#PART1

  Рет қаралды 396,133

Global TV  Online

Global TV Online

11 ай бұрын

#PART1: SIMULIZI ya KIJANA YASSIN ALIYESINGIZIWA KUMBAKA BOSS WAKE na KUFUNGWA JELA MIAKA 30....
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 138
@globaltv_online
@globaltv_online 10 ай бұрын
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@Sesy717
@Sesy717 7 ай бұрын
O
@Sesy717
@Sesy717 7 ай бұрын
😅
@SecretariatMihake
@SecretariatMihake 2 ай бұрын
@YohanaKitundu-dg5hs
@YohanaKitundu-dg5hs 2 ай бұрын
Mal
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 8 ай бұрын
Watu Wana roho mbaya sana.. Wote walio shughurika kuwakandamiza watu kuanzia leo.. Naomba mungu andaa adhabu juu yao
@user-cr7xy6tw5j
@user-cr7xy6tw5j 8 ай бұрын
Duuuuuh pole sana mwanangu mombe mungu usikate tamaa kumuomba mungu kila siku muombe mungu
@maimunahemedi6491
@maimunahemedi6491 10 ай бұрын
Assalam aleikum, dua aliyoomba itamlipua siku moja, kwa sababu kamfanya mwenyezi mungu kuwa shahidi wa uongo wake
@user-uk7or9bd9x
@user-uk7or9bd9x 6 ай бұрын
Pole sana na izi kazi selikali muwe nazo makini sana mana wengi wapo jela kwa kesi zakusingiziwa
@farajasallah2338
@farajasallah2338 10 ай бұрын
Watoto wetu wa kiume wanapitia sana, Mungu awasaidie, nimeumia sana
@WigiberthiMutahaba
@WigiberthiMutahaba 3 ай бұрын
Pol xan kaka ang hao walio kufanyia hv watapew adhab na mwenyenz mung pole xan dady❤,,
@JumanneRashid-kr2nv
@JumanneRashid-kr2nv 9 ай бұрын
Sio haki ata mungu apendi mtu mzima Ivo unabakwa vp mungu akulaani sana
@WitnessMmlamba-zx7lc
@WitnessMmlamba-zx7lc 3 ай бұрын
Pole sana
@user-vf8rq5ux6m
@user-vf8rq5ux6m 6 ай бұрын
Pole
@user-ip7rq4ro9w
@user-ip7rq4ro9w 4 ай бұрын
Pole sana kk 'ngumu ile natokeya congo gm
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 10 ай бұрын
Huyo mama ana dhambi kubwa sana,na wote wanaoshiriki dhambi hz mmelaaniw nyie na vizazi vyenu,maana mwenye pesa ananunua haki ila Mungu yupo hakimu wa haki.
@tumainimalulu7708
@tumainimalulu7708 3 ай бұрын
Hii ni tabia ya wanawake sis hangi kwa hili. Ila natamani kuja kumfundisha adabu mwanamke mmoja.
@RashidThabite
@RashidThabite 2 ай бұрын
Umetoa radhi nzito sana mama
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 2 ай бұрын
@@RashidThabite inaumiza sana ndugu yangu vaa kiatu cha huyu ndugu ndo utajua aliumia kiasi gani,alikuwa kesha potea tayari
@VeronicaMarsel
@VeronicaMarsel 6 ай бұрын
Pole Sana chaliingu mungu atalipa
@rubenimajura
@rubenimajura 10 ай бұрын
Pole kaka
@AwzaMstafa
@AwzaMstafa 2 ай бұрын
Pole sana mdogo wangu
@Anoldi-yj7mf
@Anoldi-yj7mf Ай бұрын
Muombe mungu sana maana hakuna kisicho na mwisho amini Mungu yupo majaribu nimtaji
@AishaOmary-fl8qo
@AishaOmary-fl8qo 3 ай бұрын
Mwenye kusubiri yupo na mungu Allah akufungulie rizki zako kaka
@user-zd5gd5qd2i
@user-zd5gd5qd2i 6 ай бұрын
Pole sana kijana
@AdrianNtarambe
@AdrianNtarambe Ай бұрын
Aisee
@user-qs1ii7vq7w
@user-qs1ii7vq7w 4 ай бұрын
Pole Sana kijana!
