Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 64
@joshuamuro94944 ай бұрын
Ommy ni Comedian mzuri sana 🔥🔥 Sana
@Dienacademy4 ай бұрын
Sanaaaa
@williamkhaemba27824 ай бұрын
Ako vizuri kwa stand up comedy huyu jamaa😂😂😂😂🙌
@EzzyK4384 ай бұрын
Natamani one day niwaone Kiba na Mondi wakiwa meza moja kwenye mazungumzo ya kibiashara 🙏
@samdj_majorizer4 ай бұрын
utoto una kusumbuaa
@EzzyK4384 ай бұрын
@@samdj_majorizer sawa mubibi.. Matako ka sikonzi za buza
@evelynensanga33304 ай бұрын
Na mimi eee mungu sikiya ombi letu😢
@bujashidaniel55374 ай бұрын
Baada ya hapo
@EzzyK4384 ай бұрын
@@bujashidaniel5537 namtafuta mama ako namsalimia
@sabihaibrahim1434 ай бұрын
leo mara ya 4 au ya 5 kuangalia hii nikicheka😂😂 kila nikitulia
@sulleymernmannarah79304 ай бұрын
Ommy Kapendeza sna 🎉
@suzanampanda62424 ай бұрын
Nilichojifunza kwa Ommy ni mtu wa kujishusha na kuthamini wema aliofanyiwa 👏🏻👏🏻 na kwa Ally ni mtu asiyependa kujitangaza anapomsaidia mtu . Mungu azidi kuwabariki wote 🙏
Hapo ndo tuendelee kutaman kuwaona wakikaa meza moja mond na king kiba
@alwiyad19774 ай бұрын
Nice one ❤
@ibrahimuponsian28044 ай бұрын
ila nyembo bn😂😂😂
@kawingasimkoko13914 ай бұрын
Hahh good moments
@ramosfally23184 ай бұрын
Like kwa mze jakaya
@ramamabinda50634 ай бұрын
😂😂😂😂 nmecheka sana kiukweli
@SaumuIssa-zl1vy4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂Dah nimejua kucheka
@fatmaabdallah77094 ай бұрын
Hivi yule babake na ommy dimpoz kaishia wapi?!😂😂
@Ibrahim-ne3in4 ай бұрын
Pozi Kwa pozi n mcheshi sana😂😂😂
@alwattanchinga4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂hahaah napenda hii brothers
@mwinyimatopa22834 ай бұрын
😂😂😂😂 ommy D Yuko sawa
@eliasl10114 ай бұрын
1
@Mariam-fm8vq4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zangu King na ommy wakikutana utacheka tu
@aminamwivita76904 ай бұрын
Oh my goodness 😂🤣
@lilianjeremia10244 ай бұрын
OMG nimerudia mara 3 ommy is so funny nimecheka mpaka machozi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hadijagere4 ай бұрын
😂😂😂
@MuniraShughuli-kc7vj4 ай бұрын
😂😂🎉😂Mkurugenzi WA
@user-ei2ud7gh5h4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂
@ElizabethWamcha4 ай бұрын
😂😂😂😂❤
@tabithaolubaha43494 ай бұрын
😂😂😂😂😂😅
@mnyamwezijuma11404 ай бұрын
😅😅😅😅😂😂😂😂
@ashwaqhasni4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@marietswedy7764 ай бұрын
😅😅😅😅
@wemakalama64584 ай бұрын
🤣🤣🤣
@chizashungu83644 ай бұрын
WASAFI MEDIA itaendelea kuwa media bora Siku zote.Its well established Media.Hizi nyingine zilezile porojo kama vile walivyoanzisha label za music...wasafi Music Label is always the Best in East Africa.
@karaniomoit52594 ай бұрын
Nani kakuliza mbwa wewe wivu itakumaliza crown fm ndo abari ya mjini
@chizashungu83644 ай бұрын
@@karaniomoit5259 Hakuna kitu Huyo kichwa maji.
@isayamsisika62554 ай бұрын
@@chizashungu8364 mama yako na baba yako ndo vichwa maji wanamiliki Nini.? Inawahuma sana wcb funs
@aromaofzanzibar4 ай бұрын
Hakuna alokuuliza opinion yako . Soko ni kubwa kila mtu ana fungu lake
@sabihaibrahim1434 ай бұрын
cha ajabu kipi ni umbea na ngoma kila mmoja anapiga suuukaarii😂
No ALLY kufungua media atategemea ayo makampuni yote kutangaza au HATA kudhamini vipindi kitendo Cha ally kuamua kuyataja yote ni kuondoa upendeleo WA kampuni MOJA na kuyataja yoote kama Wateja anaowatarajia