Na kukubali sana lssa endelea kuwa karibu na mungu nafuatilia sana clip zako nakuona nimtu huchezi mbali na Mungu kwenye kauli zako
@MetrixJohn-cx5jb6 ай бұрын
Mimi namkubali sana Huyu Issa tambuu sababu mambo yake yote lakn nimtu wa kumtaja Allah sana na Pia havuuki mipaka hadharani humuoni kuvaa cheni wala vipini
@BrunoMakweta-dm5sb6 ай бұрын
Allah akupe miaka ming kwel ikimtii MUNGU anakupa nguvu
@KarimOmar-fp5kq6 ай бұрын
Big up tambuu motors
@Marjeby6 ай бұрын
Mie kwetu Gongoni Tabora jirani sana na Kiloleni sehemu anayotoka Issa Tambuu na sehemu hiyo Kiloleni kutoka mtu kama Issa Tambuu mtu wa dini mnyenye kevu asio na makuu ni jambo la kumshukuru sana mungu sana Kiloleni ni sehemu vijana wamevurugwa vibaya sana kuna kila ushenzi
@katabaroonlinetv96886 ай бұрын
Dotto haribu haribu tu kila sehemu😂😂😂😂
@skybatech79566 ай бұрын
😂😂😂
@MusaAgwallo-uy5ic5 ай бұрын
insha'Allah upo vzr kaka Issah Tambuu
@MetrixJohn-cx5jb6 ай бұрын
Matajiri wengi Wakipata huona ni bidii zao sio mungu na ndio ukaona mambo yao husherekea kishetani mapombe wana wake na maasi yote ila huyu m2 ni tofauti sana namkubali sana mm
@yahayaolomi10576 ай бұрын
Namuona bodyguard wa Diamond zamani
@user-qv8jb5tj9l6 ай бұрын
Doto anaogopa maji hahaha
@user-hh7df4mq1j6 ай бұрын
Mwarabu fight namuona Kwa mbali
@AmiriMalenge6 ай бұрын
Uyo bausa mbona kama ni David moringa😂😂
@ukhutfatumah11546 ай бұрын
Mashallah
@katabaroonlinetv96886 ай бұрын
Na Mimi natafuta bodyguard asimame na kununa pembeni yangu😂😂😂😂😂😂
@BerthaModest6 ай бұрын
Wanakodishwa kwa siku elf 10😂
@katabaroonlinetv96886 ай бұрын
@@BerthaModest 😀😀😀😀Mimi natoa 50 kwa sababu mm muhaya😂😂😂😂