Safiiii sanaaaa...sheikheeee umewamaliza vizuri sanaaa...duuh kumbe wakristo mungu wao yesu..na yeye pia yesu anamungu wake..huwa anamuomba...yani mungu arafu na yeye pia ana mungu anae mtegemea kumuomba...daaah wakristo kweli baadhi yao 0.0 hamna kitu kichwani
@abduliashiru93942 ай бұрын
Asante sana Shekhe, Darasa zuli sana Allah akulipe khery Duniani na Akhera Amiiin.
@user-qv3xp1fd4uАй бұрын
Yesu si mungu bali ni nabii t ni mtume wa mungu
@huseinshedrack61802 ай бұрын
Wallah ndio maana mm nilisilim,yaan Ukristo ni shida sn
@alexandernyambo77392 ай бұрын
Ulienda kwenye uislamu kumfata Muhamadi aliyeolewa na Bi Hadija??? Kweli wewe rafiki yangu kama ni kupotea ndo umepotea kabiiiiiisaaaaaaaaaaaaa
@huseinshedrack61802 ай бұрын
@@alexandernyambo7739 uko sahihi ni bora mm nilie mfuata alie olewa akapiga na show kuliko ww una mfuata Yesu jogoo alikuwa hapand mtung mpk anaondoka hajui Raha ya Dem😂😂😂😂
@alexandernyambo77392 ай бұрын
@@huseinshedrack6180 Na huyohuyo ndiye aliyewafundisha umalaya, maana yeye aliolewa na bi Hadija na akamwoa tena Ahsha mtoto wa miaka 6.... 🙄🙄 Jamaa alikuwa malaya na mbakaji, kisha eti ni mtume, ametumwa na shetani 😈 kueneza umalaya sivyo eeeeh?? Ndo maana nanyi mnaendeleza mambo yake kwenye TARAWEY 😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏 Na wanawake wenye macho kama vikombe wanawasubiri huko Kuzimu kwa baba yenu...
@hasaniabdalah61482 ай бұрын
@@huseinshedrack6180😂😂😂 ila wewe umenichekesha mungu akubariki
@huseinshedrack61802 ай бұрын
@@hasaniabdalah6148 ni hatar ndgu yng,hawa makafir wanacho kijua ni kukashifu metume wa Mwenyez Mungu tu,mm toka niingie ktk Uisilam cjawai kuona Waislam wakiwakafu Manabii,sasa ni kwenda nao hvyo wanavyo taka wao maana hta mm nilikuwa huko kwenye akil zao za kijinga
@DanKanu-ox4hxАй бұрын
Yesu si Mungu ni Mtume wa Mungu
@MejjatScott-mf2vi2 ай бұрын
Kweli na Asante!,cc niwajinga wa mapokeo mabaya
@LugomeRisasiАй бұрын
Mimi ni mkristo kwa mafundisho haya shekh Yuko vizur jina la Alie mtuma yesu lihimidiwe
@UmarMasudi-so2hi20 күн бұрын
Wakristo hawana oja dhidi ya uislamu... Ustaadh wangu nakufata 100%toka drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@saidgumbo25292 ай бұрын
Yesu hana sifa yakuitwa mungu hata kidogo kwasabubu ,ukisoma yohan 8:40 inasema hivi , lakini sasa mnatafuta kuniua mimi mtu ambae nimewambia iliyo kweli niliyo isikua kwa mungu Ibrahim hakufanya hivyo
@sudihammad73872 ай бұрын
Warumi 9:5 ambao mababu ni wao, na katika hao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili. Ndiye aliye juu ya mambo yote, Mungu, mwenye kuhimidiwa milele. Amina.naomba isomeni taratibu kufata hizo alama za lugha
@engineerjuma98762 ай бұрын
Kwanza ujue hiyo warumi ni kitabu kikichotoka wapi? , Mtume paulo yeye ndiye aliyetoa mafundisho ya Uungu wa Yesu na huyo paulo ndiye aliyeleta fundisho la Utatu mtakatifu na yeye paulo ndiye muasisi wa Ukilisto na hayo mafundisho ya paulo kutoka kwenye vitabu vya Matende ndio Msingi wa Ukilisto na ukilisto mafundisho yake yanategemea vitabu hivyo
@maclaudismail660614 күн бұрын
Wapi kwenye biblia imeandikwa kristo ni jina la mungu ?
@bakari522 ай бұрын
Asante mwalimu. Wenye kuelewa ataelewa
@athumanmkomwamkomwa2912Ай бұрын
Maashaalah
@ashrafnuru64022 ай бұрын
Bibilia ni kitabu kinachochanganya watu huwezi kusoma bibilia ukamjua yesu mana mara aitwe mungu, mara mwana wa mungu, mara mtume, mara nabii wazungu washafanya yao,
@alexandernyambo77392 ай бұрын
Ninyi waislamu ndio madishi yenu kichwani yameyumba Kwani mwana wa mbuzi naye ni nani, mwana wa nyoka ni nyoka pia, sasa nini cha kushangaza kwa Yesu kuwa mwana wa Mungu na kuwa Mungu pia
@ashrafnuru64022 ай бұрын
@@alexandernyambo7739 Kwahiyo unamaanisha mungu Anazaa,yaani nyinyi imani yenu ni imani tu bila logic yaan, Bibilia ni mvurugano tu ety husipungeze wala husiongeze neno wakati Bibilia zenyewe zietofautiana idadi ya vitabu
@alexandernyambo77392 ай бұрын
@@ashrafnuru6402 Luka 3:21~22 "Ikatoka sauti ktk lile wingu ikisema... HUYO NI "MWANANGU" MPENDWA, MSIKILIZENI YEYE" Wewe ni nani hata uhoji kuzaa au kutozaa 🙄🙄 Na hiyo ndiyo sifa ya kuwa Mungu, kwamba ANAWEZA mambo yote Hakuna asicho kiweza aiseeeeh Anaweza kuimba, kubomoa, kujenga na hata kuzaa kwanini asiweze!!!!!!!!
