No video

ITAKULIZA! SPIKA Asimulia MAISHA ALIYOPITIA - "NIMELALA NJAA, NILIKUWA MASKINI"

  Рет қаралды 90,334

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

ITAKULIZA! SPIKA Asimulia MAISHA ALIYOPITIA - "NIMELALA NJAA, NILIKUWA MASKINI"
BAJETI kuu ya serikali kwa mwaka 2020 / 2021 imepigiwa kura Bungeni leo Juni15 na kupitishwa kwa kishindo baada ya kura za ndio kuwa nyingi (304) dhidi ya kura za hapana (64) ...
Baada ya bajeti kuu kupita, waziri mkuu, Kassim Majaliwa, anahitimisha Bunge..
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 194
@williamsamwel4647
@williamsamwel4647 4 жыл бұрын
Sikuamini Kama ungewwza eleza hayo kwa ajili yetu sisi vijana na taifa la baadae Mungu akulinde Sana n a nimejifunza mengi Sana ama kweli history is a teacher
@rosenamilia4140
@rosenamilia4140 4 жыл бұрын
Watu wengi wenye mafanikio wametoka ktk familia duni sana kimaisha. Mungu akulinde Spika wetu Ndugai. Historia yako imewapa fundisho Wabunge wako ktk Bunge la 11.Mimi pekee umenikumbushia maisha yangu nilikotoka, na mama yangu hakufaidi matunda yangu. Maisha ni fumbo kubwa sana.
@ednamanji
@ednamanji 4 жыл бұрын
Pole sana Mpendwa wanadamu tunapitia Machungu sana ! tuko kwenye kiatu kimoja . Baada ya baba yangu kunihaingikia sana kuishi kwa umsikini mkubwa nikilala chini kwenye Jamvi bila hata shuka, vile ndo nimeanza maisha tu . Mauti ikamkupa Niliumia sana kwani nilitamani afaidi Matunda yangu .Ni vigumu kabisa kumuelewa Mungu jinsi anavyo Operate kwa maisha ya kila mmoja.
@ednamanji
@ednamanji 4 жыл бұрын
Mvumilivu hula mbivu. Uvumilivu wako Mungu aliokupatia ndo umekufikisha hapo ulipo. Mwenye Haki hakuwahi kuachwa na Mungu . Pole sana Spika . Lakini Matunda unayo sasa.Mungu akubariki sana Tunakuombea sana uwe na afya tele na urudi tena bila kupingwa. Ni Spika Imara mwenye msimamo sana .
@luluamri370
@luluamri370 4 жыл бұрын
I struggled myself I know the feeling of having nothing but I have wonderful life now 😭
@edwardsamson7951
@edwardsamson7951 4 жыл бұрын
U touch my Heart with That Quotation.
@Stavanger-yy5ls
@Stavanger-yy5ls 4 жыл бұрын
Say, Alhamdulillah and keep on believing in Jallajalal.
@lovemusicnoreen9185
@lovemusicnoreen9185 3 жыл бұрын
it’s GOD
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 4 жыл бұрын
Big up sana kwako Mh Ndugai umepambana kwa kiasi chako Baba...binafs nimekuelewa na nimetambua kazi yako...Barikiwa mno
@rashidmpozayo7004
@rashidmpozayo7004 4 жыл бұрын
Hongera sana spika,, umetuthibitishia kuwa uvumilivu ni zao la mafanikio
@remmychuma1313
@remmychuma1313 4 жыл бұрын
Well said Mr. Speaker! You have done your part, leave the rest to the Almighty God. I would love to see you in the next few months.
@brightonbrighton8671
@brightonbrighton8671 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Ndugai,Mungu akubariki na familia yako.umetoka mbali na kweli hapo umefika ni Mungu
@glorysumary8532
@glorysumary8532 4 жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua mh.spika wa bunge la Tanzania mungu akutie wepesi Na akupe maisha marefu
@teclahamidutv.2498
@teclahamidutv.2498 4 жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua kaka.
