Our Love story Podcast is a love genre chat podcast where two love birds chitchat on ho they met and their journey so far, including how they made each other in love
Пікірлер: 126
@sophiaremmy63264 ай бұрын
Keep showing us that beautiful black,young and amaizing couple exist ….She is soo well spoken ,beautiful,mpole ana hekima mstaarabu na ana heshima❤️Go and succeed young lady ….The guy is matured ,good looking,loving and a hustler Go and succeed young man…Ndoa ni baraka na itakuja kwa wakati MUNGU anapenda na sio wanadamu
@francomwakiwonde21665 ай бұрын
Achana na kila kitu mimi sisikilizi kinachoendelea ila nazingatia kila detail ya hii production sijawahi ona waandaaji bora wa namna hii hapa kwetu Tanzania tunapiga hatua kwa kasi zaidi...Mungu awabariki sana napenda vijana na watanzania wenzangu tunavyopiga hatua kwa kasi sana
@judykiptim94123 ай бұрын
I love how humble , polite and soft they sound, young love.
@irenembura80454 ай бұрын
Such a beautiful couple! ❤
@DeusMsumule3 ай бұрын
Kipindi kizuri lakini wahusike wanandoa ili tuendelee kujifunza maisha ya ndoa sisi ambao tunatarajia pia kuoa😅
@chany99504 ай бұрын
Nice story👍🏽👍🏽
@witnessmallya51144 ай бұрын
Wonderful moment ❤❤
@linnerphilip42604 ай бұрын
Huyu mkaka anapenda kiingereza afu haelewek worst or best anachanganya madawa tu
@lilianestephanie78814 ай бұрын
Meet us nawapenda ila hapo kwenye miscarriage aiseee Raheem umeniangusha big time🙌
@user-yb1mv2nx6m3 ай бұрын
Nawapenda sana mungu yupo pamoja nanyi awabariki mfanikiwe mfunge ndoa
@JuniceThobias5 ай бұрын
Walking through their dreams together ♡♡♡♡🤍🤍🤍🤍
@Mimy_keys4 ай бұрын
Tuleteeni wana Ndoa jmn , Haya mambo ya Mahusiano sio kbs
@visitmwanza_now5 ай бұрын
Quality, Storytelling and everything on perfect
@donathasimon92924 ай бұрын
Ni nzuri. Ila tupeteeni watu ambao tayari wapo kwenye NDOA sio wapenzi tuy
@didie32024 ай бұрын
sasa wakiweka couples za wenye ndoa Tu Sisi tunao date tutajifanza nini kuhusu dating life
@shedy_marieАй бұрын
😂😂😂😂ndoa ziko wapi Sasa lbd ya lulu
@bigstudio2554 ай бұрын
But it's wonderful story
@MariamMihayo5 ай бұрын
Nc couple congratulations to you guys
@RAZAKIMMALINDA3 ай бұрын
Creativity 🙌🙌🙌✈️
@user-ou2qs9qp1i4 ай бұрын
Wow kweli hyu candy she is a real feminine wanaendana
@kidatokassim76165 ай бұрын
Hiki kipindi kinapendeza zaidi kwa watu waliooana sio wazinifu kitatuboa sana 😂
@amFreddieChege5 ай бұрын
The production is 👌🏿💯 the lighting,video & audio quality 💯👌🏿 keep it up
@chani_tayra_official18605 ай бұрын
This is so beautiful guys🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺we want moreeeeee ❤❤❤❤❤
@mudathiralarakyamiyanji90925 ай бұрын
So this is it, only one video? It's very good content.
@user-yz3ed7dj5u5 ай бұрын
Yanii huyuu Kaka anaongea point Sanaa jamanii Kama mko hvoh kwelii mungu awatunzee
@DerestaDicken-hu5wo5 ай бұрын
Hii story yenu bhna imenikumbusha mbali..... Dah jmn ❤
@user-vf5pp2wn1f4 ай бұрын
Mko poa San jmn mko vizul san🎉🎉🎉🎉❤
@missdija49595 ай бұрын
Candy is matured more than Raheem
@IdarousPossy4 ай бұрын
True
@iamvictor73874 ай бұрын
There's a difference between being soft spoken and maturity.. Do your homework!find yourself a dictionary
@imanimwakinga493422 күн бұрын
@@iamvictor7387true... Candy was feminine, she was composed
@saidmasika87385 ай бұрын
owa huyu kaka ni msichan mtulivu sana hikima eshima upole nyota yako usimdharau huyu wanawak sio wote wastarabu❤❤❤❤
@hemedchuma9-cq4nh4 ай бұрын
Hii nzr lkn itapendeza zaid tukiona wana ndoa au wanandoa ambao wamegombana iwe sehem ya kuungansha au wapnz ambao wanakarbia kuoana.