@saiddgsmg2 ай бұрын
@@alexandernyambo7739 kwamaana hiyo mungu wako wawili yesu na baba yake,sasa je yule mama yake maliya atakuwa mungu mariya,na baba yake yusufu atakuwa mungu baba yusufu,sasa swali langu kwako kabla ya huyo mungu yusufu dunia ilikuwa inaongozwa na mungu gani???!!!...
@alexandernyambo77392 ай бұрын
Kwa kweli BIBLIA ni kitabu kinacho changa ya sana sana.... Hauwezi ukawa na mzigo wa Majini, Maruhani na akina Makata na Subihanj kama mliyonayo ninyi Waislamu kisha ukaielewa vizuri Biblia... Biblia ni Takatifu, hueleweka na wenye Roho Mtakatifu tu, kwa kuwa ni Biblia Takatifu tu
Moja mungu alimuumba adamu ambae Hana baba Wala mama 2kisha aka muumba Hawa kwakutumia ubavu wa Adam akaatikana bin Adam mweny baba asie na mama 3
@issakakolwaАй бұрын
Duuuuh kz kwelkwel, mungu gn aliye zaliwa?, mungu gn anae kula kunywa na vngne kama hvyo?, co kuw waislam wanachkelea kw uelew wenu nooo, cc waislam 2na wacktkia kw ujnga wenu kueni wajanj bac, kw nn mambo yko waz ksha niny mnayafchia ukwel wke?, ALLAH TAA'LA akueleweshen in sha ALLAH.
@ElizabethChuriАй бұрын
Muombe mungu kwa lugha yako apate kuku elewa
@abdulJambe2 ай бұрын
Swali langu kabla yesu hajazaliwa nani alikuwa mungu
@mohammedawissa98632 ай бұрын
Watakuli wakristo insha'ALLAH
@ShamimHassan-qm1et2 ай бұрын
Endeleen kubishan wenyew kwa wenyew sis tupo palee👉👉tunawaangalia tu😎
@HassanJaphari-rx7jy2 ай бұрын
Wataelewa tuu na sasa kweli inaanza kuwa bayana baina yao. Alhamdulillah ☝️🕌♥️♥️♥️
@Muslim-z3z2 ай бұрын
Mbona Mzee wa upako kasema kweli kuhusu mungu
@LaizaLaiza-oj9uw2 ай бұрын
Uko sawa dada kabisa
@user-yw2si9xq5sАй бұрын
Kwahiyo mzee waupako yupo sahihi
@FatnaAlly-go7yt2 ай бұрын
Allahuvakbar ama kwa hakika mola wetu hanana mtoto wala hajazaaa wala hajazaliwa na wala haikuwa kifano na kitu chochote na yes ni mtume wa mwenyezimungu
@user-ib7kx9dc5m2 ай бұрын
Acha waji fyatuw akili hivi kweli mungu umvalishe nepi umtundike msalabani upoge msumari ana kuangalia tu nyie warumi Mme walisha nini Hawa nduguzetu mpaka Wana kuwa kama mazombi
@saiddgsmg2 ай бұрын
mi naona wamelishwa maviiii😂😂😂😂
@KeiFerouz-fn9oc2 ай бұрын
Sura gani iliyosema yesu ni mungu
@jacksonmwafongo19172 ай бұрын
Kwa hiyo mungu wako ana ulithi kutoka Kwa nani acheni kumkufulu mungu
@Naw892 ай бұрын
Sikiliza maandiko wacha jazba Yesu avalishwe nepi kama wewe na bado umfanye kua Mungu hata akili ya kawaida haingii akilini
@saidgumbo25292 ай бұрын
Wakrsto wote mnaosema yesu ni mungu ,swali (1)yesu kazaliwa na nani (2) na mamake yesu kaumbwa na nani (3) wakati yesu Yuko tumboni mwa mama yake Dunia ilikua na nani.
