#PART2

  Рет қаралды 150,032

Global TV  Online

Global TV Online

11 ай бұрын

#PART2: ''BOSI ALINISINGIZIA NIMEMBAKA, NIKAFUNGWA MIAKA 30'' - KIJANA YASSIN...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 161
@josephnsabiyera6900
@josephnsabiyera6900 9 ай бұрын
Pole sana ndugu, maskini atetewa na mwenyezi bora, mimi ni Joseph nikiwa DRCongo Goma mashariki mwa congo
@priscamagambo5320
@priscamagambo5320 3 ай бұрын
Kumsingizia mtu jambo ambalo hata hajafanya daa!Mungu niepushe kwenye hii laana ambayo inaweza tafuna vizazi vyako
@bilihudasaidi3687
@bilihudasaidi3687 11 ай бұрын
Pole kwa mkasa Ila chozi lako halijaenda Bure yuko wp Sai Ana mengi akujibu huko akher
@sovajulius3870
@sovajulius3870 11 ай бұрын
Kwa Mara ya kwanza nimeshukuru huyo mama kufa.Kufa kabisa potea why umdhurumu kijana maskini Kama huyu
@nasrasalumu7005
@nasrasalumu7005 11 ай бұрын
Kaka usidai tena Mungu atakulipia kwa njia nyingine
@jumatamimu6841
@jumatamimu6841 11 ай бұрын
Pole sana ndugu Yangu yote ni maisha tuu mungu amelipa
@user-bw7ve8ce3q
@user-bw7ve8ce3q 11 ай бұрын
Pole sana kakaangu,Allah atakulipia 😭😭🤲
@aminachiziamina
@aminachiziamina 11 ай бұрын
😢😢😢😢mm nimesikia vibaya sana ilamungu jee yeye ndo zaidi so kaka pole sana namunguuu akupe akupe kazi nzuri sana enye kwa baada ya 2 uwe uko na kilakituuu unacho kitamannii
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 11 ай бұрын
Masikini pole sana 😢yaan sisi wenye watoto wa kiume aki roho juu juu
@user-gu6wg6jp5n
@user-gu6wg6jp5n 9 ай бұрын
Yaan we acha tu Mungu atusaidie kwakwel
@MOHAMMEDABDI-lb7yp
@MOHAMMEDABDI-lb7yp 11 ай бұрын
Usijali mdogo wangu mungu yuko na ww huyo jama na mke wake ni kitu kimoja ni nia yao kukudhulumu tu
@Josephat-cw6co
@Josephat-cw6co 3 ай бұрын
Pole kwa mara nyingine tena unanikumbusha mtoto mu marekani mweusi WA myaka 7 Alie hukumiwa hadhabu ya kifo kwa kuzingishiwa kuwa ame husika na kifo cha watoto2 WA kike wazungu huyu akanyongwa kwa umeme WA 6600 volt.
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
Majaji wengi wa Tanzania watakua na sehemu yao maalum katika moto wa jahannam
@fabssaleh7273
@fabssaleh7273 10 ай бұрын
USIWAHUKUMU WATU. SIRI YA ALLAH TABAARAKALLAH WA TA'ALA. WATU HUTUBIA NA ALLAH TABAARAKALLAH WA TA'ALA NI MWINGI WA KUSAMEHE
@salma0000
@salma0000 10 ай бұрын
@@fabssaleh7273 kwani nikisema kama mtu akifanya dhambi ataenda motoni ndio nimehukumu hapo
@user-uq3ol9jp2u
@user-uq3ol9jp2u 5 ай бұрын
26:36 26:37 26:37 26:38
@user-uq3ol9jp2u
@user-uq3ol9jp2u 5 ай бұрын
​@@fabssaleh7273😊
@user-uq3ol9jp2u
@user-uq3ol9jp2u 5 ай бұрын
😅😊😊.
