninayo pitia magumu lkn alhamdulilah kesho kutwa na maliza mkataba lkn mazito na magumu sana daah inshaallah kher
@JudithWanyonyi-cp6mqАй бұрын
Asante mtushi
@mariamumakala61462 жыл бұрын
Nimeota nataka nichukue mchele nikapike, lkn kuangalia mchele wenyewe kwenye ndoo upo kidogo sana hautoshi nikamimina kwenye ungo cha ajabu naona mwingi ambao utatoshea kwa watu wote, nikashangaa kuona mchele mwingi baada kumimina nikaa kwenye kigoda nianze kupika mama anakuna nazi nikashtuka kabla sijapika nini maana yake
@jainaboman89524 жыл бұрын
Shukuran shekhe kwasomo nzur
@abedkarume90884 жыл бұрын
Shukran ya shekh khamis suleiman
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Shukran sana
@mariammariam6424 жыл бұрын
Maasha Allah 🙏🙏
@lydiarichard Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@allykiza83363 жыл бұрын
Assalamu alayka SHEKHE nimekusikia vizuri tu na Allah akupe uhai mrefu wenye faida. Shekhe hii nukta hujaizungumzia sasa MTU akiota anakula mchele ambao umepikwa kipengele hicho kina maana gani????
@omarjuma25184 жыл бұрын
In Sha Allah
@aishajuma468 Жыл бұрын
Asante kk
@PaulinaSemindu-ob3de2 ай бұрын
Mm nimeota kunajiran yangu wa zaman kafanya sherehe kubwa sana wamepika mapilau na nyama z bata tupu watu wanakula mm kila nikitaka kula naona aibu kwenda kuchukua sahan mana hawajanialika
@johnjoseph98723 жыл бұрын
Asante kunijulisha
@mrsramso70194 жыл бұрын
Shukran sheikh
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Ahsant
@AhmedAlharithiy-sg5cqАй бұрын
Samahani sana shekhe mada nzuri nakuomba uhakiki aya inavyo somwa sivibaya ukampata shekhe mwengine akakurekebisha
@mzeemwamguno93674 жыл бұрын
Shukraniii Sana sheikh wangu
@najmanidengo44663 жыл бұрын
Mm huwa na ota mchele ambao bado upo shambani lkn umenawiri sana kila mara hii ndoto inajirudia
@emmyyahya83584 жыл бұрын
Inshallah Allah atufanyie wepesi atuepushe na mabalaa
@agreysaimon78173 жыл бұрын
Inshaallah
@khadijahamina84579 ай бұрын
amin
@chrislacarin43323 жыл бұрын
Somo nzuri sheh
@tameemashaa52344 жыл бұрын
Shukran
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Ashsant
@user-el8gm1wh4b10 ай бұрын
Maashaallah
@fahadsanad41634 жыл бұрын
Shekh nimeota mtoto wangu amenajiziwa na anatokwa damu nyingi sana hadi awezii kutembea
@mariahmnjeja3524 Жыл бұрын
Watu wamechezea nyota yako fanya maombi wamekuchafua
@rkenea42624 жыл бұрын
Ya salam
@gracenkwazi73612 жыл бұрын
Amiin
@mzeemwamguno93674 жыл бұрын
Mm niliota mchele umepikwa umewekwa rangi nyekundu ikawa watoto washule wameunga foleni wapakuliwa Wale mm sikufanikiwa Kuula sababu alikuja rafki yangu kunichukua tuondoke nn maana ya hii ndoto sheikh wangu
Iv sheh nikuulize kila ukitfsri ndoto unapenda kuzungumziya mali biashara kwann tafsr zako zote zinafanan kila siku unazungumziya ayo kwa ayo samahn lkn shehe wangu
@rizikisebe8904 жыл бұрын
Mashaallah shukran
@sarumdogotwaasaru15504 жыл бұрын
asante sana shekhe
@nyumbayatibanadua7374 жыл бұрын
Shukran sana
@ummoislam48324 жыл бұрын
Shukran shekh
@jamalmahfoz72744 жыл бұрын