@BenardRamadhan
@BenardRamadhan 8 ай бұрын
Pole san
@user-lq9cy3il4o
@user-lq9cy3il4o 7 ай бұрын
Da! Pole
@PAUlWEKESA-de6tb
@PAUlWEKESA-de6tb 8 ай бұрын
Pole sana brother yangu
@BARIKIELMICHAEL-fc7oh
@BARIKIELMICHAEL-fc7oh 2 ай бұрын
Pole sana kaka
@MohamedAly-zp3zh
@MohamedAly-zp3zh 5 ай бұрын
Duniani watu wana mazonge Allah atufanyie wepesi, nimeshaona interview moja ya huyu jamaa kafanya Mbengo TV imeruka Julai, 2021 anajitambulisha kwa mtangazaji kuwa ni mzaliwa wa Bagamoyo Mapinga na alikua akiishi na huyo mama kinondoni... kwenye hii amezaliwa Kilwa na anaishi Chamazi inatia ukakasi kidogo kama mtu anataka kusadia lakini maelezo yako tofauti inatia shaka.
@user-wb2by4pw9f
@user-wb2by4pw9f 3 ай бұрын
Pole san kaka
@priscamagambo5320
@priscamagambo5320 3 ай бұрын
Yani mpaka nashindwa niandike Nini,Ila Mungu ni hakimu wa haki,pole sana
@user-fl3tj2tp3e
@user-fl3tj2tp3e 9 ай бұрын
Duuuh hyo mama mungu anamuona ipo cku2 mungu atakulipa
@user-bg2rp2gd3t
@user-bg2rp2gd3t 2 ай бұрын
Pole sana mwenyenzim atamlahani huyo mama
@user-yp2wk1ic5o
@user-yp2wk1ic5o 5 ай бұрын
pole sàn
@user-ux2xo5sl3c
@user-ux2xo5sl3c 9 ай бұрын
Mungu amlaani huyo. Afanyae dhambi bia kumuogopa mungu
@zawadimapumba7557
@zawadimapumba7557 5 ай бұрын
Enyi matajili msiwatese wafanyakazi wenu maliulizonazo ni uwezo mungu😂inaumiza sana
@user-gu6wg6jp5n
@user-gu6wg6jp5n 8 ай бұрын
Najuta mimi kusikiliza huu mkasa😭😭😭😭roho inaniuma jaman me watoto wangu wakiume tupu daah😭😭😭pole sanaa home boy Mungu ni mwema
@KiZoMidundo
@KiZoMidundo 7 ай бұрын
Inasiktsha
@Nyaburyaofficial217
@Nyaburyaofficial217 10 ай бұрын
Polle sana Kijana
@hashimmziray7416
@hashimmziray7416 8 ай бұрын
pole saaana dogo .
@sayeedbinazan
@sayeedbinazan 2 ай бұрын
Ila yote tisa, Vitimbi vya wanawake ni vikubwa sana. Anaweza Akakusingizia kitu na dunia nzima ikaamini.Mungu Awaongoze Ndugu zetu hawa.
@user-hc2hb8yi6s
@user-hc2hb8yi6s 8 ай бұрын
Polle kaka lla mungu hajaribiw jibu atapata
@saudmohammed3390
@saudmohammed3390 9 ай бұрын
Dhuluma Kubwaaaaa hii mshitakie Mungu atakulipa. Police wamekula pesa sheria wamchukuwe yule Mama akapimwe nawe upimwe. Wamsoka yote hayo
@allandavid870
@allandavid870 10 ай бұрын
Global mnahitaji kuji evaluate story zenu, most of the time mnaleta story zenye kutia shaka sana kama hii. Maelezo anayotoa anajichanganya sana
@globaltv_online
@globaltv_online 10 ай бұрын
Inatia shaka kwa maelezo yapi? Isitoshe hujasikiliza part two, unafikia conclusion story inatia shaka kwa kigezo kipi?
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 10 ай бұрын
Siku hizi kuna story za kutungwa ili kupata watazamaji au wafatiliaji wa vipindi vyao so chakuambiwa changanya na zako
@herberthatibu8439
@herberthatibu8439 10 ай бұрын
Hii story inatia mashaka sana, kwanza polisi siyo rahisi kukuweka ndani wakati mlalamikaji hayupo, eti unapelekwa kituoni na watu wengine mlalamikaji atakuja kesho.
@likimaro6
@likimaro6 10 ай бұрын
Polisi ya nchi gani unazungumzia? Ulisikiliza ripoti ya Tume ya Haki Jinai majuzi?
@abdallahmwanga5792
@abdallahmwanga5792 10 ай бұрын
Hayaja kukuta ndugu yangu,ipo siku utajionea mwenyewe... Huyo dogo namjuwa na amepata shida sana kutokana na kifungo hicho,nimemshuhudia huyo dogo akiwa jela...
