JPM Alivyompigia Lukuvi Hadharani, Amkopesha MIL 1!

  Рет қаралды 473,611

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

JPM Alivyompigia Lukuvi Hadharani, Amkopesha MIL 1!
Rais Dkt John Magufuli, ameendelea na ziara yake ya kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Leo Septemba 05, Rais Magufuli ametembelea mkoa wa Mara, wilaya ya Bunda katika jimbo la Mbunge wa Chadema, Ester Bulaya na kisikiliza kero za wananchi wa eneo hilo kisha kuzitolea ufafanuzi papo hapo.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.kzfaq.info FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1
/ uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .
Category

Пікірлер: 201
@issaomary9520
@issaomary9520 5 жыл бұрын
Kama unakubari serikari ya magufuri haichezewi gonga like hapo
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 5 жыл бұрын
Yaan hii video imeniliza kabisa kweli huyu ni rais wa wanyonge kutoka moyoni kama unamkubali rais magufuli acha ubishi gonga like yako hapa
@hananmustafa6430
@hananmustafa6430 5 жыл бұрын
Mashaallah raisi unaimani Allah akuhifadhi Inshaallah
@jumakiparis2267
@jumakiparis2267 5 жыл бұрын
Hugo Mkuu wa wilaya mla ruswa tu hafai
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 5 жыл бұрын
@@jumakiparis2267 sure
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 5 жыл бұрын
Huyu ndio raisi anawafikia wananchi sio yule kila siku yupo ULAYA
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 5 жыл бұрын
@@manyotaskipper5765 sure
@zinbormdan9813
@zinbormdan9813 5 жыл бұрын
Wale tunaompenda jembe letu hebu piga like kwa magu
@sweetbertgeofrey6273
@sweetbertgeofrey6273 5 жыл бұрын
Like zikusaidie nn
@ramadhanimam6323
@ramadhanimam6323 5 жыл бұрын
Zinbo Rmdan j
@ymusic803
@ymusic803 5 жыл бұрын
kama umetoa chozi kama mm gonga like
@joshuamchiwa861
@joshuamchiwa861 5 жыл бұрын
Yaani hadi machozi yamenitoka. MUNGU akubariki sana mheshimiwa Raisi.
@OFFTRACKTV
@OFFTRACKTV 3 жыл бұрын
Kweli vizuri aviddumu mungu akutunze huko siku moja tutaonana tena😭😭😭
@mathiasambrose8027
@mathiasambrose8027 5 жыл бұрын
Mungu akulinde sikuzote Rais wetu John pombe magufuli
@davidandrew9575
@davidandrew9575 5 жыл бұрын
Mungu akulinde na kukupa maisha marefu yenye afya tele. Utuongoze vyema
@rezegerezege691
@rezegerezege691 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@felistakalindima8239
@felistakalindima8239 5 жыл бұрын
Mungu akubariki rais wetu nakupenda sana daah
@phillephillip6091
@phillephillip6091 5 жыл бұрын
Aisee nimepiga makofi nikidhani niko live kumbe naangalia video! Mkuu miaka 10 haitoshi kuinyoosha nchi wakuongezee 10 mingine! Allah akulinde baba yetu!
@aishajuma7739
@aishajuma7739 3 жыл бұрын
👌💃💃
@abelmakori
@abelmakori 5 жыл бұрын
How i wish things were this way in Kenya.