@jombadulla2 ай бұрын
hawawezi kujibu,hawa wanaburuzwa tu,ni punguwani,huyu yesu mtume wa mungu kama mitume mengne hana chochote, hana tofaut na musa au daud,wenzetu wanakosea wapi
@sleymankassim43322 ай бұрын
Usisahau Yesu alikaa tumbon miez kadhaa,
@georgemartinmartin54232 ай бұрын
Mbona mepesi sana hayo maswali
@graceswai91662 ай бұрын
😢mwapotea kwa kuwa huyajui maandiko, hata Quraan imewaambia mtuulize mambo ya kiroho ninyi hamyajui
@ahmedabry2932 ай бұрын
@@graceswai9166jibu maswali usizunguke
@kiumbeabdul2 ай бұрын
Mtu yoyote, kama akikusikiliza vizuri, ni lazima aseme kwamba yesu sio mungu ila ni nabii
@alexalute67122 ай бұрын
Wapinga Kristo wapo wengi duniani leo shekh wangu. Soma 1Yohana 2:18-26
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Soma yohana 17:3
@Ostica..Omie..junior2 ай бұрын
Kwaiyo nyinyi iyo bibilia yenu inabishana maandiko..kweli iyo bibilia ipo sahihi..kitabu cha mungu kimekamilika akina makosa..God is perfectly..mungu ajawai kukosea..kwanini iyo bibilia yenu inapingana maandiko..?iyo iyo bibilia inakataa yesu sio mungu kwa matamshi yake mwenyewe yesu..iyo iyo bibilia yenu inasema yesu ni mungu..daaah huruma sanaaaaaa kwa wasio na akili🤣🤣🤣 nacheka sanaa
@HappyKiteboarder-du9th2 ай бұрын
Hivi Hawa wakiristo wanasoma vitabu Gani .,.au hawaoni je kusikia Pia hamsikii
@felixgitonga67832 ай бұрын
Yesu kristo alikuwaweko kabula ya dunia Soma methali 8 22_30quran alaha akumba yoate kalamu peke
@tajiriwaroho2 ай бұрын
Katika jambo la kujivunia kwa Waislamu tumeanzakueleweka wanakataa sasa Yesu si Mungu wenyewe kwa wenyewe wale wanaosema Yesu Mungu wajiulize kwanini ametumwa wanajichanganya mara wanasema mwana wa Mungu mara Mungu mwenyewe hawajuwi wanachokiamini lakini washaanzakuelewa
@user-tc9vi3ow3n2 ай бұрын
Naomba Hilo andiko mungu kuwauliza nani amtume Yesu anasema mitume Mimi,andiko Hilo lipo wapi?
@fardoshnassor78472 ай бұрын
😢
@HabibuUrasa2 ай бұрын
Hawa makafiri wasiposilimu wataishia motoni
@pwezapwezafelix72222 ай бұрын
Tafautisha maandiko mangine yamechomekwa ktk biblia kur an ndio kiboko yao huwezi kuchomeka ktk kuran
@MidaMapunda2 ай бұрын
Safi shehee.. Ningekuwa karibu ungenisilimisha.
@Naw892 ай бұрын
Kama nia unayo mpigie simu akusilimishe Hakika dini ilio ya haki ni uislam anaeabudu dini isio ya kiislam haitakubaliwa bali atakua na hasara siku ya mwisho
@Naw892 ай бұрын
Pia unaweza kwenda msikitini sehemu ilio karibu na wewe hapo utasilimishwa
@hashirukitumbi62452 ай бұрын
Allah akufanyie wepes, tafuta msikiti wowote jirani yako utasilimu. Allah anawapenda wenye kuiona haki na kuifuata.
@user-ov9zg1gl5b2 ай бұрын
Amani ya mungu iwe juu yako mpendwa
@salimobeid14702 ай бұрын
Allah akuongezo ndugu yangu usilimu
@JumaJuma-gw1dq2 ай бұрын
Mwisho ya yote nyie mnao sema yesu ni mungu kabla hajakuepo huo yesu Dunia ilikuwa na nan
@MohamediOmari-nz4vv2 ай бұрын
Vitabu vimetungwa na wazungu kwa faida zao wametoa ukweli wameweka uwongo
@ramadhankilango90882 ай бұрын
Bibilia inatuchanganya bhana
@allysaidlyambange45002 ай бұрын
MIMI NINACHO JIGAMBA NIKWAMBA 1.BABA=MUNGU mfano msimwiite yeyote baba duniani,baba/mungu in mkuu kuliko Mimi,baba au mungu wangu in mungu wenu😅😅😅MANENO YAKE KRISTO KINYWANI
@dstaroficial2 ай бұрын
😂😂😂😂 Mungu ana kikao . Mungu xijui mnamchukuliaje mabos
@sabihaibrahim1432 ай бұрын
hakika huyu mtoto ndo mwalimu wao
@HappyKiteboarder-du9th2 ай бұрын
Kabissa
@majidabas38432 ай бұрын
Ni talent yapekee
@DanKanu-ox4hxАй бұрын
Hii ndiye sababu ilifanya nikawa muislamu
@ayshahamisi6 күн бұрын
Maa Sha Allah tabaarakallah, Allah akufanyie wepesi
@hassanbilali16972 ай бұрын
Kumbe ndiyo maana munawapenda waisrael hatakama hao waisrael wako mbali na ukristo
@user-bq2zp5vq3e2 ай бұрын
Kipara yesu simba wa yumba atakuja mungu
@Lameckrichvsix2 ай бұрын
Ninani na nani ulowaona hao wakristo wanabishana wao kwa wao kama sio ujinga wa ku'dis imani za watu we ostazi zungumzia mambo yako ya kiislam nani anakupa ww uchungaji wa kutuhubilia habali za yesu hali ya kuwa muislam au ww ni kafili
@BobgIsmail22 күн бұрын
Siyo kama wakiristo hawaelewi wanaelewa kila kitu na ukweli wote wanaujua bali ubishi tu
@samxx4112 ай бұрын
Wote kundi moja, hawajielewi wao wenyewe hawana uhakika na dini yao...na hakuna mkristo mwenye uhakika na dini yake ila ubishi tu...