Assalaam aleykum naomba kujuwa tafsiri ya ndoto nth kuota ati ametoka jino tafsiri yake
@moussenmigomen8281 Жыл бұрын
💞💞
@patricksindakila19096 ай бұрын
mimi niliota nakula wala maragi kanisani na marafiki yangu
@rukiabaybe85944 жыл бұрын
Je kuota mpunga
@GloryKomba2 ай бұрын
Nimeota mama angu kabeba sufulia ina mchele uliopikwa hii inamaan gani
@evermoris2794 Жыл бұрын
Nimeota naandaa wageni Mimi namama yangu twawasambazia sahani za wali
@lennowamambaclassc47633 жыл бұрын
Asalam alykum mm ostadh mm nimeota mchele ndio na utawadhia ili nipate udhu nikaswali
@patricksindakila19096 ай бұрын
mimi nililota nina kula muchele na maharage kanisani
@simonseth88162 жыл бұрын
Ukiota ndoto unacheza Mpira wa miguu maana yake nini
@nifasiha79182 жыл бұрын
Mimi naotaga marais wa Africa, wasanii kama wakubwa wa Tanzania nini ? Maana yake
@aminasultan87353 жыл бұрын
Shehe Mimi nimeota naushika mchele na nimetoka kuumwa na badonaendelea na tiba Nini maanayake nijibu tafadhali
@bintimbuto57403 жыл бұрын
Je ukiota mchele uko kwenye mfuko alafu ukaibiwa nikabaki na unga na maharange ihi inamaana ngani?
@fauziaomary4440 Жыл бұрын
Asalaam aleykum Mm nmeota nampakulia chakula(wali) marehem lkn chakula hakitosh na nilipika kikiwa cha kiasi lkn huyo marehemu sjampa hcho chakula
@zeyanaadam13823 жыл бұрын
Shekh mm nimeota naenda kununua mchele hii Ina maan gan
@khadijashehe19903 жыл бұрын
Nimeota mchele umo katika vikapu 2 tofauti ina maana gani?
@mariammussa63232 жыл бұрын
Ukikuta wanachambua mchele
@saadahassan14373 жыл бұрын
Shekhe nimeota baba alishafariki yupo na mpangaji wetu wamenipa mchele nilipokua naaga nataka kuondoka ila akunambia neno lolote lile nini mana yake
@kidotitv55272 жыл бұрын
Mm nmeota naosha mchele
@Raya-em8wz4 жыл бұрын
Asalam aleykum shekh jee ukiona unatafuta mchele hii je inamaana gani
@allykiza83363 жыл бұрын
Sasa mtu akiota anakula mchele ambao umeshapikwa nn maana yake?????????
@azizahasan28512 жыл бұрын
Shekhe mm nimeota unga wa muogo na unga wa mahind tunafunga kwenye mifuko ili tugawe sadaka kwa maskini nn maana yake
@zawadihamisi5270 Жыл бұрын
Mm huwa naota nakula pilau nn mana yke
@chizikombo3083 жыл бұрын
Kama umeota unakula mchele ama pilau vile nn maana yake
@rahmachangwila65302 жыл бұрын
Ukiota unampiga nyoka maana yake Nini badae kujibdisha mtu
@hawa8958 Жыл бұрын
Je ukiota unampa mtu chumvi nini maana yake sheikh please 😒😢h
@Maryam-kl6gj3 жыл бұрын
Mimi nmeota napika mchele ninitafsir yke?
@dorcasmueni3221 Жыл бұрын
Na ukiota unakula mchele?
@jacklyncharles39024 жыл бұрын
Shehe Nisaidie nimeota navuna mpunga shamban nini maana yake
@kopgdydrtyh79233 жыл бұрын
🤣🤣🤣nyoka tena
@esharamadhan73154 жыл бұрын
ukiota mtu anajinyonga
@athumanzahir83162 жыл бұрын
🤣🤣
@hassanbinally71274 жыл бұрын
Sheikh ukiota mjomba wako mtoto wa dada kua amefariki nini maana yake?
@BrysonMoses-ly7xk5 ай бұрын
Mm nmeota nakula wali na mama yangu pamoja na marafiki zangu hii ni mara ya pili
@user-wd7eg4ql2i4 ай бұрын
Pole sana
@khadijashehe19903 жыл бұрын
Nimeota mchele umo katika vikapu 2 tofauti ina maana gani?