@JeanIradukunda-qw6eb
@JeanIradukunda-qw6eb Ай бұрын
Pore sana kaka yangu
@ESTERMKALI
@ESTERMKALI Ай бұрын
3:11
@Ibrahim21784
@Ibrahim21784 10 ай бұрын
eh 🇰🇪 Kenya watu wana soma bakaaa from 4 na hakuna kazi
@user-ji6vg2vq4p
@user-ji6vg2vq4p 7 ай бұрын
Pore sana
@user-cm9uc4fv2n
@user-cm9uc4fv2n 9 ай бұрын
Pole sana uyo mam ana matitz
@sinyoritamoha1629
@sinyoritamoha1629 10 ай бұрын
Wamatumbi Wapole sana, hawawezi kufanya ujinga, huyo mama yatamkuta makubwa. Nimejiskia vibaya mno, Ila hao wanaoita mchumba nimecheka😂
@user-in9cg4pw4o
@user-in9cg4pw4o 4 ай бұрын
Daaah pore sana dogo uyo mama ata azibiwa tu na mungu apa apa duniani
@JohnsonMpweza
@JohnsonMpweza 18 күн бұрын
😢
@safnosmosha
@safnosmosha 10 ай бұрын
So sad
@user-kg2mw1jl2h
@user-kg2mw1jl2h 8 ай бұрын
Pel❤
@kachabisnea8815
@kachabisnea8815 10 ай бұрын
Yaani hapa ndio unapojua kabisa hizi dini zililetwa kwa ajili ya watu kupiga hela tu mtu anahapia hadi na msahafu kwa mambo ya uongo tena bila kuogopa
@rajabungatanda630
@rajabungatanda630 10 ай бұрын
Swala la mtu kuogopa ni jambo jengine na ukweli wa dini ni kitu kingine Kushika msahafu na kuapia kwa jambo la uongo uo ni uamuzi wa mtu Lkn mungu ameahidi kumlipa yule atayeapia uongo "Kwahiyo uyo mama asubiri kitachomkuta "Lkn pia jiulize kama unashangaa uyu mama kushika msahafu ndomana unahisi dini zimeletwa Jiulize kwani vituo vya polisi vimewekwa kwaajili gani ? Jee wahalifu awajui kama vituo vya polisi na mahakama Vipo kwaajili ya wahalifu? Kwanini watu wanafanya uhalifu bila woga wakati wanajua ukifanya uhalifu unakamatwa ? Kwahiyo uyo mama anajua kama mungu yupo lkn ni mhalifu wa kiimani anamcheza shere mungu Inshaallwah kama kweli amefanya hivo atalipwa tu
@frankndiga6122
@frankndiga6122 10 ай бұрын
Hiyocm nitaipataje nijulishe
@frankjulius12
@frankjulius12 10 ай бұрын
Part 2 ikowap
@VeronicaMilinga
@VeronicaMilinga 29 күн бұрын
Yanga usajil 19:02
@AbdiSekarani
@AbdiSekarani Ай бұрын
😊😊😊😊😊😊❤😅😊
@user-rg9ny6ll8o
@user-rg9ny6ll8o 6 ай бұрын
Bv
@user-ol9qh9ro7o
@user-ol9qh9ro7o 6 ай бұрын
Like
@josephatpius5594
@josephatpius5594 10 ай бұрын
Uyo mama in Katie sana kamwalibia maisha kijana
@ondb.tv593
@ondb.tv593 8 ай бұрын
Mungu atakulipia hapa hapa duniani.