@mckobatz58612 ай бұрын
Ili mtu awe anahitaji vitu vitatu roho, nafsi na mwili kitabu cha mwanzo kimesema "na tumfanye mtu kwa mfano wetu" ndipo inapokuja sense ya trinity Mungu baba mwana na roho mtakatifu. Malaika kiumbe wa mwenyezi Mungu mwenye kazi ya kutoa roho anaweza fanya hivyo kwa sekunde moja ktk maeneo tofauti Mtwara, Rukwa, Mwanza, China marekani na Palestine Mungu kwanini mnamuwekea limit kwamba kuna anavyoweza na vingine hawezi?(kuwa mtu na kuwa Mungu at the same time). Israelites jangwani walipoomba kumuona waliposikia ngurumo tu kidogo wakasema basi je huyu bwana mkubwa angekuja ktk utukufu wake jicho la nani lingeweza kumtazama? Hapo mwanzo palikuwako na neno naye neno alikuwako kwa Mungu naye neno alikuwa Mungu katika yeye vitu vyote vilifanyika. He's God that's it.
@kabithechoreographerandcom74392 ай бұрын
John 10 :30
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
John 17:3
@user-qg7el6gc5j2 ай бұрын
Yesu na Mungu, Muhamad na Allah. nadhani tumeelewana....... Yesu ni mwana wa Mungu. ndio maana huwezimsikia mkristo anakemea mapepo kwa jina la Mungu bali kwa jina la Yesu. kwamba sisi tunaunganishwa na Mungu kupitia mwanawe Yesu Kristo
@saidsuleiman17532 ай бұрын
Yesu na Mungu inakuwaje tena wakati Yesu ni Mungu
@user-qg7el6gc5j2 ай бұрын
@@saidsuleiman1753 ukisema yesu ni mungu basi muhamad ni mungu....
@DanKanu-ox4hxАй бұрын
Muhammad ni Mtume na Yesu ni Mtume tunaamini mungu ni mmoja (Allah).
@natafutamatatizo43822 ай бұрын
WATAELEWA TU HAO WATOA SADAKA KWA SHETANI🦝
@prochesernest54392 ай бұрын
YESU ni Mungu Yesu ni Mungu Yesu ni Mungu Yesu ni Mungu mkuuuu Muhammad asikie na majini yote yaipate hiyo taharifa
@KaitaKatema2 ай бұрын
acha ujinga MOHAMMAD anaingiaje hapo mjibu huyo dada
@swafiirbulbul8192 ай бұрын
Sio Taharifa .. 😂 ni TAARIFA .. Jifunze Kiswahili kwanza
@hasaniabdalah61482 ай бұрын
Wadanganye wasio na maarifa tulio na maarifa tushajua zamani kuwa Kalam ya waandishi imetiwa hukoo kwenye bibilia na alie iris Kalamu sio Muhammad ila ni hao mayahudi ilu msitambue ukweli ujao ambao ndio huu uislam juu lako kufuata au usifuate kesho yako ndio itakupa majibu anayo pinga leo
@ANDREWKIMARO-by3zl2 ай бұрын
@@KaitaKatema Sasa sheikh Shafii amekuwa mdada sikuhizi? Hapo hamna hoja ya msingi , YESU NI MUNGU TITO 2:13 imeisha
@prochesernest54392 ай бұрын
@@hasaniabdalah6148 kesho yangu Kwa Yesu aliye mbinguni wew kesho Yako Iko Kwa marehemu Muhammad huko kaburini sisi ni WA juu nyie ni WA chini njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo mlango upo wazi njia yeupe
@NduwimanaMoise2 ай бұрын
Wacha iyo Yesu ni Mungu
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Yohana 17:3
@felixgitonga67832 ай бұрын
Wewe muongo akuna mtu ameona mungu hata siku moja alikuwa yesu kristo na Musa
@user-fl3yl4or3e2 ай бұрын
Ikiwa hadi leo hujui yesu au issa ibni Mariam ni Nabii wa Mungu bali unaamini yasu ni Mungu basi jua huna tofauti na hayawani yaani basi kuna binadamu ambao wanaumri mkubwa kuliko Mungu? Yani kabla hajazaliwa sikulikua na wanadamu? Kwaihivyo wao wanaumri mkubwa kuliko Mungu hivi mnatutania au
@user-ib7kx9dc5m2 ай бұрын
Yesu mtt wa mariam niujamilifu wa uumbaji wa. Mungu kwanini ni ukamilifu hebu fatilia komenti zangu ujue Kwa nini Moja
@onesmothimos26352 ай бұрын
Ushauri wangu kwako pambana na mashehe wenzako wa mitandao kuhusu peteza kichawi ukristo uwezi kuu elewa labda ubatizwe tu
@allyyasini99442 ай бұрын
Yesu sio mungu .. mungu ajazaaa wala ajazaliwa ..
@talhiyaibrahim10744 күн бұрын
Ni kweli yeah sio mungu wala mtoto WA mungu Bali yesu ni mtume WA mwenyezi mungu Rudi kwa Allah mungu gani ya yeye halali kwa kuomba Acha usikubali ujinga WA watu kwa kusema yesu ni mungu kubali maandiko yesu mwenywe amekata na kusema yeye mtu sasa wewe unasema mungu
@KeiFerouz-fn9oc2 ай бұрын
Yani majibu ya yesu ni mungu majibu yapo ktk hihi biblia Mzee wa upako yupo sahihi sana
@danielmwakimi24162 ай бұрын
kzfaq.info/get/bejne/aJx5iJlp3cm0j40.htmlsi=HAu7gSAnzVCHw0Mq Yesu ni Mungu
@LugomeRisasiАй бұрын
Biblia inajitosheleza ila kumbe watu hatujui maandiko
@HabibuUrasa2 ай бұрын
P1a wasome yoh:17_3. Km watakuwa na ufahamu huwenda wakasilimu
@ANDREWKIMARO-by3zl2 ай бұрын
Na wakujue hii ni continiously kauli endelevu Na wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma Huwezi ukatwambia kwa andiko hilo tayari umeshamjua Mungu wa pekee ilihali andiko linasema kauli endelevu "WAKUJUE" YESU NI MUNGU TU TITO 2:13 Hapo sheikh kawashwa tu hajui kusoma wala haji kuelewa mpaka aachane na majini
@profs.a54122 ай бұрын
😂😂😂 waislamu na mbumbu wengine woote nasoma comment zao hapaaaa.😂
@CharafimalisalimoAli-qw3hk2 ай бұрын
HUO NDIO MKOROGO WA BIBLIABWAANAH, WASHAANZA KUUELEWA WENYEWE.
