UKIOTA UNAJISAIDIA HAJA KUBWA | AU UMEIONA | HII NDIO MAANA YAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN

  Рет қаралды 169,741

MASJID MTORO ONLINE TV

MASJID MTORO ONLINE TV

4 жыл бұрын

UKIOTA UNAJISAIDIA HAJA KUBWA | AU UMEIONA | HII NDIO MAANA YAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
#MasjidMtoroTv #NasahaZanguTv #NyumbaYatibaNaDua

Пікірлер: 217
@MuasitiAboBakri-ew5mu
@MuasitiAboBakri-ew5mu 15 күн бұрын
Shukrani shekhe
@Matiherbalist
@Matiherbalist 2 жыл бұрын
Jamani bando litaisha kabla kuskia maana ya ndoto, kuwa na kauli fupi fupi . Una strori nyingi Sana
@nzirubusakhamissi3329
@nzirubusakhamissi3329 2 жыл бұрын
Ustadh unatafsir vizur san lakin unazunguz san yaan unaelez huk na kul unawez ukamsif allah nakumsalia mtum juu yake rehm na aman nakuingia moj kwa moj kweny mad inshallah
@saidjoka1282
@saidjoka1282 Жыл бұрын
UNAONGEA SANAAA
@AntoniaRyoba
@AntoniaRyoba Ай бұрын
Unakera sana unamaneno mengiunatumalizia muda hatuhitji kiarabu hicho jalibu kupunguza maneno
@anliomaromar7163
@anliomaromar7163 2 жыл бұрын
Shukrani sana mualimu somo adhimu kabisa mungu akulinde milele daima
@alimussahimidi8185
@alimussahimidi8185 Жыл бұрын
Allah akubariq san ustadh wangu nimekuwa nikioa japo mara moj kwa mwez subhanallah
@africansmile101
@africansmile101 2 жыл бұрын
Safi sana kwa kuelewesha jamii kuhusu njozi tunaoya
@mkingaboy550
@mkingaboy550 Жыл бұрын
Shekhe unachelewa sana mazungumzo ya akuwa mengi Sana tafadhali shekhe🤝
@msafiriduwiya7765
@msafiriduwiya7765 11 ай бұрын
Peleka mbele
@WinifridaKabelege-ip4dq
@WinifridaKabelege-ip4dq 9 ай бұрын
Shukuran sana sheikh,,Allah akujalie kheri🙏
@uthmanihimbawe5244
@uthmanihimbawe5244 3 жыл бұрын
Baarakallah fiika
@ronasapura3517
@ronasapura3517 3 жыл бұрын
Uko vizuri maalim
@shadiahborandi2687
@shadiahborandi2687 4 жыл бұрын
Walaykum salama warhmatullahu wabarakatuh sheikh
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Shukran
@asiaissa976
@asiaissa976 3 жыл бұрын
صلى الله عليه وسلم
@rosemerengary1834
@rosemerengary1834 3 жыл бұрын
Maneno ni mengi mnoo ungekuwa unaenda straight to the point
@asiaissa976
@asiaissa976 4 жыл бұрын
Amiina yaarabbi
@khamismtoma4902
@khamismtoma4902 Жыл бұрын
Sitori nyingi tatizo Hira ni nzur
@bebisheni4380
@bebisheni4380 4 жыл бұрын
Asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Amina yaarabiy
@ZawadiBenjamin
@ZawadiBenjamin Ай бұрын
16:30
@mariammariam642
@mariammariam642 4 жыл бұрын
Shukrani
@SamiraSalim-sx7ie
@SamiraSalim-sx7ie 8 ай бұрын
Shekh hebu kuwa unaeleza wapenda kurudia kitu mara Kwa mara wengine hku Yuko nchi za watu time y kusikiza unavyo jieleza hatuna
@LeyllaLeylla-hf7su
@LeyllaLeylla-hf7su 6 ай бұрын
😂😂
@rahmaabdulrahmaabdul1781
