HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013

  Рет қаралды 278,692

Ikulu Tanzania

Ikulu Tanzania

9 жыл бұрын

HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013

Пікірлер: 214
@leonnyntandu7318
@leonnyntandu7318 3 жыл бұрын
Ambao leo tumekutana leo kufuatilia speech za jemedari wetu aliyetumwa na MUNGU kwaajili yetu tuseme Asante Mungu wewe ni mkuu sana Asante kwa zawadi. Amen
@donaldmhulula6888
@donaldmhulula6888 3 жыл бұрын
tupo kamanda
@esterkiyabo1329
@esterkiyabo1329 3 жыл бұрын
Lala salama shujaa wetu
@thomasmagoti9040
@thomasmagoti9040 2 жыл бұрын
Asante mwenyezi mungu
@richardnganya2311
@richardnganya2311 2 жыл бұрын
Mungu alimtuma.... na amemwondoa ! Mungu anatupenda.
@renatusmatungwa2508
@renatusmatungwa2508 Жыл бұрын
Dah
@micamathew2595
@micamathew2595 3 жыл бұрын
Huyu mtu alikuwa halali! Hajui cha usingizi. Acha tu, pumzika baba. Sitakusahau hata kwa sekunde mmoja. Acha tu nimwage machozi yangu.
@aizackkajika5086
@aizackkajika5086 3 жыл бұрын
Nani yuko hapa baada ya kamanda kuzikwa chato
@zarunaamwanajimba1950
@zarunaamwanajimba1950 3 жыл бұрын
Daaa!! Mzalendo kutoka zamani, mchapakazi haswaa jamaniiii Pumzika Baba tutakukumbuka milele!
@simonmayunga6252
@simonmayunga6252 3 жыл бұрын
This is unanswered cry, magufuli ww ndiyo baba wa taifa wa pili
@kamaukamau6233
@kamaukamau6233 3 жыл бұрын
Hon.JPM was a man from the beginning displaying boldness from the start..may his soul RIP
@khamislisso9137
@khamislisso9137 3 жыл бұрын
Magufuri siamin Kama umetuacha Baba 😭😭😭
@zakiamsafiri123zakiamsafir7
@zakiamsafiri123zakiamsafir7 3 жыл бұрын
Ulianza kitambo kuijomboa Tanzania yetu ya sasa😭😭😭tungekuwa na uwezo tungekubakiza miaka 10000
@mlalikwabiswalo7804
@mlalikwabiswalo7804 3 жыл бұрын
Kumbe tangu zamani alikua haandiki speech anatoa kichwani tu ni hatari sana
@onesmoelias2285
@onesmoelias2285 Жыл бұрын
Jembeeeeeeeeee likikuwa
@hopehealthcs3294
@hopehealthcs3294 3 ай бұрын
Kbs
@ponsianamataka4607
@ponsianamataka4607 3 жыл бұрын
Pumziko la milele umpe Ee Bwana, na mwanga wa milele umuangazie. Apumzike kwa amani Amina. Nahisi ulijitoa sadaka kubwa hadi ukasahau moyo wako na ukauchosha kweli kweli. Mungu Baba msamehe dhambi zote na umpokee mbinguni.
@albertkondela976
@albertkondela976 3 жыл бұрын
🙏
@ramamohamed8392
@ramamohamed8392 9 ай бұрын
Hii imenigusa sana!😭😭😭
@dicksonmatulile1523
@dicksonmatulile1523 3 жыл бұрын
Tutakumisi sana baba yetu
@lucymangwela5275
@lucymangwela5275 3 жыл бұрын
Nilitamani sana uwe Rais miaka 50 lakini haukuwa mpango wa Mungu,umetuacha katika wakati mgumu sana,Taifa lilikuwa bado linakuhitaji Baba,inaniuma sana
@user-gc3ec9wx6z
@user-gc3ec9wx6z 4 ай бұрын
Bc alikuwe awe mfalme
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 3 жыл бұрын
Jamani,Jamani.Mtumbua Majipuuu,........Mungu akupumzishe kwa Amani.