@aliidirisaxmedhuvavaruu6384
@aliidirisaxmedhuvavaruu6384 4 жыл бұрын
Amin
@felistermaximillian2793
@felistermaximillian2793 4 жыл бұрын
Hongera na umenitia moyo , maisha yako ni sawa navya watanzania wengi Sana, . Days are numbered one day yes
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 4 жыл бұрын
Pole sana spika kwa kumpoteza mama yako mpendwa kweli hotuba yako ni fupi lkn inahuzunisha sana.Umepitia maisha magumu na umepata elimu yako kwa shida lakini Mungu hakukuacha aliyaona mateso na mahangaiko yako leo hii Mungu amekupatia dhamani ya kuwa spika hakika ashukuliwe Mungu wetu aliye juu.
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 4 жыл бұрын
Kwani mweka hawasomi watoto wa Maskini?
@frankmwitachacha5742
@frankmwitachacha5742 4 жыл бұрын
Daah!! Kwelii binadamu tumetokea mbalii kwelii ata tukipata mafaniko bx tuacheni tuishi
@hassanmalamla3485
@hassanmalamla3485 4 жыл бұрын
Hongera Jpm,Ndugai Majaliwa mmetufundisha mengi kwa kuwa wa wazi,tumejua mengi ktk Serikali yenu ya awamu ya tano. Naamini pia nyie ni walimu wazuri kwa watumishi na wananchi kwa ujumla..
@kenngunjiri1978
@kenngunjiri1978 4 жыл бұрын
Hassan Malamla binafs namkubali ndugai angerudi kuwa spika
@evelynebwire7684
@evelynebwire7684 3 жыл бұрын
@@kenngunjiri1978 amerudi haja yako imejibiwa
@sebastianngimba6629
@sebastianngimba6629 4 жыл бұрын
Historian nzuri kwa sisi wazee wenzako.vijana hawayajui hayo tuliyokulia sisi was enzi hizo.
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 4 жыл бұрын
Hongera sana Mh spika kwa hekima na busara uliyonayo kwa kuweza kuliongoza bunge hilo hakika hekima yako ndio imekuwezesha kufika leo hii.Tunakuombea Mungu sana huko kwenye jimbo lake waweze kukuteua tena urudi uendelee kuwa spika wa bunge hilo.
@paulina.baynit7970
@paulina.baynit7970 4 жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua spica wetu.
@jeremiadaudi5780
@jeremiadaudi5780 4 жыл бұрын
Hotuba yako mh-ndugai imenigusa sana ju ya maisha
@emmanuelmambarera141
@emmanuelmambarera141 4 жыл бұрын
Pole Sana mweshimiwa pia hongera sana hakika Mungu Ni mwema Sana
@laurahomine714
@laurahomine714 4 жыл бұрын
So touching story
@gideonkalumbu2603
@gideonkalumbu2603 4 жыл бұрын
Mungu akutunze ndugu, mhe. Ndugai.
@missmwayway4704
@missmwayway4704 4 жыл бұрын
M/mungu akubariki xana mh job Ndugai
@nehemiaisakwisa8604
@nehemiaisakwisa8604 4 жыл бұрын
Ahsante kushukuru Job Ndugai
@luoga23
@luoga23 4 жыл бұрын
Ni hotuba fupi ambayo inaujumbe mzito sana unaweza toa machozi bila kupigwa dah
@salmamashauli3529
@salmamashauli3529 4 жыл бұрын
Mwenyez mungu akupe maisha malefu baba yetu ndugai
@saidishebuge4796
@saidishebuge4796 3 жыл бұрын
Very inspired Mr spika lets us keep struggling and working hard
@teclahamidutv.2498
@teclahamidutv.2498 4 жыл бұрын
Waooo, ubarikiwe.