@rahmaabdulrahmaabdul1781 3 жыл бұрын
Asalam alekum. Shukran sheikh kwa kutupa elimu allha akubariki na akutie katika pepo yake kwa rehma zake mimi nimeota nimejisadia kwetu njee ya choo lakini kwenye yale mabakuli ya watoto lakini lilikua kubwa na hiyo haja kubwa haina harufu yoyote
@rehemaothman2200
@rehemaothman2200 2 жыл бұрын
Ameen
@alawahmad7848
@alawahmad7848 2 жыл бұрын
Maneno mengi zungumza lilokusudiwa
@noorynmohammedy6063
@noorynmohammedy6063 4 жыл бұрын
Shukran sna sheikh wetu
@muragizinourah1042
@muragizinourah1042 Жыл бұрын
Allahu akbaru
@anethzephulin490
@anethzephulin490 3 жыл бұрын
Unahadisi mpaka hamu ya kusikiliza inaisha punguza maneno
@lushingeemmanuel1088
@lushingeemmanuel1088 3 жыл бұрын
asante kwa tafsri hyo, mmi niliota nakusanya kinyesi sjui itakuw na maan gan hyo ndoto samhn lkin
@user-ij2bf8of8h
@user-ij2bf8of8h 4 жыл бұрын
Barikiwa sana sheikh kwa mafunzo yako
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Amina yaarabiy
@fatumastani2712
@fatumastani2712 4 жыл бұрын
Barikiwa saana shikh mafunzo yako Mimi nimeota mtoto mdogo ambae ni alubino ananialishia kwa mfurulizo kama mpolomoko maana yake nini
@redymbuba111
@redymbuba111 3 жыл бұрын
Asante Kwa kutufundisha
@mariamkizanga9573
@mariamkizanga9573 8 ай бұрын
maneno mengi shekhe tafadhal
@elizabethg.mwaijande5030
@elizabethg.mwaijande5030 2 жыл бұрын
Nimeota ndoto kuhusu kinyesi lakn nimefatilia kuhusu tafsiri ...kila mmoja ana tafsiri ya pekeake mpaka sasa sijapata tafsiri sahihi.
@karimbhai1980
@karimbhai1980 5 ай бұрын
Nataka kujua maana y ndoto yangu, nimeota nikienda chooni n familia n hapali penyewe ni pachafu sana, alafu baba yangu pia ametoka chooni n mmi nimeingia hadi nashindwa kujisaidia juu y uchafu n naona wengine wanarusha maji chafu y choo n mkono, mmi nikatafuta maji y kujisafisha nikapata maji y mvua ikitoka kwa mabati nikatumia kujiosha nikiwa nimesimama n nikaanza kutawadha pia nao
@hawaynatimam982
@hawaynatimam982 3 жыл бұрын
Baba unazunguukaa Sana, mpaka kero, nenda moja moja kwenye Mada, unapoteza mb zetu
@shinunaameir1193
@shinunaameir1193 2 жыл бұрын
😂😂😂
@msafiriduwiya7765
@msafiriduwiya7765 11 ай бұрын
Pekeka mbele
@khadijahamina8457
@khadijahamina8457 9 ай бұрын
peleka mbele vidio😂😂😂
@LeyllaLeylla-hf7su
@LeyllaLeylla-hf7su 6 ай бұрын
😂😂
@MalikiHashim-bb6uh
@MalikiHashim-bb6uh 11 ай бұрын
Kuota njozi shekh na watoto wadogo wanasoma qulani kwa furaha ndani ya moy
@happymasao6677
@happymasao6677 11 ай бұрын
Shida unaongea snaaa hapa utapoteza wafatiliaji
@asmasaid-ln2fc
@asmasaid-ln2fc 2 ай бұрын
Mimi nimeota nimeona haja kubwa kwa shimo la choni na alofanya hiyo haja kubwa ni ndugu ya wa kiume na kwenye hiyo haja kubwa iko miguu ya kuku.
