Ambao leo tumekutana leo kufuatilia speech za jemedari wetu aliyetumwa na MUNGU kwaajili yetu tuseme Asante Mungu wewe ni mkuu sana Asante kwa zawadi. Amen
@donaldmhulula68883 жыл бұрын
tupo kamanda
@esterkiyabo13293 жыл бұрын
Lala salama shujaa wetu
@thomasmagoti90402 жыл бұрын
Asante mwenyezi mungu
@richardnganya23112 жыл бұрын
Mungu alimtuma.... na amemwondoa ! Mungu anatupenda.
@renatusmatungwa2508 Жыл бұрын
Dah
@micamathew25953 жыл бұрын
Huyu mtu alikuwa halali! Hajui cha usingizi. Acha tu, pumzika baba. Sitakusahau hata kwa sekunde mmoja. Acha tu nimwage machozi yangu.
@aizackkajika50863 жыл бұрын
Nani yuko hapa baada ya kamanda kuzikwa chato
@zarunaamwanajimba19503 жыл бұрын
Daaa!! Mzalendo kutoka zamani, mchapakazi haswaa jamaniiii Pumzika Baba tutakukumbuka milele!
@simonmayunga62523 жыл бұрын
This is unanswered cry, magufuli ww ndiyo baba wa taifa wa pili
@kamaukamau62333 жыл бұрын
Hon.JPM was a man from the beginning displaying boldness from the start..may his soul RIP
@khamislisso91373 жыл бұрын
Magufuri siamin Kama umetuacha Baba 😭😭😭
@zakiamsafiri123zakiamsafir73 жыл бұрын
Ulianza kitambo kuijomboa Tanzania yetu ya sasa😭😭😭tungekuwa na uwezo tungekubakiza miaka 10000
@mlalikwabiswalo78043 жыл бұрын
Kumbe tangu zamani alikua haandiki speech anatoa kichwani tu ni hatari sana
@onesmoelias2285 Жыл бұрын
Jembeeeeeeeeee likikuwa
@hopehealthcs32943 ай бұрын
Kbs
@ponsianamataka46073 жыл бұрын
Pumziko la milele umpe Ee Bwana, na mwanga wa milele umuangazie. Apumzike kwa amani Amina. Nahisi ulijitoa sadaka kubwa hadi ukasahau moyo wako na ukauchosha kweli kweli. Mungu Baba msamehe dhambi zote na umpokee mbinguni.
@albertkondela9763 жыл бұрын
🙏
@ramamohamed83929 ай бұрын
Hii imenigusa sana!😭😭😭
@dicksonmatulile15233 жыл бұрын
Tutakumisi sana baba yetu
@lucymangwela52753 жыл бұрын
Nilitamani sana uwe Rais miaka 50 lakini haukuwa mpango wa Mungu,umetuacha katika wakati mgumu sana,Taifa lilikuwa bado linakuhitaji Baba,inaniuma sana
@user-gc3ec9wx6z4 ай бұрын
Bc alikuwe awe mfalme
@florakweyunga44903 жыл бұрын
Jamani,Jamani.Mtumbua Majipuuu,........Mungu akupumzishe kwa Amani.
@Ramadhanimsingwa3 жыл бұрын
Shujaa Wa Tanzania hotuba zinatufariji Mungu akupe pepo na mapumziko mema tutakukumbuka daima
@allynazareth96843 жыл бұрын
Huyu jamaa alikuwa ana conference nzuri sana haijapata kutokea hapa anaongea kama yeye ndo alikuwa rais ila mawaziri wa sasa wakiwa mbele ya rais wanaongea kwa hofu na kujipendekeza ila huyu mwamba alikuwa wa tofauti sana mungu amsamehe makosa yake amlaze pema
@agripinaaudax1683 жыл бұрын
Dah Mungu anamakusudi yake nimeamini hii Leo vyenye Simuoni tena raisi wetu
@yusuphissa96133 жыл бұрын
Ulitakiwa uwe Rais wetu kuanzia 2012
@modestwenceslaus9 Жыл бұрын
Asante Sana kwa kuweka kumbukumbu sawa kumbe katika utawala Jakaya Kikwete aliweza kujenga mtandao wa Barabara wenye jumla ya KM 11100,bado hujaongerea umeme wa REA chini ya Prof Sospiter Mhongo nk.
@vailetikulanga53933 жыл бұрын
Dah hapa alikua wazir😭😭
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Rest In peace Rais John Pombe Magufuli, Allah akupumzishe kwa Amani Rais wetu 🙏
@sospetershijah56193 жыл бұрын
Alikuw mkweli Sana. Rest in peace my president
@amenyemwansile6313 жыл бұрын
Eeh mungu mpe pumziko la amani mja wako katika ufalme wako milele Amina
@mwamengele3 жыл бұрын
RIP JPM tutakukumbuka daima
@lucaschisamalo28523 жыл бұрын
Kikwete ametukanwa Sana kumbe barabara kaanza kujenga yeye
@msetikebwasi14693 жыл бұрын
Sema alikoswa hela kwa kushindwa kukusanya kodi.