@wilisonongolo7294
@wilisonongolo7294 4 жыл бұрын
Spika ndugai nakuelewa vyema YESU akuludishe tena bungeni hakuna anayeweza kukulipa bali ni BWANA wa majeshi asante sana
@wilisonongolo7294
@wilisonongolo7294 4 жыл бұрын
Tulio pita huko tuna utu utu ni mtaji msimamo wako na wa MH rais unatufikisha pazuli watu walijua ninyi ni watu wa kawaida lakini YESU alikuwa pamoja nawe natamani ni hata sauti job ndugai walau nifarijike japo sina namba basi tu asante sana na MUNGU akubariki Zaidi
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
@@wilisonongolo7294 Mungu akubariki na wewe
@justinechirume3884
@justinechirume3884 4 жыл бұрын
Asante sana
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 4 жыл бұрын
Safi sana ndugai kwa spirit yako uliyotushirikisha.
@samjesus3835
@samjesus3835 4 жыл бұрын
Usiyemfahamu sana,usitie neno lolote kuhusu yeye .Pamoja na yote Mh Ndugai ananifurahisha sana anavyoongea kiungwana
@rabielulomi8607
@rabielulomi8607 4 жыл бұрын
Kiukweli kwa miaka hiyo inayo wengi walitembea km zaidi ya hizo ktk kusaka elimu. Washangae wanaozaliwa sasa.
@eliasmtalima5400
@eliasmtalima5400 4 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali sana mh spika wetu maana hata mm nilisoma maisha ya shida sana. Ila niseme tu mungu atatusimamia sisi tunaepitia maisha ya shida sana. Karibu mpwapwa Gulwe ndio kwetu na nimesoma hapo Gulwe mh spika. Mungu akubaliki sana na uendelee kupapambana mwanzo mwisho katika maisha yako na mungu ataendelea kukulinda kila hatu
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
Ingia Instagram umtag Elias itapendeza Sana
@jofreykivambe6520
@jofreykivambe6520 4 жыл бұрын
MUNGU ibariki TANZANIA👏
@gaudenceassenga1900
@gaudenceassenga1900 4 жыл бұрын
Mungu ndo ajuaye safari ya mja wake jamani. Usimchukulie poa yoyote umwonae mbele yako
@lukandotv8101
@lukandotv8101 4 жыл бұрын
80 Km Per Week!!Unatakiwa Kuitwa Job Land Rover 109🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 4 жыл бұрын
Ogopa kiongozi aliekwenda peku shule lazima raia utembelee kucha
@kiandangulwi3546
@kiandangulwi3546 4 жыл бұрын
Asad alifanya proper judgement....ZAIFU
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 4 жыл бұрын
Huyo mjinga Suzan anajisikiaje mpaka ametajwa kwenye hotuba ya kuaga ya Mheshimiwa SPIKA ???
@rajabhamis4384
@rajabhamis4384 4 жыл бұрын
😄
@andrewkalyambeju2397
@andrewkalyambeju2397 4 жыл бұрын
Mungu akubariki uishi usife kabla ya wakati ktk jina la Yesu
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
Amen iwe km ulivyotamka Mtumwa wa Bwana
@bakariyusufujuma
@bakariyusufujuma 4 жыл бұрын
Hekma imekusaidia sana kufika hapo
@osimunddyegura9841
@osimunddyegura9841 4 жыл бұрын
Humble servant. Hongera sana kiongozi
@zidadumwasongwe3560
@zidadumwasongwe3560 4 жыл бұрын
Spika mungu akubaliki
@psitanzania9146
@psitanzania9146 3 жыл бұрын
Cant say a word
@kelvinmnyalape9658
@kelvinmnyalape9658 4 жыл бұрын
Bwana yupi unae mshukuru?tena hukumu yako IPO hapahapa duniani mungu ha dhiakiwi na mashetani
@kelembukelembu2528
@kelembukelembu2528 4 жыл бұрын
Barikiwa sana Ndugu spiker
@lilymandari9872
@lilymandari9872 4 жыл бұрын
Nimesikiza had mwsho nione kilichowaliza hata sijaona maana umaskin wamepitia wengi ht wazaz wangu wamepita hukoo....we mshukuru mungu tu.
