Huo ni uganga wa kishirikina arafu vaa suti sio unachafua dini ya Allah, nipe aya inayosema kuna nyota ya ng'e,ng'ombe, mizani,mshale, mbuzi,ndoo nk. Nami nikuamini ila utabir kwenye dini ya Mtume Muhammad (S.A.W) hakuna kama kuna sehemu inasema mwanadamu anatakiwa kutabir au kujua yajayo au yakesho naomba unitafutie namimi nianze kudanganya watu
@salmamtimaumo68716 ай бұрын
Ukiwa na iman ndogo unaweza kuamn aya, ila amna k2 apo mungu tu ndio wakumtupia kila kitu awa wengine njaa
@ummuhjuma75956 ай бұрын
Mashaaaallahh na huo ndio ukwelii
@kabwefrancine997 ай бұрын
Mungu tu sahidiye nyota yangu mimi ni mapacha 👏👏
@mustaphamatelefone-lc9pr7 ай бұрын
Iyo ni shirki allah atakukumu.ukitaka razi za allah achana na iyo shirki na utubu tena toba ya kweli
@Vanessa-md2hj6 ай бұрын
Hakuna mambo na shirki hapa Ndugu Yangu.watu wangu waangamia kwa kukosa maarifa mbona basi amutaje mungu kama ni shiriki
@katunzijasson54107 ай бұрын
Haya mambo ya nyota ni yakweli ila batilisha kwa kumuomba sana M.Mungu wako huku ukitoa sana sadaka kubatilisha usiyotaka yatokee kwako.....zipo siri za ulimwengu nyingi tusizojua ila tukiamini na kufata taratibu tutazijua tu.... Hongera mtabir japo nyota yangu tangu mwaka jana inanipiga mawimbi ila Mungu ni mwema ntavuka salama nahuu pia...
@MAALIMish6 ай бұрын
Mnapochanganya ni Mungu na waja wake aliiwapa karama au elim kuliko wengine... Mkawachukia. Sasa ukipata matatuzo na ww hujui kuyatatua unaenda wapi kupata utatuzi?
@samiramawby12576 ай бұрын
Uongo huu mtu mwenyewe Ana wasiwasi tele
@user-ir9mh6qe3w5 ай бұрын
Mkuu uko vzr nashida apa
@sabrimtumweni56336 ай бұрын
Ndugu mwalimu utabiri wa nyota ni ushirikina tubia kwa mola wako Leo unapumzi kabla kesho
@maxjuma23764 ай бұрын
Muongoooo hv yy n madeni tu.mungu pekeee ndy yeye pek yak
@user-sm1zu2mo4b4 ай бұрын
Huo ni uganga wa kiarabu acha kuingiza kwenye dini kaka njaa zitakuuwa ndo nyinyi mnao fanya albadil mnasingizia uislam
@user-cb2pw4em9n4 ай бұрын
Nkwel shekhe nyota ya mashuke hujakosea kabisa
@Khan173837 ай бұрын
Asante Maalim
@khadijaamour76547 ай бұрын
Jiwe lipi la bahati kwa capricorn 2024
@user-xk6qt9rj5k6 ай бұрын
Akikujib unitag
@raydav-2335Ай бұрын
Mie samaki tayari ndoa yangu imevunjika niliolewa na nyota ya Simba... nikwel ulio yasema.....imekua ni hasara kwangu
@ShangweSylus-nf6we7 ай бұрын
Asante Mungu nyota yangu ya kaa
@nakshaofficial28176 ай бұрын
Mgongo unauma jamn mpk nalia😊
@agneslimbe40227 ай бұрын
Aksante sana maalim
@NadyaOmar-du6be7 ай бұрын
Nimefrai sana mana nakukubali Sana maalim
@MAALIMish7 ай бұрын
Shukran sana dada yangu
@happystevemaganga18737 ай бұрын
Asante alhamdulilah
@zaimaduma7296 ай бұрын
Mm nime zaliwa tarehe 2/7 kwaiy mm ni kaa nauyasemayo ni ukweli kabisa maana jinsi mgongo unavyo niuma eeeh😢😢 n htr
@MAALIMish6 ай бұрын
Sawa dada
@MAALIMish6 ай бұрын
Namba za mawasiliano zaid ni +255 713 351781.
