Shukran kwa darsa nzuri muno .Allah atuongoze katika mambo ya kheri na mwisho mwema in shaa Allah
@swabriali45834 жыл бұрын
MashaAllah nimefaidika na mawaidha
@zainabmkomwa33134 жыл бұрын
Mashaallah Shukran Shekh Allah atuongoze tuweze kuyazingatia haya na atujaalie mwisho mwema
@khamisiamri57224 жыл бұрын
Zainab Mkomwa I
@alhamdulillah57964 жыл бұрын
Amiin
@joharihessen11434 жыл бұрын
Mashallah shekh Allah akupe kila lakher shekh
@rukiamatano77643 жыл бұрын
"Mashaallah shekh wetu,Allah akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha zaidi..Na Allah akuandalie jannatul firdhaus.
@shammoha52974 жыл бұрын
SubhanAllah. Wallah! Sheikh upo sawa kabisaaa!!!. Mola atusitiri atupe imaan na subra. Huruma kw wenzetu pia, Ameen yaa Rabbil Alamiin
@user-qe8xp6ii1u4 жыл бұрын
Umeongea Kitu muhimu sana Mana Wakisema Misikiti ya Sunna Hapo Pangetiwa Indaa.Shukraan Kwa Kuwafundisha Wenzio kuwa Hakuna Maneno(Duwa) ya kushona Sanda wala Kuosha.
@mariamjuma36843 жыл бұрын
Swadaqta yaa shekhuna wa barakallahu feek
@esharjab10444 жыл бұрын
Ewe Allah tuonyeshe haki kuwa n hakiutuwezeshe kuweza kuifwata.na batil utuepushe tuweze kuiacha . Aamiin.shukrn Allah baq
@abdallahjuma81684 жыл бұрын
Maa Shaa Allah . Allah akulpe kheir
@ramadhaniamour48343 жыл бұрын
Naaam swadkta shukran🙏
@swaumumohammed57104 жыл бұрын
Allah Akuhifadhi shekhe wetu kunawatu wanatia ugumu uislam wetu 🕋
@johariabdalla33194 жыл бұрын
Shukran sheikh kwa kutujuza na kutufunza,wengi wao wengine wanakwenda ili waonekanwe tu kama wamehudhuria,lakin kweli mengine hawayajui,Ni wachache tu wanojielewaa
@azizimwarami27414 жыл бұрын
Shukran kwa darsa zuri nimekuelewa M/Mungu akupe umri mrefu uzidi kutupa faida
@AbdulAbdul-vp2np4 жыл бұрын
Mashallah sheikh mawaidha mazuri sana Allah akulipe kila la kheri na akuepushe na kila la Shari Inshallah
Maa sha allah Tabaarakallah. Mngu akuzidishie kheir kwa kutupa faida
@nahyanhareb40534 жыл бұрын
Shukran Sheikh .
@salumothman75484 жыл бұрын
Shukrani sheikh nimekuelewa inshaallah
@bundalahamza89024 жыл бұрын
Shukran sheikhe Othman
@ghulamjuma28834 жыл бұрын
Mashallah Mwenyezi Mungu akuzidishie Shehe
@ashooraashoora1180 Жыл бұрын
Jazzakumllah Khery
@halimayusufu63054 жыл бұрын
Mawaidha mazuri mpaka machozi yalitaka kunitoka nikikumbuka kwanini sikuwahi kuipata mapema elimu ya mwenyezi mungu mama yangu alifarika nilikuwa kumwona Tanzania nilivyoondoka kama week 2 akafariki baadae nikawa nasililiza mawaidha nikasema ewe mwenyezi mungu nisamehe makosa yangu nilitamani hata ningembusu na kumwosha mwenyewe
@farajisureman99254 жыл бұрын
Allahu Akbar.Ahsante kwa shule.
