USHUHUDA WA DR BINGWA SILVATORY NA MKE WAKE WALIVYOPATA MTOTO KWA MUUJIZA BAADA YA MIMBA 7 KUPOTEA

  Рет қаралды 2,285

PROMOVER TV

PROMOVER TV

2 ай бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 20
@shadrachkamyori9911
@shadrachkamyori9911
Ushuhuda mzuri. Mungu awabariki sanaaa. Maajabu ya Mungu mwenye nguvu.
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494
Amen
@MnanilaMrsmnanila
@MnanilaMrsmnanila
Mungu huwa anawaonyesha wachawi na boss wao kuwa yeye ni zaidi ya uchawi wao.
@rerisamba
@rerisamba
Nasikiaga hio kusafishwa usiombe ni uchungu kweli pole sana
@user-pu8vf3xt8o
@user-pu8vf3xt8o
Huu ushuhuda umenigusa Mimi na mke wangu hatujapata mtoto ni mwaka wa 3 sasa na mke wangu anapata matatizo ya kutokuona siku zake kwa miezi 6 mara 4 na anakiwa dalili za ujauzito ila akipimwa anaonekana Hana mimba😭😭😭 imekuwa jambo linaloniumiza kihisia na kiuchumi kwa kiasi kikubwa kwa kimpeleka hospitali mbalimbali naombeni maombi yenu watumishi wa Mungu NAMI anikumbuke nichoka kwa psychological torture ninayopitia
@jesusforlife.5072
@jesusforlife.5072
To God be all the Glory, tunasubiri hilo kongamano kwa imani kubwa mmmno..Mungu atufanikishe katika hili, tumeshalifungua katika ulimwengu wa roho na linadhihirika katika ulimwengu wa kimwili sasa! katika Jina la Yesu. Amen.
@rerisamba
@rerisamba
Wachawi wana mchezo kweli ati inaandikwa paracetamol nakumbe sivyo mmm wachawi shikamoo
@mwikalicatherini6092
@mwikalicatherini6092
Amen 🙏
@agnethapaul6057
@agnethapaul6057
Asante Dr kwa ushuhuda mzuri kabisa!
@gracekiondo2541
@gracekiondo2541
Sasa jamani hayo yoteeeee! Wachawi wanataka nini?
@bobutingababayo5047
@bobutingababayo5047
Amina mtumishi wa Mungu akika ushuuda huu unajenga na wa baraka sana
小宇宙竟然尿裤子!#小丑#家庭#搞笑
00:26
家庭搞笑日记
Рет қаралды 16 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:40
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 33 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 12 МЛН
AZAZELI: MALAIKA KATIKA UISLAMU, JINA LA JINI KATIKA BIBLIA
1:16:56
BAYYINAT DM TV
Рет қаралды 1,2 М.
ALIYEKUWA  MUISLAMU AWA  BRUDA MKATOLIKI
15:19
(UMTV) USAMBARA MOUNTAIN TV
Рет қаралды 11 М.
NGUVU INAYOZUIA MAFANIKIO YAKO.
54:51
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 163 М.
小宇宙竟然尿裤子!#小丑#家庭#搞笑
00:26
家庭搞笑日记
Рет қаралды 16 МЛН