Papai lina faida nyingi sana kwenye mwili wa binadamu. Huenda utakuwa umeshazisikia chache, lakini kwenye episode hii ya #UlivyoKwaUlacho Mama Terry anakujua nyingi zaidi zitakazokushangaza
Пікірлер: 68
@user-ur8ex5mq3l3 ай бұрын
Mama ubarikiwe mama mpendwa kwa kutumbukia watanzania maana tuna matatizo sana wanadamu na dawa za kemikali zinatuhalibu ubarikiwe kwa wosia mzito sana na nifaida asante🙏
@thecklahongole2566Ай бұрын
Asante sana kwa elimu
@mashiassenga8849 Жыл бұрын
Wow nice Asante kwa mafuzo mama yetu Mungu hakubari more
@odettengulu76372 ай бұрын
Mama Terry uko vizuri Sana.Nakupenda nakuheshimu. Tunajifunza mengi Sana toka kwako tunavyopaswa kurudi eden sasa .Tunasukia uyoga pia ni mzuri Kwa afya. Tunaomba utenge siku ya kutupatia faida za uyoga mwilini basi mama tunaomba Sana , maana upon mwingi masokoni.
@jacklinetarey93732 ай бұрын
Asante kwa mafunzo mazuri mama Terry. Nilitazama hili kwa pendo TV.. very powerful ❤
@mohamedmasudi9855Ай бұрын
Ubarikiwe mamii
@ekyochisikitaya53546 ай бұрын
Hongera kwa somo hili nzuri.
@helenlaizer59992 ай бұрын
Asante mm tery ubarikiwe sana
@ElizabethKaseza2 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mama Terry kutuokoa na matatizo ya afya.
@rahmakassim8852 Жыл бұрын
Asante mama tutalifaniya kazi inshallah
@ameirdarueshi2593 Жыл бұрын
Asante mama for education
@juliethmziray2 ай бұрын
Yaani nakupenda sanaà unatuelimisha sanaaa❤❤❤🎉🎉🎉
@margaretmrisho3059Ай бұрын
Hongera sana mamaTerry ndio maana unaonekana bado uko vizuri
@saidcharleskarata02 Жыл бұрын
God bless you mama
@khurlainashly5686 Жыл бұрын
❤️ubarikiwe ummy
@bas28232 ай бұрын
THANK U SOO MUCH FOR SHARING🙏 GOD BLESS U ALWAYS! AMEEN🤲👍💖👌"
@zainulahmed8206 Жыл бұрын
Mungu akubariki mama kwa kutupa elimu yenye faiad
@ashooraashoora1180 Жыл бұрын
Ahsantee sana mama ❤️
@mytelecom2019 Жыл бұрын
asante, nasubiri faida za AVOCADO
@IkTheBoy3 ай бұрын
Mama tafa dhali naomba nielekeze Namna ya kutengeneza sabuni ya majani ya mpapai
@mwajoma1373 Жыл бұрын
Asante san mama
@user-wo2ye5vh4q27 күн бұрын
Asante sanaa
@billian1914 Жыл бұрын
Asante Sana Mama nikweli kabisa, Mimi hapa ni Fan wakula mboga Za grini+ namatunda aina ya hii papai, unaezungumuza kwa Sasa. Nimependa Sana hii Video yakutufundisha .
@user-mi8pk1in6u2 ай бұрын
Santie mama mafunzo
@jenipherlucilla88824 ай бұрын
Asante sana. Kwa wosia
@severimkatomutegeki69304 ай бұрын
Mungu akulinde
@user-yf7uy6nc5o3 ай бұрын
asante sana mama ubarikiwe
@user-ur8ex5mq3l3 ай бұрын
Asante sana mama
@user-wo2ye5vh4q27 күн бұрын
Asantee
@venancemsima36839 ай бұрын
Hongra kwa elimu unaokoa maisha ya watu usichoke:
@beatricemomanyiАй бұрын
Thanks mom
@JudithWanyonyi-cp6mq5 күн бұрын
Asante
@BenemweteAmisi-li1wb9 ай бұрын
Asante sana
@BabalandaSimon-fk2vy2 ай бұрын
Asante mama
@ablatuny5406 Жыл бұрын
Kipindi changu pendwa asanteni sana wahusika wote.