@Vanessa-md2hj7 ай бұрын
Santee Maalim Abalhasan juma😊 Happy new year natumai Kwa Yote Mungu ataenda kutulinda 🙏🙏♥️ Santee kwa Kutujulisha atleast tukae tukijua vile tutajitenga
@MAALIMish7 ай бұрын
Aamiyn yaa Rabb
@ummuhjuma75956 ай бұрын
subhanaAllah 🤭😭
@DenisSanga-bj5ud2 ай бұрын
Kuna maamuma tena ni mambumbumbu kabisa wanamsema vibaya shehe Sasa kama wao hawaamini kwanini walifuatilia hii clip huo ni ushamba
@r14kgroup687 ай бұрын
Hongera
@AishaHaji-u6iАй бұрын
Asalam alykum 3 /11 nyota yangu niipi
@minustz7 ай бұрын
Nimeisubiri sana hii
@MAALIMish6 ай бұрын
Umeipata sasa. Karib sana
@rosemwakibinga82316 ай бұрын
Namba yako ya mawasiliano maalim tafadhari
@samiramawby12576 ай бұрын
Astaghafurah ALLAH chapa fimbo midomo iliyonyonya zile nanihii za kina Sodoma is on fire ili watuongopee UMMATIL MOHAMMAD na IBN ISSA SALAAM
@user-ru6ot1ui7b6 ай бұрын
Hueleweki unaco kiongea
@AishaRamadhaniRamadhani-lr9cz7 ай бұрын
Maalimu mm kondoo unanisaidije
@naima42306 ай бұрын
hafu baba Mimi mbona sikai nawanaume kwanini nina bahati nya wanaume Nikipata tu mpenzi ujuwe nijiada na matuki halafu Kuna doto naotanga mwanaume moja mweusi moja mweupe wote niliota nimeza anao Sasa sijuwi Kuna mwanaume nimemkose Sasa ana nifanyia vituko apo sijuwi naomba nisaidie
@MAALIMish6 ай бұрын
Pole sana. Tuwasiliane +255 713 351781.
@nehemiaayo95276 ай бұрын
Mtatufute YESU atakushindiya izo ndowa za majini Damu YESU yatosha maana kwa jina ilo tumepewa Mamlaka ya kukanyanga vyoka na nge
@user-sm1zu2mo4b4 ай бұрын
Umeona wewe unaejifanya sheikh unaharibu dini yetu inaonekana ni dini ya mashetani kumbe wala hakuna hicho anacho fundisha huyo sheikh hapo
@user-sm1zu2mo4b4 ай бұрын
Ni upuuz mtupu weweni mganga ila huo ni uganga wa kiarabu sasa elimu yako ndogo unamshirikisha Allah humo
@deogratiusyudatadei56587 ай бұрын
Yani kwenye kuchunguzwa ase wamesha anza mapema kabisa 🤣🤣🤣
@bintysele69996 ай бұрын
Mie mapacha
@user-mw4tc4on7k7 ай бұрын
Ahsante
@NicemerriEzekiel6 ай бұрын
Baba me sjaelewa ni taree1 mwez w 7 mwaka 2005
@yaelmottoTv6 ай бұрын
nyota ya kaa
@BolasieNgongo-rh9wm7 ай бұрын
Mungu akubariki
@MAALIMish7 ай бұрын
Aamiyn
@Khan173837 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@AliDinanga-jr4co7 ай бұрын
Asalam Aleykhum sheikh Abal Hassan, umechelewa Sana !
@MAALIMish7 ай бұрын
W ssalaam.... Mtaalam alipata changamoto za hapa na pale tu.
@user-iz7vh8vy2h7 ай бұрын
ASALAM Aleykhum Mimi mshale Nina mchumba je ndoa itafanikiwa
@farhanialfarsi19836 ай бұрын
❤❤❤
@bibzmwakio52857 ай бұрын
Nimewaii, asante
@MAALIMish6 ай бұрын
Karib sana
@SaintNjuguna6 ай бұрын
Kwani hakuna nyota iko na utabiri mzuri???
@neemasemkiwa87647 ай бұрын
watu wa ndoo mje sijaelewa kwenye mapenzi hapo hta wa kwenye ndoa pia watatapeliwa kimapenzi??