@Ramadhanimsingwa
@Ramadhanimsingwa 3 жыл бұрын
Shujaa Wa Tanzania hotuba zinatufariji Mungu akupe pepo na mapumziko mema tutakukumbuka daima
@allynazareth9684
@allynazareth9684 3 жыл бұрын
Huyu jamaa alikuwa ana conference nzuri sana haijapata kutokea hapa anaongea kama yeye ndo alikuwa rais ila mawaziri wa sasa wakiwa mbele ya rais wanaongea kwa hofu na kujipendekeza ila huyu mwamba alikuwa wa tofauti sana mungu amsamehe makosa yake amlaze pema
@agripinaaudax168
@agripinaaudax168 3 жыл бұрын
Dah Mungu anamakusudi yake nimeamini hii Leo vyenye Simuoni tena raisi wetu
@yusuphissa9613
@yusuphissa9613 3 жыл бұрын
Ulitakiwa uwe Rais wetu kuanzia 2012
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 Жыл бұрын
Asante Sana kwa kuweka kumbukumbu sawa kumbe katika utawala Jakaya Kikwete aliweza kujenga mtandao wa Barabara wenye jumla ya KM 11100,bado hujaongerea umeme wa REA chini ya Prof Sospiter Mhongo nk.
@vailetikulanga5393
@vailetikulanga5393 3 жыл бұрын
Dah hapa alikua wazir😭😭
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 3 жыл бұрын
Rest In peace Rais John Pombe Magufuli, Allah akupumzishe kwa Amani Rais wetu 🙏
@sospetershijah5619
@sospetershijah5619 3 жыл бұрын
Alikuw mkweli Sana. Rest in peace my president
@amenyemwansile631
@amenyemwansile631 3 жыл бұрын
Eeh mungu mpe pumziko la amani mja wako katika ufalme wako milele Amina
@mwamengele
@mwamengele 3 жыл бұрын
RIP JPM tutakukumbuka daima
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 3 жыл бұрын
Kikwete ametukanwa Sana kumbe barabara kaanza kujenga yeye
@msetikebwasi1469
@msetikebwasi1469 3 жыл бұрын
Sema alikoswa hela kwa kushindwa kukusanya kodi.
@danielupendo6748
@danielupendo6748 3 жыл бұрын
Baba etu atutakusaau kamwe😭😭😭😭😭kwa upendo wako kwetu,ulitupa upendo wa kweli ,pumzika kipenzi Cha TANZANIA kea amani,amina
@Ronald-gh6jl
@Ronald-gh6jl 3 жыл бұрын
Kiongozi supavu,, mungu aiweke roho yake marehemu jpm mahali pema peponi
@imanijohn6069
@imanijohn6069 3 жыл бұрын
Dah, alikuwa anajiamini sana aisee, ameenda kuwa kiongozi wa malaika
@asueddy1465
@asueddy1465 4 жыл бұрын
This Man is very humble and hard working....God bless you JPM
@godlizenmolla2192
@godlizenmolla2192 3 жыл бұрын
Appreciated, one year ago. 🙏🙏
@romanamassawe814
@romanamassawe814 Жыл бұрын
According to your statement to say this one was humble, I think the meaning of the word humble has changed, you surprised me by called an assassinator Humber instead of dictator
@thegreatsource2953
@thegreatsource2953 Жыл бұрын
@@romanamassawe814 Mapumbu yako wewe😡
@ombeninnko9332
@ombeninnko9332 3 жыл бұрын
Alichelewa sana kuwa rais. ..rest in peace
@peterludaila8499
@peterludaila8499 3 жыл бұрын
Kumbe alikuwa hivi hivi toka mwanzo mungu mpe pumziko la milele
@herrygaudence904
@herrygaudence904 3 жыл бұрын
Daaaah kweli wanashukuru mtu ukishaenda
@amigodossantos4129
@amigodossantos4129 Жыл бұрын
Jamani, amesema Watanzania wanapenda kushurukuru watu waliyekufa :)) dahh ni ukweli sasa umeondoka ndiyo wote wanaupenda
@user-xd5pi5vj4s
@user-xd5pi5vj4s 5 ай бұрын
Iv,watu,kama,hawa, tayari watatokea,tena,inch,yetu,ijengwe,upya,kweli, kamanda huyu,badotunamlilia,sana,tena,sana, Mungu,akupuzishe, huko,ulil❤
@gooddeeds162
@gooddeeds162 5 жыл бұрын
Honest and straightforward man since day one , 🙌 Mr President. ProudlyTanzanian
@ambertektv8568
@ambertektv8568 3 жыл бұрын
Daaahh mheshimiwa Rais mama SAMIA TUNAKUOMBA FATA NYAO ZA MAGUFULI KUTUONGOZA
@thomasmagoti9040
@thomasmagoti9040 2 жыл бұрын
Mh
@sameermilo4907
@sameermilo4907 3 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Kamanda JPM 🇹🇿
@jameskagulu4228
@jameskagulu4228 10 ай бұрын
Mzee documentary sana hadi raha kumsikiliza
@liberatusnsekela3997
@liberatusnsekela3997 2 жыл бұрын
Hongera sana mtumishi was Mungu.