@aboually2472
@aboually2472 3 ай бұрын
Maturubai hyo
@user-ol9qh9ro7o
@user-ol9qh9ro7o 6 ай бұрын
Iike
@OscarOuma-ho6hl
@OscarOuma-ho6hl 5 ай бұрын
Wangepima na kuwa na uhakika kutoka kwa daktari
@user-mp5uq2mb8u
@user-mp5uq2mb8u 8 ай бұрын
Mambo vp pole
@UswegeRichard
@UswegeRichard 9 ай бұрын
Dah huyu jamaa nilimsikiliza kwenye radio free afrika kipindii cha sintosahau😢😢 dah huyu jamaa kapitia maisha magumu saana❤❤sema mwanangu usikate TAMAAA MUNGU ANAENDELEA KUKU PIGANIA
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 10 ай бұрын
Kumbukeni WANAWAKE LEO WZNATAKA KEDI NAPESA
@juliuskibaso1976
@juliuskibaso1976 5 ай бұрын
pole sn
@ramadhanmzagira7831
@ramadhanmzagira7831 10 ай бұрын
kamakweli basi makosa yalianza kituo chapolis inatakiwa alie bakwa awepo ili akapimwe kama kafanikisha jambo ilo nasio aende peke yake anaenda na polic wakike
@B-horbir
@B-horbir 10 ай бұрын
B-horbir from DRC Congo but muzaliwa wa dar , Tanzania,mimi naona yule mwanamuke hakutakakumulipa kijana pesa aliona afanye mpango iliashie
@user-tb3hb6cm2s
@user-tb3hb6cm2s 8 ай бұрын
Hello, uko Drc sehemu gani please
@utaani1
@utaani1 6 ай бұрын
Ndio hata mimi nadhani ni hivyo hakutaka amlipe akaona apange uwongo huo
@annafredinandmatandiko8438
@annafredinandmatandiko8438 5 ай бұрын
Yes
@user-us3sv3pp1t
@user-us3sv3pp1t 8 ай бұрын
Mh inauma
@SellahMohamed-it7dg
@SellahMohamed-it7dg 5 ай бұрын
Pore Mwanang San
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 8 ай бұрын
Wewe dada au mama uliye mkandamiza huyu jamaa.. Rana yako hitakuwa mbaya sana kwasababu, huyu jamaa imesha kuwa doha kwake
@LadslausKyandoh-ru1il
@LadslausKyandoh-ru1il 9 ай бұрын
Ooe
@tumainimalulu7708
@tumainimalulu7708 3 ай бұрын
Hivi MUNGU yupo? Kwanini wanyonge na wasio na fedha hudhulumiwa haki zao bila kumwaibisha adhulumuye haki. Mtu anaswali na anasali na anashika kitabu cha Mungu anaapa uongo na Mungu yupo kimya. Hapana kuna kitu natafuta nifanye utafiti kuhusu dini hizi tulizoletewa na wageni.
@BraysonKileo
@BraysonKileo 2 ай бұрын
Daah MUNGU atamwonekanaye
@abdiazizmohamed444
@abdiazizmohamed444 2 ай бұрын
Kwenye interview ingine anasema hapakua na godoto
@abdiazizmohamed444
@abdiazizmohamed444 2 ай бұрын
Yamini ni muongo Kwenye interview ingine amesema vingine hapa anasema vingine
@cosmasibundala
@cosmasibundala 3 ай бұрын
Mambo vp
@JohnKapwaga
@JohnKapwaga 7 ай бұрын
Hahaha jaman hugo mama balaa pole sana mwanaume mwenzangu MUNGU ni mwema hata akina YUSUF walitiwa gerezn na ikawa Waziristan,
@user-lq9cy3il4o
@user-lq9cy3il4o 7 ай бұрын
Da; hatar
@Teddygeorge-ub7su
@Teddygeorge-ub7su 5 ай бұрын
Pesa inawafikisha watu pababaya huyu mama mungu amlaani ingewezekana hii Kes ingeanza upya afu imgeukie Yani mungu amlaani Saba mara sabini!!!!!!!
@WarwinuKaremeri
@WarwinuKaremeri 2 ай бұрын
Huyo mama ni shetani
@hashimmziray7416
@hashimmziray7416 8 ай бұрын
ha ha ha eti Mama yako umemuacha kijijini
@hamisibaharia-bl9og
@hamisibaharia-bl9og 10 ай бұрын
Malipo dunian apa apa mwanang kaza loo2
@AredFered
@AredFered 7 ай бұрын
Dah wafanyakaz kaz tunayo
@SalehSalum-ri1jn
@SalehSalum-ri1jn 3 ай бұрын
Loho inauma
@user-yl3be9ix4y
@user-yl3be9ix4y 2 ай бұрын
Mbona uhujasema kama hajakulipa miezi yotehiyo
@JamesKisabo
@JamesKisabo 4 ай бұрын
Hata mm lazima nibake kwahali hyo
@JumaLichombo-ev9zi
@JumaLichombo-ev9zi 7 ай бұрын
Duuh hyo mam ni hatar pole mwamba
@user-tq7xj5tr3k
@user-tq7xj5tr3k 8 ай бұрын
Sipowa
@user-su9lf4lb2v
@user-su9lf4lb2v 8 ай бұрын
Mungu.atasimama.nao Inshalla.watoto.wote
@josphatokongi3361
@josphatokongi3361 5 ай бұрын
God have plan to him
@MOHAMMEDABDI-lb7yp
@MOHAMMEDABDI-lb7yp 10 ай бұрын
Siku kumi na9 ya nini jamani wakati sheria ni kuka police ni maa saa 24 tu
@user-rg9ny6ll8o
@user-rg9ny6ll8o 6 ай бұрын
.