@pauldauton56555 ай бұрын
150 kg ❤🎉
@user-et6kc4xy3f4 ай бұрын
🔥 ❤
@AbdallahMsuya-iu7ey5 ай бұрын
ILA MNAPENDANA MBWA NYINYI, PUMBAVU ZENU..😂😂
@emmilianaedward80494 ай бұрын
😂😂😂😂 ila watu
@HannahRichard-ru3rj4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 God have mercy oo
@drvidah70304 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@pesmonk62274 ай бұрын
🤣🤣🤣🙌🙌🙌
@vickydan28694 ай бұрын
😅😅😅😅
@Empdigitaltanzania5 ай бұрын
Hii ndo maana ya Production 🎉🎉🎉🎉 Sounds na picha ni Africa nzima hakuna Podcast ya kuweza hili
@AQM1824 ай бұрын
😂😂 okay love is byurifulll thing
@bigstudio2554 ай бұрын
Na mm ndoo Big
@lightnessfred48115 ай бұрын
Waooh next please 😍❤️😍❤️
@zeyounhabibty85873 ай бұрын
Maongezi ya kitoto aghhh!
@user-lu3nb8yr7f5 ай бұрын
I love this couple ❤
@aimborannko40484 ай бұрын
Kofi la mpenz haliumi
@mawegochanel20203 ай бұрын
naombeni kuuliza hii podcast anaimiliki nani? bonge moja ya idea
@piusmasolwa87834 ай бұрын
🙏🙏
@everythingidoformybutterfly074 ай бұрын
Mbona kama ugomvi😂
@paulmrisho57475 ай бұрын
Mwamba anaongea sana majivuno mengi ila pisi katulia sana anajibu kwa akili thats good but production is good sanaaa
@tamimuibrahimu25875 ай бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Love you guys
@noahmasasi35744 ай бұрын
I think hiki pindi kijikite kwa watu waliowana ki harali sio wapenzi
@lilymuro88824 ай бұрын
MUNGU awatangulie
@mwanaally49724 ай бұрын
❤❤❤❤
@shedy_marieАй бұрын
Safii ❤❤
@Almuharmiii4 ай бұрын
Dakika ya 22 kaniongelea mimi😅
@NeemaKenneth5 ай бұрын
Jamani mi nimependa saut zao jamani very romantic❤
@user-sc1gx5zi8i5 ай бұрын
Love story dah jamaa anaongea fresh kinona.
@_divana2 күн бұрын
Hawa ni kina nan? I don’t know them Mwenye kujua anambie
@howardbillionaire4 ай бұрын
hilo penzi linaeza zidi kilo 150 wasee muitei JAY MELODY alipime limefika ngapi
@teddygabriel5662Ай бұрын
😂
@jenystansy36575 ай бұрын
Ooohh wow ❤
@godfreysudi72645 ай бұрын
Ndo wakina nani hawa 😂😂 Mjini watu wengi jmn good love story ila uwindi mwingi kweli
@howardbillionaire4 ай бұрын
ha ha ha haaaa bora umeniulizia ndugu yangu
@drvidah70304 ай бұрын
Meet us high budget
@vickydan28694 ай бұрын
Me siwajui ila nimewapenda
@SululuZunguАй бұрын
Wapuuz hawaelewek story Yao wanajilamba lamba2 hpa hakuna fuzo hapa 😂😂😂
@user-ut2ic2gt3n5 ай бұрын
Raheem et ulinunuaa😂 dada anasema tulinunua vitu siku moja acha hizo mlinunua bhn 😂
@NajmaRamadhan-ig2cw5 ай бұрын
mimi napenda vile penzi lenu lilivyokuwa zito kilo 150 😍😍😍
@shedy_marieАй бұрын
Na usiwah tena kupeana cm kwa media nyie saiv wakubwa cku ile mlikuwa wfm mliniboo kupeana cm sikupenda nawatakia maisha mema mie yatima wa mapenzi😅😅
@FrenkMushi-i7f10 күн бұрын
Msitulete awa wanao chezeanaaaa banaaa
@sarahmcharo15485 ай бұрын
mikadi ooh i know the place kitambo sanaa,, alafu kwa namna unavyojichukuliaa unajichukiliaje kijanaaa tell us!!!!