@zinbormdan9813
@zinbormdan9813 5 жыл бұрын
Chapa kazi baba nakupendajeeee
@gipsonice7gipsonice791
@gipsonice7gipsonice791 5 жыл бұрын
Nawapenda viongozi kama hawa mimi
@happysteven1276
@happysteven1276 5 жыл бұрын
Safi sana mweshimiwa jpm,nakupendaga kwa kutenda haki
@fredkyara.babamunguwambing482
@fredkyara.babamunguwambing482 5 жыл бұрын
Wanaopenda Rais. Wetu Kipenzi Atutumikie Miaka 20 Layk Hapa Kuniunga Mkono
@lizyyjfdxpatoo1374
@lizyyjfdxpatoo1374 5 жыл бұрын
Namupenda sana kwa kazi yeke
@mapholendesingo6359
@mapholendesingo6359 5 жыл бұрын
kwa kazi nzuri kwa wanyonge aendelee hata kwa awamu 3 za uongozi
@halawachandika7611
@halawachandika7611 4 жыл бұрын
@@lizyyjfdxpatoo1374 hahama
@alexsmongo1106
@alexsmongo1106 Жыл бұрын
Daaaaaaah inauma sana
@joycekomba8427
@joycekomba8427 5 жыл бұрын
nampenda Jeee
@aminaabdallah6009
@aminaabdallah6009 5 жыл бұрын
mungu akulinde daima
@othumanmaulid7406
@othumanmaulid7406 5 жыл бұрын
Anaekubali kua huyu Nirais wa vyama vyote gonga like
@frankjoshua1152
@frankjoshua1152 5 жыл бұрын
safiii
@fahminasser3855
@fahminasser3855 5 жыл бұрын
Shikamoo magufuli safiiiiiiiiiiii
@silverjoseph4577
@silverjoseph4577 5 жыл бұрын
Big up Sana Mr President
@judithcherono4141
@judithcherono4141 5 жыл бұрын
Ubarikiwe sana saidia wanyonge
@mwanajuma2666
@mwanajuma2666 5 жыл бұрын
Hongera Mheshimiwa Rais...mungu akubariki
@manmborrow212
@manmborrow212 5 жыл бұрын
Nakupenda Raisi wangu
@joycekomba8427
@joycekomba8427 5 жыл бұрын
Uyo ndo Magufuli bwana
@annajoseph9959
@annajoseph9959 5 жыл бұрын
Mi pia
@robertobunga3158
@robertobunga3158 5 жыл бұрын
MAGUFULI IS A FIXER BUT FIXERS ARE KNOWN NOT TO FIGHT AND CHANGE SYSTEMS BUT FIX PARTS OF IT. HUYO KAMISHNA IS PART OF A ROTTEN ENTIRE SYSTEM WHICH HE NEEDS TO FIX... HE FIRED THE GUY LAKINI THE SYSTEM IS STILL INTACT
@donlen7273
@donlen7273 5 жыл бұрын
Man Mborrow uyu mheshimiwa atafika mbali Mungu ambariki
@mw.paulolaizer8262
@mw.paulolaizer8262 5 жыл бұрын
Ooooh my God mlinde huyu rais wetu jamani!!
@nikolasemanuel233
@nikolasemanuel233 5 жыл бұрын
Mimi naendelea kusema ww ni rafiki wawanyonge kwakweli nimetokwa namachozi kwaraha maana maamuzi unayo yachukua ni uhalisia wa maisha ya mtu ambaye ni mtoto wamkulima.ule utanzania halisi tunauwona kwako.Barikiwa muheshimiwa raisi wetu,
@francischipangapole7671
@francischipangapole7671 5 жыл бұрын
amen
@mababiyoo8099
@mababiyoo8099 5 жыл бұрын
Dah
@ombenilyawalika8731
@ombenilyawalika8731 5 жыл бұрын
Hongera sana Rais wetu kwa kutetea haki ya wanyonge kama huyo bibi
@asha121almabsli4
@asha121almabsli4 5 жыл бұрын
Haya mambo makubwa
@NOVATISIYAME
@NOVATISIYAME 4 ай бұрын
RIP FATHER AFRICA
@abdallaabdulrahman8319
@abdallaabdulrahman8319 5 жыл бұрын
live long the righteous ruler
@winnerhilary98
@winnerhilary98 5 жыл бұрын
abdag
@freddymello3227
@freddymello3227 5 жыл бұрын
Haki ya mjane na masikini ni ya lazima kuisimamia.MWENYEZI Mungu huwatetea kwa mkono hodari watu wa kundi hili.Tusidhulumu haki za wajane na watu masikini jamani.