@danielupendo67483 жыл бұрын
Baba etu atutakusaau kamwe😭😭😭😭😭kwa upendo wako kwetu,ulitupa upendo wa kweli ,pumzika kipenzi Cha TANZANIA kea amani,amina
@Ronald-gh6jl3 жыл бұрын
Kiongozi supavu,, mungu aiweke roho yake marehemu jpm mahali pema peponi
@imanijohn60693 жыл бұрын
Dah, alikuwa anajiamini sana aisee, ameenda kuwa kiongozi wa malaika
@asueddy14654 жыл бұрын
This Man is very humble and hard working....God bless you JPM
@godlizenmolla21923 жыл бұрын
Appreciated, one year ago. 🙏🙏
@romanamassawe814 Жыл бұрын
According to your statement to say this one was humble, I think the meaning of the word humble has changed, you surprised me by called an assassinator Humber instead of dictator
@thegreatsource2953 Жыл бұрын
@@romanamassawe814 Mapumbu yako wewe😡
@ombeninnko93323 жыл бұрын
Alichelewa sana kuwa rais. ..rest in peace
@peterludaila84993 жыл бұрын
Kumbe alikuwa hivi hivi toka mwanzo mungu mpe pumziko la milele
@herrygaudence9043 жыл бұрын
Daaaah kweli wanashukuru mtu ukishaenda
@amigodossantos4129 Жыл бұрын
Jamani, amesema Watanzania wanapenda kushurukuru watu waliyekufa :)) dahh ni ukweli sasa umeondoka ndiyo wote wanaupenda
Honest and straightforward man since day one , 🙌 Mr President. ProudlyTanzanian
@ambertektv85683 жыл бұрын
Daaahh mheshimiwa Rais mama SAMIA TUNAKUOMBA FATA NYAO ZA MAGUFULI KUTUONGOZA
@thomasmagoti90402 жыл бұрын
Mh
@sameermilo49073 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Kamanda JPM 🇹🇿
@jameskagulu422810 ай бұрын
Mzee documentary sana hadi raha kumsikiliza
@liberatusnsekela39972 жыл бұрын
Hongera sana mtumishi was Mungu.
@elkpddos17814 жыл бұрын
Proud of him,that is my presedent magufuli no doubt he is the man salute you my lovely presedent
@AMBROSIJOSEPH-qc7xo3 ай бұрын
Mungu akulaze mahali pema peponi amefanya kazi kwa haki bila kutaka ambacho sio chake mungu akubariki sanaaaa
@coolruler68203 жыл бұрын
Daah,,,Hapa kazi tuu kweli" 2013 iyo Ila hotuba ya Mwamba kama ya jana vle,,,aliziishi kauli zake, iyo kichwa kumbukizi kama kompyuta vle,,mmoja wa Raisi aliyefanikiwa kunishawishi kupiga kura yapata miaka 25 tangu nitimize umri wa kupiga kura sikuwahi kupata wa kunishawishi kumpa kura ila Mwamba alifanikiwa kunishawishi...Rest in Power JPM
@mduduonline81163 жыл бұрын
RIP BABA MAGUFULI
@kudraahmad56703 жыл бұрын
Shujaaa muongoza njia
@jumamazengo96042 жыл бұрын
Hon. Joseph P. Magufuli a later president of Republic Tanzania your image will exist anymore in our country. R.I.P Dad.
@jacksonhonorat30783 жыл бұрын
RIP mzee wangu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@brother_majesty4 ай бұрын
Alikuwa ana upako wa kisiasa..tena akijua anaelekea urais 2015
@Julius_Lugwisher2 жыл бұрын
Dah😭😭 our magufuli, anaongea kwa hisia kweli lkn Mungu ampumzishe kwa amani dah,
@Epicmarkmedia4 жыл бұрын
MY PRESIDENT
@emmanuelgwaay47734 жыл бұрын
Hajawahi kupindisha ukweli tokea day one
@bonneanneebizimana278811 ай бұрын
Hatutakupata tena mungu akulaze mahari pema peponi
@mrinjamwanga14233 жыл бұрын
Kwli baba sio wote watakushukur ,,hata wewe hawajakushukuru ,nashangaa kuona mataifa mengine yakikulilia na kutamani ungekua wakwao,hapo ndo utagundua kibaya ni saile unacho
Na imekuja mpaka hapa Uyovu, Uyovu, Uyovu kutoka Dar-es-Salaam, urekosha sana hadi nimecheka kweli WaTanzania mulijaliwa na kiongozi kama Magufuli
@evansmunga66622 жыл бұрын
A great man he was. I Miss him
@stevinmwanzaa1785Ай бұрын
Hapa ni waziri bado na kujiamini kweli mungu anamakusudi yake
@psitanzania91463 жыл бұрын
R.I.P kamanda
@Renardnho-gd8ib11 ай бұрын
Aaaaaa😢 mwamba tutakukumbuka sana😢😢😢😢😮
@eliamwankenja708726 күн бұрын
Nakukumbaka sana najakaya rasii mpendwa
@maribaisack83893 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani mzee
@AbdulrahmanMurshid Жыл бұрын
Apumzike kwa aman jemedal wetu na watu wahivi niwachache dunian wenye mapenz kwa wananchi wanyonge ambao wakotayal kujitoa kwa nia ya dhat kutka moyon ili kuwatetea
@moshimgaza56423 жыл бұрын
Hapa alikua waziri wa ujenzi
@stephanojmafumbira53693 жыл бұрын
Kama upo duniani vile
@jumanassoro15522 жыл бұрын
Mungu akulaze mahala pema peponi
@brother_majesty4 ай бұрын
Maono alikuwa nayo kitambo.....ana beji ya africa
@sniper939992 жыл бұрын
DAIMA utakubukwa milele JPM ww kwel ni shujaaa ulianza kupigania maendeleo zamani sana 😭😭we still tunakukumbuka hata na kizazi kijacho REST IN PEACE JPM
@eenpaard39153 жыл бұрын
Chuma chetu
@mwaitwalilechannel20243 жыл бұрын
RIP my president
@miketimejah42802 жыл бұрын
2022.. we still remember you Baba...