@alyumaraos2 ай бұрын
Hahaha akili ni nywele na huyu mzee kipala hana nywele kwaiyo hana akili timam anazidiwa akili na huyo mwanamke.
@AziziPonera2 ай бұрын
Wape elimu hao
@saiddgsmg2 ай бұрын
wakristo akiri zao zimejaa matope ukweli wanaujywa ila ,wanajifanya punguani,hivi.kweli mungu anaweza kukamatwa na kupigwa na kuzalilishwa.
@RapaFata2 ай бұрын
Hata mimi nashangaa ikiwa muhamad hakuelewa chochte kuhusu msalaba, je hawa maamuma wa leo wenye kuagua watu wataelewa kweli? Je, Allah hawezi kufanya kama Yesu kamwe mbona waja wake hoi kwenye elimu na imani?
@punnamalaba44452 ай бұрын
Mungu awasamehe mbadirike msiyabadiri maandiko, hata shetani alitumia biblia kumjaribu Yesu endelea tu kuxiondoa yodi ktk biblia
@RapaFata2 ай бұрын
@@punnamalaba4445 Waislam wakishindwa kukielewa kipengele kwenye biblia wanadai kimekorogwa. Yani mie nilipokuwa nataka kuslim nilijiona mjanja na mwenye akili maana nilianza kupoteza ule utu wa ndani na kuvaa hasira na ujinga. Lakini ashukuriwe Kristo aliyeingia tena ndani yangu na kunibadilisha ufahamu. Nikatoka mbio sasa nimeokoka nipo huru. Nawacheka tu wale maimamu na midevu yao na magauni
@@punnamalaba4445muongo wewe shetani hakutumia bibilia kumjaribu yesu kwa sababu bibilia haikuwepo siku alizokuwepo yesu ni kitabu kilichotungwa baada yake kuondoka
@AlfaMwahasanga2 ай бұрын
Soma hapa shehe 1yohana 5:8 ni kweli kabisa Mungu ni mmoja wala hakuna shaka. Ila katika huyo Mmoja kuna nafasi tatu Yohana 14:6-10 isaya 9:6
@Naw892 ай бұрын
Michongo ya Paulo hiyo amewazushia kama hamtasoma vyema kitabu chenu mtaingia motoni fuateni haki twende pamoja peponi Yohana anawaambia mtaenda mbinguni wakati mbingu pia imeumbwa na Mwenyezi Mungu anasema ataikunja mbingu sasa wakati ikikunjwa na wewe upo huko si utakunjwa pamoja 😂
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Yohana 17:3
@AlfredZacharia-of3je2 ай бұрын
Hatuwezi kuingia kwenye dini ambayo Muhammad alimsilimisha shetwan akawa muislam
@hasaniabdalah61482 ай бұрын
@@AlfredZacharia-of3jeumesahau tuu hata sheitwani pia ni kiumbe cha mungu ndio maana sheitwani alikua mbinguni akiabudu pamoja na malaiika kosa lake ni husda alioiweka alipo ambiwa amsujudie Adam akapinga hata wewe kama mkristo kosa lako ni kumpinga Muhammad kama nabii wa mwisho wa Mungu . unaweza ukatenda matendo mema na hayana malipo kukataa haki na njia ya mitume na manaabii 😢😢😢 huzuni juu yako una masikio husikii una macho huoni
@MwalimuD2 ай бұрын
Kinachosumbua wengi ni kuelewa Yohana 1:14.The Word became flesh.Neno alifanyika mwili. Kumtambua Yesu akiwa kama Neno na akiwa kama Mwili.Roho atufunulie zaidi
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Yohana 17:3
@ANDREWKIMARO-by3zl2 ай бұрын
@@Catherine-mh8sw Na wakujue hii ni continiously kauli endelevu Na wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma Huwezi ukatwambia kwa andiko hilo tayari umeshamjua Mungu wa pekee ilihali andiko linasema kauli endelevu "WAKUJUE" Bado Yesu ni Mungu tu Tito 2:13
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
@@ANDREWKIMARO-by3zl yesu katumwa na mungu. Nding nding nding
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
@@ANDREWKIMARO-by3zl Sasa aliyekaa mbinguni na yesu mkono wake wa kulia ni nani? . Na wewe ni nani yako? Na baba yake yesu aliye mbinguni ni nani yako.
@ANDREWKIMARO-by3zl2 ай бұрын
@@Catherine-mh8sw Twende taratibu ili uelewe Kulingana na Yohana 4:24 Mungu ni nini..........?