@petermboje5839
@petermboje5839 11 ай бұрын
Hukumu ya rushwa hiyo tu mahakimu wengne hawana utafiti wanahukumu tu bora mungu ana hukumu yeyote anayempenda mungu kazi yako nzuri kuliko dhuluma za watu na uonevu
@indalesiohenery6124
@indalesiohenery6124 11 ай бұрын
Nimekusimiliza vizuri nikweli hukubaka ili mungu atakuinua Sana mpaka utashangaa
@AbdurazakiKisoma
@AbdurazakiKisoma 3 ай бұрын
Pole Sana Wallah Mungu Yupamoja Nawe😢
@user-uy3mm6nj2s
@user-uy3mm6nj2s 2 ай бұрын
Ukiapa kwenye vitabu vya mungu kizuluma utaweza pona mirere onasasa kilicho mkta mama uyo
@andrewmtandikile895
@andrewmtandikile895 6 ай бұрын
Pole sana Mr Yassin maana Mungu alisimama nawe Sio swala jepesi mm imenigusa mno ila malipo ni hapa hapa . Boss wako malipo hapa weee umebaki yeye yuko wap
@nassornyanyagi5126
@nassornyanyagi5126 5 ай бұрын
Ndg Yaasin pole sana kwa yote uliyopitia ALLAH atakulipa kwa subra yako,kama huyo JAMAA hapokei simu usimfuatile tena, yeye hataki kukulipa hapa duniani laakin atakulipa mbele ya Hakimu wa Mahakimu ambae ni ALLAH "S.W.T" Pambana kupata rizqi sehemu utapata In Shaa Allah
@jeanbigirimana9365
@jeanbigirimana9365 11 ай бұрын
Pole kaka Mungu atakufata machozi
@kudramzee5769
@kudramzee5769 9 ай бұрын
Wanaokwenda jera sio wote wanahatia, wengine wanakwenda jera kwa kesi ya kusingiziwa
@user-fw5is2fi7q
@user-fw5is2fi7q 3 ай бұрын
Pore sana umri unaluhusu pambana maisha yapo mungu atakusimamia
@nuriaabdiabdiyussuf3191
@nuriaabdiabdiyussuf3191 10 ай бұрын
Pole sana bratha na pia malipo ni hapa hapa duniani na huyo mwanamke Allah kulipizia bado huyo jamaa pia apate chake insha'Allah
@OmanOman-dd5qk
@OmanOman-dd5qk 11 ай бұрын
Hakikazuluma nikitu kibaya sana kinafupisha maisha kiliochako mungu kajibu naataendelea kajibu kwa waliotow ushahidi wa uwongo nawalio hukumu walaniwe hao
@adammjomba5814
@adammjomba5814 11 ай бұрын
Hizi kesi za kubaka zina mitihani sana .sasa hivi wanawake wengi ndio silaha yao ukimuudhi kidogo tu anakufanyia mtego ema yeye mwenyewe au mtoto wake wakike au wakiume na mahakimu wengi ni wanawake hawasikilizi chochote zaidi ya kufunga watu (huzuni sana)
@ahmedmukolwe43
@ahmedmukolwe43 11 ай бұрын
Mungu yupo na ipo siku yao
@maryhanspeter8459
@maryhanspeter8459 11 ай бұрын
Usiogope kijana na huna sababu yakumlani au kumlaumu muachie Mungu ndie mtoa hukumu alisema ktk maandiko matakatifu kua hasira na kisasi ni juu yake ona tayari amepata adhabu ya kifo maana kama yeye ni mke wa mtu ni nini kilipelekea kutoa mimba mpaka akafariki na huyo Mume wake pia Iko cku atapewa adhabu yake wewe endelea kumlilia muumba wako atafanya jambo ninahakika vile ulivyopata mtu gerezani akakusaidia kuandaa rufaa ninahakika utapata atakaekuinua na utainuka watashangaa hata huyo doctor wa mchongo atapata pigo tuu. Pole kijana wangu.