@user-nv6rz3kd5p
@user-nv6rz3kd5p 3 ай бұрын
Walioko jela wengi wao hawana makosa?
@user-qg8wl2gi2o
@user-qg8wl2gi2o 5 ай бұрын
Mabos wengi wakion hawan Hela ya kumlipa mfanyakaz Wana msingizia mabay
@JumaCharura
@JumaCharura 8 ай бұрын
Dah pol San wem s wot
@user-ss9nr1ol1d
@user-ss9nr1ol1d 8 ай бұрын
Mama uyo ni muchawi kabisaha.uyo.kijana.mtoto.alimubakaje.serkali.yenu.aichunguzi.kitu.mimi.ni.mu.congo.mani.uyomama.wanipe.yeye.nimubake.kabisahaaa.onamakalio.yake.kubwa.kama.makalio.ya.tembo.mungu.ahatakuwaja.katika.dunia.iyi
@ferguslyagoda4049
@ferguslyagoda4049 10 ай бұрын
Hii ni kiki?
@user-fi7zr2xy3m
@user-fi7zr2xy3m 4 ай бұрын
Adi ufanyi ivo shida nini, kwa mtoto wa watu
@JamesAndrew-xs5bt
@JamesAndrew-xs5bt 5 ай бұрын
Sema tatizo mabos wengine wanashoboka.
@frankndiga6122
@frankndiga6122 10 ай бұрын
Kweli huyo mama siobinadamu walahanahofuya MUNGU
@MulugaKajana
@MulugaKajana 10 күн бұрын
nataka nyimbo za din
@user-no2ug6td1c
@user-no2ug6td1c 8 ай бұрын
mama huyo hatauona ufleme wambingu kabisa
@ibrahimabdullah1887
@ibrahimabdullah1887 8 ай бұрын
Ufanye uchunguzi ulipwe fidia
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 10 ай бұрын
Same Yasin kule Mbengo tv kasema mzaliwa wa Bagamoyo, huku mzaliwa wa Kilwa same story same person?
@fatumajumanne198
@fatumajumanne198 10 ай бұрын
🤣🤣🤣
@alasigoodluck9608
@alasigoodluck9608 8 ай бұрын
😂😂😂😂 hii ni Tanzania broh
@ramadhanimaganga8068
@ramadhanimaganga8068 10 ай бұрын
Sio kweli muongo huo mi namjua vizuri
@evensiachitanda5299
@evensiachitanda5299 10 ай бұрын
Pole sana
@NassirMagosso
@NassirMagosso 10 ай бұрын
Ss mkwel nan
@fatumajumanne198
@fatumajumanne198 10 ай бұрын
Ukweli n upi Sasa?
@ayoubjaphet709
@ayoubjaphet709 10 ай бұрын
😂😂du
@idrissamohamed1100
@idrissamohamed1100 10 ай бұрын
Unamjuaje?
@user-dm5hq4jf1s
@user-dm5hq4jf1s 10 ай бұрын
Pole sana
@Shimboy-hl4eg
@Shimboy-hl4eg 9 ай бұрын
Pole bhana hizo changamoto za maisha tu.
@KsmTv-yl5fy
@KsmTv-yl5fy 8 ай бұрын
Pole sana Kaa ,
@sinyoritamoha1629
@sinyoritamoha1629 10 ай бұрын
😢
Children deceived dad #comedy
00:19
yuzvikii_family
Рет қаралды 9 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 20 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 53 МЛН
HISTORIA Ya IDD AMIN, Darasa La 4 Aliyetikisa Wazungu/NYERERE Akimtia Adabu
26:09
PENZI LA DADA WA KAZI 💞 | Love Story
30:06
DONTA TV
Рет қаралды 4,7 МЛН
Jamaa ashinda pikipiki kwenye mbio za baiskeli shinyanga!
2:15
KIJOGOO Tv
Рет қаралды 23 М.
MAMA WA KAMBO EP [2]
17:11
Kumbau tv
Рет қаралды 1 МЛН
The Japanese look down on prisoners, and the prisoner defeat him easily.
19:29
MAANDAMANO TUESDAY!! P0LICE ARR3STED IN PARLIAMENT WHILE PROT3STlNG
8:16
Children deceived dad #comedy
00:19
yuzvikii_family
Рет қаралды 9 МЛН