@HabibuUrasa2 ай бұрын
Hawa makafiri wamefungwa na shetani hawaoni maandiko
@brothermuadhwam8902 ай бұрын
Msipo elewa hapa aaa hamueewi tena ni moto tuu shekh shafii kashamaliz kaz maan maandiko yashajitosheleza hayo mbna wakristo wabishi sana moto hamuuwez heee nawahurumia sana na kufuru zenu wazwaz
@user-ob2ik5gy1b2 ай бұрын
Biblia ni maneno ya watu na sii ya mungu kwani biblia ni nyingi na zote ni tofauti na hizi zimetungwa na wanadamu.
Alaha anapa kwa aliuamba kike na kiume swali anaapa kwa nani?
@Anuarmustafa41282 ай бұрын
Anaapa kwa malaika wake
@theodorythobius39652 ай бұрын
Wako tayari kuungana na roho ovu ilimradi tu waonekane mbele za macho ya wanadamu wanahaki.Nyie endeleeni kumkufulu Mungu ila wakati utaongea wenyewe. Biblia ukiisoma bila kuongozwa na roho mtakatifu haya ndo madhara yake na ili uongozwe na roho mtakatifu lazima uwe umempokea Yesu kuwa bwana na muokozi wako. Na haya makufulu myatamkayo hayana budi kutukia ili yatimie yale yaliyoandikwa. Kabla hujatoa neno fanya reseach kwanza itakusaidia maana kila neno utalitolea hesabu yake siku ya mwisho. Tubuni Nawatakia kila la kheri katika kumtafuta Mungu aliye hai wapendwa.
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Yohana 17:3
@hasaniabdalah61482 ай бұрын
Qur an ilipo shushwa aya moja ilisema kitabu kisicho na shaka kwa wamchao Mungu hapo ndio ukaona masheikh wanasoma bibilia na kugundua kuwa kweli qur an imesema kweli na ni muongozo kwa wachamungu . kwenye uislam hatutaki wingi au
@ramadhankilango90882 ай бұрын
Unasema vema ila kutuokoa hio itoe haiwezekani tuwe tumeokolewa tukiwa hai hata tukiendelea kufanya zambi
@user-yl7zp6dd1d2 ай бұрын
Huyu ilimu hana pia akili yake puhnguani
@user133752 ай бұрын
Wenye ndugu Majini
@user-nl1ou9ow2l2 ай бұрын
Suleiman alikuwa akiwafanyisha kazi.je alikuwa ni ndugu zake hao majini na je Suleiman hakuwa na elimu kwa maoni yako.kuingia duniani ni laisi ila kutoka kwake ni kugumu.maana unaingia ukiwa hauna dhambi ila unatoka ukiwa na madhambi.dini tumeletewa,ni vyema tukatumia akili zetu vema ni dini ipi tuliyoletewa inaweza kutuweka ktk njia ya haqi.ama ndio tufuate ushabik na amasa.kama watu wa siasa.
@user133752 ай бұрын
@@user-nl1ou9ow2l 🤣
@user133752 ай бұрын
@@user-nl1ou9ow2l nyie hamtofautiani kihusu Maulid ? Unaweza kudhani ulipo ni salama tafakari ,na ndo maana hata mwandamo wa mwezi huwa inawatofautisha kufungua.
@goodlucknnko54932 ай бұрын
Hivi uislam na ukristo kipi kilianza? Bila shaka ni ukristo( baada ya miaka kama 600) . Je ni kipi kinaweza kuwa na ukweli? Vyenye kumbukumbu za kipindi hicho au kilichokuja baada ya miaka 600?
@samxx4112 ай бұрын
Acha pombe ukristo ameanzisha paulo pale antokia wakati uislam ulikuwepo tokea Adam alikuwa muislam, ibrahim, mussa na yesu wote walikuwa waislam, sasa iweje ukristo uanze mwanzo.....soma uelewe usiwe kichwa pumba
@listerferdinand96532 ай бұрын
Ukongwe sio hoja ukongwe ingekua hivyo basi injili ingekua sio ya kweli kwa sababu torati ilikua mapema zaidi yake.
@samxx4112 ай бұрын
@@listerferdinand9653 kichwa chako kizima nakukubali mkuu
@hoseasteven62412 ай бұрын
@@samxx411 Nani alikudanganya kuwa at niwaislam
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
@@hoseasteven6241haya sema Ibrahim alikuwa dini gani?
@minaniyasini78342 ай бұрын
Wakristo someni biblia msingoje kusomewa .ili mpate kujuwa zaidi
@HappyKiteboarder-du9th2 ай бұрын
Upo sahii
@user-ih4kw5eb3d2 ай бұрын
Mfano umeambiwa na mamaako uingie kwashimo la choo na kunamtu mwengine ambae humuamini ama ampita njia akwambia hapo panashimo, sasa kati ya mama na mtu kando utamamini nani
@mussashaha-iv7gg2 ай бұрын
huelewi
@jumapiliissa48352 ай бұрын
Weunae bishana na huyo dada akili huna bichwa kama tofali latope kama yesu niMUNGU kabla hajazaliwa dunia alikua nayo nani? kidevu kama kona ya kiazi
Ndugu zetu wakristo zingatieni swali la mwisho alilouliza shekhe, ikiwa yesu ni Mungu je ni Mungu gan bwana yesu alikuwa akimuomba kwenye Mlima?????