@AnnaSimon243
@AnnaSimon243 11 ай бұрын
Naumia sana! Mimi nilihukumiwa miaka3, lakini nikakaa gerezani siku 90 nikatoka. Ila kwa kukata rufaa. Mahakamani hakuna haki hata kidogo.😮😮😮😮
@MRCHARLES277
@MRCHARLES277 11 ай бұрын
​@@ahmedmukolwe43qq
@richardmushi1062
@richardmushi1062 8 ай бұрын
Pole Yasini. Nitakutafuta kwa maongezi pia niangalie namna ya kukusaidia.
@user-pb7ig3ji3m
@user-pb7ig3ji3m 11 ай бұрын
Dar. Pole sn broo.. ILa haki yk haipotei vumilia sn.. ILa Wana wake shida sn
@mohamedwwnurumasagcom8171
@mohamedwwnurumasagcom8171 10 ай бұрын
Pole sana kijana mshukuru mungu kwa kuachiwa huru pia mshukuru mungu kwa kumuondolea pumzi yule dada mungu amejibu
@abdallahhamic3586
@abdallahhamic3586 11 ай бұрын
Daaah inasikitisha sana mungu atakulipia
@fabssaleh7273
@fabssaleh7273 10 ай бұрын
SUB HAANA ALLAH. KILA MCHIMBIA MWENZIWE KISIMA HUINGIA MWENYEWE. MTIHANI KWELI. ALLAH TABAARAKALLAH WA TA'ALA AMSAMEHE - AMEEN YAA RABB.
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 4 ай бұрын
Sio Tu Aliyemsingizia ana Makosa Ukisikiliza hapo, Utagundua Mahakimu ni Wapuuzi sana... Maana Hata Mtu asiye hakimu Angejua Hii Ni Kesi ya Kutunga... Hakimu Aliyemfunga ALAANIWE MILELE
@injilinjeyakutazakanisa
@injilinjeyakutazakanisa 5 күн бұрын
Unajua ingekuwa imetengenezwa vizuri, haya yasingekuwa yanatokea. Hawa wanao singizia wangefungwa, wangelipishwa, na hawa wanao hukumu nao wangekuwa wanalipishwa haya yangekoma
@MartinSilungwe-ws2se
@MartinSilungwe-ws2se 20 күн бұрын
Pole sana kijana mwenzangu mngu akusaidie😢
@user-ic2cb9gm2j
@user-ic2cb9gm2j 11 ай бұрын
Majaji pia wanadhulmaa kubwa sanaa
@demetriajohn2393
@demetriajohn2393 9 ай бұрын
Pole kijana ,Mungu amekunusuru ,nakushauri bora uende nyumbani kwanza utulize akili maisha ya dar bila kazi ni mtihani kwako ,pili hapo kwa rafiki yako kuna mke pia, angalia usije kurukamkojo ukayakanyaga mavi.Alafu najiuliza kwa nini baadhi ya kina mama tunakuwa na roho mbaya kiasi hiki ,! Hivi kweli mtoto wa mwenzio ni wa kwako??Au tunaimba kinafiki tu!!!
@kilamegroup2968
@kilamegroup2968 11 ай бұрын
Pole sana ndugu
@user-ij9te1ck9p
@user-ij9te1ck9p 2 ай бұрын
Tatizo linaanza kwa wenye dhamana ya upelelezi sijuwi hawana weledi ama tamaa za hongo au kudharau viapo na wajibu wao,sidhani ishu km hii ilikuwa na sababu ya hata kufika mahakamani.sijuwi watu hawa wanaopewa dhamana kubwa km hizi zinazobeba maisha ya watu wengine hutumika taratibu gani.kuna haja ya chombo kizima cha polisi kiwe kitengo maalum cha jeshi la wananchi km wenzetu kenya kwa asilimia kubwa wako smart sn na wana mapenzi na raia na wanapendwa pia na raia.