@mayagilajr
@mayagilajr 4 жыл бұрын
Everything comes when it should
@michaelndilima6210
@michaelndilima6210 4 жыл бұрын
Safi sana
@hizim6699
@hizim6699 4 жыл бұрын
Mmhe bora umesema kweli kuhusu sapoti
@rickykawacha9636
@rickykawacha9636 4 жыл бұрын
Mshukuru MUNGUBABA anakupenda
@aminatabakari2741
@aminatabakari2741 4 жыл бұрын
Mungu amekuwa mwema kwako!!!🙏
@skynerkombo2728
@skynerkombo2728 4 жыл бұрын
Hongera kamanda!!
@jumannepaskary3182
@jumannepaskary3182 4 жыл бұрын
Wewe ni wakuigwa
@azizawadh5973
@azizawadh5973 4 жыл бұрын
Kwa lipi
@kenngunjiri1978
@kenngunjiri1978 4 жыл бұрын
Paul karera : kk majaliwa binafs nakuombea kwa mungu ww na magu awalimamie daima
@kenngunjiri1978
@kenngunjiri1978 4 жыл бұрын
Pb karera
@sniper93999
@sniper93999 4 жыл бұрын
All the best wabunge nyoteee
@emmanuelmambarera141
@emmanuelmambarera141 4 жыл бұрын
Maisha huwa tunapitia mengi sana Ila Ni Siri za watu tu
@jembenjombetz3785
@jembenjombetz3785 4 жыл бұрын
Faru john ila huyu mbunge msukuma comedy
@hainarluka3034
@hainarluka3034 4 жыл бұрын
nipewe info&updates wakwanza
@godfreylubumbila1095
@godfreylubumbila1095 4 жыл бұрын
OK
@stanleyjohn6566
@stanleyjohn6566 4 жыл бұрын
Spika huyu hapaswi tena kua spika wa bunge
@salmamashauli3529
@salmamashauli3529 4 жыл бұрын
Stanley john hovyo kwann hapaswi kama hujielewi ww
@kuluthumkaguna9174
@kuluthumkaguna9174 4 жыл бұрын
Daa.imeongea.kwa busara sana
@andrew.gadimrinji1713
@andrew.gadimrinji1713 4 жыл бұрын
Je katia utumishi wa uspika..ulimrudishia nini Mungu? Unadhani katia utendaji haki bungeni katika kiti chako Mungu alifarijia kuwa niliyemtoa kwenye huo umaskini amanishukuru kwa kuwatendea wabunge wake kwa haki?
@octavianlameck4922
@octavianlameck4922 4 жыл бұрын
Wewe umemtendea nini Mungu katika maisha yako? Wewe ndo umekaa kuangalia na kukosoa ya wengine huku ukiacha kulitoa bonge la boriti kwenye macho yako, yachunguze maisha yako binafsi, umetenda mema, au haki kiasi gani mbele za Mungu!!!! Unasahau kuwa imempasa kila mwanadamu, mdogo kwa mkubwa, maskini kwa tajiri kusimama mbele ya kiti cha enzi cha hukumu mbele za Mungu kutoa hesabu ya neno la siri likiwa Jema au likiwa baya!!!
@suzanaagustinookelo4953
@suzanaagustinookelo4953 4 жыл бұрын
Sasa we unataka akitoa zaka aje hakwambieee kuwa anrew nimesham tolea Mungu hiki usiwe mjinga
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
Hakuna Mbunge aliekua akitetea wananchi asisikilizwe ila wale tu wamegombana na wake zao wanakuja kumalizia matusi Bungeni otherwise wote wametendewa haki maana kati yao hakuna mwenye maisha mabovu labda km aliingia Bungeni kwakutoa kafara
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Wengi mlikuwa masikini lakini sasa mmekuwa matajiri wa kutupwa kwa kuwaibia masikini wenzenu!!!
@habibmohamed4766
@habibmohamed4766 4 жыл бұрын
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi bro,na wewe pambana kivyako utoboe
@frankassey5971
@frankassey5971 4 жыл бұрын
@@habibmohamed4766 apambane na hali yake
@hassanmalamla3485
@hassanmalamla3485 4 жыл бұрын
Fanya kazi wewe jamaa.