@ANDREWKIMARO-by3zl2 ай бұрын
Swali limeshajibiwa sana labda kama ni mtoro darasani huyo sheikh wako
@isaackusupa96352 ай бұрын
Kwanini msihubiri uisilamu wenu Badala ya kuhangaika na ukristo? Kama huujui uungu usiongee kitu. Mwanzo anasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu Mungu alikuwa na nani? Katika Agano la kale unalolizungumzia sheria zake zilikuwaje? Na waisrael walishindwa soma vizuri Yeremi 31:31-34 utaelewa
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Yohana 17:3
@user-qv3xp1fd4uАй бұрын
Tumemfanya mtu kwa mfano wetu maana yake ni kwamba; Wewe una akili mungu naye anazo akili lkn akili zako hazifanani na mungu, wewe una nguvu ni kweli mungu naye anazo nguvu lkn nguvu zako hazifanani na mungu, wewe unasikia ni sawa mungu naye anasikia lkn usikivu wa mungu na wewe ni tofauti lkn wote mnasikia, maona, mna nguvu nk katika dhana hiyo lkn UKWELI ni kwamba mungu hafanani na KIUMBE CHOCHOTE
@stevenmponzi81682 ай бұрын
nendeni kwa nabii kiboko ya wachawi muone waislam wenzenu walivyojaa na wanavyokimbia uislamu
@selengechobo2 ай бұрын
Kiboko ya wachawi si mganga wa kienyeji yule acha bangi tumia akili usibuluzwe na waganga hao
@Hussein-gx4qu2 ай бұрын
yule nabii au tapeli yule ni tapeli TU kama wakina mwamposa acha ujinga kuwa na akili
@mwashumkigoda2 ай бұрын
Hao mi wajinga wenzenu na huyo mtume wenu mi muongo mkubwa mi mchawi kama wachawi wengine
@sarabura89332 ай бұрын
YESU kirsto ni MUNGU
@ramadhankilango90882 ай бұрын
Fikiria Tena uwezekano wa mungu kula na kunywa mvinyo (pombe) na wanaadamu
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Yohana 17:3
@HamisiMohamed-je8fj2 ай бұрын
Akiri auna wewe naukafiri wako
@HamisiMohamed-je8fj2 ай бұрын
Mungu anatailiwa
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
@@HamisiMohamed-je8fj 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mungu kaenda jando kama kaka angu Hamis 🤣😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 .
@Suleimanokechi2 ай бұрын
Wakristo hao wanalishwa mashonde kanisani ndy maana hawajielewi
Hizo akili tumepewa na YESU 1 Yoh 5:20 SUV Nasi twajua kwamba Mwana wa Mungu amekwisha kuja, "naye ametupa akili" kwamba tumjue yeye aliye wa kweli, nasi tumo ndani yake yeye aliye wa kweli, yaani, ndani ya Mwana wake Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na uzima wa milele.
@favoritebrayo2 ай бұрын
watu kama waislamu hawana Roho Mtakatifu watamjua aje YESU waanze kutufunza wao jameni🤔🤔🤔🤔🤔😚😚😚
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Yohana 17:3
@idinado-wk3lx2 ай бұрын
Kosome vinzuli bibilia mtaelewa TU ila ukweli utakuja bainika TU Toka kizani Toka kizani 😂😂😂😂😂
@favoritebrayo2 ай бұрын
@@Catherine-mh8sw hilo andiko lina tatizo gani?
@favoritebrayo2 ай бұрын
@@idinado-wk3lx mimi najua vitu zenye unajua na zenye hujui ata
@idinado-wk3lx2 ай бұрын
Sio laisi wewe Bado uko kizani soma vizuli utakuja nishukulu iyo nikwafaida Yako 😂😂😂😂😂 Pole sana
@hoseasteven62412 ай бұрын
acha kudanganya watu, kama wewe hauamini kama yesu ni Mungu basi haina noma tuache sisi na ujinga wetu
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Yohana 17:3
@ibrahimjuma97092 ай бұрын
Shida wanasoma vitabu vya watu ndiyo maana al.quran inabaki na sifa ya pekee
Sheikh shafi hutaki kuamini kuwa YESU ni muumbaji, mbona kwenye quran yenu imeandikwa hivyo ? Japo ndani ya quran imeandikwa kwamba YESU aliumba kwa idhini ya Mungu. Tena ufahamu kuwa nabii Musa hakushushiwa torati kama mtume Muhammad ila nabii Musa aliambiwa aiandike torati. Sheikh wangu huijui biblia vyema
@adinanimzimbiri2 ай бұрын
Lete aya
@prochesernest54392 ай бұрын
Quran kitabu Cha majini uwezi kukilinganisha na biblia Mungu WA kwenye biblia sio WA kwenye Quran atutawakubali milele na milele
Chizi ukimjibu na wewe Utakua Chizi sasa Mungu wenu munasema kasulubiwa mpk kafa Mungu gn apigwe na viumbe vyake mpk wamuuwe nyie wagalatiwa Muwe na akili musome
@nubianqueen67002 ай бұрын
Pia sisi hatutowakubali abadan, hata qiyama kikisimama.