@user-fl5hw7jq9r
@user-fl5hw7jq9r 3 ай бұрын
Pole sana hiyo kesi ilkuwa siihalalli kwa nini hukupelekwa kupimwa namahakama ilifanya makosa
@ahmedmukolwe43
@ahmedmukolwe43 11 ай бұрын
Thank God hiyo nuguu alikufa
@OdenialoniNgusi
@OdenialoniNgusi 3 ай бұрын
Kaka mungu akutangulie katika maisha yako hv mm nimekuombea mungu akujalie
@JumaKhamissi-nh7qn
@JumaKhamissi-nh7qn 6 ай бұрын
Malipo ni hapa hapa chini ya juwa ahera kwenda maesabu Kisha tangulia. Atakiona cha moto.
@RadjboyBagalwa
@RadjboyBagalwa 11 ай бұрын
Pole sana kakangu mungu atakusaidia
@user-bw7ve8ce3q
@user-bw7ve8ce3q 11 ай бұрын
Wee ata usimdai tena, haki ya mtu haizami 😢😢
@user-uk7or9bd9x
@user-uk7or9bd9x 6 ай бұрын
Mungu kamuonesha mungu nimwema
@user-dl2fs8cc8c
@user-dl2fs8cc8c 4 ай бұрын
Aiseee yaan mmmmh,kwanzaa tumshukru Allah maana yeye ndo muweza wa yoteee lakn niskufchee ishi ukimpendeza sanaa mungu maana kesi ilikuwa ztooo huyooo mama cc hatulipiz ubaya wala hatutoi hukumu yeyotee ilaa kama kwer cc hatukufanya hcho kitendoo hakika Allah hachelew Anajibu kwa wakat.....Polee Sana kk mi nko Iringaa Ilulaa nmeskilza machoz yamenitoka kabsaaaaa pole Sana mungu atafanya njia paspo na njiaa kk
@hashimmziray7416
@hashimmziray7416 9 ай бұрын
pole saana kuhusu mambo ya ushahidi naona umechanganya kutokana na mteso au mfadhaiko wa kisaikologia kwa kuwa victim anayedai kubakwa na Dr lazima watoe ushahidi wao wote kisha ndo mtuhumiwa ajitetee hivyo ushahidi wake ni huo anaoita wa mara ya pili kwa kuwa aliutoa baada ya Dr kuongea.
@JusterBagoka-ty7kq
@JusterBagoka-ty7kq 3 ай бұрын
Jaman jaman nimeumia sana mungu tutetee sisi binadamu hatuna huruma jaman
@wettykznznhuioploko1571
@wettykznznhuioploko1571 11 ай бұрын
Mungu kalipa apa apa duniani
@user-qg5bq4sj9c
@user-qg5bq4sj9c 11 ай бұрын
Pole sana arusha kuna kijana anitwa godfrey fund nagar alisingiziwa kulawitwi mungu ampiganie
@SalehSalum-ri1jn
@SalehSalum-ri1jn 3 ай бұрын
Yule alibak kwel
@flendersimba9301
@flendersimba9301 11 ай бұрын
Pole sana pambana tuu.
@rukaraephrem4423
@rukaraephrem4423 10 ай бұрын
Mungu mkubwa hoyo mama mungu ari muhukumu. Pole sana
@user-no2mq8vs2c
@user-no2mq8vs2c 9 ай бұрын
Pole sana kaka angu mungu atakulipia kwahayo yaliyo kukuta
@user-jz2qg8rq4u
@user-jz2qg8rq4u 5 ай бұрын
Pole sana kaka Allah akupe mwisho mwema
@roseatienoogutu7641
@roseatienoogutu7641 10 ай бұрын
vibaya sana kumdhulumu mwana wa mwezako utalipwatu
@allykiyanga5402
@allykiyanga5402 10 ай бұрын
Mm ni miongoni mwa whangarei nilifungwa miezi sita kwa dhulima
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 11 ай бұрын
sasa kama kabakwa xiyuwsjua yy jaman 😭😭 watuwengine jaman😭😭 mungu Amshinde🤗🤗
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 11 ай бұрын
pole sana kakaangu😭😭😭😭
@user-uo1dr6xc9g
@user-uo1dr6xc9g 8 ай бұрын
Pole kaka
@user-fz8kc5dl3y
@user-fz8kc5dl3y 10 ай бұрын
Poleee Sana
@user-sp2hk8ow7t
@user-sp2hk8ow7t 11 ай бұрын
Pole sana ndg mungu atakupambania
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 11 ай бұрын
Jamani Uwiii Kuna watu wataungua Kwa Mungu acha kabisa
@pulkeriamassawe7354
@pulkeriamassawe7354 11 ай бұрын
Pole sana
@user-vw1vk3vc3h
@user-vw1vk3vc3h 9 ай бұрын
Pole dogo, Hawa wanawake tujihadhari nao sana.