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
Kweli Kuna wengine wameiba lkn si kila umuonae kaiba mmh tuombeane tu
@salmamashauli3529
@salmamashauli3529 4 жыл бұрын
@@habibmohamed4766 juma kapilima hujielewi
@festontandu3596
@festontandu3596 4 жыл бұрын
Kawaida Sana Hizo haso,,, mwenzetu ata shule ulipelekwa
@msetikebwasi6895
@msetikebwasi6895 4 жыл бұрын
saana!!!!!!,,,,,,,,,#
@kulagwamathias5322
@kulagwamathias5322 2 жыл бұрын
Huwezi ukafanikiwa kama spika bila support ya Rais. "Rais asipokuunga mkono hufiki popote" mwisho wa kunukuu na yametimia 😀😀 you are no longer getting support from president SSH
@mzeesuleiman9612
@mzeesuleiman9612 4 жыл бұрын
Awamu ya 5 kama umekulia kimayaimayai kimielamiela kitajilikitaji basi wewew utatumbuliwa uwezikufanyakazi kama mueshimiwa uyu ammbaka alikua kama boss
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 4 жыл бұрын
Umenena fact bro
@asharamadhani4641
@asharamadhani4641 4 жыл бұрын
👍
@revocatusrubaba4416
@revocatusrubaba4416 4 жыл бұрын
mbona mfumo na maamuzi unayo simamia hayaoneshi msaada kwa watu wa maisha ya chini? Kuwa na huruma
@msetikebwasi6895
@msetikebwasi6895 4 жыл бұрын
ungeingia jela ukasugua hata mwaka 1,hapo ndo ningekuaminia bro ndugai
@petermtongoli7368
@petermtongoli7368 4 жыл бұрын
Ila mtu aliepata taabu wakati wa utoto mbona huwa hawi na kiburi kama chako?
@hashimmloso8984
@hashimmloso8984 4 жыл бұрын
Anajitambua...kujitambua ni mwanzo wa hekima....
@remtymsangi4577
@remtymsangi4577 4 жыл бұрын
Ata ukifanya mema huwezi mfurahisha kila mmoja
@sengengemangae3698
@sengengemangae3698 3 жыл бұрын
Inapendeza
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 4 жыл бұрын
mchumia juwani hulia kivulini
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 3 жыл бұрын
Je nifahari kujivunia umaskini?
@challobruno5768
@challobruno5768 4 жыл бұрын
Laikala to sagara
@elizabethlyombe9950
@elizabethlyombe9950 4 жыл бұрын
Duu kusema kweli nimelia
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
Umeonae Elizabeth
@reubenbegashe2372
@reubenbegashe2372 4 жыл бұрын
Hivi taratibu za kibunge zimekaaje kuhusu spika wa Bunge, anaendelea na jina la spika na Ofisi, au Ndio tuseme Sasa hakuna spika Kwa kipindi hichi mpaka uchaguzi ukamilike
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
Ndo maana kasema wenzangu Wabunge mnaniacha Mimi hadi mwezi 11
@betuelmchome3224
@betuelmchome3224 3 жыл бұрын
Acha kudanganya watyu wewe Kama ulilala njaa kweli ungemkata tundu list mshahara wake na unajua kapingwa risasi uwena hurumaaa
@anastaziamorce3389
@anastaziamorce3389 4 жыл бұрын
Hadi nimelia jamani wana kongwa mchagueni tena ndugai
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 4 жыл бұрын
Kipindi hiki kuelekea uchaguzi kila mtu anajitilisha huruma aonewe huruma
@suzanaagustinookelo4953
@suzanaagustinookelo4953 4 жыл бұрын
Mjinga kweli wewe mtu kueleza hali halisi ya maisha eti anataka aonewe uruma
@suzanaagustinookelo4953
@suzanaagustinookelo4953 4 жыл бұрын
Corona sijui umewaacha kwanini
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
Ila kumbuka hata mashuleni watu walikua wanagombana ila siku ya kuagana hua inatia majozi
@kiandangulwi3546
@kiandangulwi3546 4 жыл бұрын
Na ndo hatunaga huruma....waliotumia nafas zao vibaya na kuonea wengine wakat wa malipo yao umefika
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 3 жыл бұрын
Uko sahihi!!!
