Vazi lao la kiasili ni utamaduni wanaojivunia. Jamii hii ya Wamang'ati nchini Tanzania wameendelea kuukuza utamaduni huo licha ya changamoto za usasa, unaotishia utamaduni huo. Veronica Natalis na mengi zaidi.
Пікірлер: 4
@williamkirway50743 жыл бұрын
DW mpo vizuri,naona mpo basutu ziwani nawaona kutoka haydom manyara,Tanzania
@yahayamjenga19963 жыл бұрын
Shukran kwa makala nzuri.....ila ningependekeza background sound ikawa chini kidogo ili kujaribu kuwasikia vizuri wasemaji......DW The Best