@hamiduahmadi3854
@hamiduahmadi3854 Жыл бұрын
Nenda kwenye hoja ya msingi,
@anthonycleophace8064
@anthonycleophace8064 3 жыл бұрын
Akika unafanya kazi vzr Sana Kaka,
@tzinvestigate5002
@tzinvestigate5002 7 ай бұрын
tatizo huendi kwenye poit unazunguka saaaana mtu anashindwa kukusiliza mpaka ,mwisho
@user-vy6yy6ic2u
@user-vy6yy6ic2u 6 ай бұрын
Mm nimeota nimemkuta mume wangu anajisaidia haja kubwa choon nyingi Sana kufungua mlango akastuka
@hamismfinanga8633
@hamismfinanga8633 Жыл бұрын
Unafanya vzr shekhe lkn punguza Hadith kwa maana ya mda na bando letu
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 3 ай бұрын
Huyu bwana anakula mb kwakitu kidooigo had hovyo jirekebishe bwana
@shadidashafiu1965
@shadidashafiu1965 2 жыл бұрын
Warrykum Salam wallahmatullah wabarakat
@hawarajabu4130
@hawarajabu4130 Жыл бұрын
Il
@bbb6nnn561
@bbb6nnn561 3 жыл бұрын
Allah atujaalie salama inshaallah
@notbrugakiwia3565
@notbrugakiwia3565 2 жыл бұрын
Je anayeota kunya ofisini maana yake Nini?
@timotheomakenz6795
@timotheomakenz6795 6 ай бұрын
Punguza maneno mengi twende kwenye
@aysherkitoi1845
@aysherkitoi1845 3 жыл бұрын
Mimi nimeota mara ya 2 sasa mara ya kwanza nakunya kitandani na kuna watu waliyapokea lkn ckuwaona na nikashtuka mara ya 2 nimeota nimeenda shambani nikaona mavi nikayaruka nikanya pembeni mara4 sehemu tofauti
@sofiahamisi9373
@sofiahamisi9373 2 жыл бұрын
😅😅😅
@MsafiriYohana-yo7bm
@MsafiriYohana-yo7bm 3 ай бұрын
Na ww mala nne zooooooote jaman
@qwnlynuzlah3115
@qwnlynuzlah3115 4 жыл бұрын
Shukran Sheikh,,,JazzakaAllahu Kheyr,,Na Kama Umeota Umepigana Na dadako Inamaanisha Nini Sheikh,?
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Hiyo ni amali ya shetani
@qwnlynuzlah3115
@qwnlynuzlah3115 4 жыл бұрын
@@nyumbayatibanadua737 amali yake kivpi inamaana iyo ndoto sio nzuri shekhe
@seifbashir6393
@seifbashir6393 4 жыл бұрын
Ana imanisha Hainaut maana ni naoto tu ya shetani
@MariamMavuo-yq4zc
@MariamMavuo-yq4zc 11 ай бұрын
Assalam aleikum..samahani kaka mimi nimeota watu wamebeba mithili ya jeneza halikai kama jeneza unavyoliona ila limebebwa juujuu kama watu wanavyobeba jeneza kumaanisha ilo ni jeneza lkn sijui kama ndani mna mtu wala hamna na watu waliolibeba hawapokezani kama watu wanavyofanya limeenuliwa juujuu na watu kama watatu hivi kisha wengine wanatembea tu kando huku wakiongea stori zao na kucheka..naomba unitafsirie
@allymuhammad325
@allymuhammad325 2 жыл бұрын
TAtizo la huyu jamaa anazunguka sana
@NaimaMassam
@NaimaMassam 24 күн бұрын
Uje na yakuota mtu kajisaidia stand ya magar mafungu 3 ya haja kisha akayaacha na kupanda gari
@nusratbintabdullah5713
@nusratbintabdullah5713 3 жыл бұрын
Asante xana sheikh lakini ukiota umepata haja kubwa kwa nyumba
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 3 жыл бұрын
👌👍
@adamsnyakundi4427
@adamsnyakundi4427 3 жыл бұрын
Mafunzo poa.but mimi uota nikiona watu wakijizaidia au mtoto wangu amejizaidia kwa sahani na plis sijui maana yake.naomba kujua
@user-dg1is7rz1c
@user-dg1is7rz1c 2 ай бұрын
Mim nimeota boss wangu akijisaidia haja kubwa chooni.inamaana gani
@ahmadally243
@ahmadally243 3 жыл бұрын
Nenda kwenye tropic mbwe mbwe nyingi mpaka mtu unachoka
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 жыл бұрын
Kabisaa.