@melkonjalika4727
@melkonjalika4727 5 жыл бұрын
congratrats presdawa
@agapituslunalo9464
@agapituslunalo9464 5 жыл бұрын
Tanzania mumebarikiwa na kiongozi mwenye utu. I wish Kenya tungekua na kiongozi kama makafuli, you are blessed country
@zinbormdan9813
@zinbormdan9813 5 жыл бұрын
Ukiona mtu hamkubali magu bas jua alizoea kula vya bure
@saidomar5555
@saidomar5555 5 жыл бұрын
Kweli zinaumiza mioyo ya watu, what I can see there is future in tz hongera wrote wanaofahamu viongozi was juu was nchi. Pole nyimbo za zamani Bora sasa waombwe wa radio station wazipige X10 a day. Watanzania tuchape kaziiiiiiiii.
@ayubuchindo8002
@ayubuchindo8002 5 жыл бұрын
Mmh
@abdallaabdulrahman8319
@abdallaabdulrahman8319 5 жыл бұрын
true
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 3 жыл бұрын
Ni mchawi
@salmadalaquimane5303
@salmadalaquimane5303 5 жыл бұрын
Mapenz yang kwako aya semek nakupenda sana magu
@user-sb7ge6yj1i
@user-sb7ge6yj1i 5 ай бұрын
Hata patikana Kama magu
@gilbertmtoshu4334
@gilbertmtoshu4334 5 жыл бұрын
mpaka choz aise
@user-kw5pb9dd7p
@user-kw5pb9dd7p 2 ай бұрын
Ahsante
@blessingbagio4857
@blessingbagio4857 5 жыл бұрын
Ckua nampenda na wala ckumchagua magufuli lkn kunavtu anafanya namkubali.
@hidayaamri1112
@hidayaamri1112 5 жыл бұрын
Namkubali sana sana Uncle Magu jamani, yanikuna matendo yake
@pelusiemanueli6926
@pelusiemanueli6926 4 жыл бұрын
Mashallah
@KajunaMathayo
@KajunaMathayo 23 күн бұрын
John mungu amulinde
@ericsamba464
@ericsamba464 5 жыл бұрын
kwa kweli hii nchi ina tatizo kubwa katika mfumo wa uongozi na namna ya kushughulikia matatizo ya wananchi, 'chain of command haipo vizuri. Matatizo yote hayawezi kuwa yanamsubiri rais peke yake
@user-mi6zy3gn1u
@user-mi6zy3gn1u 5 ай бұрын
Magufuli pongezi
@Basagamp4
@Basagamp4 4 ай бұрын
Daaaaaah
@samsonkibona8702
@samsonkibona8702 4 жыл бұрын
Magufuri kweli ni jembe
@raziambwana2145
@raziambwana2145 5 жыл бұрын
Uchaguz hatutaki tena Rais wetu anatosha kila sekta karbu na dodoma
@alexsmongo1106
@alexsmongo1106 Жыл бұрын
Tanzania imejaa dhuruma sana wa2 wenye pesa wanasumbua wa2 maskini hii ni shida sana hakuna raisi kama magufuri aseeeeeeee
@amanibwire4423
@amanibwire4423 5 жыл бұрын
Hongera JPM tunashukuru kwa kuwajari wanyonge Mungu akubariki sana Rais wetu.
@dominicchelesi2351
@dominicchelesi2351 5 жыл бұрын
Amani Bwire
@danitarimo5013
@danitarimo5013 4 жыл бұрын
Safii Jpm
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 4 жыл бұрын
Watawaibia hela
@franciskarangwa6554
@franciskarangwa6554 3 ай бұрын
I MISS DR Magufuli >> may the almighty God give him a confotable after earthly life!!
@andreap.assenga8480
@andreap.assenga8480 5 жыл бұрын
Kwa hapo Mh, Mm namkubali maana anaweka mambo wazi hakuna konakona. Tatizo wengi walifanya kazi kwa mazoea.