@Jassmin-media-official5 ай бұрын
Wich County is this
@ScheillahAmissiPosho5 ай бұрын
😂😂😂 county ya nyokoo😂😂😂ukute wewe ndo yule jamaa wa tiktok 😂😂
@material16935 ай бұрын
An hawa wanatuletea story za kihind khaa😅
@eunicesaimon91255 ай бұрын
Mikadi beach oweeee😂
@lifetaken29644 ай бұрын
Ooohweeeee welcome someday tukaliflash mind
@nahlahassan-fd6le5 ай бұрын
Tunaomba tuletewe couples ambazo zimeowana kihalali kisheria ni mke na mume, iwe ndoa ya kiislam au ndoa yakikristo lkn iwe ni ndoa msituletee wazinzi, wazinifu wanofugana hawajaoana please🙏tunataka kujifunza zaid kweny ndoa wanayoptia wanandoa ahsante🙏🙏comment yang isiguswee!!
@rehmakondo5 ай бұрын
Me naigusa😂😂😂upo sahihi,tunataka somo kwa wenye ndoa sio wazinifu, bgup👊
@nahlahassan-fd6le5 ай бұрын
@@rehmakondoww mashallah❤umenielewa😂
@annaepmack72704 ай бұрын
Kweli kabisa hawawengine kama. Maigizo
@sophiaremmy63264 ай бұрын
Ndoa zote zinaanziaga huku acheni kujifanya watakatifu..kama ni watakatifu kaishini macca au bethlehem
@drvidah70304 ай бұрын
Exactly
@user-pb8kc1lv9t5 ай бұрын
Kwaio ukiwa na pcx nyingi ndo unajibiwa DM halaka eboo 😂😂
@fredyjohnson83845 ай бұрын
👍👍👍
@Tariq_Tryagain5 ай бұрын
La meuf est tellement féminine 🥰
@tariqomar82995 ай бұрын
2 love 💕
@SHABANIMALIMA4 ай бұрын
Kumbemlisha ua kiumbe kisichokuwa na hatia Story yenu imenivutia sana lakn ime nihudhunisha hapo mwisho mwisho kitendo cha kushirikiana kutoa mimba kosa kubwa sana hasa kwa mwanamke huwezi jua yawezekana Mungu kakupa mtoto mmoja tu halaf ndiyo hivyo tena umemuua kutoa mimba haisababishi wewekuitwa Binti Bali utaitwa mama wa marehem😤
@HanifaKibwanga4 ай бұрын
Pumbavu zenu mnanifanya natabasamu kama mjinga wakati mm Niko single
@NaomieMasoka-xp4ob4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 kicheko tu
@HanifaKibwanga4 ай бұрын
@@NaomieMasoka-xp4ob aisee 😂😂😂
@mathewswilliums5364 ай бұрын
Pole
@jenifermhagama68553 ай бұрын
Nimecheka
@shedy_marieАй бұрын
😂😂😂😂😂😂 support
@Careenliebe5 ай бұрын
We jamaa nimshenzi
@pendomwaiteleke163613 күн бұрын
tuleteeni wanandoa halali
@zuwenahassan3624Ай бұрын
Kwaiyo walitoa mimba?
@user-mt3zc9zr9s5 ай бұрын
Hawa ni akina nani?
@user-fz9bj5vv8w5 ай бұрын
❤❤
@user-pe8rl9ti4p5 ай бұрын
❤
@judithramadhan87855 ай бұрын
❤❤❤
@MaxamCM2555 ай бұрын
mikadi😂..kwisha wewee
@lifetaken29644 ай бұрын
Hahahaha where ue live kigambon or
@JuakaliLeoUsiku5 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@laurentraphael54703 ай бұрын
Masonic gangs na mavipindi ya hovyo hovyo. Nonsense
@tawhidaabbasi85843 ай бұрын
unajua zile wangap wamezisikia nying kam mm unajua hahahah
@user-db9jb2yc6r5 ай бұрын
Bro can i be ure circle😂😂😂😂
@drvidah70304 ай бұрын
Et sijawahi kutongoza 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@JuniceThobias5 ай бұрын
Aww♡♡♡♡….best 🥹☺︎☺︎♡♡♡🫂
@abuumohamed70904 ай бұрын
Not matured,hawa ni watoto
@datax-analytviews80095 ай бұрын
Super 🫶
@user-qn6qs2sf9e5 ай бұрын
❤❤ ❤❤
@ernestpaul91135 ай бұрын
Eka ya mwijaku sasa
@fatmaomar025 ай бұрын
❤❤
@lifetaken29644 ай бұрын
Fatma ♥️ it's good name hata sound yake nalipenda sana