@OmanOma-xi3hm
@OmanOma-xi3hm 7 ай бұрын
❤❤❤
@suzyjoseph2367
@suzyjoseph2367 Жыл бұрын
Punguza simulizi, elekeza kwenye lengo husika
@user-ip1pn4wy8o
@user-ip1pn4wy8o 4 ай бұрын
usthani mm mara ya kwanza niliota nanguka choni ama shimo la choo lakini nikaingiya mguu moja Kisha nikang'ana nikatoka mara ya pili najaita najisaidiya lakini kando ya lile shimo la choo mara ya tatu nikaota najisaidiya pahali ambapo sipajui Kali nilikuwa na rafiki yangu Kisha akakifinika kile choo alafu nikamka lakini choo kile kimekuwa kama muharooo
@mariamkitwana6148
@mariamkitwana6148 2 жыл бұрын
tatizo unamaelezo meengi hadi tunaishiwa kifurushi hata mada hatujaiskia
@AsiaRamadhan-dr2uu
@AsiaRamadhan-dr2uu Ай бұрын
Asate
@gorretmarynasike9803
@gorretmarynasike9803 3 жыл бұрын
Story ndefu sana naweee aah
@mchambuzi9089
@mchambuzi9089 3 жыл бұрын
😁😁😁
@hawaramadhan6385
@hawaramadhan6385 3 жыл бұрын
Ad anaboa
@muhsininatv2092
@muhsininatv2092 2 жыл бұрын
Tafuteni pasipo stori basi Nyie vipi
@azizahassan939
@azizahassan939 2 жыл бұрын
Shekhe mm nimeota najisaidia chumbani kwangu chini ya sument kisha nikaizoa kwenye karatasi nyeupe nikawa naipereka chooni ila nilipofika ukumbini ikadondoka nikaizoa tena ila nikaacha kidogo pare chin ukumbin kisha nikaenda kuipereka chooni inamaana gani iyo
@fatmasaiderick1935
@fatmasaiderick1935 4 жыл бұрын
A,aleykum shekhe,m nimeota mtoto wangu kajisaidia haja kubwa kitandan kwenye mashuka nikawa nakusanya kuyatowa haja ikawa imenitapakaa na mm,nn maana yake
@nussramussa5507
@nussramussa5507 2 жыл бұрын
Mm Nikita hivyo napata pesa nyingi sana
@royalroyal8633
@royalroyal8633 2 жыл бұрын
Ok
@elestinadagadaga1706
@elestinadagadaga1706 3 жыл бұрын
Duh stor ndefu had nasinzia
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@dianarichardkiri1318
@dianarichardkiri1318 2 жыл бұрын
Mimi nimeota najisaidia kwenye sinki la choo lkn liko wazi ila nilihisi hamna anaye niona kumbe nilionekana nikasahau kuflash nikaondoka baadae nikapita tena maeneo hayo watu wakanivaa na kunichamba kisa cjaflash choo niliona aibu Sana na kuwaomba msamaha kwamba kichwa kinamamambo mengi nilijisahau wakanielewa
@hidayah1295
@hidayah1295 3 жыл бұрын
Shekhe naomba unijibu Mimi niliota najisaidia chooni ila choni kwenye we ni chumbani ninapo lala ila hapana choo. Yani ni chumba NA choo chake ila sikwenda chooni nilijisaidia chumbani ila najuwa nipo chooni BOSI wangu akaingia NA mtoto wake mdogo akaniita Mimi sikuitaka ila alivyo ingia chumbani akaniona nimekaa katika choo yule mtoto akataka kunifwata ila mama yake akamwambia nipo najisaidia chaajabu kulikuwa hakuna halufu baosi akatoka Mimi nikawa najiuliza kwanini sukuenda kujisaidia chooni nipo hapa chumbani.. Naomba unijuzee
@ayubugeorge2168
@ayubugeorge2168 2 жыл бұрын
SHEHE UNATUFUNZA SANA LAKINI JITAHIDI KUPUNGUZA UREFU WA VIDEO JARIBU KUPUNGUZA UREFU WA VIDEO
@bakarifakih4228
@bakarifakih4228 Жыл бұрын
anamaneno mengi kisha anaongea polepole