@user-dm2le6jo4e
@user-dm2le6jo4e 3 ай бұрын
Say ❤❤
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 4 жыл бұрын
Kweli mnakula rushwa ila huyu mzee mjukuu wake atachukuwa kiwanja
@faizebrahim338
@faizebrahim338 5 жыл бұрын
Piga kazii kaka
@ngassaphilipo2427
@ngassaphilipo2427 5 жыл бұрын
I really love makufuli
@abbacabdul8475
@abbacabdul8475 5 жыл бұрын
hongera sanaa prezi dar
@ladybilionaire379
@ladybilionaire379 5 жыл бұрын
Mungu akubariki Rais wangu love you so much
@jumakapola419
@jumakapola419 2 жыл бұрын
Inauma sana roho ninavyo mtanzama hayati jonh Joseph pombe makufuli
@MrChakoo
@MrChakoo 5 жыл бұрын
Kupatikane basi wakutupatia matokeo baadaye ya juhudi hizi nzuri za Rais Magufuli...kulienda aje baadaye.
@allyvumbi745
@allyvumbi745 5 жыл бұрын
Ndio mana tunakupenda mheshimiwa rahis wetu mpendwa mzee wetu John pombe magufuli mngu akuhifazi ili uwatetee wanyonge
@teddymwageni1763
@teddymwageni1763 3 жыл бұрын
Watu hawapendi kujifunza cjui kwa Nini wanawaonea wanyonge,wakumbuke duniani tunapita tyuuu jamani hivyo mnavyowaumiza watu mtaviachaaa na hao wanyonge watawazika huko vijijini, ustaarabu muhimu
@nancywangeci8189
@nancywangeci8189 5 жыл бұрын
In Kenya we need such leaders ...... Not thieves who steal from their people....
@raziambwana2145
@raziambwana2145 5 жыл бұрын
Mungu akuangazie nuru Rais wetu
@alexsmongo1106
@alexsmongo1106 Жыл бұрын
Jpm alikuwa mtetezi wa nyonge kabisa mungu amlaze pema poponi aseeeeeeee
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 4 жыл бұрын
Makufuli nakupenda kwa kazi yako inanifurahisha
@kalistchuwa7447
@kalistchuwa7447 4 ай бұрын
Dhaaaa akika ww nd ulikuw mtawal w hak kwel😂😂😂😂
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 5 жыл бұрын
Ongera sana Rais wa Wanyonge Hapo Magufuri Nimekupigia Saruti Tawala Miaka yote
@hawasaimon9321
@hawasaimon9321 5 жыл бұрын
Mpaka nasikia raha kumsikiliza JPM wetu asiyemkubali basi tu jamani.
@rehemalyimo3852
@rehemalyimo3852 5 жыл бұрын
rais wa wanyonge
@ngoshazedon9988
@ngoshazedon9988 5 жыл бұрын
wasaidie wasiojiweza mzee kazi nzuri naaaam
@shabaniiddy6565
@shabaniiddy6565 5 жыл бұрын
safiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana JPM
@kaidrisa2711
@kaidrisa2711 5 жыл бұрын
Gudi sana
@annamfinanga3944
@annamfinanga3944 3 жыл бұрын
Huyo Shewiyo ni mla rushwa mkubwa, hapa DSM alininyanyasa sana na kiwanja changu maeneo ya Mbezi Beach.