@user-es4uf6gj7u2 ай бұрын
Kafiri hanjiaya yakutokea kwanyekibano cha moto ill pale atakapo silimu mana hiyo bibilia mwanzo mwisho inamtukana mungu au hulioni hilo kafiri ww naka hilioni useme uoneshwe
@prochesernest54392 ай бұрын
@@user-es4uf6gj7u wewe muhone mungu wenu anaomba kunusuriwa maana yake yapo motoni Quran 47:7 Fanya ima waumini waislamu mkimusuru mwenyezii mungu naye atawanusuru je hapo nani kafiri Allah kajiweka wazi alipo hatarini
@alexandernyambo77392 ай бұрын
Waislamu kweli ninyi hamna akili aiseeh Mnawezaje kuyazungumzia mambo msiyoyajua?? 🙄Hivi wewe unayejiita Ustadhi Shafii.... Ukiwa huko msikitini huitwa mtoto? Ila ukienda kwa wazazi wako utaitwaje? Na ukienda nyumbani walipo watoto wako, watakuitaje? Je msikitini, nyumbani na kwa wazazi wako, wewe huwa mtu tofauti watatu?? Acheni ushamba bhana, leteni hoja tata na za aibu kama za Muhamad kuwa mwanaume malaya kwa kuoa kibibi na mtoto wa kibibi... Wakati mnamwamini kuwa ni mtume wa Mungu kumbe alikuwa mtume wa shetani ndo maana hadi leo mnaliabudu jiwe la shetani huko Maqa.... Huu ndio uchafu wa kujadili sio habari za kweli za Yesu kuwa Mungu... TENA NI MUNGU MKUU ,HATA KAMA HAMTAKI
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
Yohana 17:3
@alexandernyambo77392 ай бұрын
@@Catherine-mh8sw Wewe si umekalilishwa.... Wenzako tumekaa chuo kwa miaka mi nne tukisoma hivi vitu.... Haya Soma Yohana 14:7,9 na 1Timotheo 3:16... Ukiwa na Majini kichwani mwako huwezi kuelewa mambo haya wewe Catherine....
@Catherine-mh8sw2 ай бұрын
@@alexandernyambo7739 ndiyo maana huwelewi
@Ostica..Omie..junior2 ай бұрын
Toa andiko...acha kuongea kama mlevi usiyejitambua..hata mahakani mtu anafungwa kwa vifungu vya sheria..ambavyo vipo ndani ya kitabu cha sheria..toa andiko yesu kasema yeye ni mungu kwenye bibilia..kwanza iyo iyo bibilia yenu inapingana maandiko yaliyo wemo ndani yake..maandiko ya bibilia yana kataa yesu sio mungu..pia iyo iyo bibilia baadhi ya maandiko inasema yesu ni mungu...kweli Paulo kajua kuwa chezea akili msio na akili..😂😂😂😂🤣🤣 nacheka sanaaaa..ukitaka tukusikilize toa maandiko. Yanayo sema yesu alisema yeye ni mungu..kama alivyotoa sheikhee maandiko toka kwenye iyo bibilia yenu..mkristo bila kujua bibilia wewe ni ujakamilika..hapi ulipo bibilia uijui tena mbumbu..nani atakaye kusikiliza wewe ata ukisimama kanisani kuongea..arafu uongee vitu amabavyo vipo nje ya bibilia..ongea vitu kutoka kwenye bibilia..andiko namba flani linasema yesu ni mungu..yaani mungu arafu ana muomba mungu mwingine..yesu ni mungu..arafu anaomba msaada kwa mungu mwingine..??duuuh kweli wasio na ufiki wa akili ni wengi sana😂😂😂😂😂
@Ostica..Omie..junior2 ай бұрын
Toa andiko...acha kuongea kama mlevi usiyejitambua..hata mahakani mtu anafungwa kwa vifungu vya sheria..ambavyo vipo ndani ya kitabu cha sheria..toa andiko yesu kasema yeye ni mungu kwenye bibilia..kwanza iyo iyo bibilia yenu inapingana maandiko yaliyo wemo ndani yake..maandiko ya bibilia yana kataa yesu sio mungu..pia iyo iyo bibilia baadhi ya maandiko inasema yesu ni mungu...kweli Paulo kajua kuwa chezea akili msio na akili..😂😂😂😂🤣🤣 nacheka sanaaaa..ukitaka tukusikilize toa maandiko. Yanayo sema yesu alisema yeye ni mungu..kama alivyotoa sheikhee maandiko toka kwenye iyo bibilia yenu..mkristo bila kujua bibilia wewe ni ujakamilika..hapi ulipo bibilia uijui tena mbumbu..nani atakaye kusikiliza wewe ata ukisimama kanisani kuongea..arafu uongee vitu amabavyo vipo nje ya bibilia..ongea vitu kutoka kwenye bibilia..andiko namba flani linasema yesu ni mungu..yaani mungu arafu ana muomba mungu mwingine..yesu ni mungu..arafu anaomba msaada kwa mungu mwingine..??duuuh kweli wasio na ufiki wa akili ni wengi sana😂😂😂😂😂
@punnamalaba44452 ай бұрын
Bint endelea tu kuukataa Uungu wa Yesu, atakapokuja na utukufu wake hayo utayaeleza mwenyewe mbele yake ,
@MohamedAhmada-ie7ke2 ай бұрын
Uyo mwana mke ana akili kuliko nyote Mungu amuongoe azidi kuelewa haki ilipo
@HappyKiteboarder-du9th2 ай бұрын
Huyu dada anaakili sana endekea kuwafundisha
@HassanJaphari-rx7jy2 ай бұрын
Mungu ni mmoja tu na "hakuzaa na Wala hakuzaliwa" na hafanani na chochote hapa ulimwenguni. ☝️🕌🙏🙏🙏
@listerferdinand96532 ай бұрын
Umewahi kusoma kitabu gani? Mkiacha uzembe mkakaa mkasoma mtakua ukweli