@Sheba46517 ай бұрын
Huyu mjukuu wa Yahya Hussen? Acha hizo kazi, tafuta amali njema ufanye. Unatoa salamu ya kiislamu huku ukiikosea, Mtume hajafundisha Salaam iwe na "Taalla wabarakatu " na kumtaja Allah subhana wataalla kisha unamuhusisha na mambo ya kuagulia yajayo ( Ramli) ### Acha hizo amali ovu, ni njia ya shetani 😈 tu
Huo ni ushirikina na uongo Siri za Allah wewe huwezi jua na wewe si shekhe ni mpiga ramri hakuna mtu mwenye nyota
@JashoMurima-mn1dm7 ай бұрын
Umeisoma vizuri Qur'an
@osiaaswile13937 ай бұрын
Unafeli
@BashiruKiurunga6 ай бұрын
Kaka usiwe unalaumu tafuta ilimu kwanza usiwe tu unalalamika hovyo hovyo
@Daniel_kimambo6 ай бұрын
Uliambiwa umfuate Toka nenda kwingine
@user-sm1zu2mo4b4 ай бұрын
Acheni kuifanya dini ni sehemu ya kutafutia riziki isiyo ya halal hiyo ni shirki unatabir kitu kijacho umebeba kaz ya Allah, na nyie mnao bisha humu naombeni aya inayosema kuna nyota ya ng'ombe mara kondoo mara mbwa mara mizani zinasaidia kujua maisha ya mwanadamu . Wewe ni mganga
@tamiah-zm4io6 ай бұрын
Acha ushirikina utaingia motoni...huu sio uislam,usipotishe watu kisa maslah kidogo ya Dunia hii isiyodumu
@MAALIMish6 ай бұрын
Karib san
@Biziman-pu4kf6 ай бұрын
@@MAALIMishnyota zimeumbwa kwajili ya mambo matatu Je unayajuwa ??? Na mwaka haujaisha 25/06/1445
@user-sm1zu2mo4b4 ай бұрын
Acheni upuuzi
@CedricKitumaini-mt2et6 ай бұрын
Asanta❤❤❤
@janetnyamamba61336 ай бұрын
❤❤❤
@naima42306 ай бұрын
Baba mimi Na itwa Neema nimezaliwa talehe 26 mwenzi wa kumi na 12 nyota nya nini
@yaelmottoTv6 ай бұрын
ya mbuzi
@shabaniathumani48087 ай бұрын
Unapatikana wapi maalim
@mastaplan7 ай бұрын
Katika mikosi ya mwaka huu 2024 Je,kama utapata tiba thabiti ya mikosi hiyo Je, itaondoka hiyo mikosi au mabalaa au ndio ULIMWENGU umeamua hivyo kwa kila nyota?
@MAALIMish7 ай бұрын
Mikosi inatatuliwa ndg yangu.
@saidaibrahimu82567 ай бұрын
Naomba namba
@ndayambajefikirini72527 ай бұрын
Mashuke yamenikuta kabisa
@Users25237 ай бұрын
Hakuna anaejua ghaibu kuliko Allah
@MAALIMish7 ай бұрын
.... Mbona hii sio GHAYB. Karib sana
@Users25237 ай бұрын
@@MAALIMish tueleze ghaib ni nini??
@giftmapunda52437 ай бұрын
3:11 maalim samahani mbonaa utabiri wa punda hakuna?inakuwaje
@osiaaswile13937 ай бұрын
Umenipatia saaana mungu akulinde
@MAALIMish6 ай бұрын
Aamiyn
@nataliedayana98247 ай бұрын
💐🫶🏻
@user-eu5hh3mu3u7 ай бұрын
Kwa huwezo wake Allah hakuna kitakachonikuta insha'allah uongo siamini chochote hapo
@deogratiusyudatadei56587 ай бұрын
Unasema hivyo kwa sababu umetajwa tofauti na ulicho tarajia
@user-eu5hh3mu3u7 ай бұрын
@@deogratiusyudatadei5658 sio nimetajwa nilivyofikilia hakuna mtu anaejua kesho yako hila mungu huo niuongo hata yangekua mazuri huwa anatabili mazuri mengi lakn hakuna hata moja linalotokea
@user-fl3gy6ni7z7 ай бұрын
😂😂 yamekuchoma
@user-eu5hh3mu3u7 ай бұрын
@@user-fl3gy6ni7z hakuna chakunichoma utabili wa binadamu alieumbwa kam mm yatakua yamekuchoma ww hat kweny din lamli inakatazwa
@user-eu5hh3mu3u7 ай бұрын
@@user-fl3gy6ni7z mbn katabili 2023 kutakua na majanga hata janga moj sijalion nenda zako huko na ww
@ayoubituja89997 ай бұрын
Ni usenge TU.hamna lolote
@MAALIMish7 ай бұрын
Mbona unatukana? Najua unapenda kusikiliza... Mpk ukaja humu... Karib sana
@suleim5056 ай бұрын
WEWE NJAA YAKO IYO,, ACHA KUDANGANYAWATU PIA UNAMKUFURU ALLAH,, TAFUTA SHUGHULI NYENGINE YA KUFANYA.
@MAALIMish6 ай бұрын
Ilmu na Njaa ni. Mambo mawili tafauti. Ikiwa umeshindwa kuyatafautisha... Itakua ujitambui. Karib uendelee kujifunza zaid.
@user-sm1zu2mo4b4 ай бұрын
Izo njaa kwel nitafutie aya kwenye quran au hadith inayosema kuna nyota hizo za mbuzi,mshale ndoo nk