@marie-rosesirikari6181
@marie-rosesirikari6181 3 жыл бұрын
Dr. John Pombe Magufuli, hata mimi siko Mtanzania, uko ulikuwa kiongozi yangu kabisa😭😭😭😭😭😭
@emaydickson4239
@emaydickson4239 5 жыл бұрын
ubalikiwe baba
@innocentpaulchillu1512
@innocentpaulchillu1512 5 жыл бұрын
thank you my president,the lord GOD give you along life
@delabossreizer9471
@delabossreizer9471 5 жыл бұрын
😂😂😂🙌🙌🙌🙌walai ukifanya kazi na magufuli ofisi moja kama ndio mm bola nikaacha kazi tu nikasake kwingine mzee kupumua kwa shida yaan ukipigwa swali moja pakuchengea akuna unakutana nacho duu magu 🙌🙌🙌
@senetaseneta2222
@senetaseneta2222 4 жыл бұрын
Rais natoa machozi kabla ujafa
@jnkb257tv5
@jnkb257tv5 4 жыл бұрын
Mimi naishi Burundi rakini mungu amubariki Magufure nimwawume hodari
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 5 жыл бұрын
Hii nimeipenda sananaaaaaaaaaa
@richardmanjira6800
@richardmanjira6800 5 жыл бұрын
Safi sana Rais wa wanyonge
@jobashikoye8403
@jobashikoye8403 3 ай бұрын
Sijaona Raisi mwingine kama Magafuli mtetezi WA wanyonge. Heri Mungu angelimpa uzima
@mohammadahmed8013
@mohammadahmed8013 4 жыл бұрын
Ubarikiwe Mr president hapana mchezo hata mzungu hawajawahi Fanya mambo Kama yako
@muhidinshafii9253
@muhidinshafii9253 5 жыл бұрын
excellent Mr president
@jomlawcrossslaw7932
@jomlawcrossslaw7932 4 жыл бұрын
ww magufuli ulizaliwa ama
@kassimloav2402
@kassimloav2402 2 жыл бұрын
January makamba na nape jifunzeni kupitia kunahofuya mungu
@Basagamp4
@Basagamp4 4 ай бұрын
Itatuchukua karne na miongo kupata Rais kama huyu
@blessingbagio4857
@blessingbagio4857 5 жыл бұрын
Nimelia jmn,yaan matajr wananyanyasa sana wanyonge.
@abdiiddirageson5557
@abdiiddirageson5557 5 жыл бұрын
Daaah wenye pesa hawanaga huruma aseee......
@humayduwe1762
@humayduwe1762 5 жыл бұрын
Dah hii kali mwanaume unalia
@wolterdavid8979
@wolterdavid8979 2 жыл бұрын
Magufuli Mtu wa Mungu.
@MasumbukoNgata
@MasumbukoNgata 2 ай бұрын
Huyu baba
@nassoromangi3597
@nassoromangi3597 5 жыл бұрын
raisi ana kazi kubwa sana,tuzidi kumwombea dua
@myoutubecom-gg7sb
@myoutubecom-gg7sb 4 жыл бұрын
Kiboko yenu ishakuja hio hapo hopo jee
@leilahomar5608
@leilahomar5608 5 жыл бұрын
one love jpm
@everistsiriri6393
@everistsiriri6393 5 жыл бұрын
nakupenda mpak nakufaaaa
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 4 жыл бұрын
Iko kazi uongozi watu
@MusaMusa-dq3hd
@MusaMusa-dq3hd 5 жыл бұрын
safi sana rais kwahapo uko pamoja na wanyonge
@suleimankhamis8298
@suleimankhamis8298 5 жыл бұрын
mzee magu cheichei mnyonge mnyongeni haki yake mpeni mwenyeweeee
@binurarassi8156
@binurarassi8156 5 жыл бұрын
Jamani huyu Mtu analia machozi ya uchungu Na furaha kuona Rais wa wanyonge anavyoshughulikia viwanja vyao, Mungu akulinde Rais wetu, Mungu akulinde Waziri wa Ardhi Mh. Lukuvi.
@judithcherono4141
@judithcherono4141 5 жыл бұрын
Safi saidia maskini
@masoudrajab3614
@masoudrajab3614 5 жыл бұрын
Tunakushukuru mkuu kwa kutetea wanyonge
BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere
13:30
Global TV Online
Рет қаралды 238 М.
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 434 М.
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 10 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 20 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
JPM Awabana Mawaziri, Askofu 'Njooni Hapa Mchangie Msikiti'
14:14
Global TV Online
Рет қаралды 350 М.
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 1,9 МЛН
"RPC UMLIPE HUYU MAMA MIL 15, HUYO GADDAF YUKO WAPI KWANI? - JPM
11:08
Global TV Online
Рет қаралды 3,7 МЛН
ODM Leadership in Kenya Kwanza Government.
43:38
SpiceFM
Рет қаралды 29 М.
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 434 М.