ULIVYO KWA ULACHO na Mama Terry: Hutaamini faida hizi nyingi unazoweza kupata kwa kula MAPAPAI

  Рет қаралды 59,827

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Жыл бұрын

Papai lina faida nyingi sana kwenye mwili wa binadamu. Huenda utakuwa umeshazisikia chache, lakini kwenye episode hii ya #UlivyoKwaUlacho Mama Terry anakujua nyingi zaidi zitakazokushangaza

Пікірлер: 68
@user-ur8ex5mq3l
@user-ur8ex5mq3l 3 ай бұрын
Mama ubarikiwe mama mpendwa kwa kutumbukia watanzania maana tuna matatizo sana wanadamu na dawa za kemikali zinatuhalibu ubarikiwe kwa wosia mzito sana na nifaida asante🙏
@thecklahongole2566
@thecklahongole2566 Ай бұрын
Asante sana kwa elimu
@mashiassenga8849
@mashiassenga8849 Жыл бұрын
Wow nice Asante kwa mafuzo mama yetu Mungu hakubari more
@odettengulu7637
@odettengulu7637 2 ай бұрын
Mama Terry uko vizuri Sana.Nakupenda nakuheshimu. Tunajifunza mengi Sana toka kwako tunavyopaswa kurudi eden sasa .Tunasukia uyoga pia ni mzuri Kwa afya. Tunaomba utenge siku ya kutupatia faida za uyoga mwilini basi mama tunaomba Sana , maana upon mwingi masokoni.
@jacklinetarey9373
@jacklinetarey9373 2 ай бұрын
Asante kwa mafunzo mazuri mama Terry. Nilitazama hili kwa pendo TV.. very powerful ❤
@mohamedmasudi9855
@mohamedmasudi9855 Ай бұрын
Ubarikiwe mamii
@ekyochisikitaya5354
@ekyochisikitaya5354 6 ай бұрын
Hongera kwa somo hili nzuri.
@helenlaizer5999
@helenlaizer5999 2 ай бұрын
Asante mm tery ubarikiwe sana
@ElizabethKaseza
@ElizabethKaseza 2 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mama Terry kutuokoa na matatizo ya afya.
@rahmakassim8852
@rahmakassim8852 Жыл бұрын
Asante mama tutalifaniya kazi inshallah
@ameirdarueshi2593
@ameirdarueshi2593 Жыл бұрын
Asante mama for education
@juliethmziray
@juliethmziray 2 ай бұрын
Yaani nakupenda sanaà unatuelimisha sanaaa❤❤❤🎉🎉🎉
@margaretmrisho3059
@margaretmrisho3059 Ай бұрын
Hongera sana mamaTerry ndio maana unaonekana bado uko vizuri
@saidcharleskarata02
@saidcharleskarata02 Жыл бұрын
God bless you mama
@khurlainashly5686
@khurlainashly5686 Жыл бұрын
❤️ubarikiwe ummy
@bas2823
@bas2823 2 ай бұрын
THANK U SOO MUCH FOR SHARING🙏 GOD BLESS U ALWAYS! AMEEN🤲👍💖👌"
@zainulahmed8206
@zainulahmed8206 Жыл бұрын
Mungu akubariki mama kwa kutupa elimu yenye faiad
@ashooraashoora1180
@ashooraashoora1180 Жыл бұрын
Ahsantee sana mama ❤️
@mytelecom2019
@mytelecom2019 Жыл бұрын
asante, nasubiri faida za AVOCADO
@IkTheBoy
@IkTheBoy 3 ай бұрын
Mama tafa dhali naomba nielekeze Namna ya kutengeneza sabuni ya majani ya mpapai
@mwajoma1373
@mwajoma1373 Жыл бұрын
Asante san mama
@user-wo2ye5vh4q
@user-wo2ye5vh4q 27 күн бұрын
Asante sanaa
@billian1914
@billian1914 Жыл бұрын
Asante Sana Mama nikweli kabisa, Mimi hapa ni Fan wakula mboga Za grini+ namatunda aina ya hii papai, unaezungumuza kwa Sasa. Nimependa Sana hii Video yakutufundisha .
@user-mi8pk1in6u
@user-mi8pk1in6u 2 ай бұрын
Santie mama mafunzo
@jenipherlucilla8882
@jenipherlucilla8882 4 ай бұрын
Asante sana. Kwa wosia
@severimkatomutegeki6930
@severimkatomutegeki6930 4 ай бұрын
Mungu akulinde
@user-yf7uy6nc5o
@user-yf7uy6nc5o 3 ай бұрын
asante sana mama ubarikiwe
@user-ur8ex5mq3l
@user-ur8ex5mq3l 3 ай бұрын
Asante sana mama
@user-wo2ye5vh4q
@user-wo2ye5vh4q 27 күн бұрын
Asantee
@venancemsima3683
@venancemsima3683 9 ай бұрын
Hongra kwa elimu unaokoa maisha ya watu usichoke:
@beatricemomanyi
@beatricemomanyi Ай бұрын
Thanks mom
@JudithWanyonyi-cp6mq
@JudithWanyonyi-cp6mq 5 күн бұрын
Asante
@BenemweteAmisi-li1wb
@BenemweteAmisi-li1wb 9 ай бұрын
Asante sana
@BabalandaSimon-fk2vy
@BabalandaSimon-fk2vy 2 ай бұрын
Asante mama
@ablatuny5406
@ablatuny5406 Жыл бұрын
Kipindi changu pendwa asanteni sana wahusika wote.
@user-gp5wf2jd6p
@user-gp5wf2jd6p 3 ай бұрын
Asante saana
@niriacatering172
@niriacatering172 2 ай бұрын
Asante Mama
@HhPpp-id7me
@HhPpp-id7me 29 күн бұрын
Asant mama
@user-ci3kw7bc8j
@user-ci3kw7bc8j 9 ай бұрын