@user-gp5wf2jd6p3 ай бұрын
Asante saana
@niriacatering1722 ай бұрын
Asante Mama
@HhPpp-id7me29 күн бұрын
Asant mama
@user-ci3kw7bc8j9 ай бұрын
Mama angu mungu akulaze mahali pema peponi Kansa ndo imekuwa dawa majani ya mpapai mama Teri ulikuwa wapi mama angu kanitoka kisa Kansa 😢😢😢
@NtirampebaMiami2 ай бұрын
Asante :😮.
@samehewaliokukoseya2605 Жыл бұрын
Apana sasa tunaifanyia kazi kabisa
@user-gv4jx2fp4u6 ай бұрын
ASANTE SANA MAMA TERRY,NINAKUNYWA JUICE YA PAPAI BILA KUWEKA SUKARI WALA ASALI,NA NINAOSHA VIZURI NA SIMENYI MAGANDA,WALA KUTOA MBEGU LEO NIMEJUA MINYOO ITAKUWA HAIKAI KWANGU
@latifankya30262 ай бұрын
Mama shkamoo mama yangu naomba kujuwa je nikitumia glasi moja badala ya kijiko kimoja??
@ppemperweringpeople7183Ай бұрын
Je Mama Terry,Ni Aina Gani Ya Papai Ina Nguvu Zaidi Katika Tiba Za Kiafya?
@lucyemichael7814 Жыл бұрын
😘🙏🏻
@pujimontanapachino4958 Жыл бұрын
Nilikua siyapendi haya matunda lakini kesho nikiamka tu mbio Supermarkt naenda kuchukua papai yangu matata
@user-yz5zn4tr6i2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉😂
@rosedede87692 ай бұрын
❤❤❤😊
@TchikomaLazar2 ай бұрын
Vizuri
@Vivomnyama83862 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@user-tw3is1sk4w6 ай бұрын
Mama Terry wewe ni Dactari nzuri Sana hongera
@victoriasasha20143 ай бұрын
Asante Sana Mama Kwa mawaidha ya Mpapai Mungu akubariki
@user-ne2rq7zg3q2 ай бұрын
Asante ila unaongea sana wesema faida ni moja mbili tatu sio kalikwenda kakirudi
@victoriasasha20143 ай бұрын
Mama nauliza papai tosa ni gani?
@VickKulekana-si1ib4 ай бұрын
Ndio zaman walikuwa wanatumia sabuni ya papai
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️
@dignawilla35386 ай бұрын
Mama kweli papai linatoa mimba ,ninamba Sasa natamani kula papai
@EK-kp2np2 ай бұрын
Kweli, mjamzito hatakiwi kula papai
@VickKulekana-si1ib4 ай бұрын
Mionzi si wanasema sio mizur mionzi
@claudiamollel45362 ай бұрын
Lily
@user-yz5zn4tr6i2 ай бұрын
Sio mizuri kwasababu inanyonyoa nywele na kucha kwa wenye kansa
@julianamushi3392 Жыл бұрын
Mama tupe dawa ya visunzua
@Budgernista199411 ай бұрын
tafuta watu wanaojua kutengeneza juice ya alovera vizuri ununue lita moja then uwe unakunywa kikombe cha kahawa kimoja asubuhi na jioni..........ila chungu sana uwe mvumilivu
@gracenakamba60534 ай бұрын
Asante mama
@edinafelician8832Ай бұрын
Asante sana sasa mama
@gracenakamba60534 ай бұрын
Asante mama
@jamhurilukungu32332 ай бұрын
Asante mama yetu, umetujali sana ,ubarikiwe..Ila mm naomba msaada wako..papai Tosa sijui likoje nifundishe tafadhari.