@mzeesuleiman9612
@mzeesuleiman9612 4 жыл бұрын
Mbowe kalipa pessa za codi zetu au ndiokatusaulisha na nafaru John aliomnwa
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 4 жыл бұрын
Alitaka kututia hasara zaidi eti tumkodishie na ndege kumleta Dar mlevi yule .
@jumamnyambwa3490
@jumamnyambwa3490 4 жыл бұрын
mbaguzi namupendeleya chamachako kuliko utanzania kapumnzike ume mnyanyasa. tundu.antipasi Lisu nakuzulum hakiyake nausea pigakurawake husitaili huluma hatachembe kwendazako
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 4 жыл бұрын
Hujui ukisemacho ndio maana unaitwa mnyambwa umenyambwa wewe hukuzaliwa
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 4 жыл бұрын
@@mzalendomzalendo2567 Fay umenichekesha ha ha ha ha .
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 4 жыл бұрын
Bungeni waliacha kutatua tatizo la Lissu kuogopa kutumbuliwa leo maneno mazuri ama kweli mnyonge mnyongeni, aliacha watu wanasema hovyo Bungeni na wala hasemi kitu
@kidjhdf7568
@kidjhdf7568 4 жыл бұрын
Serekali inawasimamia nyinyi bana si tunaona
@mrishojumaamrisho3212
@mrishojumaamrisho3212 4 жыл бұрын
Baada ya dhiki faraja
@suzanaagustinookelo4953
@suzanaagustinookelo4953 4 жыл бұрын
Me naitwa suzan me sio mjingaaa weeeeeeee
@simonhezron5493
@simonhezron5493 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@irenejohn8194
@irenejohn8194 4 жыл бұрын
Akina suzana wanakuwa wajinga wajinga wengi wao 😂😂😂😂
@kiandangulwi3546
@kiandangulwi3546 4 жыл бұрын
Leo umetia huruma na sio kawaida yako...nn kinajiri?
@samwellwiza5339
@samwellwiza5339 4 жыл бұрын
Sifa apewe BWANA wa majeshi..
@evangelistdrjonasmichael
@evangelistdrjonasmichael 4 жыл бұрын
Nakuona mkuu
@mbwanakiting7180
@mbwanakiting7180 4 жыл бұрын
Huu umaskini tunaojivunia waksti tuko ktk bafasi za juu Mimi huwa sipendi . Ok tunawafanyia Nini masikini ...
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
Ameongea historia ya nyuma na usikute kakumbuka mbali hasa alivyosema alikua wapekee kwa mama yake pale amepata mafanikio km anapovunja Bunge agefurahi km angeenda kwa mama yake lkn pia anatutia moyo tusikate tamaa
@psitanzania9146
@psitanzania9146 3 жыл бұрын
Hukukata tamaa..!! Vijana wa sasa wanataka mafanikio huku wameweka mikono mifukoni .
@unlovegeneralsupplies8140
@unlovegeneralsupplies8140 4 жыл бұрын
Kumbe ulikuwa mchunga ng'ombe sasa nimekuelewa.
@janethsadock4559
@janethsadock4559 4 жыл бұрын
Hahahahahahha
@gasperfrancis7336
@gasperfrancis7336 4 жыл бұрын
sasa atapingwa
@hamidafundi5890
@hamidafundi5890 4 жыл бұрын
👍👊👏
@husseinkarim6745
@husseinkarim6745 4 жыл бұрын
Msukuma mlevi huyo anataka faru joni.😀 Hakuna asiepata tabu. Baada ya dhiki faraja.