@elkpddos1781
@elkpddos1781 4 жыл бұрын
Proud of him,that is my presedent magufuli no doubt he is the man salute you my lovely presedent
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo 3 ай бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi amefanya kazi kwa haki bila kutaka ambacho sio chake mungu akubariki sanaaaa
@coolruler6820
@coolruler6820 3 жыл бұрын
Daah,,,Hapa kazi tuu kweli" 2013 iyo Ila hotuba ya Mwamba kama ya jana vle,,,aliziishi kauli zake, iyo kichwa kumbukizi kama kompyuta vle,,mmoja wa Raisi aliyefanikiwa kunishawishi kupiga kura yapata miaka 25 tangu nitimize umri wa kupiga kura sikuwahi kupata wa kunishawishi kumpa kura ila Mwamba alifanikiwa kunishawishi...Rest in Power JPM
@mduduonline8116
@mduduonline8116 3 жыл бұрын
RIP BABA MAGUFULI
@kudraahmad5670
@kudraahmad5670 3 жыл бұрын
Shujaaa muongoza njia
@jumamazengo9604
@jumamazengo9604 2 жыл бұрын
Hon. Joseph P. Magufuli a later president of Republic Tanzania your image will exist anymore in our country. R.I.P Dad.
@jacksonhonorat3078
@jacksonhonorat3078 3 жыл бұрын
RIP mzee wangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@brother_majesty
@brother_majesty 4 ай бұрын
Alikuwa ana upako wa kisiasa..tena akijua anaelekea urais 2015
@Julius_Lugwisher
@Julius_Lugwisher 2 жыл бұрын
Dah😭😭 our magufuli, anaongea kwa hisia kweli lkn Mungu ampumzishe kwa amani dah,
@Epicmarkmedia
@Epicmarkmedia 4 жыл бұрын
MY PRESIDENT
@emmanuelgwaay4773
@emmanuelgwaay4773 4 жыл бұрын
Hajawahi kupindisha ukweli tokea day one
@bonneanneebizimana2788
@bonneanneebizimana2788 11 ай бұрын
Hatutakupata tena mungu akulaze mahari pema peponi
@mrinjamwanga1423
@mrinjamwanga1423 3 жыл бұрын
Kwli baba sio wote watakushukur ,,hata wewe hawajakushukuru ,nashangaa kuona mataifa mengine yakikulilia na kutamani ungekua wakwao,hapo ndo utagundua kibaya ni saile unacho
@emmanuelbenson6330
@emmanuelbenson6330 4 жыл бұрын
Nashangaa kuona dislike hapa, kweli haters hawakosi
@RD-ml7pi
@RD-ml7pi 3 жыл бұрын
Wengine awaelewag maana yake
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 3 жыл бұрын
Emmanuel; hao sio HATERS hao ni WENDAWAZIMU
@johngachugu305
@johngachugu305 2 жыл бұрын
Na imekuja mpaka hapa Uyovu, Uyovu, Uyovu kutoka Dar-es-Salaam, urekosha sana hadi nimecheka kweli WaTanzania mulijaliwa na kiongozi kama Magufuli
@evansmunga6662
@evansmunga6662 2 жыл бұрын
A great man he was. I Miss him
@stevinmwanzaa1785
@stevinmwanzaa1785 Ай бұрын
Hapa ni waziri bado na kujiamini kweli mungu anamakusudi yake
@psitanzania9146
@psitanzania9146 3 жыл бұрын
R.I.P kamanda
@Renardnho-gd8ib
