FUATILIA KISA CHA DEREVA MKONGWE ALIVYOKIMBIA VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE KONGO ,ITAKUTOA MACHOZI.
Пікірлер: 31
@alphamania6523 күн бұрын
mambo vp dereva mkongwe🤛🤛 zanguvu kaka nakukubali sanaaa
@user-ou9pg4pv6n2 ай бұрын
Nakubali dereva mkwongwe
@ExcitedBarbecue-iz7fi5 ай бұрын
Nakubari sana mkogwe
@mashimangoselemani60895 ай бұрын
Sisi wa Congo 🇨🇩 atunashuda, watu wanatutesa ni WaGANDA na Wa NYERWANDA, lakini soon or later we will fight back....
@user-po8hz7xw9j5 ай бұрын
Tatizo nini kwanini msikae mkayamaliza
@kingkendrickk5 ай бұрын
Poleni sana
@user-ib3fd1tc3r5 ай бұрын
Asante baba
@ramadhaniayubu61035 ай бұрын
Haaahaaaaaaaaa nimecheka sasa Dereva uyu akikabiziwa basi kila MTU atatamani alipande ilo basi
@louisisd10905 ай бұрын
Nakukubali sanaaaaa
@user-kj2xh6bt5y5 ай бұрын
Wekaa muziigoo karibuu bujumburaa burundii
@BensonMpomo5 ай бұрын
Sasa naona watu wanapinga kwamba congo hakuna vita kwani ni nani asiejua kwamba congo hakunaga amani
@salimmohamed55595 ай бұрын
WEE MZEE USITUCHEZEE UMEKUWA MUONGO KILA SIKU UNATUPA UWONGO MPYA 😡😡😡🤬
@lugendodaudi55105 ай бұрын
GBP chukua dereva huyu
@paulkambaulaya45915 ай бұрын
Ayaaaaaah
@ibrahimselemani43065 ай бұрын
Uwongo wake unafanana na ukweli na maneno yake yana funzo kwa dereva
@madalemagadula40025 ай бұрын
Mkoa gani upo
@mkoma495 ай бұрын
Pwani io kisemvule
@binyussufАй бұрын
Bamkongwe like 2pac sura ile kafanannae
@user-jk8vs4eh8i5 ай бұрын
Hahahaha wallah huyu ni mkongwe
@ruu65925 ай бұрын
mvue ngozi kama nguo wakuiba uyo😂😂😂😂😂
@sawfiaoman92935 ай бұрын
😂😂❤❤
@mohamedhamissihamim70555 ай бұрын
Nipo burundi muyinga
@ChristopherKiiza-rt1uz5 ай бұрын
Huyo mzee muongo sana Mimi nipo congo hakuna ulinzi wowote
@antonymuoki5 ай бұрын
Hakuna Escort?
@badifundi60895 ай бұрын
Acha uongo bwana ww unapeleka gari zipi mm trip za Congo kuna escort ya polisi ata Kenya ukifika kwenda lamu kuna escort ya polisi na ni waumoja wa Africa mashariki so ongea kitu wajua
@Gerald-hq5km5 ай бұрын
Congo pabaya bhn munaongea nn nyinyi machafuko Kila siku
@felixmuvengei44725 ай бұрын
😂😂😂
@saidsuleiman17533 ай бұрын
@@badifundi6089 Dereva Mkongwe anaongea ukweli
@mohamedhamissihamim70555 ай бұрын
Ningeomba nikutane na dereva mkongwe naamini atanisaidia maana nataka nianze kazi ya udereva
@waliisamma21292 ай бұрын
yy mwnyw anaitafta hio kaz ana kaz ya kupiga story tu 😁😁😁