@abushaddad989
@abushaddad989 11 ай бұрын
Huyo Mama bora kafa acha akambane aliyotanguliza
@MkumboIddy
@MkumboIddy 3 ай бұрын
Pole sana man
@jeannekorona4016
@jeannekorona4016 11 ай бұрын
Pole sana kabisa
@JacksonLaizer-ul6ek
@JacksonLaizer-ul6ek 10 ай бұрын
Ama kweli Mungu nimkubwa
@user-xv8ji2bl1r
@user-xv8ji2bl1r 10 ай бұрын
Mungu atakulinda kila jambo huja na sababu ili tujifunza haki haipotei
@user-zd9yn2nd2r
@user-zd9yn2nd2r 11 ай бұрын
Pole dogo maisha ayo
@yusufismail3116
@yusufismail3116 11 ай бұрын
Hii Sheria iangaliwe upya maana uonevu mwingi kuliko uhalisia wa matukio yenyewe.
@jumakibomola
@jumakibomola 11 ай бұрын
Pole xana mungu Yu pamoja nawe
@amarually5457
@amarually5457 9 ай бұрын
Pole sana lakini umeona mungu alivyo kulipia uko aliko mungu anampa stahiki yake dhuluma mbaya sana hakiya mtu haipotei
@mussaissa6796
@mussaissa6796 10 ай бұрын
POLE SANA BRO,HAKI YAKO ITALIPWA TU NA HUYO MALUUNI ALIYEKUSINGIZIA MUNGU AMESHAMLIPA TAYARI NA BADO.
@aliymwazoa3051
@aliymwazoa3051 11 ай бұрын
Nimewahi kusikia story kama hii zamani kidogo
@SalehSalum-ri1jn
@SalehSalum-ri1jn 3 ай бұрын
Dah yule mzee alie kua gerezan umshukuru
@user-hh4ex7ps7h
@user-hh4ex7ps7h 9 ай бұрын
Pole sana kaka ila malipo ni hapa hapa ww muachie mungu
@user-ro7xv7bk3y
@user-ro7xv7bk3y 11 ай бұрын
Wewe kijana pole sana kijana bado mdogo tena mshamba sio jasiri kwanini hukumtafuta mumewake 😢😢😢
@fabssaleh7273
@fabssaleh7273 10 ай бұрын
ALLAH ATAMPILIA
@user-xh4jt7nt7z
@user-xh4jt7nt7z 7 ай бұрын
Dogo pole sana mimi kwanza nakuomba ata hapo kwa lafikiako uwondoke mana wanawake hawana huluma kabisa pambana dogo
@jacksonbasenile-nu8bf
@jacksonbasenile-nu8bf 7 ай бұрын
Pole Sana kupatwa na tatizo hilo
@salisali3738
@salisali3738 11 ай бұрын
Aliapia kiapo cha uongo Mungu ame hukumu kiapo sio cha mchezo kuapia uongo
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 11 ай бұрын
Mhh 🤔🤔. Mbona alishahojiwa na Mbengo , miaka miwili iliyopita. Leo anasema katoka mwaka huu. Simuelewi kiukweli.