@kambangashaibu54754 жыл бұрын
Mashaalah sheikh,m,mungu atupe mwisho mwema inshallah
@osamashakeeb71944 жыл бұрын
Masha Allah
@michaelmahindi90974 жыл бұрын
Jazakallah khair
@mirajihamza28925 ай бұрын
Maashallah jazaakallahu khaira
@bebisheni43804 жыл бұрын
Asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik
@samanthaali8734 жыл бұрын
Subhna Allah shukran
@Ukhtyzuhura4 жыл бұрын
Allah akuhifadhi sheikh wetu
@assoumantuyishime68402 жыл бұрын
Shukran
@shabanijuma20852 жыл бұрын
Allah akulipe badala
@fakisuleiman80383 жыл бұрын
Mashallah tunashukuru shekhe wetu
@abedisalumu22954 жыл бұрын
Allahu Akbar
@osamashakeeb71944 жыл бұрын
Allah akulipe pepo
@shakirazuberi24674 жыл бұрын
Masha-allah
@salummwanjali32074 жыл бұрын
Allah akufanyie wepesi kwani ni kitu kikubwa ulicho kitoa kuhusu mwisho wa binadam kuosha hapo ikifika steji hiyo.mtatafutana kwelikweli
@ocroafff55274 жыл бұрын
Mashallah
@user-ll4rz8ug1g4 жыл бұрын
Shukran kwa ukumbusho pia shukran kwa kueleza ya muhimu umewapa ukweli umechana live bila ya chenga maana wangesema wa watu wa sunnah mngetia indaa lkn nyie wenyewe kwa wenyewe mnapeana dozi
@yusuphmohamed55414 жыл бұрын
سعد المنجي lengo lako ni nn
@asiaissa9764 жыл бұрын
اللهم صلى على سيدنا محمد وعلى ال محمد
@user-lr1oi6xp8o4 жыл бұрын
صل الله عليه وسلام 🙏 😎
@abumoyo8404 жыл бұрын
Mashaallah
@salehkhamis33183 жыл бұрын
Mashaa Allah
@twaibumikidadi73774 жыл бұрын
mashallah
@hassaniharuna53284 жыл бұрын
Mungu akulipe pepo
@swaumukareemu92474 жыл бұрын
Haya ndio mawaidha ya kutufundisha
@salumungare83754 жыл бұрын
Sawasawa sheikh.
@laylasuliman58054 жыл бұрын
Nikweli shekhe unajua kupangilia maongezi
@khalfansharji97904 жыл бұрын
Allahumma ihfadhu umat MUHAMAD Allahuma Ameen.Ndoa nyingi za waisilamu na hata vizazi vingi katika uisilamu ni mashaka matupu mkivichakura chakura mtaja wakuta hata mashekhe wamo wengi wa nje yandoa na kama wamo ndani ya ndoa lakini ni wa kharamu ATTANTION:::::Acheni mijadala ambayo sio muhimu ktk umma bora zungumzeni ya kukosha.Maana ya halali ya ndoa tukiwapanga masheikh 10 yawezekana 9 mashaka mwacheni allah ajuwe wa halali na waharamu sisi tuelimisheni kwa yajayo yalopita mwachieni ALLAH EEEH Mashekhe!!!
@nasirirashidi26334 жыл бұрын
Sheikh je kusindikiza JENEZA ?
@bennymochiwa48004 жыл бұрын
tupe vidonge vyetu sheikh, tuchane live
@abusaeed90374 жыл бұрын
Benny Mochiwa wacha ww
@arqamibnarqam.71854 жыл бұрын
Maashaallah
@bennymochiwa48004 жыл бұрын
@@abusaeed9037 ndio ukweli huo sheikh wangu
@maryammaram26124 жыл бұрын
Mim napenda kuosha lkn pia nilikuwa najua kuosha kunahitaji elmu kubwa kubwa na kitu kingine wanakinamama wanatukataza kuingia katika kuosha labda wakishamaliza kumvisha sanda ndio tunaachiliwa kuingia..