@Renardnho-gd8ib 11 ай бұрын
Aaaaaa😢 mwamba tutakukumbuka sana😢😢😢😢😮
@eliamwankenja7087
@eliamwankenja7087 26 күн бұрын
Nakukumbaka sana najakaya rasii mpendwa
@maribaisack8389
@maribaisack8389 3 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani mzee
@AbdulrahmanMurshid
@AbdulrahmanMurshid Жыл бұрын
Apumzike kwa aman jemedal wetu na watu wahivi niwachache dunian wenye mapenz kwa wananchi wanyonge ambao wakotayal kujitoa kwa nia ya dhat kutka moyon ili kuwatetea
@moshimgaza5642
@moshimgaza5642 3 жыл бұрын
Hapa alikua waziri wa ujenzi
@stephanojmafumbira5369
@stephanojmafumbira5369 3 жыл бұрын
Kama upo duniani vile
@jumanassoro1552
@jumanassoro1552 2 жыл бұрын
Mungu akulaze mahala pema peponi
@brother_majesty
@brother_majesty 4 ай бұрын
Maono alikuwa nayo kitambo.....ana beji ya africa
@sniper93999
@sniper93999 2 жыл бұрын
DAIMA utakubukwa milele JPM ww kwel ni shujaaa ulianza kupigania maendeleo zamani sana 😭😭we still tunakukumbuka hata na kizazi kijacho REST IN PEACE JPM
@eenpaard3915
@eenpaard3915 3 жыл бұрын
Chuma chetu
@mwaitwalilechannel2024
@mwaitwalilechannel2024 3 жыл бұрын
RIP my president
@miketimejah4280
@miketimejah4280 2 жыл бұрын
2022.. we still remember you Baba...
@AliHussein-lk2gw
@AliHussein-lk2gw 3 жыл бұрын
Daa inauma kweli
@YosiaYohana
@YosiaYohana 2 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭acheni kunikumbusha majonzi cjui yataisha lin mpak ntakapo kufa
@athumansuphian5891
@athumansuphian5891 2 жыл бұрын
Huyu jamaa alikua jiniasi kwakweli haandiki hutuba anatoa kwenye computer kichwani R.I.P MAGUFULI
@yusuphissa9613
@yusuphissa9613 3 жыл бұрын
Nashindwa hata niseme nini
@ibrahimjobu9141
@ibrahimjobu9141 4 жыл бұрын
Ahahahahahahahahahahahah saizi Baba ndio umeshika rungu sio kwa kutunyoosha huko na uzidi kutunyoosha mbaka tukubali wenyewe
@user-ms1xg1fp4v
@user-ms1xg1fp4v 4 ай бұрын
Marais wetu hakika wanaishi kishkaji nakuvumiliana sana
@bahatimirambo6358
@bahatimirambo6358 2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba uliyoyatenda Tanzania ni makubwa Sana
@kenslogistics4377
@kenslogistics4377 3 жыл бұрын
Mheshimiwa raisi........x 1000000000
@stn4873
@stn4873 3 жыл бұрын
Huyu mzee angekua na nguvu kama hivi hadi leo kungechimbika😂😂😂😂😂
@reginaldmasato9932
@reginaldmasato9932 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@paulsingano674
@paulsingano674 4 жыл бұрын
Mchapa kazi toka zamani
@bennie7239
@bennie7239 2 жыл бұрын
Mnaofake uongozi hili jiwe ni FUNZO kwenu huyu mwamba alizaliwa alivokuwa; msijifanye mnatembelea Magufulification ambayo kiuhalisia HAMNA. RIP Mr. President..