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
Zinatofautiana dear na ukiwa na Roho ya kukata tamaa unaishia njiani
@ditrammwanaharakatimike1492
@ditrammwanaharakatimike1492 4 жыл бұрын
😭😭😭😭
@gasperfrancis7336
@gasperfrancis7336 4 жыл бұрын
Hurudi tenaapo mzee
@ditrammwanaharakatimike1492
@ditrammwanaharakatimike1492 4 жыл бұрын
Kwann hasirudi
@aliidirisaxmedhuvavaruu6384
@aliidirisaxmedhuvavaruu6384 4 жыл бұрын
Magufuli hoye
@streetview3045
@streetview3045 4 жыл бұрын
kaingiaje apa nakati huyu ni ndugai
@unjuusalvatory5331
@unjuusalvatory5331 4 жыл бұрын
Haye
@omaryrashid1873
@omaryrashid1873 4 жыл бұрын
Mbna faru john
@laylasuliman5805
@laylasuliman5805 4 жыл бұрын
Jmn mbona sielewi huyu spika ndo kamaliza mda wake au
@saumushabani3170
@saumushabani3170 4 жыл бұрын
Mwezangu mie hata sijui
@zakayokivambacreatechannel6025
@zakayokivambacreatechannel6025 4 жыл бұрын
Ungempa mmoja tu
@aloycemacha9894
@aloycemacha9894 4 жыл бұрын
Bunge la hovyo toka uhuru
@hezronmusalika8327
@hezronmusalika8327 4 жыл бұрын
kabisa
@Hauleshabby
@Hauleshabby 4 жыл бұрын
@@hezronmusalika8327 bunge la hovyo mnoo
@aishahassan9170
@aishahassan9170 4 жыл бұрын
@@Hauleshabby tengenezeni la,kwenu tulioneeeeeee.
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 4 жыл бұрын
Haswa Bunge la mipasho watu wanapalia ugali wao na bila kujali mwingine
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 4 жыл бұрын
Chadema wamenyanyasika sana kwa kashfa tu ila hatuijui kesho yetu
@salvareveli2091
@salvareveli2091 4 жыл бұрын
Km 80 per week ni kawaida...afu kwa kipindi chako ilikuwa kawaida. Wapa wanafunzi wanatembea more than 120km tena wakati huu mnaponunua vimagari vyenu ghari... people are suffering even more the way you did!!
@aidanhamza4656
@aidanhamza4656 4 жыл бұрын
Roho mbaya tu imekujaa na huta fanikiwa utaishia kupata hela za vocha na bando tu .
@jriyadahmad5617
@jriyadahmad5617 4 жыл бұрын
@@aidanhamza4656 hhhhhhhhhh et ela za vocha na bando tu dah
@eliasbufula2482
@eliasbufula2482 4 жыл бұрын
Kwni siata yeye wengine walipanda ndege kurudi makwao yeye akajificha wewe unamwambia vimagari!!! Sasa unataka spika wetu atembee kwa miguu? , unaliroho la ajabu kweli,
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 4 жыл бұрын
Acha roho mbaya / chuki utabarikiwa .
@pericykiko6198
@pericykiko6198 4 жыл бұрын
Sasa ukiongea hivyo ndo utapata nini Bora kushukuru, yy ameongea hapo anajua Kuna wengine anawatia moyo ukweli akitoka hapo anaweza akalia Kuna Mambo mengi kaongea ila aliposema kwa mama aliku wa pekee na wakati walikizo alibaki shule sasa angalau Mungu kambariki alitamani akitoka hapo angeenda kumuona mama ila keshatangulia, tupendane tu jmn inaumiza
拉了好大一坨#斗罗大陆#唐三小舞#小丑
00:11
超凡蜘蛛
Рет қаралды 9 МЛН
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 15 МЛН
Magic trick 🪄😁
00:13
Andrey Grechka
Рет қаралды 52 МЛН
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 157 МЛН
Raila's AUC Bid Launch: Tanzania President Samia Suluhu's speech
7:05
MBUNGE BWEGE: "Mnaua, Mnateka tu, Mlitaka Kuninunua nikakataa"
11:46
Global TV Online
Рет қаралды 751 М.
Barack Obama Acceptance Speech
45:08
Democratic National Convention
Рет қаралды 1,1 МЛН
HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013
13:38
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 283 М.
拉了好大一坨#斗罗大陆#唐三小舞#小丑
00:11
超凡蜘蛛
Рет қаралды 9 МЛН