@bbb6nnn561
@bbb6nnn561 3 жыл бұрын
Mimi nimeota hajakubwa inanitoka lkn nnanguo zang watu wananishangaaa lkn mimi naenda mbio kubwa na ona haya jeee inamana gani
@azizahassan939
@azizahassan939 2 жыл бұрын
Nimeota watu wengi wanajisaidia kwenye mchanga mm nikazoa kwa mkono nikatia kwenye mfuko mweupe nikaondoka nayo ile haja kubwa zenyewe zilikuwa ngumu zingine lain lakin sio sana zote nimebeba nikaondoka uku nacheza yani nachekerea na ule mfuko nimeubeba nn maana yake
@faidamuhamed3011
@faidamuhamed3011 2 жыл бұрын
Hela hizooooooo jmn ukishazifuma nistue
@harousali7578
@harousali7578 Жыл бұрын
She tunakuomba ukiamuwa ktoa maana ya ndoto basi nenda moja Kwa moja kwenye ndoto SS wengine tunakusikiliza hata humallizi kutowa maana bando linaisha Kwa maneno mengi na m pozi
@mariamumakala6146
@mariamumakala6146 2 жыл бұрын
Nimeota nimejisaidia haja kubwa nikazoa kwa mikono yote miwili nikatia kwenye mfuko nikatupe lkn sikuwai kwenda kutupa
@sarahwanjiru6121
@sarahwanjiru6121 Жыл бұрын
Ewe nawe waongea sana,kitambo ufikie hu
@maryshiko2380
@maryshiko2380 Жыл бұрын
Mm nimeota nakunya na wenzangu walikuwa kisha nikaifunika vizuri. Haikunuka na n mingi mapunde matatu
@asiaissa976
@asiaissa976 4 жыл бұрын
Shukran
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 4 жыл бұрын
Ahsante
@user-ip1pn4wy8o
@user-ip1pn4wy8o 4 ай бұрын
27:33
@theresiandumbaro7862
@theresiandumbaro7862 10 ай бұрын
Ukiota umepata haja kisha ukaisangaa
@habari5802
@habari5802 11 ай бұрын
Shekhey Mimi najisaidiy ndani
@mr.macintosh5687
@mr.macintosh5687 2 жыл бұрын
Punguza story shekh unaboa
@aminimirambo2452
@aminimirambo2452 2 жыл бұрын
ACHA UJINGA SHEKHE WEWE...MJINGA WEWE. UNASOMA QURAN UTAFIKIRI UMEMEZA MAV
@nusuphatyusuph3920
@nusuphatyusuph3920 2 жыл бұрын
Mmmh unamatatizo .ndg yang pole sana.
@zaitunichibako1214
@zaitunichibako1214 4 жыл бұрын
Asalam alykum m nliota dada wa mama alkwa anaenda haja kubwa ya laini alafu mama anayakinga kwa mkebe na kila akiendesha ndo anapata nafuu coz alkwa hawezi na sehemu alkwa anafanya haja napajua lkn nyumba ndo ilkwa imechakaa sana je sheikh ii ndoto inamaana gani
@elpinarichard1884
@elpinarichard1884 2 жыл бұрын
Niliota napewa nguo nivae nilipo vaa nikajisaidia haja kubwa hainuki ikiwa watu wanakuja nikawa najificha watu wasione! Maana yake
@latifasuleiman7527
@latifasuleiman7527 10 ай бұрын
Sheikh Mimi nimemuota mtu kajisaidia kwenye siruali halafu nikakisafisha
@user-zl6cm1zs2b
@user-zl6cm1zs2b 2 ай бұрын
Mzee yani unaongea taratibu sana sasa uwe unaingia kwenye mada husika jamani mda wote unajizungushatu
@ruqaiyyalema2945
@ruqaiyyalema2945 4 жыл бұрын
Ustaz nimeota ngamia mweupe anatoka juu anakimbia anakuja kama chn
@hawamohamed4281
@hawamohamed4281 4 жыл бұрын
Sheikhe je ukiota nyuki
@SharifaWaridu
@SharifaWaridu 5 ай бұрын
napenda chanel yako ila me nimelia kwa kumuhurumia mjukuu wa dada yangu ambaye n mgonjwa ila nkamuona anajichoma sindano mwenyewe maeneo ya pajani ndio nikaanza kubujikwa na machozi huku nkisema Allah atamfanyia wepec