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 3 жыл бұрын
Pumzika kwa Aman Shujaa wetu wa Africa 😭😭😭🙏
@lichilasalumu7983
@lichilasalumu7983 3 жыл бұрын
Nimemuona majaliwa Apo.
@saidalsalmi9313
@saidalsalmi9313 3 жыл бұрын
Hii ndio ilikua safari ya kwenda Ikulu
@godfreypaulo8355
@godfreypaulo8355 3 жыл бұрын
Nimemuona majaliwa hapo alikuwaga nani?
@ellymwitakichonge8416
@ellymwitakichonge8416 3 жыл бұрын
Alikua Naibu waziri tamisemi
@saimonpeter3788
@saimonpeter3788 3 жыл бұрын
😭😭😭😭 tutakukumbuk Bab
@tugesyegemwakatumbula9857
@tugesyegemwakatumbula9857 4 жыл бұрын
Mzee wa kutunza kumbukumbu
@sulaimanomary6533
@sulaimanomary6533 3 жыл бұрын
😆😆😆😆😅 kwa kumbukumbu tu duh
@erickphilipo4163
@erickphilipo4163 3 жыл бұрын
Kazi ya samaki hiyo
@ivankivinge2987
@ivankivinge2987 3 жыл бұрын
Rest in peace baba 🙏🙏🙏
@charleselijah-vq3hq
@charleselijah-vq3hq Жыл бұрын
Ukweli Mweheshimiwa Dr.John John Joseph Pombe Magufuli Hayati ulikuwa Mzalendo wa pumzika kwa amani. Kizuri hakidumu ila thamani yako liko pale pale.utakumbwa siku zote.
@mosenetor7882
@mosenetor7882 Жыл бұрын
Nakukumbuka BABA Yale uliyokuwa unayatetea hayapo tena
@ezekielkazingo6055
@ezekielkazingo6055 3 жыл бұрын
Waziri adi rais wapekee
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 4 ай бұрын
Huyu mwamba alikuwa hamchukii mtu bali alichukia Umaskini na uzembe serikalini.
@stephanomsuya9414
@stephanomsuya9414 2 жыл бұрын
Super JPM, pumzika mzee wetu
@jijab4442
@jijab4442 3 жыл бұрын
HE WAS A REAL LEGEND
@mcutanorsonvanwillson2991
@mcutanorsonvanwillson2991 3 жыл бұрын
Rest in peace magu
@mwakasegeshukuru3720
@mwakasegeshukuru3720 3 жыл бұрын
Upo vzr magu
@yordanyona1234
@yordanyona1234 3 жыл бұрын
Huyu mwamba alikuwa Rais hata kabla
@alfredyfredrick8955
@alfredyfredrick8955 3 жыл бұрын
Daaah Chuma R.I.P
@yasinnyembo8249
@yasinnyembo8249 3 жыл бұрын
R.i.p chuma
@mandileykiritokangai3042
@mandileykiritokangai3042 9 ай бұрын
Ohhhhh God bless you
@robertonesmo8892
@robertonesmo8892 3 жыл бұрын
R.l.P
@josephatalphonce4474
@josephatalphonce4474 3 жыл бұрын
Ama kweli magufuli ni jembe
@magedononda7820
@magedononda7820 3 жыл бұрын
Jembe la Tanzania mwamba shuja usiyefananishwa.
@aishajami6826
@aishajami6826 3 жыл бұрын
Anajua kilometre za barabara zote za Tz na gharama (costs) zake! Amazing 👋
Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015
1:38:02
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 145 М.
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,4 МЛН
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 36 МЛН
Happy 4th of July 😂
00:12
Pink Shirt Girl
Рет қаралды 60 МЛН
HOTUBA YA MHE DKT.JAKAYA  MRISHO  KIKWETE KWA WANANCHI, 31 JULY 2014
44:09
KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT  MAGUFULI AKIWA CHATO MARCH 29,2016
52:42
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 80 М.
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,4 МЛН