Sipendi kutukana ile nyie watu mnazingua kinyama, Mungu hayupo hivyo mnavyomchukulia nyie, sina tusi zuri la kuwapa aiseeeee, ila tafuteni maneno mazur ya kuja kumueleza allah
@muhammadkipangatv26742 жыл бұрын
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojali
@allysaidlyambange45002 жыл бұрын
Hahaha
@mustafaabdallah10952 жыл бұрын
Hawa wakristo ni wazuka.. Hata hawajielewi
@zvpOnlineTv2 жыл бұрын
Kabisa
@hiimbinaimmuslim30412 жыл бұрын
Mashallah elimu hiyo kama hamujaifahamu wala hamufahamu tena 💪🕹
@yustinmbilinyi6712 жыл бұрын
uzuri wa iman nikwamba mtu hashikiwi rungu kwamba lazima uamini dini furan lakini unafanya unalolijua na kuliamini kwafaida ya nafsi yako mwenyewe so tunaoamini kua Yesu ni Mungu tusome sana Zaburi 91:14-16
@yustinmbilinyi6712 жыл бұрын
tafuteni sana njia zakupotosha watu Mungu anawaona one day mtayajibia haya mtakapomuona Kristo kua ni Mungu nawakati mtakua mmeuchelewa
@zvpOnlineTv2 жыл бұрын
Haaaaaaaaa Tupe andiko wapi yesu anasema yeye ni mungu
@shamimnassor61922 жыл бұрын
Yesu sio MUNGU
@hudhaymatmbezi21722 жыл бұрын
Ndio kaongea nn huy yustin mbiliny
@johnwoshi34592 жыл бұрын
We mazinge na kundi lako mpigie simu Christian prince acha kusumbua watu wasio elimu ya kutosha Quran inakiri almassia ni Mungu saa we unapingana Quran
@zvpOnlineTv2 жыл бұрын
Tetea hoja acha jazba
@mohamedimohamedi89332 жыл бұрын
Be careful brother do research before u depart in this life mungu hafi
@shamimnassor61922 жыл бұрын
Christian prince mwenyewe ni muoga kafiri yule hana uislam wala x Muslim..amekaa ndani amewapanga makafiri wenzie wampigie simu wakisema uongo. ..yeye ni km apuss na devid wood,,wanajiona Simba wakijifungia ndani ila wakitoka nje kwenye midahalo wanashindwa hoja
@mohamedimohamedi89332 жыл бұрын
@@shamimnassor6192 wote hao wameshindwa ni wasanii tuu
@shamimnassor61922 жыл бұрын
@@mohamedimohamedi8933 walai huyo alomtaja ndio hamna kitu kabisa waislam kila siku wanamwambia km ww kidume acha kujifungia ndani kuja nje tujadiliane ..ss huyu anamsifia mtu hapa ambae hajaona hata sura yake anaweka sauti tu akijisemesha mwenyewe kisha anamuona mtu huyo ni mshindi
@DIDIKILOZOfizi2 жыл бұрын
Waislamu wabishi mno... hawampi mtu mda wa kuongea. Mnatafsiri biblia kama kitabu cha historia. Ujinga mtupu