@dezainermedia10354 жыл бұрын
Maashallah
@habibsuleiman88084 жыл бұрын
MAA~SHAA ALLAH. ALLAH akuhifadhi AMIN YA RABB.
@fatmakhanii16764 жыл бұрын
Laweza kuwa tofali zuri ila dharuba ikawa kali likapindukia mbali shekh
@mwanaishahussein26353 жыл бұрын
Inalihi wainna ilaihi rajiu'un. Nikweli shekh mambo yaligeuka tena sana sana sana 😳😳😳🇰🇪
@suleimanbakar12714 жыл бұрын
msiseme uongo kama ni huko kwenu ni huko tu,kwetu tunapika chakula cha familia waliopo ktk msiba wao tu
@bintykigan62364 жыл бұрын
Hio ya chakula pengine inamaana ni Ada
@shamomar6292 жыл бұрын
Chakula ni ada
@fatemaligalawa41514 жыл бұрын
Nieleweshe Mtoto wa nje yandoa akitakakuolewa nani anaitajika kumuozesha
@mohamedyusuphu68584 жыл бұрын
fatema ligalawa wakufungisha ndoa hiyo ni kazwi au kiongozi wa kidini
@fatemaligalawa41514 жыл бұрын
@@mohamedyusuphu6858 sawa
@MtuSafi4 жыл бұрын
@@mohamedyusuphu6858 kwani anafungishaga nani Kama Kama sio kiongozi Wa dini (Shekhe)mzazi si anakuwa mtazamaji tuu?..Au unaongelea kwenye kukabidhisha?
@fatumashaibu14614 жыл бұрын
Anafungisha baba, km bb hayupo babu mzaa baba aliye halali km hayupo kk wa bb mmoja wa ndani ya ndoa. sheikh anatoa hotuba tu.
@fatemaligalawa41514 жыл бұрын
@@fatumashaibu1461 baba tena wakati sio wandoa?
@alhamdulillah57964 жыл бұрын
Lkn sheikh ikiwa unasisitiza watu kuosha maiti yao wenyewe bila ya kuwahimiza kupata elim sahihi na kusema ati maiti hana kazi kuosha ukishamtia ndani ya tangi la maji kishasafika. Vp kuhusu kumkafini? na vp namna ya kumvisha sanda? Bila ya kupata elim wataweza kuyatekeleza kwa uhakika haya? Au kwa muonekano wako ww sanda inafungwa vyovyote tu na kukafini hakupo?
@yusuphmohamed55414 жыл бұрын
Love Mummy kinacho kusudiwa ni kujifundisha hakuna aliyezaliwa anajua
@alhamdulillah57964 жыл бұрын
@@yusuphmohamed5541, Naam hakuna aliezaliwa na kujua na ndio nikasema awahimize watu kupata elim sahihi (kujifunza labda itakua nilivyotumia elim hujanifaham). Lkn sio aseme hata ukimtia kwenye tangi la maji kishasafika, hapo atakua bado hajasafika.
@mbaroukalmubarak1824 жыл бұрын
Kukafini na kuvika sanda ina maana moja .hili neno la kiarabuكفن lenye maana kuvalisha
@suleimanbakar12714 жыл бұрын
wewe ukioga janaba huna dual?usiwapoteze waislam
@shabanihashimushabni57442 жыл бұрын
Maashallhaa ndug yangu othumani
@popekatalango94092 жыл бұрын
Hakuna dua ya kuogea janaba; kama ipo itaje
@maherzain6154 жыл бұрын
MashaAllah shukran sheikh.hii shida iko kwa waarabu.wanaeka wahindi special, kuosha nakukafini maiti zao. wao hawana time hizo
@nadranadra52874 жыл бұрын
Mashallah
@neemafatu78854 жыл бұрын
Ila mashaallah, unajua kupangilia kuongea.unaeleweka.Allah akuongeze.