@herykembo1609
@herykembo1609 3 жыл бұрын
tunatamani kusikikiza lkn punguza maneno yanachosha
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@zaituniabdallah
@zaituniabdallah Жыл бұрын
Mm nimeota marehemu alokufa zamani ndo amehara kwenye sinki jeupe
@halimafimbo4890
@halimafimbo4890 Жыл бұрын
Asalam aleykum shekhe nimeota nimenyewa kinyesi na mtoto nilie mbeba mwli mzima
@fatumathabit6498
@fatumathabit6498 3 жыл бұрын
Nzur lkn stori nyingi😁😁
@msafiriduwiya7765
@msafiriduwiya7765 2 жыл бұрын
Anazuuka
@msafiriduwiya7765
@msafiriduwiya7765 2 жыл бұрын
Anazunguuka
@rahmajohn9859
@rahmajohn9859 2 жыл бұрын
Kweli apunguze misemo atafanya watu wawe wanavuka clip zake
@nulatmpemba4080
@nulatmpemba4080 Жыл бұрын
Hadi inachosha😆
@salhawakil2173
@salhawakil2173 Жыл бұрын
Mazali mshamjuulia si mnapelek mbele silazim muskiliz iz story zke
@jenniferevaris5216
@jenniferevaris5216 11 ай бұрын
Me nimeota nimeona kinyesi ndan kwangu
@aminamsangi-fj3fm
@aminamsangi-fj3fm 4 ай бұрын
Jekama unajisaidia unaota kitandani
@rahmadizer1744
@rahmadizer1744 3 жыл бұрын
Mi naota naona sana haja kubwa
@joycekasakisya7755
@joycekasakisya7755 3 жыл бұрын
Wewe km mimi
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw Жыл бұрын
​@@joycekasakisya7755 je mnapata pesa
@AyoubMakelele-sw9lk
@AyoubMakelele-sw9lk 2 ай бұрын
Nikiota mm ivyo napata pesa
@najmaalhaji
@najmaalhaji Жыл бұрын
Ukiota unakojoa kwenye choo kichaf alafu na haja kubwa ikatoka pia inaashiria nini
@salhamuhidini9911
@salhamuhidini9911 2 жыл бұрын
Me naotak najisaidia alafu simalizi alaf najisaidia masungu mafung yani sijixaidii sehem moja
@atugonzalugemalila5142
@atugonzalugemalila5142 3 жыл бұрын
Mimi nimeota Niko majini nakutana na mafungu mengi mengi ya kinyesi Cha binadamu kando kando ya mto
@mvanobilali8502
@mvanobilali8502 Жыл бұрын
uwa nina penda kukusikia ila ushauri wangu uwe una jiandaa kabla ya kipindi iyo ni sehemu ya kutiririka pasina kuchachawa kwa kubukuwa
@ekkymumba8566
@ekkymumba8566 Жыл бұрын
Mie nimeota nimejisaidia nikiwa kitandani alafu nimeyashika kwenye kiganja
@aishaha3890
@aishaha3890 3 жыл бұрын
Salam aleikum mmi nimesha wota ninekwenda sehem nikauta Iyo fasi pakubwa pote Pana haja kubwa Ila ayato harufu
UKIOTA NA CHOO NINI MAANA YAKE?
21:38
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 22 М.
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 47 МЛН
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
Namna ya Kutibu Majeraha ya Ukewenza - Ukht Khadija Idd
57:38
Kalamutz
Рет қаралды 101 М.
KUOTA UKIOKOTA MASHILINGI (COINS) HII NDIYO MAANA YAKE!
1:20:59
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 32 М.
NIHARAMU KUWAOA WANAWAKE HAWA 15. SHEIKH KISHK.
56:59
Kishki Online TV
Рет қаралды 712 М.
UKIOTA NDOTO YA CHOO AMA KINYESI INA MAANA HII KIBIBLIA. USIOGOPE - Apostle Johaness John
6:46