@Josephat-cw6co
@Josephat-cw6co 3 ай бұрын
Pole mwanangu
@nicholaskavuwa6780
@nicholaskavuwa6780 3 ай бұрын
Ukora wa mahakimu wakenya na tanzania wao ndio watakua kuni jikoni la jehonamu
@salma0000
@salma0000 11 ай бұрын
Hivi Tanzania hamjaweza tu kucheki ushahidi wa dna za wabakaji mpk leo.
@PijeyWilliam
@PijeyWilliam 3 ай бұрын
Pole san nduguyang unanikumbush mbali san maan Keaikama yako kuna mdogowangu kafungwa miak 30 kama hiyo mpaka sas sijuw yuko wap
@plumbingtanzaniaplumber7570
@plumbingtanzaniaplumber7570 8 ай бұрын
Pole sana mungu atakusimamia
@SereneBoxer-kz4fs
@SereneBoxer-kz4fs 6 ай бұрын
Pole mweye nguvu ni Mungu
@JumaKhamissi-nh7qn
@JumaKhamissi-nh7qn 6 ай бұрын
Jasho LA mtu aliliki hizo pesa zako alizo kudhululu atakulipa mbele ya Allah
@user-vo7oq3gz9c
@user-vo7oq3gz9c 3 ай бұрын
Tatizo la mahakim wetu haki nyuma mwiko
@user-zd2zn8yj2e
@user-zd2zn8yj2e 11 ай бұрын
Tuma,hiyo,number, tena,niko,hapa,Saudi, namimi,nimukenya,nitakutumia,pasa,kidongo,mwisho,wamwezi,
@MohamedMohamed-dx8ve
@MohamedMohamed-dx8ve 3 ай бұрын
Allah akbar
@omarihasani7569
@omarihasani7569 11 ай бұрын
Hakika haikuw rahx mung akubariki
@OdenialoniNgusi
@OdenialoniNgusi 3 ай бұрын
Aloo kumbe alikufa mungu yupo
@user-dj9wd9up6g
@user-dj9wd9up6g 11 ай бұрын
Pole sana ila huyo bosi wako hanautu hatakkulipa huyo
@user-fl5hw7jq9r
@user-fl5hw7jq9r 3 ай бұрын
Wewe pia huku sema ukapimwe ndio ushadi ugepatikana soma sheriya maraigine
@betinesjulius
@betinesjulius 2 ай бұрын
jaman pole san
@zachariaobama8616
@zachariaobama8616 6 ай бұрын
Pole sana broo
@OdenialoniNgusi
@OdenialoniNgusi 3 ай бұрын
Aloo kumbe alikufa mungu yupo 23:35 24:00
@nyamhangamaseke
@nyamhangamaseke 3 ай бұрын
Pole sana kaka
@AwzaMstafa
@AwzaMstafa 3 ай бұрын
Angekutaka angesema
@salimalharrasi3943
@salimalharrasi3943 6 ай бұрын
SIKU ZOTE MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI...
@BarikiBariki-tk8tc
@BarikiBariki-tk8tc 5 ай бұрын
Dah hivihawa mabosi wakike hasawaumezao wanaofanyakazi zakusafiri mbali wanashidagani? Kamani upwiru siamtafute wasaizi yake kulikolaana kamaivo EEmungu tusaidie
@user-zd5gd5qd2i
@user-zd5gd5qd2i 7 ай бұрын
Mimi naomba Kama kuna mawasiliano yake nataka pls uyo kijana
@JumaMario-px8tt
@JumaMario-px8tt 11 ай бұрын
Pole kaka yangu
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09
HAPPY BIRTHDAY @mozabrick 🎉 #cat #funny
00:36
SOFIADELMONSTRO
Рет қаралды 18 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
HAPPY BIRTHDAY @mozabrick 🎉 #cat #funny
00:36
SOFIADELMONSTRO
Рет қаралды 18 МЛН