@AliHussein-lk2gw3 жыл бұрын
Daa inauma kweli
@YosiaYohana2 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭acheni kunikumbusha majonzi cjui yataisha lin mpak ntakapo kufa
Ahahahahahahahahahahahah saizi Baba ndio umeshika rungu sio kwa kutunyoosha huko na uzidi kutunyoosha mbaka tukubali wenyewe
@user-ms1xg1fp4v4 ай бұрын
Marais wetu hakika wanaishi kishkaji nakuvumiliana sana
@bahatimirambo63582 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba uliyoyatenda Tanzania ni makubwa Sana
@kenslogistics43773 жыл бұрын
Mheshimiwa raisi........x 1000000000
@stn48733 жыл бұрын
Huyu mzee angekua na nguvu kama hivi hadi leo kungechimbika😂😂😂😂😂
@reginaldmasato99323 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@paulsingano6744 жыл бұрын
Mchapa kazi toka zamani
@bennie72392 жыл бұрын
Mnaofake uongozi hili jiwe ni FUNZO kwenu huyu mwamba alizaliwa alivokuwa; msijifanye mnatembelea Magufulification ambayo kiuhalisia HAMNA. RIP Mr. President..
@saumuhassan63653 жыл бұрын
Pumzika kwa Aman Shujaa wetu wa Africa 😭😭😭🙏
@lichilasalumu79833 жыл бұрын
Nimemuona majaliwa Apo.
@saidalsalmi93133 жыл бұрын
Hii ndio ilikua safari ya kwenda Ikulu
@godfreypaulo83553 жыл бұрын
Nimemuona majaliwa hapo alikuwaga nani?
@ellymwitakichonge84163 жыл бұрын
Alikua Naibu waziri tamisemi
@saimonpeter37883 жыл бұрын
😭😭😭😭 tutakukumbuk Bab
@tugesyegemwakatumbula98574 жыл бұрын
Mzee wa kutunza kumbukumbu
@sulaimanomary65333 жыл бұрын
😆😆😆😆😅 kwa kumbukumbu tu duh
@erickphilipo41633 жыл бұрын
Kazi ya samaki hiyo
@ivankivinge29873 жыл бұрын
Rest in peace baba 🙏🙏🙏
@charleselijah-vq3hq Жыл бұрын
Ukweli Mweheshimiwa Dr.John John Joseph Pombe Magufuli Hayati ulikuwa Mzalendo wa pumzika kwa amani. Kizuri hakidumu ila thamani yako liko pale pale.utakumbwa siku zote.
@mosenetor7882 Жыл бұрын
Nakukumbuka BABA Yale uliyokuwa unayatetea hayapo tena
@ezekielkazingo60553 жыл бұрын
Waziri adi rais wapekee
@mawazoaliselemani4 ай бұрын
Huyu mwamba alikuwa hamchukii mtu bali alichukia Umaskini na uzembe serikalini.
@stephanomsuya94142 жыл бұрын
Super JPM, pumzika mzee wetu
@jijab44423 жыл бұрын
HE WAS A REAL LEGEND
@mcutanorsonvanwillson29913 жыл бұрын
Rest in peace magu
@mwakasegeshukuru37203 жыл бұрын
Upo vzr magu
@yordanyona12343 жыл бұрын
Huyu mwamba alikuwa Rais hata kabla
@alfredyfredrick89553 жыл бұрын
Daaah Chuma R.I.P
@yasinnyembo82493 жыл бұрын
R.i.p chuma
@mandileykiritokangai30429 ай бұрын
Ohhhhh God bless you
@robertonesmo88923 жыл бұрын
R.l.P
@josephatalphonce44743 жыл бұрын
Ama kweli magufuli ni jembe
@magedononda78203 жыл бұрын
Jembe la Tanzania mwamba shuja usiyefananishwa.
@aishajami68263 жыл бұрын
Anajua kilometre za barabara zote za Tz na gharama (costs) zake! Amazing 👋