Mama angu mungu akulaze mahali pema peponi Kansa ndo imekuwa dawa majani ya mpapai mama Teri ulikuwa wapi mama angu kanitoka kisa Kansa 😢😢😢
@NtirampebaMiami
@NtirampebaMiami 2 ай бұрын
Asante :😮.
@samehewaliokukoseya2605
@samehewaliokukoseya2605 Жыл бұрын
Apana sasa tunaifanyia kazi kabisa
@user-gv4jx2fp4u
@user-gv4jx2fp4u 6 ай бұрын
ASANTE SANA MAMA TERRY,NINAKUNYWA JUICE YA PAPAI BILA KUWEKA SUKARI WALA ASALI,NA NINAOSHA VIZURI NA SIMENYI MAGANDA,WALA KUTOA MBEGU LEO NIMEJUA MINYOO ITAKUWA HAIKAI KWANGU
@latifankya3026
@latifankya3026 2 ай бұрын
Mama shkamoo mama yangu naomba kujuwa je nikitumia glasi moja badala ya kijiko kimoja??
@ppemperweringpeople7183
@ppemperweringpeople7183 Ай бұрын
Je Mama Terry,Ni Aina Gani Ya Papai Ina Nguvu Zaidi Katika Tiba Za Kiafya?
@lucyemichael7814
@lucyemichael7814 Жыл бұрын
😘🙏🏻
@pujimontanapachino4958
@pujimontanapachino4958 Жыл бұрын
Nilikua siyapendi haya matunda lakini kesho nikiamka tu mbio Supermarkt naenda kuchukua papai yangu matata
@user-yz5zn4tr6i
@user-yz5zn4tr6i 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉😂
@rosedede8769
@rosedede8769 2 ай бұрын
❤❤❤😊
@TchikomaLazar
@TchikomaLazar 2 ай бұрын
Vizuri
@Vivomnyama8386
@Vivomnyama8386 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@user-tw3is1sk4w
@user-tw3is1sk4w 6 ай бұрын
Mama Terry wewe ni Dactari nzuri Sana hongera
@victoriasasha2014
@victoriasasha2014 3 ай бұрын
Asante Sana Mama Kwa mawaidha ya Mpapai Mungu akubariki
@user-ne2rq7zg3q
@user-ne2rq7zg3q 2 ай бұрын
Asante ila unaongea sana wesema faida ni moja mbili tatu sio kalikwenda kakirudi
@victoriasasha2014
@victoriasasha2014 3 ай бұрын
Mama nauliza papai tosa ni gani?
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 4 ай бұрын
Ndio zaman walikuwa wanatumia sabuni ya papai
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️
@dignawilla3538
@dignawilla3538 6 ай бұрын
Mama kweli papai linatoa mimba ,ninamba Sasa natamani kula papai
@EK-kp2np
@EK-kp2np 2 ай бұрын
Kweli, mjamzito hatakiwi kula papai
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 4 ай бұрын
Mionzi si wanasema sio mizur mionzi
@claudiamollel4536
@claudiamollel4536 2 ай бұрын
Lily
@user-yz5zn4tr6i
@user-yz5zn4tr6i 2 ай бұрын
Sio mizuri kwasababu inanyonyoa nywele na kucha kwa wenye kansa
@julianamushi3392
@julianamushi3392 Жыл бұрын
Mama tupe dawa ya visunzua
@Budgernista1994
@Budgernista1994 11 ай бұрын
tafuta watu wanaojua kutengeneza juice ya alovera vizuri ununue lita moja then uwe unakunywa kikombe cha kahawa kimoja asubuhi na jioni..........ila chungu sana uwe mvumilivu
@gracenakamba6053
@gracenakamba6053 4 ай бұрын
Asante mama
@edinafelician8832
@edinafelician8832 Ай бұрын
Asante sana sasa mama
@gracenakamba6053
@gracenakamba6053 4 ай бұрын
Asante mama
@jamhurilukungu3233
@jamhurilukungu3233 2 ай бұрын
Asante mama yetu, umetujali sana ,ubarikiwe..Ila mm naomba msaada wako..papai Tosa sijui likoje nifundishe tafadhari.
@jeremiahbhulituma855
@jeremiahbhulituma855 2 ай бұрын
Castor oil nitumie kwa kiasi gani, na muda gani?
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 84 МЛН
Pleased the disabled person! #shorts
00:43
Dimon Markov
Рет қаралды 27 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 7 МЛН
Silaha iliyomuua Kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh yatajwa
3:29
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 4,8 М.
soko la papai la uhakika lipo njoo ujifunze na upate conection ya masoko ya uhakika 0693157510
4:07
Namna sahihi ya Upandaji wa Mapapai
4:53
TAHA ONLINE TV
Рет қаралды 14 М.
#MuhimbiliTV  Fahamu zaidi kuhusu ugonjwa wa kisukari
28:31
Muhimbili TV
Рет қаралды 10 М.
ამ მარტივი ქმედებით დაივიწყებ უენერგიობას!
13:17
Kvebisti - კონსულტანტი კვების საკითხებში
Рет қаралды 165 М.
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
0:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 28 МЛН
КАРОЧЕ НЕУДОБНАЯ СИТУАЦИЯ😱🔥 #shorts
0:45
ПОПОВИЧИ
Рет қаралды 7 МЛН
MAGIC DRINK TRICK TUTORIAL 😱😳
0:20
Milaad K
Рет қаралды 24 МЛН